MSIKIE SHEKH MZIWANDA ALIPOMUHOJI SHEKH WALID ATUPE FAIDA KWANINI TUNAOA HADHARA YA SHINYANGA .

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 105

  • @abdullakhlaas4377
    @abdullakhlaas4377 3 роки тому +20

    MashaAllah sheikh Walid kunakitu chapekee Allah kakupa balagha, falsafaa sheikh unatunu nyingi sana Allah akihifadh inshaAllah

    • @ishaantitus7369
      @ishaantitus7369 3 роки тому

      you prolly dont give a shit but does someone know of a method to log back into an Instagram account..?
      I stupidly forgot the password. I would love any tricks you can offer me.

  • @SaidiSelemani-o9y
    @SaidiSelemani-o9y 2 місяці тому

    Sheikh walid MashaAllah Allah aendelee kukuhifadhi napenda sana darsa lako

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 3 роки тому +20

    Huyu Sheikh katulia sana nilikua sijawahi kumsikia nimevuna vitu vingi sana.Allah akuzidishie maarifa Sheikh

  • @jumaamsuya5
    @jumaamsuya5 Рік тому +2

    Mashekhe allaah awalinde nawapenda sanaa

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 3 дні тому

    Mashallah shehe walid alhadi nakupenda kwa ajili Allah

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Рік тому +1

    Nakupendaga sanaa shekh wangu unautuliv sana ktk mazungumzo yako

  • @mfaumekindamba8634
    @mfaumekindamba8634 3 роки тому +7

    Maashaallah M/mungu azidi kukusimamia sheikh bin sheikh tuzidi kustafidi inshaallah

  • @yussuflucas7049
    @yussuflucas7049 3 роки тому +8

    Masha Allah shukran Sana sheikh (Allah) akulipe kheri na akulinde nakila aina ya shari, na akujaalie umri mrefu wenye kheri nyingi na barka tele...!!!!

  • @rashidisalimu2222
    @rashidisalimu2222 Рік тому +1

    Maashaallaah swali zuri na limepata majibu yenyekujitosheleza na yanayo eleweka alla akuzidishie kheri shekh walid

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Рік тому +1

    Vipande vifupi kama hivi vya masheikh kustukizana kuulizana maswali muhimu kwa faida ya waumin viendelezwe..shukran sheik mziwanda kwa ubunifu

  • @fatumahamisi7064
    @fatumahamisi7064 2 роки тому +1

    Shukran Jazzeella shekh kwamwenye uelewa amekuelewa na mungi akujaalie ueleweke daimani .kwa kuelimisha umah

  • @fadhilplatnumz8474
    @fadhilplatnumz8474 Рік тому

    Shekhe yuko vizuri sana 👍 Kiongoz wetu wakiislam ktk Jijikuu Tanzania nimekukubali Mkuu kwanza uongeaji niwaki Heshma kwakilamtu Mdogo naMkubwa 🙏🙏👍

  • @nomamatata754
    @nomamatata754 Рік тому +5

    Mi mkristo lakini sheikh wa mkoa( kwa sasa) amejibu swali la sheikh mziwanda vizuri sana tena kwa utulivu sana.....kuna mengi nakubaliana nae .......afaa kuwa kiongozi mbele za watu pasipo kumhukumu kwa ubinafsi wake.....kila mtu ana mapungufu.......

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 3 роки тому +3

    MashaaAllah Mwenyez Mungu azidi kuwalinda na kuwapa maisha marefu masheikh na waislam wote

  • @aminamkumba3549
    @aminamkumba3549 Рік тому +2

    Mashaa Allah, tumepata sheikh lkn pia mwalimu, anafundisha vzr sana

  • @halimamkangama4966
    @halimamkangama4966 2 роки тому +2

    Sheikh walid alhad yuko vizuri sana

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 Рік тому +1

    MASHAALLAH. ALLAH KARIM. AKUTANGULIE KATIKA KILA JAMBO INSHAALLAH

  • @SulaimaniAlly
    @SulaimaniAlly 12 днів тому

    Allah amuhifadhi shekhe letu

  • @fatuma3969
    @fatuma3969 Рік тому

    Maashaaallh allh akulipe Kila lakher darasa nzuri sana nimejifuuza mengi

  • @سعدياقوت-ت2خ
    @سعدياقوت-ت2خ Рік тому

    Ma shaa allah sheikh mungu akuzidishie elimu na akuruzuku fahamu

  • @FatimaFatima-wz2qt
    @FatimaFatima-wz2qt Рік тому

    Mashalla shekhe Alla akupe umri mrefu inshaalla

  • @ZainabHassan-hz4no
    @ZainabHassan-hz4no 2 місяці тому

    Alla akupe bararaka nyingi apenda mafundisho unayotoa

  • @sammoses7479
    @sammoses7479 Рік тому

    Masha Allah, m/mungu akusimamie she wamkoa. Kwanasaha zako izoizo. Zenye haki

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Рік тому

    Jazaka Allah khaira shekh

  • @mfaumehassan3816
    @mfaumehassan3816 Рік тому +1

    Allah akbar

  • @aliamoursaid2581
    @aliamoursaid2581 Рік тому

    Alhamdulillah Allah amzidishie utulivu

  • @awadhtamla6989
    @awadhtamla6989 Рік тому

    Mashallaah

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Рік тому +2

    Mungu katuokoa na mengi kutuletea huyu walid jamani tuna muomba awe anatoa darsa kwa sana

  • @maimunaabdallah5304
    @maimunaabdallah5304 9 місяців тому

    ❤❤❤❤❤

  • @fatemaoman7948
    @fatemaoman7948 3 роки тому

    Barakallwahu fiik

  • @nurudinmaede5936
    @nurudinmaede5936 Рік тому

    Maaashaallah 🙏♥️

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 3 роки тому +1

    Alhamdulillah.

  • @dezainermedia1035
    @dezainermedia1035 3 роки тому

    Machallah

  • @issagawai3340
    @issagawai3340 3 роки тому

    mashaaallh

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 роки тому

    ماشاءالله

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid1843 Рік тому

    Mabruk walld

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling4738 3 роки тому

    Masha Allah

  • @dhamirkhamis9073
    @dhamirkhamis9073 3 роки тому

    Mashallah

  • @hamiddikupatile9055
    @hamiddikupatile9055 Рік тому

    Dakika ya 9 mashAllah

  • @omarykyutta6681
    @omarykyutta6681 3 роки тому

    My sheikh

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 2 роки тому +1

    🙏🙏🙏

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Рік тому +1

    Ndoa ni Ibada.

  • @umarbakar1694
    @umarbakar1694 3 роки тому +2

    Assalaam 'alaykum... Samahani naomba darsa ya arbaiina nawawiy kama ipo clip yake naomba nielekezwe nipate kustafidi. Jazaakumullahu khairan wao'afwa minkum.

  • @danielshekiyao706
    @danielshekiyao706 Рік тому +1

    Mimi SI muislamu ila huyu shehe Yuko vizuri

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 3 роки тому +1

    Mashaallah

  • @bernadj.6924
    @bernadj.6924 Рік тому

    Dawaaa

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 3 роки тому +4

    Hii hadhara inamashekhe wengi kuliko wanafunzi

  • @halimaally623
    @halimaally623 Рік тому

    Mwenyezimungu akupe afya njema umri mlefu wenye manufaa kwetu sote

  • @fatmazena8886
    @fatmazena8886 3 роки тому +1

    Ma Shaa Allah...sirudiiii

    • @umarbakar1694
      @umarbakar1694 3 роки тому +1

      Hurudii nini dada...

    • @fatmazena8886
      @fatmazena8886 3 роки тому +1

      @@umarbakar1694 nimeufuata tu usemi wa shekh pale aliposema sirudii

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 роки тому +1

    aslmh shekh ukirudiya inageukaaa maanaa itakuwa matusi

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 3 роки тому +1

    Cha chini na cha juu

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 роки тому +3

    Wanasema wamesharibiwa na mfumo/mpangomkakati (mission) uloasisiwa na Wamishionari kwa kupachika Demokrasia (haki sawa).
    Wanawake wamekuwa hawatulii majumbani wamekuwa wajasiriamali hivyo hawana muda (hawataki) wa kuolewa wanaona kuolewa ni utumwa/kupitwa na wakti.

    • @aminajuma1435
      @aminajuma1435 3 роки тому +1

      Lakini ukichunguza kwa undani hiyosababu chanzochake niwanaume ndowamepelekea wanawake kujiwekahivyo… wanaume wameumbwa kuwa viongozi lakini wengiwao hawajui wajibuwao kwenyehuo uongozi… naukizingatia kunaupungufu mkubwa wa elimu yadini ndomana inapelekea wanawake piakuwahivyo.

  • @pachawadoto5911
    @pachawadoto5911 Рік тому

    Mtuliiivu mwenyewe kajituliza...

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 3 роки тому +4

    Huyu shekhe anaelmu kubwa kuliko mashekhe wengne kasoma kenya kasoma tanga shamsi maarif kasoma Misri Kasoma makka

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 3 роки тому +2

      Namuonaga huyu Sheikh ana elimu nyingi sana na hatumii jazba anapoeleza au kufafanua jambo

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 3 роки тому +4

      ELIMU BAHARI NA ELIMU ANAYO LAKINI SIO KUSEMA KULIKO MASHEIKH WOTE

    • @kesslycompanyltd
      @kesslycompanyltd 3 роки тому +1

      @@Rolemodel_wa_taifa swadakta

    • @kesslycompanyltd
      @kesslycompanyltd 3 роки тому +1

      Wapo walio mzid wajuwa elim kama ni bahar na pana

    • @joharindaro3075
      @joharindaro3075 3 роки тому +1

      Ulisema shamsul maarifa unanikumbusha mbali toka shamsia

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 3 роки тому +1

    Kasema mwanamme anavichwa viwili kimoja kipi sijaelewa kidogo

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 3 роки тому

    Namuona shekhe muhamadi suluta kwambali

  • @jumahamisi5383
    @jumahamisi5383 3 роки тому

    MAA SHAA ALLAH

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 3 роки тому

      Ety eeeeeee sirudii hahahaahaha shekh walid banah

  • @ShabanMohamed-e9l
    @ShabanMohamed-e9l 8 місяців тому

    Kweli nilikuwa niki ona ndevu na kanzu nikajuwa huu ndio usilam kumbe hapana elim na uelewa huo ndio usilam wewe unae sema vibaya juu ya majibu ya waridi utakali mwisho waoko itaqllaha

  • @AthumaniBakari-o6r
    @AthumaniBakari-o6r Місяць тому

    Sheikh vichwa 2 hatari

  • @feisalfaraj44
    @feisalfaraj44 2 роки тому +1

    ukosahihi

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 роки тому

    Allah akbar 😀😀😀apo kwenye vichwa uspoludia 😃😃😃😃

  • @adiashekidee
    @adiashekidee Рік тому

    Sheish walidi uko vizuli sheish yakubu ana kupa hai

  • @allykasa6185
    @allykasa6185 3 роки тому +2

    Kipenzi changu

    • @AllyASalum
      @AllyASalum 3 роки тому

      Mimi huyu kipenzi changu zaidi...Maashaallah. Allah ampe umri mrefu zaidi wenye manfa'a. Aamiin

    • @halimamkangama4966
      @halimamkangama4966 2 роки тому

      Mimi pia

  • @shadhirimaalim9739
    @shadhirimaalim9739 2 роки тому

    KAZI ya kusifiyana Tu elimu chache Sana someni jamaa zetu

  • @omanimujsa9756
    @omanimujsa9756 3 роки тому

    Wawkwanza

  • @joharindaro3075
    @joharindaro3075 3 роки тому

    Sirudii 😅😅😅😅😅

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 роки тому +2

    Munge weka mdahalo kwa nini waislam wa tanzania bara wakifikwa na tatizo huwenda kanisani kuombewa na mapatri na huko huambiwa mwanzo wakubali kama yesu ni mungu ndio watapona .sio muhoji maswali kama hayo ya matamanio ya dunia wakati waislam wanaharibikiwa wapo wanga . Wanafuga misukule na wanavaa nguo za uchi . Hayo kuowa ndio jambo la kimaumbile . Hayo mengine ndio muhimu

    • @farijala1
      @farijala1 3 роки тому

      Kwahiyo suala la Ndoa ni matamanio na sio Ibada?
      Ungefikiria kabla ya Kuandika. Na kongamano hilo lilikuwa na mada tofauti. Sasa unataka mada izungumze Kulingana na Unavyotaaka wewe. Taadab .

    • @shenjamamzingi7950
      @shenjamamzingi7950 3 роки тому +1

      Wewe umefanya au umechukua hatua gani kutokana na hilo,Dini ni yetu sote si Masheikh peke yao

    • @zamdinkilala8790
      @zamdinkilala8790 3 роки тому

      Hayo wafanye wewe wao wakifanya hiki nawewe fanya kile

    • @zuberikamote2078
      @zuberikamote2078 3 роки тому

      Imani yke kwenye Dini yke ndogo naukiona mtu anafanya hvyo ukimchunguza Hana elmu ya dini 😳😳

    • @yusufudongote6440
      @yusufudongote6440 3 роки тому

      ALLAH akusamehe usione uislam wakwako pekee yako Ammiii.

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 3 роки тому +1

    Kweli usufi BIDAA ni mzigo Aya kibao zenye kuzungumzia ndoa unasoma Aya hiyo aiendani na maudhuu uliyo ulizwa

    • @allyally5156
      @allyally5156 3 роки тому +4

      Tatizo la maanswari ndo hili kujiona wanajua sana ,hivi utapamba na walidi ?au unafikiri unayo waza wewe walidi anashindwa? nye ndo mnazidi kuzoofisha uisilamu

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 3 роки тому +1

      Wewe ni jahili upeo wako wa maarifa ni mdogo, endelea kukariri maoni ya akina Uthaimini

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 3 роки тому

      @@allyally5156 majaahili hao

    • @abuuswafwan5275
      @abuuswafwan5275 Рік тому

      Hawa akina waziri ni Vibaraka wa Mayahudi wanautumikia ukafiri ndani ya UISLAM huku wakijua kma C,hakki

  • @wazirikhamisi4828
    @wazirikhamisi4828 3 роки тому

    Ujinga mzigo wallahi Allah ATUONGOZE ktk HAQ ktk sunna

    • @uledihassan6065
      @uledihassan6065 3 роки тому +1

      Mjinga wewe unaekariri mawazo ya akina Uthaimini kububusa

    • @mohamedhaji2200
      @mohamedhaji2200 Рік тому

      Ujinga upi sheikh. Tupe faida

    • @allycomm1553
      @allycomm1553 4 місяці тому

      ACHENI UJINGA KUKAA NA KUSIFIA MASHEKHE WA KIBIDAA

  • @saidabubakari7560
    @saidabubakari7560 Рік тому

    Maashallah

  • @msoya-j-iliyasa7116
    @msoya-j-iliyasa7116 3 роки тому

    Maa shaa Allah

  • @ramsofundi2222
    @ramsofundi2222 3 роки тому

    Maa shaa Allah