Kazi nzuri nashauri TRC wawe makini sana na wachafuzi mtu akiwa na nguo chafu asiruhusiwe kuingia kwenye treni pia watoto wa shule hutembea na kaputura zilizovujia wino wa peni matakoni na kuachia rangi kwenye VitiTRC angalia hili pia.
Katika mabehewa yenye viwango yaliyoletwa Tanzania ni haya ,naipongeza Serikali ya mh Samia kwa hiki ninachokiona ,ila ninashauri kutanua usafiri wa treni za daladala ndani ya Dar kwa route za Gerezani ,Ubungo ,Kimara ,Mbezi hadi Kibaha ,nyingine route ya Mbagala
Wee bwana kabla hayajaja ulidhania siku moja tungekuwa nayo? Hata kama makuukuu ingekuwa rahisi sana basi tungekuwa nayo siku nyingi shukuru kwa hicho tulichopata angalau
Mbona katika kichwa cha habari mmeweka picture tofauti aisee mnapenda sana mambo ya uwongo uwongo
Bro unalalamika nn mbona vedio haidanganyi au we nikipofu
Kipofu mimi au wewe kuma la mama yako , kwasababu wewe mshamba kila kitu unachukulia poa poa mkundu wewe @@Ibrahmagesa_tz
Âa@@Ibrahmagesa_tz
Mimi wasiwasiwangu ni kwamba mnapambana sana lakini shidayangu ni kuhujumiwa na wenye mabasi
Kazi nzuri nashauri TRC wawe makini sana na wachafuzi mtu akiwa na nguo chafu asiruhusiwe kuingia kwenye treni pia watoto wa shule hutembea na kaputura zilizovujia wino wa peni matakoni na kuachia rangi kwenye VitiTRC angalia hili pia.
Katika mabehewa yenye viwango yaliyoletwa Tanzania ni haya ,naipongeza Serikali ya mh Samia kwa hiki ninachokiona ,ila ninashauri kutanua usafiri wa treni za daladala ndani ya Dar kwa route za Gerezani ,Ubungo ,Kimara ,Mbezi hadi Kibaha ,nyingine route ya Mbagala
Hongera sana jana nimepanda Kwa Mara ya pili nimefurahi sana
Ulipanda haya ya ghorofa au mengine
Wasafiri msije kuyachafua.mabehewa.Atakayechafua alipe faini tena kali.Tuende na wakati uchafu ni hatari😮
😂😂😅tumecheka wote hapa ofisini hii coment yako.. ahsante @gracekagoma
Mabehewa Mazuri sana Hongera Tanzania. Kuhusu Air Condition Madirisha Hayafunguki je bahati mbaya kama Aircondition imeharibika Safarini
As Si itakuwa Imeharibika!!😂
Kwenye ndege madirisha hayafunguki
Jamani TRC kwenye upande wa Rangi wanatuangusha kiukwel
Inakubeba rangi wew???
Yatapita kwenye maandaki na ulefu huo kwenda juu
Inapendeza sana
Mabasi ya Mwendokasi tuliambiwa hivyohivyo, tutaona muda utaongea
Inaanza lini kufanya kazi jmn,,miaka inaenda,,kama reli mpaka Kilosa mmemaliza,kwa nn isianze iwe inafka tuu kwa kuanzia mpka kilosa kule??
Kumbe ni malichakavu !? Yalishatumika kwenye oparetion ulaya Kwa mujibu wa maelezo ya ingenia
Sasa muhimu Cha kufanya ni kuzingatia usafi na kuyatunza yasiwe kama mabasi ya mwendo kasi
Pc yenyemmeweka inabendera ya usa simnadanganya hapo achen ujanja
Akina KATARAMA mtapata tabu sana
Sasa msijaze abiria kama panzi kama ni abiria 150 basi iwe hivyo na msizidishe bali ongezeni treni ziwe nyingi.
Haya mabehewa n mapya sheria yetu ya manunuzi inasemaje ? Mungu ibariki Afrika
Wee bwana kabla hayajaja ulidhania siku moja tungekuwa nayo? Hata kama makuukuu ingekuwa rahisi sana basi tungekuwa nayo siku nyingi shukuru kwa hicho tulichopata angalau
Haya yanafanya kazi wapi sasa
Mnatuchanganya tu
TV mbona hakuna
Kaziiendelee.
mabehewa sita tayari yamefika, kichwa kimoja kilisemekana kufika mwezi wa saba na sasa mwezi wa nane unakaribia kuisha, je wapi kichwa hicho?
Mwezi wa Nane upi unakaribia kuisha
Mbona TV hakuna
Utaangalia kwenye simu yako
🤣🤣🤣🤣 tv zipo nadhani hajazingatia vizur huyu mtazamaji