Dooh Ndugu mtangazaji chukua likizo kidogo.... Jifue.... Utangazaji sio Tone, wala lafudhi ... Ni combination ya uelewa na namna ya kunyambua mambo wekeza ktk hayo then Rudi tena... Unaweza...
Imekuwa ni desturi ya watanzania walio wengi, kwamba kuharibu lugha wakidhani wanakikuza, kumbe wanakiua. Wenzetu wanaboresha lugha zao sisi tunaharibu, " kufanikiwa kumpoteza maana yake ni kwamba alikuwa anafanya jitihada za kumpoteza wakati sivyo!"
@@AandrewMsumari waandishi wa habari sijui wanapatia wapi hayo mafunzo yao aise, asilimia kubwa sikuhizi ndo huwa wanaanza kwa hiyo salamu, ni kama wanaigana ujinga tu hata kuhoji kwenyewe hawajui.
Watangazaji wasiku hizi nihovyo sana eti umafanikiwa kumpoteza pacha wako huyu nimtangazaji wamchongo, nasikuhizi salamu kwao kwa walio wazidi niheshima yako hovyo kabisaa.
We mtangazaji unajielewa ulichokiongea au amefanikiwa kivipi? kuna mtu anafanikiwa kumupoteza ndungu au rafiki muwe munajipanga kumuhoji mtu so mwakurupuka tu
@@magrethsemindu8699 bongo kweli, nasikia mtangazaji amemuuliza Senga amefanikiwa kumpoteza ndugu yake. Aiseee elimu yake iangaliwe au huenda ana matatizo binafsi pia
Ndio ujue hata utangazaji licha ni taaluma ila pia kipaji kinahitajika...hapo kakosa jinsi ya kuuliza swali kajikuta karopoka maana huko ni kuropoka..mi ningemtukana
Pole sana Mzee Senga! Tunamuombea mzee wetu Pembe apumzike kwa amani....
pole Sana mzee senga kwa kumpoteza rafiki yako wa damu damu Ila mtangazaji anaboa sana
Pole sana
Kumpoteza ndugu au rafiki yako siyo sehemu ya "Mafanikio"Mtangazaji jiendeleze kwene fani yako
Mtangazaji Uchwala kiswahili Kinampiga chenga
Online media zimekua nyingi
Yani hawa watangazaji kwamba Senga amefanikiwa kumpoteza Pacha wake kweli 😂😂😂
Katka mazungumzo yote sjaskia kasema azikwe na lungu. Achen mzaha katka Jambo la siliasi. 😢😭
Pore sana
Pole sana baba yangu😭😭
Dooh Ndugu mtangazaji chukua likizo kidogo.... Jifue.... Utangazaji sio Tone, wala lafudhi ... Ni combination ya uelewa na namna ya kunyambua mambo wekeza ktk hayo then Rudi tena... Unaweza...
Hawajui namna ya kuhoji Unasemaje umefanikiwa kumpoteza
Pole senga
Huyu mtangazaji taaruma yake haimufai kabisa,ety umefanikiwa kumpoteza
Mtangazaji kapitiwa
😂😂
Mtangazaji anaoji utumbo sana
Madhala ya Umepata D mbili ukakimbilia utangazaji ndohaya sasa.......
Ukanjanja😂😂😂
Uwaa uyu Mtangazaji
Amefanikiwa kumpoteza ndonn yani kamuuwa yy pumbavu kweli, mnakimbilia maiki wakat fani ni jembe
MASIKINI POLE SANA MZEE SENGA NAKUOMEA IMANI SANA KUPOTEZA RAFIKI YAKO MPENDWA
Hawa watangazaji mnawaokota wapi?
Inna lillah wainahyllah rajioun
Mtangazaji hufai kabisa!
Bangi na Utangazaji wapi na wapi.Amefanikiwa?
Eti umefanikiwa kumpoteza pacha wako, 😂😂
Imekuwa ni desturi ya watanzania walio wengi, kwamba kuharibu lugha wakidhani wanakikuza, kumbe wanakiua. Wenzetu wanaboresha lugha zao sisi tunaharibu, " kufanikiwa kumpoteza maana yake ni kwamba alikuwa anafanya jitihada za kumpoteza wakati sivyo!"
We mtangazaji hujui nenda kalime
Heshima yako ndio salamu zawakubwa uko kwenu sasa, yani mitangazaji mengine
@@AandrewMsumari waandishi wa habari sijui wanapatia wapi hayo mafunzo yao aise, asilimia kubwa sikuhizi ndo huwa wanaanza kwa hiyo salamu, ni kama wanaigana ujinga tu hata kuhoji kwenyewe hawajui.
Huyu mtangazaji sijamuelewa umefanikiwa kumpoteza rafiki yako kumbe kifo cha pembe kimesababishwa na senga?
Fala kweli yani
Mtangazaji hajui kiswahili
Jamani msameheni kiswahili ni kigumu muno
Kiswahili kigumu tu
Ujana
Mtangazaji ni msenge tuu
Ilo nikosatu la kibinaadam , mbona mnamuhukumu hivo moja kwa moja ? Mkamilifu ni mmojatu ni Allah, acheni hivo sio vizuri mumekaa kama sio binaadam ,
Watangazaji wasiku hizi nihovyo sana eti umafanikiwa kumpoteza pacha wako huyu nimtangazaji wamchongo, nasikuhizi salamu kwao kwa walio wazidi niheshima yako hovyo kabisaa.
Interview kabla ya kujiandaa ni kipaji
Ulimi hauna mfupa jaman, hakuna mkamilifu zaid ya MUNGU tuu, naomba msamaha kwa niaba yake
Huyo kaka yko au baba yko huna adabu
NINGEKUWA MIMI SENGA NISINGEKUJIBU MPAKA UTENGUWE KAULI YAKO YA KUSEMA UMEFANIKIWA KWA KWELI MTANGAZAJI UMEZINGUA SANA
Ety! Dah story inatred kwenye mtandao, hawa waandishi ni wakufukuza kabsa
Serikali inatakiwa iangalie hizi media vizuri kwa kweli
Wasanii bwana presha,zikapanda,juueti "sijui huko juu.zilienda kufanya nini"?!
We mtangazaji unajielewa ulichokiongea au amefanikiwa kivipi? kuna mtu anafanikiwa kumupoteza ndungu au rafiki muwe munajipanga kumuhoji mtu so mwakurupuka tu
Ilaa uyuu mtangazaji to murch
D mbili
Ila mtangzaji
Asamehewe tu hakuna mkamilifu ni Muumba pekee
mtangazaji utafikiri anatangaza uko harusini au burudani au umbea. pumbavu sana
Amefanikiwa kumpoteza rafiki jamani kweli ulimi hauna mfupa
Rudi shule.....media inahitaji elimu itakayokusaidia namna ya kuzungumza .....
Huyu mtangazaji achinjwe
😂😂
Hivi hawa watangazaji wana akili kweli? Unamuuliza mtu umefanikiwa kumpoteza pacha wako, kwamba alikua anatamani afariki?
Kumbafu zenu
Mwandishi pumba kabisa
Madhara takupata d mbil alfu unakmbilia utangazaj ndo hayo sasa
Amefanikiwa?
Mtangazaji anamuuliza mfiwa eti naona umefanikiwa kumpoteza pacha wako kabisa. Dah, amefanikiwa kumpoteza pacha wake?
Hawa ni wajinga😂😂
Ndio tujionee mambo ya kazi za connection
@@magrethsemindu8699 bongo kweli, nasikia mtangazaji amemuuliza Senga amefanikiwa kumpoteza ndugu yake. Aiseee elimu yake iangaliwe au huenda ana matatizo binafsi pia
Ndio ujue hata utangazaji licha ni taaluma ila pia kipaji kinahitajika...hapo kakosa jinsi ya kuuliza swali kajikuta karopoka maana huko ni kuropoka..mi ningemtukana
Wengine sio waandishi wa habari by professional...
Watangazaji wetu ni umbwa
Pore sana