naomba kutoa shukurani zangu za dhati kwenu ndugu na marafiki ktk Bwana kwa upendo mkubwa mnaonionesha hii si kitu kidogo kwangu. Inanipa nguvu sana ya kukaa miguuni mwa Mungu kumwomba usiku na mchani anipe neno kwa ajili yenu wana wa Mungu. NATAMANI KILA NENO LITOKALO KWENYE KINYWA CHANGU LIKA MHUDUMIE MTU POPOTE ALIPO.Asante sana wadau wangu
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa tunga nyimbo nzuri zenye ujumbe mzuri sana nimezisikiriza nyimbo zako zote nimezipenda sana zinaujumbe unaingia kinywani na moyoni uendelehe kubarikiwa 1:49
Naomba mungu wangu unifungilie mlango wa mafanikio mwaka huu naomba ukaonekani Kwa Kila jambo na ukaonekani ww tu maishani Bali unifuche umavyni mwako nisionekane
Usinyamaze daddie... Woooh dada ume barikiwa nyimbo zako zanitia moyo.. Woooh I love the song, I. Love the voice, utaenda mbali, kwa nyimbo zako Mungu akupe kibali
Come on Jehova say a word i am waiting for you . Listen to my prayer God , why are you silent why are you silent come on open doors and windows for me love I am at the door I won't stop knocking , talk to me , talk to me I am here
naomba kutoa shukurani zangu za dhati kwenu ndugu na marafiki ktk Bwana kwa upendo mkubwa mnaonionesha hii si kitu kidogo kwangu. Inanipa nguvu sana ya kukaa miguuni mwa Mungu kumwomba usiku na mchani anipe neno kwa ajili yenu wana wa Mungu. NATAMANI KILA NENO LITOKALO KWENYE KINYWA CHANGU LIKA MHUDUMIE MTU POPOTE ALIPO.Asante sana wadau wangu
Tuko pamoja dada angu sema uko vizur mnooo me najikuta naponywa kupitia nyimbo zako
I'm here,I'm touched infact changed.ur a blessing to me
Nabarikiwa sana na Kila neno katika wimbo huu...wakati huu mgumu kwangu namwita Mungu asinyamaze
Yesu akubariki sana Amen
202e still here
HUSINYAMAZE JEHOVAH MWAKA HUU 2020...KAMA OMBI LAKO NI HASINYAMAZE GONGA LIKE
Apostle Jackson Mutinda Amen sana
Unajua sana Sarah Magesa
2024 and i will still be here , wakenya tueke likes za 2024
Amen
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa tunga nyimbo nzuri zenye ujumbe mzuri sana nimezisikiriza nyimbo zako zote nimezipenda sana zinaujumbe unaingia kinywani na moyoni uendelehe kubarikiwa 1:49
Nzuri sana, kama umeipenda like hapa
Joshua Kimario Asante
This song is powerful.. Nmereplay mara kadhaa..congrats sarah magesa
@@SarahMagesaOfficial ameeen
Usinyamaze Mungu wang uliyehai,,nakutegemea ww
Usinyamanze Yesu wangu baba yangu.❤❤
Yesu.hawezi.kunyamaza.palipo.na.kusudi.lake
Bwana Yesu si kiziwi hatomyamaza
Wow nice powerful song,akuna kunyamasa♥️👏
Sarah wimbo huu umevuviwa na roho mtakatifu; endelea kuimarika big love from me
Aki mungu wangu usinyamaze pia upande wangu
Mungu akubariki mtumishi usinyamaze unanigusa sana ubarikiwe kwa huduma
Barikiwa sana sarah kwa ujumbe wako kupitia nyimbo zako nzuri nzinanifanyaga nisichoke na kumgoja mungu:Amina.
Usinyamaze yesu.....Sina mwingine
Usinyamaze mungu wangu ..Kwa Yale yanapangwa kwa Siri juu ya maisha yangu🙏254
Usinyamanze kwa watoto wangu baba
Naomba mungu wangu unifungilie mlango wa mafanikio mwaka huu naomba ukaonekani Kwa Kila jambo na ukaonekani ww tu maishani Bali unifuche umavyni mwako nisionekane
Yesu usinyamaze katika maisha yetu maana ni wewe tu Mungu
Usinyamaze yesu uniponye Baba nimeteseka Kwa muda
Mtumishi wa Mungu nyimbo zako hunifariji moyo ubarikiwe .
Nabarikiwa sana na wimbo huu
Usinyamaze daddie... Woooh dada ume barikiwa nyimbo zako zanitia moyo.. Woooh I love the song, I. Love the voice, utaenda mbali, kwa nyimbo zako Mungu akupe kibali
Nipinganie baba usinyamaze😭😭😭
This song talks about my really story but God is their with me ❤
Usinyamaze Yesu.. Am blessed
Usinyamaze YESU maishani mwangu. Mimi mwanao nakutegemea. Bariki dada #SarahMagesa. Nabarikiwa nikiwa huku Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Usinyamaze ewe Yesu wangu
Nothing can happen when you’re in Jesus Christ, He spoke over 2000 years ago...
Ameeen I believe and trustworthy in him💯🙏🙏🙏🙏
BUANA YESU AKUBARIKI SANA NDUKU WANGU SARAH MAGESA.
Usinnyamazee YESU
Usinyamase.baba.amen
Mungu wangu hawezi kunyamaza
Hakika usinyamaze Yesu, Mungu akubariki mtumishi wake
Ubalikiwe sana
Usinyamaze mungu wangu
Mama wewe ni wa baraka.. oooo napenda kazi zako
stephen kasolo Asante
stephen kasolo Amen
Amen mungu usinyamaze kwa mipango yangu ya kazi.
Amen good song
With God everything is possible
Ameren🙏🙏🙏🙏 nimebarikiwa
Vusinyamaze Baba tukuombapo, wonderful song God bless you 🙏🏽
Nabalikiwa sana dada na nyimbo zako ziko na massage
Usinyamaze Yesu, wameniekea mitengo mingi Mungu wa Modecai Usinyamaze.
Huwa nabarikiwa sana na nyimbo zako mum God bless you
Come on Jehova say a word i am waiting for you . Listen to my prayer God , why are you silent why are you silent come on open doors and windows for me love I am at the door I won't stop knocking , talk to me , talk to me I am here
😭😭😭😭😭🙌 usinyamaze Yesu wangu, usitulie Babangu, waangalie watesi wetu leo hii kutana nao leo hii baba, Amina
God you know my current situation, usinyamaze baba😢
daaa,nafarijika sana
it's the best I have bn playing it every time it motivates me in any challenges I may encounter in life. ❤❤❤ God bless you.
Powerful.... usinyamaze yesu
Lakini Mungu akukaa kimnyaa,,,,usinyamze yesu mwaka huu😭🙏🙏
Nia yao waolewe wao eeeh mungu asante kwa kunipigia
Dada huu wimbo mzuri Ubarikiwe sana
Hakika MUNGU wetu usinyamaze umenibariki na huu wimbo
Uko vizuri sana dada Sarah,Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu zaidi...Utukufu kwenda utukufu
This has been my song all through,,,mungu usinyamaze
Nachukuru sana kupata neema ya neno zuri sana ila nakusii sana. Dada punguza mapambo
Usinyamaze baba nakuhitaji sana🙏
Ubarikiwe sana
Huu umekuwa wimbo wa taifa kwangu. Mungu akupe nguvu
I Anxiously need you Jesus Christ
Usinyamaze yesu,....... Baba.. Na hii janga la coronavirus
Nikiwa Dubai be blessed sister ♥️😘usinyamaze mwaka huu Yesu wangu
Maggy Mshay Asante my dear.pia naomba sapot yako rafiki
Mama unajua kuimba nakufutalia nyimba zako Mungu azidi kukuinua
amen
Usinyamaze Dad tunaponyanyazwa😭😭
Usinyamaze Mungu wangu
Dada angu Sara me cna neno ila mungu azidi kukuinua wimbo wako umenifungua sana ule walizani wananimalza nakupenda sana dada angu nl
Barikiwa
Usinyamaze mungu wangu, nakutegemea wewe dady.....barikiwa sana dada
This song really inspires me may GOD BLESS YOU
Mungu usinyamaze huu mwaka mungu wangu hawezi kuniacha ata iwe Nini mama nimebarikiwa endelea kubariki wengine pia
Esther kaluti Nzoka Amen
Ubarikiwe dada ,huu wimbo wanitia moyo kila kuchao
usinyamaze Mungu🤗
Usinyamaze yesu nakuita baba 🙏🙏🙏
Usininyamazie baba,very touching song
Usinyamaze MUNGU nice song I'm Blessed congratulations, barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Grace to grace,you bless n encourage many may you b blessed
powrful
Usinyamaze Yesu a very touching song nyimbo zako zina upako be blessed.
God will not be silent
Wengi wanapenda kuharibia wengine but mungu no Nani atuaji hats kidoko.
Yesu husinyamaze nakuitaji katika maisha yngu adui ni wengi ur song blesses me very much.I salute u
Usinyamaze baba
Usinyamaze Yesu nakuhitaji katika maisha yangu
Napenda nyimbo zako sana,huu wimbo hunitia moyo sana,.
Nakuona happy injerona ktk ubora wako big up my mate mwana wa gwisu barikiwa sana injilisha bila mwisho
Ni kweli usinyamaze Yesu... Barikiwa Sarah
Usinyamaze bwana Mungu 2020...This song is of a great blessing to me this 2020. Kindly drop a like to this lady if we are in same page.
Wimbo Mzuri Sana. UNAGUSA MOYO
Wimbo mzuri kweli..254
Nyimbo zako za niinua moyo sana...ubarikiwe sana...kazi nzuri
Wow nice
Mungu akubalik mtu wa mungu
Such a blessing and nice song. Mungu azidi kukutia nguvu na kukupa kibali cha kuhuburi neno lake kwa nyimbo
Soo nice
Mungu akubali kazi ya mikono yak
Wimbo nzuri tena yenye kuguza moyo, barikiwa Sana
Sarah napenda nyimbo zako sana wacha mungu apanue mipaka zako
Mm sio msemaji sana ila uko vizuli dada ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Much love mama,,,u always makes me going,,,wish i could be your gal