Hongera sana Mwabukusi kwa ushindi.Ulipitia Magumu mengi kama wale viongozi wa Senegal Rais na waziri wake mkuu waliofungwa gerezani na baada ya kutoka wakaibuka na ushindi.
Tanzania chombo pekee kilichobaki na uchaguzi huru ni TLS. Lakini kazi zake huingiliwa na selikari. Ndiyo maana watu wengi hawakijui chombo hiki. Kimekuwa sehemu ya chama tawala. Ndiyo maana kimekuja kujulikana kidogo kwa watu wakati wa Tundu Lisu, wakati wa Fatma Karume na sasa Mwabukusi naamini kitasikika. Chombo hiki kinatakiwa kusimamia haki za nchi na raia wake. Miaka yote kimefeli kusimamia uchaguzi. Jirani Kina sauti. Malawi upinzani walikata rufaa na ikashinda uchaguzi ukarudiwa na upinzani ukashinda Baada ya uchaguzi hakimu aliyesimamia shitaka alipewa cheo ndani ya selikari akakikataa kulinda taaluma ya wanaxheria. Yapo mengi. MWABUKUSI. ongoza TLS kwa kusimamia haki. Hongera sana.
GOD has heard the prayers of Tanzanians by appointing Boniface Mwabukusi God lead you and give you straight to lead TLS and having countability for leaders, Big up Boniface Mwabu Guy, Hongera sana najua issue ya Bandari imembeba sana huyu jamaa na nimejua kumbe watanzania siyo wajinga, wako makini sana maana wengi waliwaambia watoto wao wanasheria wampe kura mwabukuzi-hongera sana Bro.Mwabu Guy.
Hongera sana Mwabukusi kwa ushindi.Ulipitia Magumu mengi kama wale viongozi wa Senegal Rais na waziri wake mkuu waliofungwa gerezani na baada ya kutoka wakaibuka na ushindi.
Mungu akisema ndiyo Nani avatar. Hongera sana Rais wetu msomi wetu
Hongeraaa sana mh mwabukusi
Hongera mwambukusi
Ongera Sana mwabukusi utatusaidiya Sana
Mwabukusi Mungu akutie nguvu sana
Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi
Tanzania chombo pekee kilichobaki na uchaguzi huru ni TLS. Lakini kazi zake huingiliwa na selikari. Ndiyo maana watu wengi hawakijui chombo hiki. Kimekuwa sehemu ya chama tawala. Ndiyo maana kimekuja kujulikana kidogo kwa watu wakati wa Tundu Lisu, wakati wa Fatma Karume na sasa Mwabukusi naamini kitasikika. Chombo hiki kinatakiwa kusimamia haki za nchi na raia wake. Miaka yote kimefeli kusimamia uchaguzi. Jirani Kina sauti. Malawi upinzani walikata rufaa na ikashinda uchaguzi ukarudiwa na upinzani ukashinda Baada ya uchaguzi hakimu aliyesimamia shitaka alipewa cheo ndani ya selikari akakikataa kulinda taaluma ya wanaxheria. Yapo mengi. MWABUKUSI. ongoza TLS kwa kusimamia haki. Hongera sana.
Mungu ni mmoja tu
GOD has heard the prayers of Tanzanians by appointing Boniface Mwabukusi God lead you and give you straight to lead TLS and having countability for leaders, Big up Boniface Mwabu Guy, Hongera sana najua issue ya Bandari imembeba sana huyu jamaa na nimejua kumbe watanzania siyo wajinga, wako makini sana maana wengi waliwaambia watoto wao wanasheria wampe kura mwabukuzi-hongera sana Bro.Mwabu Guy.
Hakika mwabukusi ww ni mwamba kweli kweli hongera xn raisi
Mtu wa maana sana huyu
Nilikua nina imani utashinda
Mwambukusi alistahili sana kua rais wa TLS
❤❤❤❤oyooooooo
Bonifasi kajunjumele Mwabukusi
Utende haki zote kama ulivyojinadi
Tumeshnda
Daaa yan tuache utan leo nimefurahi sana uyu mwamba ni fundi ile mbaya namkubali kinomaaaaaa woyoooooooooooooo
Ni kweli maombi ya watanzania, vyama vvote
Ww ni mwandshi mpya wa #milardAYO, cndy
Serikali wamekwisha 😂😂
😂😂😂😂😂 uyu mwamba ni fundiii mi mwenyew nimependa
Boniface anyisile kajunjumele mwambukusi hoyeeeeee
Wanyakyusa oyeeeew
Asajili chama cha upinzani uyu mwamba anabeba mchana kweupeeeee ila so kwa katiba hi😂😂😂😂😂😂😂😂
Mpe moyo
Huyo ni chadema pure from nccr
@@mapinduzisylvester1903 chadema aifai ishakufa,inabid chama kingine ,chadema washafeli pakubwa ...wamekosa ushawishi, usaliti, kashfa, nk.
@@FreeGod368nakuunga mkono kabisa
Chama tawala kimejifunza nini kupitia uchaguzi huu wa TLS?Je wanafikiri kuwa wanasheria wa hapa TZ wako pamoja nao kulingana na nchi inavyoendeshwa?