MWANASHERIA ABANWA NA MAKONDA ASHINDWA KUJIELEWA MADAI YA WANANCHI "RAS HAMISHA HUYU"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 тра 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    UA-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

КОМЕНТАРІ • 53

  • @EzekielMwishehe
    @EzekielMwishehe 2 місяці тому +4

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Kaka Makonda piga kazi Mungu atakulipa na kukutetea dhidi ya maadui wa haki

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990 2 місяці тому +4

    Huyu jamaa wa tanroads yupo smart sana

  • @cloudinhoabdi868
    @cloudinhoabdi868 2 місяці тому +4

    I like Tanzania because of one thing, every issue is taken care of and in front of everyone unlike in our country Kenya whereby only two people can make decisions on behalf of the entire nation. Thanks Makonda coz you remind me of JPM. May his soul rip

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 2 місяці тому +1

    Mh Makonda Wasaidie sana Binadamu wenzako sawa sawa bila kujali malaumiano maana Mungu atakulinda Hongera sana wanyoonyeshe haswa

  • @IsanjaRose-tk4nn
    @IsanjaRose-tk4nn 2 місяці тому +2

    Mheshimiwa makonda mungu amulinde na atende haki arusha watu wamedhulumiwa wengi sana

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 2 місяці тому +1

    Ila kaka makonda kuna namna umebadilika na kuna namna nakuona mbali. Ama kweli YESU NI MWANA WA MUNGU. Piga kazi bro

  • @user-ge6nr9hm1w
    @user-ge6nr9hm1w 2 місяці тому +3

    Kichwaa kimetokaa kwetu hikii kwa magufuli najivuniaa snaaaa

  • @ngusakabinza9238
    @ngusakabinza9238 2 місяці тому +3

    Makonda anakula MB zetu😁😁😁😁 atatuua mwaka huu

    • @nwntz
      @nwntz 2 місяці тому

      😂😂😂😂

  • @MafuvuMabrucky
    @MafuvuMabrucky 2 місяці тому +1

    Makonda piga kazi cc wtz tuna kuona kama mwamba wawanyonge tanzania

  • @florencekyande4443
    @florencekyande4443 2 місяці тому +1

    safi

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 2 місяці тому +1

    Tunapaswa kujenga tabia ya uzalendo kwa wananchi wetu.ongera Rpc makonda mungu hakutalie sana

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 2 місяці тому +1

    Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu

  • @johnkushoka6629
    @johnkushoka6629 2 місяці тому

    Mwanasheria yupo vzr Sana sema hapewe Air time

  • @TheothimePastory
    @TheothimePastory 2 місяці тому

    Yangu macho

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b 2 місяці тому

    asante sana watanganyika tusonge mbele kwa mapambano ya kutafuta haki zetu zote walipwe fidia yao bila porojo na chenga chenga asante sana wenu Simba sauti ya wanyonge

  • @rajabukitego1662
    @rajabukitego1662 2 місяці тому +2

    Tungepata,viongozi,Kama,Hawa,tusinge,teseka,Hawa,wengine,wako,wapi

  • @LoishieMollel
    @LoishieMollel 2 місяці тому

    Tatizo ni elimu ya kiutawala hongera mh.makonda endelea ña kazi lakini sioni kama viongoz

  • @georgedamas7097
    @georgedamas7097 2 місяці тому

    Kuna mti Moja unaitwa "Mlebanoni" huu mti hata ukiukata unachipua tu uwe jangwani au kwenye Ardhi uwevu....uyo ni Makonda.

  • @SelemaniSalumu-un8hn
    @SelemaniSalumu-un8hn 2 місяці тому +1

    Makonda nakukubali kwamaswari

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu 2 місяці тому

    Mwanasheria wa halmashauri anatia huruma, pole dada ila kuanzia hapa jitahidi kubadilika naona unapata ugumu kwenye kazi yako.

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 2 місяці тому

    Watanzania wengi wameumizwa kwa tabia Kama hizi hizi za watendaji wabovu na kuweka maslahi zao mbele kuliko kuwa na uzalendo.kama tukipata wakuu wa wilaya na mikoa wanaofahamu majukumu yao Sasa hakika mhe Raisi awezi kupata changamoto ya kila siku kubadilisha Hawa watendaji wake.hatari sana

  • @RichardLyamuya
    @RichardLyamuya 2 місяці тому

    Huyo mwanasheria wa halmashauri hana uwezo wa kufanya kazi .Ajira za ajabu .

  • @egbertlambert
    @egbertlambert 2 місяці тому +1

    Mwanasheria Yuko sawa,sema tu Siasa ndo zinaingizwa

  • @artsonkimath2917
    @artsonkimath2917 2 місяці тому

    Mwanasheria yupo sahihio isipokuwa TU mkuu hasikiliziaelezo ya mwanasheria Hadi mwisho

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 місяці тому

    Kunawatu huleta mgogoro kwenyemaendeleo na kupenda fidia kimchongo na wakubwa

  • @sebastianmusyebi-yv1hm
    @sebastianmusyebi-yv1hm 2 місяці тому

    Ndo tatzo lililoko kweny halmshaur sasa mwanasheria hajui kam kuna rufaa na ilishafutwa

  • @sebastianmusyebi-yv1hm
    @sebastianmusyebi-yv1hm 2 місяці тому

    Makonda msela hyu lazma mnyooke tu

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 2 місяці тому

    Mwanasheria wa halmashauri yupo vzuri sana sana ila arrogance ya mkuu wa mkoa Inamnyima fursa ya kujieleza. Hii style pia inawaweka watendaji wa serikali mfano huyo dada ktk hatari ya kuumizwa na wadai kwa kudhani kuwa ndiye kikwazo cha wao kulipwa. Ni style inayodhalilisha taaluma na kubagaza utu wa mtu. Hii mambo ilipaswa ifanyike ktk vikao vya ndani na maamuzi yaletwe hadharani kwa njia ya hekima zaidi.

  • @MafuvuMabrucky
    @MafuvuMabrucky 2 місяці тому

    Kwanini makonda usije kigoma? Hasa wilaya yakasulu viongozi wote nibutu...

  • @MafuvuMabrucky
    @MafuvuMabrucky 2 місяці тому

    Kwanini makonda using mkoa wakigoma?.. kwetu kunaviongozi butu.. Hasa wilaya yakasulu...

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i 2 місяці тому

    Kimbolo ndonilicho kikalili tu

  • @GeraldBahegwa-rn3vb
    @GeraldBahegwa-rn3vb 2 місяці тому

    Ukiacha makandokando yote ya makonda, kuhusu siasa huyu ndiye kiongozi anayetakiwa tanzania, please apewe ulinzi wa kutosha.

  • @user-ge6nr9hm1w
    @user-ge6nr9hm1w 2 місяці тому

    Sawa mkuu ukwelii ukoo huruu

  • @TheothimePastory
    @TheothimePastory 2 місяці тому

    Bado hamjasema,

  • @benedictntilla6943
    @benedictntilla6943 2 місяці тому

    Wapi amembana kama siyo kumkatisha asiongee? Sioni kama Makonda ana hoja ya maana zaidi ubabe upumbavu mtupu

  • @mashakamgendi8082
    @mashakamgendi8082 2 місяці тому

    Makonda piga kaz

  • @MargaretImali-oe9yr
    @MargaretImali-oe9yr 2 місяці тому

    Muna sumbua huyo mwana dada hata Kani wewe huwezi kumbuka mambo.yote jemeni samahani

  • @janethkilaza1387
    @janethkilaza1387 2 місяці тому

    Huyu mweshimiwa alitakiwa aje moshi

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 2 місяці тому

    Yani hawa watendaji bwana walio wengi niwapuuzi sana hawafanyi kazi kazi nikuingia Esta na kufatilia upuuzi nakuuliza wauza vitu hibei gani hii bei gani nahawanunui mm nafatilia kiwanja mwaka wa 3 sasa tangu mwezi wa1 mwakahuu naambiwa nitaitwa na siitwi

  • @RichardLyamuya
    @RichardLyamuya 2 місяці тому

    Hizo nafasi mliwapaje watu hao ?Mbona uwezo wa kufanya kazi hawana ?

  • @enezaeliakyoo2086
    @enezaeliakyoo2086 2 місяці тому

    Mwanasheria Hana shida mkuu Wa mkoa angetakiwa ampe nafasi huru ya kujieleza

    • @derrickmbaku4768
      @derrickmbaku4768 2 місяці тому

      Acha ujinga wewe, mwanasheria amejieleza utumbo

    • @hildpaul7823
      @hildpaul7823 2 місяці тому

      ana shidah alitakiwa aseme watalipwa siikuu fulani; period kutetea halmashauri

    • @isayaanthon7063
      @isayaanthon7063 2 місяці тому

      Ss kama halmashauri haina uwezo wa kulipa je.

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Місяць тому

      Hata akipewa siku nzima hawez kujieleza

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 2 місяці тому +1

    Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 2 місяці тому +1

    Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu

  • @mwanaidhassan6170
    @mwanaidhassan6170 2 місяці тому

    Kiongozi wa Wanyonge simamia haki Baba uko maofusini acheni rushwa dhulma hai dumuu