MOYO WA CHUMA PART 7 FINAL

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 чер 2024
  • #frp #fry #fyp ytviral #1000subscriber #foryourpage #1mviews #snakeboy #bollywood #youtube #amapiano #mkojani #kivyere #clamvevo #bestfriend #bigboss #mzimu #kicheche #kichechecomedy #lambalamba #kpnazebuu #bintinyoka #stevemweusi #mwanafunzi #mchawi #bongomovie #bongotrend #newvideo #bongoseries #newseries2023 #newmovie2023 #newfilm #tanzania #zakichawi #zamajini #zamapenzi #zashule #shortvideo #shortmovies #school #directorgozi #directorgozi #dontatv #dadawakazi #kijanatajiri #penzi #sanura #majini #indianblogger #eastafricasocialtv #shadowtv #doko #mwakatobe #chumvinyingi #babajoan

КОМЕНТАРІ • 518

  • @alinassor391
    @alinassor391 18 днів тому +3

    Pole sana kwa kuondokewa na baba m.mungu amjalie kila la kheri ktk sfr yke amsamehe makosa yke amiin amiin

  • @KephaRobert
    @KephaRobert 27 днів тому +6

    Pole sana Mr Gozi kwa msiba 😭😭😭

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 27 днів тому +3

    Pole sana Gozi Allah akupe subra kwa kipindi hiki kigumu unacho pitia Bi strong 💪 mtu wangu😢😢😢😊😊😊

  • @bahatirose7659
    @bahatirose7659 26 днів тому +2

    😢😢 POLE SANA KWA KUFIWA NA MZAZI ILA PIA TUNAFURAI KWA TUAIDI KWAMBA UTALETA SEASON 2 maana ulikuwa usha tuacha pabaya sana Asana tunania ya kumuona chado kipi kimemkuta 😂😂😂😂

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 27 днів тому +1

    Duh jamani muna chelewesha muendelezo mno. Anyways hongereni

  • @user-ur1hz6jc7c
    @user-ur1hz6jc7c 7 днів тому

    Pole saana mzee baba kwa kuondikewa na mzee wako
    Piah MUNGU AKUPE hekima na busara uendelee kutoa kaz nzur pamoja mzee baba

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 27 днів тому +1

    Wah kama namuona hanifa wangu😂😂😂 jaman mnajua sana kubeba uhusika ❤❤❤😊😊😊🎉🎉🎉

  • @user-pr4ir6fe4y
    @user-pr4ir6fe4y 27 днів тому +10

    nice movie inapendeza 2nasubili kazi zingine kwa hamu

  • @evelnjuma1834
    @evelnjuma1834 27 днів тому +2

    Pole sana chado mwenyezi mungu akupe nguvu ujasili na amani pole sana❤🇹🇿

  • @user-ew2hm1qb7p
    @user-ew2hm1qb7p 27 днів тому +2

    Pole sana Mwenyez Mungu awatie nguvu kwa kuonfokewa na mpendwa wenu.

  • @EdwardCharles-hm4fz
    @EdwardCharles-hm4fz 20 днів тому

    Picha nzuri sana Gozi Pole kwa kumpoteza Baba Mwenyeziungu akutie nguvu na moyo wenye uvumilivu

  • @user-zm8wo1ue7e
    @user-zm8wo1ue7e 27 днів тому +2

    Inalilah wainalilah rajuun Pole saaaaan bro ,,, mung akupe nguvu

  • @MasiNguma
    @MasiNguma 26 днів тому +2

    🙏🙏pole sna gozi kwa kupoteza babako mungu akupe nguvu kwa wakati huu mungu

  • @NuruKasim-nz1fc
    @NuruKasim-nz1fc 27 днів тому +22

    Pole sanà Gozi mungu akupe faraja na pia pongezi Kwa kazi nzuri

    • @directorgozi5509
      @directorgozi5509  27 днів тому +3

      🙏🙏🙏

    • @user-qp4mk5gu6u
      @user-qp4mk5gu6u 26 днів тому

      Pole sana kakq goz Allah akupe ujasi akufanyiebwepesi kwakila zito linalo kufikai​@@directorgozi5509

    • @sharifamohd3857
      @sharifamohd3857 26 днів тому

      dah pole sana gozz wetu mungu akuzidishie moyo wa subra na hongera mchezo ni mzuri sana

    • @SwaaumuRashid
      @SwaaumuRashid 23 дні тому

      Nicheki tufanye kaz

    • @directorgozi5509
      @directorgozi5509  23 дні тому

      @@SwaaumuRashid nakucheki vipi🤔

  • @MamadembeleLadouce
    @MamadembeleLadouce 27 днів тому +1

    Pol 😢 sana Gozi

  • @jamalalfereabdulcarimo1011
    @jamalalfereabdulcarimo1011 27 днів тому +1

    Pole Sana Gozi. Sisi sote niwaja wa mungu mungu akimwitaji mja wake ananchukuwa. Pole sana

  • @user-ie8om7kh5w
    @user-ie8om7kh5w 27 днів тому +1

    Poleni sana Gozi kwa kupoteza baba mungu aiweke roho yake pahali pema na apumzike kwa amani😢😢😢😢😢😢 much love from kenya congrats kwa kazi nzuri twaingoja season ya pili❤❤🎉🎉

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 26 днів тому

    Ongera gozi kuna chakujifunza hpa ❤❤Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😊 Walaikmuslm,Wah polen wana familia mungu awape subra nyote mlio fikwa na msiba 🤲🤲

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1w 27 днів тому +1

    Pole cn gozi kz yamungu Aina makona innalillah Rajiun

  • @user-oj1dv7ci1v
    @user-oj1dv7ci1v 21 день тому

    Daah pole sana napia umejitahidi sana NAKUPENDA kwakazi nzurii

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 27 днів тому +1

    Nimefuraaahi sana walivosameheana kama Kweli vile 😊,lla pole sana kwa kumpoteza baba,sisi sote ni waja wake na kwake tutarejea,.

  • @QueenbethPetter
    @QueenbethPetter 27 днів тому +3

    pole sana bro tulikulaumu pasipo kujua pole

  • @Tito_mbugi
    @Tito_mbugi 27 днів тому +1

    pole sana kwa kuondokewa na mzazi wako,😢😢😢 mungu akupe nguvu ya kupambana zaid. na nisem bado tuko pamoja

  • @Kamoste
    @Kamoste 27 днів тому +1

    Hii imekuwa tamu sana❤❤nimeipenda chukua maua yako all the way from kenya 🇰🇪 254...nimehuzunika imeisha😢

  • @ezekielmingaranakivuyo6279
    @ezekielmingaranakivuyo6279 23 дні тому

    Pole sana gozi mungu akufariji na akutiye nguvu na mungu amlaze mahala pema peponi babayetu mzazi

  • @zaitunimwandetele4400
    @zaitunimwandetele4400 27 днів тому +1

    Inna Lilah wa Inna Lilah Raji un hakikaka sis n wake n kwake tutalejea apumzike kwa aman baba,n honger pia kwa kipaji japo umepitia changamoto ngumu kwenye hii move

  • @user-uz6cw3wu7s
    @user-uz6cw3wu7s 11 днів тому

    Daaaah so sad news Pole sana rafiki yangu kwa kuondokewa Na Baba yako Mungu akawe mfariji kwenu.by the why Hongera sana kazi nzuri sana.

  • @user-it7dx1zs9y
    @user-it7dx1zs9y 27 днів тому +1

    Pole Sana goz kwa kuondokewa na baba yako

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l 27 днів тому +1

    Pole sana gozi mpendwa mungu akulinde

  • @BenditaRaly
    @BenditaRaly 27 днів тому +3

    Pole Sana kaka mungu akutie nguvu

  • @MwajuJuma
    @MwajuJuma 27 днів тому +1

    Inna lillah pole sana gozi kwa msiba wa mzee wetu allah akupe moyo wa subra katika kipindi hichi gimu na hongera sana kwa kazi nzuri

  • @Fedda258
    @Fedda258 27 днів тому +3

    Pole Sana kaka
    Tunaisuburi season 2 ya moyo wa chuma. Shabiki yako Niko🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 27 днів тому

    Hongeren sana ❤chado umeumbuka.poleni sana kwakumpoteza baba

  • @Zubeda-zx7wt
    @Zubeda-zx7wt 23 дні тому

    Pole sana gozi kwakimupoteza baba yako Ila nagupongeza sana kwa kazi ilikuwa nzuri kabx from🇧🇮🇧🇮🇧🇮 chukraan kwamafunzo!!

  • @user-xm2wm2oc5w
    @user-xm2wm2oc5w 27 днів тому +2

    pole sana gozi kwa kumpoteza Baba

  • @NillyNilly-fm5pw
    @NillyNilly-fm5pw 26 днів тому

    Kweli mapenzi inatawala .. ngozi kutoka nianze kuona series zako sijawai ona ukiwa umefall inlove laki hii series iko top ❤❤ nakupeda sana kutoke 🇰🇪 kenya ... na pole sana kwa kupoteza baba . Roho yake ipumzike mahali pema peponi .. ❤

  • @user-kl5ov4pj8c
    @user-kl5ov4pj8c 25 днів тому

    Pole Sana Gozi Kwa Kufiwa Na Baba yako.Mwenye Ezi Mungu Akupe Moyo wa Subra.Na Hongera kwa Kazi Nzur Kaka.

  • @BadySmoke
    @BadySmoke 27 днів тому +2

    Pole sana kaka

  • @mbaroukmbarouk-lr7rx
    @mbaroukmbarouk-lr7rx 7 днів тому

    kazi nzuri brother mafunzo mengi sana

  • @DhaMasta
    @DhaMasta 4 дні тому

    Aqui Chamado Dha Masta Só Moçambicano 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Vive Província de Cabo Delgado Cidade de Montepuez Ruby Mining, Querias Dizer que gostei muito de essas filmes mais força 💪

  • @user-cr8cs2qc8f
    @user-cr8cs2qc8f 26 днів тому

    Daaah😢. innalillahi wainna ilaihi rajiun,pole san gozi wetu mungu akupe nguvu zaid.pole sana aisee.mungu ailaze roh yake mahl pema🤲🤲🤲🤲🤲

  • @user-xu5yl1ut5i
    @user-xu5yl1ut5i 17 днів тому

    Pole Sana gozi kwa msiba. Napiga nakupa maua yako kwa kazi zuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @charydnasey9678
    @charydnasey9678 27 днів тому

    Pole sana gozi Mungu ailaze roho ya baba mahali pema😭😭na pia pongezi kwa kazi nzuri moyo wa chuma inamafunzo nzuri sana❤❤natokea kenya 🇰🇪

  • @user-cb1xx5bl5m
    @user-cb1xx5bl5m 27 днів тому

    Pole sanaaa director gozi mwenyezi mungu akupe uvumilivu na subra

  • @mabrouk565
    @mabrouk565 27 днів тому +2

    Kaka msiba wa kwetu wote bro pole sana ndugu yangu Allah ampe kauli sabit

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 27 днів тому

    😭😭💕pole sana kaka GOZI mungu akupe ufumilifu .tumeipenda sana kasi yako mbarikiwe

  • @MatambishiBaila
    @MatambishiBaila 26 днів тому

    Poleee sana kwamusimba
    Nikupe hongera sanna na mungu awalinde naawape hisiya kali pamoja na chando

  • @jamesnokwe3650
    @jamesnokwe3650 27 днів тому

    Mungu awe nawe katika hiki kipindi kigumu unachopita naipenda kazi yako mm Niko mkoa wa Mara lakin nafuatilia kazi zako God bless you

  • @user-di1ix3ol7w
    @user-di1ix3ol7w 27 днів тому

    Pole sana kwa kumpoteza baba.pamoja toka 🇰🇪 twasubiri kaz ingine

  • @MaryamMaryam-ru1qt
    @MaryamMaryam-ru1qt 23 дні тому

    Pole. Xna brooo na ninakupa pongez xna kwa kaz yako sisi team strong 2po mbli lkn 2nakupa pongez xna kwa kaz nzurr allah akujalie ufanikiwe

  • @abuuhamda6213
    @abuuhamda6213 27 днів тому +1

    Pole sana bro Allah amfanyie wepes huko aliko

  • @josephelemash
    @josephelemash 27 днів тому +3

    Pole kWa kumpotezaa Baba. MUNGU AWatie Moyo.

  • @philipogabriel6056
    @philipogabriel6056 26 днів тому

    Pole sana kijana Mungu akupe faraja ktk kipindi hiki kigum tuko na wewe lete kazi mpya sisi ni wadau wako kiindak ndiki

  • @ernestmwakalambo3938
    @ernestmwakalambo3938 27 днів тому +2

    Pole sana kaka Gozi Mungu akupe moyo wa uvumilivu katika kipnd hiki kigum , Mungu ampumzishe kwa aman mzee.

  • @mrben227
    @mrben227 26 днів тому

    Kazi kubwa Sana gozi kk I really appreciate your work 🙏 mungu akupe umri mrefu kwenye maisha yko Ili uzidi kufanya makubwa,,pia pole kwa kuondokewa na mzee mungu akutie katika kipindi hik kigumu

  • @PaulGitua
    @PaulGitua 27 днів тому +2

    Pole sana kinara Gozi kwa yaliyo tokea, mungu akupe faraja kwa wakati huu kiongozi wetu.

  • @MwinulaCharles
    @MwinulaCharles 27 днів тому +1

    pole sana kk gozi mungu akutie nguvu kk na kukumbali sana kk

  • @user-tu2gy8mr7u
    @user-tu2gy8mr7u 27 днів тому +2

    Pole sana gozi hongera pia kwa ujasili

  • @user-jo3dz6xh7v
    @user-jo3dz6xh7v 17 годин тому

    Pole sana bro goz nakubali kaz zako

  • @StanslausMapunda-hw1gd
    @StanslausMapunda-hw1gd 26 днів тому

    pole sana director gozi Kwa kufiwa na mzee mungu akutie nguvu ktk kazi zako.mimi ni shabiki Yako mkubwa

  • @calebomariba-we3yk
    @calebomariba-we3yk 25 днів тому

    Mungu halaze roho yake mahali pema peponi n pia asanteni sana Kwa kazi nzuri niko imara kungoja season 2

  • @SofiaMussa-be6cy
    @SofiaMussa-be6cy 27 днів тому +4

    Pole San broo mungu akmpe kauli thabit n akusmamie katk kazi zko appreciate 🫡🥰

  • @user-xn2uq3bs2g
    @user-xn2uq3bs2g 27 днів тому

    daa kaka gozi pole sana kwa msiba mungu akutie guvu pole sana

  • @jovithatibatekeleza6598
    @jovithatibatekeleza6598 27 днів тому +4

    Pole sana Gozi Mungu amlaze mahali pema peponi mzee

  • @AsmaHassan-eb8pl
    @AsmaHassan-eb8pl 26 днів тому

    INALILLAH WAINNA ILAH RAJIU'N 😢 pole sana kaka angu utakua Sawa tu Allah akufanyie wepesi Ameen🤲. Ata hivyo kazi ni nzur sana🥰

  • @user-lc4ew7xd4i
    @user-lc4ew7xd4i 27 днів тому +1

    Pole sana gozi mungu yupo nawe

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 25 днів тому

    Pole sana gozi kwa kuondokewa na mzee wetu mungu ampumzishe mahari pema amen

  • @AbdallahIddy-s6w
    @AbdallahIddy-s6w 10 днів тому

    Pore sana kaka mungu akuogeze kwenye wakati mgum kaka kazi ninzur

  • @liwazaomary106
    @liwazaomary106 27 днів тому

    Wapi chado mwisho wa ubaya aibu)pole sana Gozi kwa kuondokewa na mzazi

  • @user-tf2kr5hv7z
    @user-tf2kr5hv7z 27 днів тому +1

    Hongera sana got kwa move hii hadi mwisho ila Pole sana kwa kuondokewa na mzaz wako

  • @PaulJuma-zz7em
    @PaulJuma-zz7em 27 днів тому

    piga up Sasa, Cha msingi kaza budi maan bunafis nakubali sana unacho kifanya pamoja na changamoto nyingi za kazi, muumba wa mbingu na nchi akutie nguvu katika kazi ya mikono yako🙏

  • @everlinekenga437
    @everlinekenga437 27 днів тому

    Pole sana Gozi kwa kupoteza baba yko munga akutie nguvu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-cr4ku8jh4d
    @user-cr4ku8jh4d 26 днів тому

    Ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote pole san kaka angu❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂

  • @user-qt7qu3lr9u
    @user-qt7qu3lr9u 27 днів тому

    Pole sana gozi mungu akupe nguvu katika kipindi kigumu kwa kuondokewa na baba yako

  • @JonathanRichard-sh9zk
    @JonathanRichard-sh9zk 8 днів тому

    Pole Sana umenifanya niwe shabiki Yako mmoja Kwa mmoja 🙏❤️❤️

  • @ibrahimunicodemo2806
    @ibrahimunicodemo2806 26 днів тому

    pole sana.kijana mungu atawatia nguvu kipindi hichi kigumu

  • @Amina-Rshd
    @Amina-Rshd 26 днів тому

    Pole san kkngu Gozi kw kumpoteza baba yetu Allah alaze roho ya baba yetu 😭😭😭😭 mahal pema peponi Inshallah🙏🙏🙏

  • @tabithamwau5536
    @tabithamwau5536 26 днів тому

    Pole kwa kumpoteza baba na pongezi kwa kazi nzuri, nimekuwa nikifuatilia sana moyo wa chuma

  • @user-ee1ml6pp8b
    @user-ee1ml6pp8b 26 днів тому

    Love U gozzzzzz,, kazi nzuri sanaaa,, ila pole sana Kwa kumpoteza Mzazi wako,,, hongera sanaaaa

  • @ininahazwedaniella7948
    @ininahazwedaniella7948 27 днів тому +1

    Pol sana kaka angu utupe nyingine🎉🎉🎉🎉❤

  • @user-qq1kt3hg1l
    @user-qq1kt3hg1l 27 днів тому +1

    Asanteni sana kazi nzuri hii gozi tuletee nyengine

  • @MwanahamisSeifu
    @MwanahamisSeifu 27 днів тому

    Polee sana gozi M/Mungu ampunguzie hadhabu ya kabri baba etu

  • @user-sx8rn1jr5c
    @user-sx8rn1jr5c 3 дні тому

    Safi Sana kaka gozi kazi nzuri

  • @MkasyswallehsaidSwalleh
    @MkasyswallehsaidSwalleh 25 днів тому

    Pole gozi ndivyo kiduni...na Asante kwa kz yko nzuri mungu akufanyie wepesi ktk wakati huu mgu😢❤❤

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 26 днів тому

    Kazi nzuri from Oman brother kozi imekwisha vizuri iyi movie ya moyo wa chuma

  • @mkumbwatv8087
    @mkumbwatv8087 27 днів тому +2

    Pole Sanaa GOZI Kwa kumpoteza baba

  • @user-bs7oe7pd8o
    @user-bs7oe7pd8o 27 днів тому +4

    pole sana na Mungu akawe mfariji wenu ktk nyakati hizi ngumu za majonzi

  • @user-xc4tn4lu7t
    @user-xc4tn4lu7t 26 днів тому

    Pole sana kwa kufiwa na mzee kazi ya mungu haina makosa mwenyezi mungu akutie nguvu kipindi hichi 😢

  • @LilianLilian-bx1ec
    @LilianLilian-bx1ec 19 днів тому

    Pole Sana Mr gozi kikubwa muombee apumzike kwa Amani na hongera pia kwa kazi nzur

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 27 днів тому

    Pole sana G kwa kuondokewa na mzee wako,,,..Kiukweli mmeitendea haki hii series pamoja na changamoto ulizokutana nazo ongera nyingi sana 🎉🎉🎉.

  • @KhadijaSaid-vj9kh
    @KhadijaSaid-vj9kh 23 дні тому

    Pole sn kaka mungu akusimamie vyema na akufanyie wepes na awape subra ktk hili

  • @HalimaSharifu-in7tl
    @HalimaSharifu-in7tl 26 днів тому

    Pole sana gozi mungu akupe faraja na pia pongez Kwa kazi yako nzr

  • @EzraBoboloy
    @EzraBoboloy 24 дні тому

    Pole sana kaka Gozi Mungu akutie nguvu kwahuyu wakati mugumu ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @user-tc5le7sv7t
    @user-tc5le7sv7t 25 днів тому

    Walaikum msalam innalilah wainnaillah rajiuni 😭 pole san kaka Mungu amlehemu mzee wetu ina asante sana kwa kazi nzuri mashaallah Mungu akubaliki sana buroo ❤❤❤

  • @user-mc9tc8og6e
    @user-mc9tc8og6e 26 днів тому

    Pole sana ila kaz ya mungu haina makosa mungu akutie nguvu utuletee nyinginw

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 26 днів тому +1

    Pole sana kaka kwakufiwa na baba

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u 18 днів тому

    Pole sana kaka umepata msibakubwa pole sana Alla alaze roho yake pahala pema baba

  • @williammutoni
    @williammutoni 27 днів тому

    Inna Lilah wa Inna Irah Rajiun Gozi pole sana Kaka Kazi ya Mungu haina makosa

  • @liz77941
    @liz77941 27 днів тому +1

    Sorry for the loss my condolences to you Gozi and the entire family. It's not easy but with God it's well . May Almighty console your souls.

  • @user-vu6wk7bt5y
    @user-vu6wk7bt5y 21 день тому

    Pole Sana kaka angu Allah akupe subra kwa kipindi hiki kigumu unachopitia jua tu kama tunakupenda sana❤