MOYO WA CHUMA PART 7 FINAL
Вставка
- Опубліковано 12 чер 2024
- #frp #fry #fyp ytviral #1000subscriber #foryourpage #1mviews #snakeboy #bollywood #youtube #amapiano #mkojani #kivyere #clamvevo #bestfriend #bigboss #mzimu #kicheche #kichechecomedy #lambalamba #kpnazebuu #bintinyoka #stevemweusi #mwanafunzi #mchawi #bongomovie #bongotrend #newvideo #bongoseries #newseries2023 #newmovie2023 #newfilm #tanzania #zakichawi #zamajini #zamapenzi #zashule #shortvideo #shortmovies #school #directorgozi #directorgozi #dontatv #dadawakazi #kijanatajiri #penzi #sanura #majini #indianblogger #eastafricasocialtv #shadowtv #doko #mwakatobe #chumvinyingi #babajoan
Pole sana kwa kuondokewa na baba m.mungu amjalie kila la kheri ktk sfr yke amsamehe makosa yke amiin amiin
Pole sana Mr Gozi kwa msiba 😭😭😭
Pole sana Gozi Allah akupe subra kwa kipindi hiki kigumu unacho pitia Bi strong 💪 mtu wangu😢😢😢😊😊😊
😢😢 POLE SANA KWA KUFIWA NA MZAZI ILA PIA TUNAFURAI KWA TUAIDI KWAMBA UTALETA SEASON 2 maana ulikuwa usha tuacha pabaya sana Asana tunania ya kumuona chado kipi kimemkuta 😂😂😂😂
Duh jamani muna chelewesha muendelezo mno. Anyways hongereni
Pole saana mzee baba kwa kuondikewa na mzee wako
Piah MUNGU AKUPE hekima na busara uendelee kutoa kaz nzur pamoja mzee baba
Wah kama namuona hanifa wangu😂😂😂 jaman mnajua sana kubeba uhusika ❤❤❤😊😊😊🎉🎉🎉
nice movie inapendeza 2nasubili kazi zingine kwa hamu
Pole sana chado mwenyezi mungu akupe nguvu ujasili na amani pole sana❤🇹🇿
Pole sana Mwenyez Mungu awatie nguvu kwa kuonfokewa na mpendwa wenu.
Picha nzuri sana Gozi Pole kwa kumpoteza Baba Mwenyeziungu akutie nguvu na moyo wenye uvumilivu
Inalilah wainalilah rajuun Pole saaaaan bro ,,, mung akupe nguvu
🙏🙏pole sna gozi kwa kupoteza babako mungu akupe nguvu kwa wakati huu mungu
Pole sanà Gozi mungu akupe faraja na pia pongezi Kwa kazi nzuri
🙏🙏🙏
Pole sana kakq goz Allah akupe ujasi akufanyiebwepesi kwakila zito linalo kufikai@@directorgozi5509
dah pole sana gozz wetu mungu akuzidishie moyo wa subra na hongera mchezo ni mzuri sana
Nicheki tufanye kaz
@@SwaaumuRashid nakucheki vipi🤔
Pol 😢 sana Gozi
Pole Sana Gozi. Sisi sote niwaja wa mungu mungu akimwitaji mja wake ananchukuwa. Pole sana
Poleni sana Gozi kwa kupoteza baba mungu aiweke roho yake pahali pema na apumzike kwa amani😢😢😢😢😢😢 much love from kenya congrats kwa kazi nzuri twaingoja season ya pili❤❤🎉🎉
Ongera gozi kuna chakujifunza hpa ❤❤Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😊 Walaikmuslm,Wah polen wana familia mungu awape subra nyote mlio fikwa na msiba 🤲🤲
Pole cn gozi kz yamungu Aina makona innalillah Rajiun
Daah pole sana napia umejitahidi sana NAKUPENDA kwakazi nzurii
Nimefuraaahi sana walivosameheana kama Kweli vile 😊,lla pole sana kwa kumpoteza baba,sisi sote ni waja wake na kwake tutarejea,.
pole sana bro tulikulaumu pasipo kujua pole
pole sana kwa kuondokewa na mzazi wako,😢😢😢 mungu akupe nguvu ya kupambana zaid. na nisem bado tuko pamoja
Hii imekuwa tamu sana❤❤nimeipenda chukua maua yako all the way from kenya 🇰🇪 254...nimehuzunika imeisha😢
Pole sana gozi mungu akufariji na akutiye nguvu na mungu amlaze mahala pema peponi babayetu mzazi
Inna Lilah wa Inna Lilah Raji un hakikaka sis n wake n kwake tutalejea apumzike kwa aman baba,n honger pia kwa kipaji japo umepitia changamoto ngumu kwenye hii move
Daaaah so sad news Pole sana rafiki yangu kwa kuondokewa Na Baba yako Mungu akawe mfariji kwenu.by the why Hongera sana kazi nzuri sana.
Pole Sana goz kwa kuondokewa na baba yako
Pole sana gozi mpendwa mungu akulinde
Pole Sana kaka mungu akutie nguvu
Inna lillah pole sana gozi kwa msiba wa mzee wetu allah akupe moyo wa subra katika kipindi hichi gimu na hongera sana kwa kazi nzuri
Pole Sana kaka
Tunaisuburi season 2 ya moyo wa chuma. Shabiki yako Niko🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hongeren sana ❤chado umeumbuka.poleni sana kwakumpoteza baba
Pole sana gozi kwakimupoteza baba yako Ila nagupongeza sana kwa kazi ilikuwa nzuri kabx from🇧🇮🇧🇮🇧🇮 chukraan kwamafunzo!!
pole sana gozi kwa kumpoteza Baba
Kweli mapenzi inatawala .. ngozi kutoka nianze kuona series zako sijawai ona ukiwa umefall inlove laki hii series iko top ❤❤ nakupeda sana kutoke 🇰🇪 kenya ... na pole sana kwa kupoteza baba . Roho yake ipumzike mahali pema peponi .. ❤
Pole Sana Gozi Kwa Kufiwa Na Baba yako.Mwenye Ezi Mungu Akupe Moyo wa Subra.Na Hongera kwa Kazi Nzur Kaka.
Pole sana kaka
kazi nzuri brother mafunzo mengi sana
Aqui Chamado Dha Masta Só Moçambicano 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Vive Província de Cabo Delgado Cidade de Montepuez Ruby Mining, Querias Dizer que gostei muito de essas filmes mais força 💪
Daaah😢. innalillahi wainna ilaihi rajiun,pole san gozi wetu mungu akupe nguvu zaid.pole sana aisee.mungu ailaze roh yake mahl pema🤲🤲🤲🤲🤲
Pole Sana gozi kwa msiba. Napiga nakupa maua yako kwa kazi zuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Pole sana gozi Mungu ailaze roho ya baba mahali pema😭😭na pia pongezi kwa kazi nzuri moyo wa chuma inamafunzo nzuri sana❤❤natokea kenya 🇰🇪
Pole sanaaa director gozi mwenyezi mungu akupe uvumilivu na subra
Kaka msiba wa kwetu wote bro pole sana ndugu yangu Allah ampe kauli sabit
😭😭💕pole sana kaka GOZI mungu akupe ufumilifu .tumeipenda sana kasi yako mbarikiwe
Poleee sana kwamusimba
Nikupe hongera sanna na mungu awalinde naawape hisiya kali pamoja na chando
Mungu awe nawe katika hiki kipindi kigumu unachopita naipenda kazi yako mm Niko mkoa wa Mara lakin nafuatilia kazi zako God bless you
Pole sana kwa kumpoteza baba.pamoja toka 🇰🇪 twasubiri kaz ingine
Pole. Xna brooo na ninakupa pongez xna kwa kaz yako sisi team strong 2po mbli lkn 2nakupa pongez xna kwa kaz nzurr allah akujalie ufanikiwe
Pole sana bro Allah amfanyie wepes huko aliko
Pole kWa kumpotezaa Baba. MUNGU AWatie Moyo.
Pole sana kijana Mungu akupe faraja ktk kipindi hiki kigum tuko na wewe lete kazi mpya sisi ni wadau wako kiindak ndiki
Pole sana kaka Gozi Mungu akupe moyo wa uvumilivu katika kipnd hiki kigum , Mungu ampumzishe kwa aman mzee.
Kazi kubwa Sana gozi kk I really appreciate your work 🙏 mungu akupe umri mrefu kwenye maisha yko Ili uzidi kufanya makubwa,,pia pole kwa kuondokewa na mzee mungu akutie katika kipindi hik kigumu
Pole sana kinara Gozi kwa yaliyo tokea, mungu akupe faraja kwa wakati huu kiongozi wetu.
pole sana kk gozi mungu akutie nguvu kk na kukumbali sana kk
Pole sana gozi hongera pia kwa ujasili
Pole sana bro goz nakubali kaz zako
pole sana director gozi Kwa kufiwa na mzee mungu akutie nguvu ktk kazi zako.mimi ni shabiki Yako mkubwa
Mungu halaze roho yake mahali pema peponi n pia asanteni sana Kwa kazi nzuri niko imara kungoja season 2
Pole San broo mungu akmpe kauli thabit n akusmamie katk kazi zko appreciate 🫡🥰
daa kaka gozi pole sana kwa msiba mungu akutie guvu pole sana
Pole sana Gozi Mungu amlaze mahali pema peponi mzee
🙏🙏🙏
INALILLAH WAINNA ILAH RAJIU'N 😢 pole sana kaka angu utakua Sawa tu Allah akufanyie wepesi Ameen🤲. Ata hivyo kazi ni nzur sana🥰
Pole sana gozi mungu yupo nawe
Pole sana gozi kwa kuondokewa na mzee wetu mungu ampumzishe mahari pema amen
Pore sana kaka mungu akuogeze kwenye wakati mgum kaka kazi ninzur
Wapi chado mwisho wa ubaya aibu)pole sana Gozi kwa kuondokewa na mzazi
Hongera sana got kwa move hii hadi mwisho ila Pole sana kwa kuondokewa na mzaz wako
piga up Sasa, Cha msingi kaza budi maan bunafis nakubali sana unacho kifanya pamoja na changamoto nyingi za kazi, muumba wa mbingu na nchi akutie nguvu katika kazi ya mikono yako🙏
Pole sana Gozi kwa kupoteza baba yko munga akutie nguvu🙏🙏🙏🙏🙏
Ongereni sana wapenz kwazi yen zuri sana mubarikiwe wote pole san kaka angu❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Pole sana gozi mungu akupe nguvu katika kipindi kigumu kwa kuondokewa na baba yako
Pole Sana umenifanya niwe shabiki Yako mmoja Kwa mmoja 🙏❤️❤️
pole sana.kijana mungu atawatia nguvu kipindi hichi kigumu
Pole san kkngu Gozi kw kumpoteza baba yetu Allah alaze roho ya baba yetu 😭😭😭😭 mahal pema peponi Inshallah🙏🙏🙏
Pole kwa kumpoteza baba na pongezi kwa kazi nzuri, nimekuwa nikifuatilia sana moyo wa chuma
Love U gozzzzzz,, kazi nzuri sanaaa,, ila pole sana Kwa kumpoteza Mzazi wako,,, hongera sanaaaa
Pol sana kaka angu utupe nyingine🎉🎉🎉🎉❤
Asanteni sana kazi nzuri hii gozi tuletee nyengine
Polee sana gozi M/Mungu ampunguzie hadhabu ya kabri baba etu
Safi Sana kaka gozi kazi nzuri
Pole gozi ndivyo kiduni...na Asante kwa kz yko nzuri mungu akufanyie wepesi ktk wakati huu mgu😢❤❤
Kazi nzuri from Oman brother kozi imekwisha vizuri iyi movie ya moyo wa chuma
Pole Sanaa GOZI Kwa kumpoteza baba
pole sana na Mungu akawe mfariji wenu ktk nyakati hizi ngumu za majonzi
Pole sana kwa kufiwa na mzee kazi ya mungu haina makosa mwenyezi mungu akutie nguvu kipindi hichi 😢
Pole Sana Mr gozi kikubwa muombee apumzike kwa Amani na hongera pia kwa kazi nzur
Pole sana G kwa kuondokewa na mzee wako,,,..Kiukweli mmeitendea haki hii series pamoja na changamoto ulizokutana nazo ongera nyingi sana 🎉🎉🎉.
Pole sn kaka mungu akusimamie vyema na akufanyie wepes na awape subra ktk hili
Pole sana gozi mungu akupe faraja na pia pongez Kwa kazi yako nzr
Pole sana kaka Gozi Mungu akutie nguvu kwahuyu wakati mugumu ❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Walaikum msalam innalilah wainnaillah rajiuni 😭 pole san kaka Mungu amlehemu mzee wetu ina asante sana kwa kazi nzuri mashaallah Mungu akubaliki sana buroo ❤❤❤
Pole sana ila kaz ya mungu haina makosa mungu akutie nguvu utuletee nyinginw
Pole sana kaka kwakufiwa na baba
Pole sana kaka umepata msibakubwa pole sana Alla alaze roho yake pahala pema baba
Inna Lilah wa Inna Irah Rajiun Gozi pole sana Kaka Kazi ya Mungu haina makosa
Sorry for the loss my condolences to you Gozi and the entire family. It's not easy but with God it's well . May Almighty console your souls.
Pole Sana kaka angu Allah akupe subra kwa kipindi hiki kigumu unachopitia jua tu kama tunakupenda sana❤