NABII GEO DAVIE ALIVYOMZUNGUMZIA MWANAE NISHER AMBAYE AMEFARIKI “NGUMU KUSEMA, ALIACHA BONGOFLEVA”

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 378

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior 10 місяців тому +8

    Pole sana Nabii mkuu Geordavie Mungu akutie nguvu katika wakati huu mgumu.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 10 місяців тому +21

    Pole sana Nabii mtumishi wa Mungu Bwana Yesu awafariji na awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 10 місяців тому +11

    Unajua kichaa anachekesha akiwa kwa jirani.R.l.P Nisher 😭😭 Poleni wafiwa 🙏

    • @AhmedAhmed-z6m7t
      @AhmedAhmed-z6m7t 10 місяців тому

      Wengine wanamcheka kichaa aliyepo ndani ya familia yao

  • @GiftBariki
    @GiftBariki 10 місяців тому +11

    😢😢😢 mungu akuzidishie maarifa dady

  • @rosedaniel1981
    @rosedaniel1981 10 місяців тому +16

    Kwann watu mnakuwa wepesi wakutoa hukumu hv jmn 😢hamjui kuwa kifo ni lazima kwa kila binaadam

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 10 місяців тому +19

    Anajua mwenyewe aliyeketi mahali pa juu palipoinuka kuliko vyote,🙏

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph 10 місяців тому +18

    Pole sana baba ni gumu kulipokea lkn tumeumbiwa 😢

  • @BAHATIKIBA-ul6wx
    @BAHATIKIBA-ul6wx 10 місяців тому +8

    Pole Xan Nabii Kwa Kufiwa Na Kjn Wako Kwa Kweli Mungu Akupe Nguvu Na Ujasiri Katika Kipind Hiki Kigumu Mungu Amlaze Mahali Pema Peponi😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @ssam3385
      @ssam3385 10 місяців тому

      Pole bb mungu amlazembinguni

    • @samiraaindi
      @samiraaindi 10 місяців тому +1

      pole kwa msiba Davie.

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 10 місяців тому +11

    Pole nabii kwa mtihani wa msiba, mungu atakuvusha tu

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 10 місяців тому +23

    Mungu ndiye ajuaye siri zote.

  • @dullyblack38
    @dullyblack38 10 місяців тому

    ni hv tu baba alikua superstar kuliko mwanae. hyo haikuwa sawa kimentalii. na chengine pia nisher ni kweli alikua mbele ya mdaa ila tatizo lilikua sapoti ni ndogo ya wasanii na media mapinduzi ya red camera zilipoanza iyo ilimfanya ajione kategwa na industry. all in all Rip young blood nisher

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 10 місяців тому +11

    Tayari, unaanza kuvuna ulichokipanda. Hongera sana Nabii uchwara

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 10 місяців тому +1

      Hahahaha 🤣🤣🤣 umeona eeh mbona hajamfufua 😂😂😂

    • @ericmellau3783
      @ericmellau3783 10 місяців тому

      Uktoa baba ake kua nabii bado mungu atabak kua mung tu hata kama maomb yake,yako, mm hayakujibiwa kama tulivokua tunataka, baba kua nabii aizui mungu kutenda kaz ake

  • @camillah1097
    @camillah1097 10 місяців тому +30

    Pole sana baba Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mwana

    • @advinofficial6570
      @advinofficial6570 10 місяців тому

      Camillah

    • @samiraaindi
      @samiraaindi 10 місяців тому +1

      R.I.PNisher 😭

    • @abbassaid9305
      @abbassaid9305 10 місяців тому

      Mtumishi wa mungu watoto wakiume wanavaa heren na yeye kama baba anasapot kama sio ushetani ni kitu gani

    • @saturinimushi4746
      @saturinimushi4746 10 місяців тому

      Someni Kitabu Cha Mathayo Ile Sura ya 16: Mstari wa 26-27
      Mtakuja kunishukuru❤

    • @faithmapondo7370
      @faithmapondo7370 10 місяців тому

      ​@@abbassaid9305Sasa yeye afanyaje

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 10 місяців тому

    Pole sana Mtumishi Mungu ashughulike na hixo mbwa xinaxomshambulia Mtumishi kwa kashfa.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 10 місяців тому +37

    Huyu nabii muongo sana sema watu hawalijuity yupo firimasoni ndomna katoa kafara

    • @HeldaX
      @HeldaX 10 місяців тому

      Huyu ndo mtumishi wa Mungu daa ama kweli dunia Mungu tuulumie sana

    • @glorymassawe5659
      @glorymassawe5659 10 місяців тому +5

      Siku yakikukuta utafunga huo mdomo

    • @zainabumartin9520
      @zainabumartin9520 10 місяців тому

      @@glorymassawe5659 lbda ukutane namizimu yako sio mimi

    • @zainabumartin9520
      @zainabumartin9520 10 місяців тому +1

      Tuma nauchawi wenu waki frmasoni haunifiki

    • @zainabumartin9520
      @zainabumartin9520 10 місяців тому

      Eti kufunga mdomo wako ndo utafunga munadanganya watu kuwatapeli eti munawaombea uongo mtupu

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 10 місяців тому +40

    Mungu awasamehe wote wanaoongea ujinga kuhusu huyu mtumishi wa Mungu. Mungu awabariki sana

  • @MawazoMwamba-fz5hr
    @MawazoMwamba-fz5hr 10 місяців тому +6

    Pole sana Nabii 😭😭😭

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 10 місяців тому +3

    Poleni sana mungu ampumzishe kwa amani

  • @DiannaMsekeni
    @DiannaMsekeni 10 місяців тому

    Pole mtumishi kwa msiba wa kijana wako jina la bwana lihimidiwe

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 10 місяців тому +11

    Ukila vya watu na vyako IPO sku vitaliwa..,

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 10 місяців тому +8

    Mda wao huu wanazik watoto tu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 10 місяців тому +4

    Innalilah wainnalilah rajiuun! Pole sana Nabii Dev!

    • @othmanjumaaly
      @othmanjumaaly 10 місяців тому +1

      Nabii wa mchongo uyoo acheni kufuru

    • @SimbaSimba-fo9pd
      @SimbaSimba-fo9pd 10 місяців тому +1

      subhanallah hivi wewe ni mwislam gani kwa kutoa pole kwa hili jiti jofavi laana za mwenyezi mungu ziwe juu yake

    • @drsilo
      @drsilo 10 місяців тому

      Ww cio muislam acha kuposti mavitu yanayotia hila uislam ww

  • @eliannko
    @eliannko 10 місяців тому +11

    mungu mtie nguvu nabii mkuu katika kipindi kigumu hiki

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 10 місяців тому +1

    Pole kwa wafiwa Ndugu jamaa na marafiki

  • @Mtaki-c2x
    @Mtaki-c2x 10 місяців тому +3

    Pole sana mungu akutie nguv u,mshukuru mungu kwakila jambo

  • @BahatiSunga-yk9qf
    @BahatiSunga-yk9qf 10 місяців тому

    Pole sana PLOFET kwa kuondokewa na kijana wako

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068 10 місяців тому

    Pole mtumishi wa MUNGU

  • @HawaAmos
    @HawaAmos 10 місяців тому +8

    Ndungu zangu wa Tanzania Tujaribu kutumia vizuri hii mitandao natupunguze ukari wa maneno sisi wa Tanzania jaman hatuja ubwa hv watanzabia tunasifika kwa ukarim na upendo hivi tumefikia handi kubishana na mungu kuchukua haki yake juzi Mme msema vibaya baba yetu mpendwa mpango mpaka mkawasha mishumaa ukasema mnavo jua lakin juzi mmeumbuka na baba wa watu alivo barikiwa kuanamoyo wa kuhimili uchafu wa midomo yetu wa Tanzania wasio na hekima aliwaombea2 kwa mungu awasamehe na mm naungana na makam wangu mungu awajalie mwisho mwema

    • @gmbrown1429
      @gmbrown1429 10 місяців тому

      Kafara iyo

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 10 місяців тому

      Usilaumu wananchi, kabla hujahukumu lazima ufikiri kwanza, watanzania yule ni kiongoziwao wanahaki yakuuliza kisha wajibiwe, kumbuka na kwa magufuri walidanganywa hivohivo kumbe mzee alituacha haya sasa je wajifunze nini sasa.

  • @HappynessLevocatus
    @HappynessLevocatus 10 місяців тому

    Pole sana nabii mkuu

  • @JONAISMARTINESAM-vs4jy
    @JONAISMARTINESAM-vs4jy 10 місяців тому

    Daaah,,,, kafaje yaani???????? Poleni sana jmn!!! Inauma sana!!

  • @kerrychristophers1595
    @kerrychristophers1595 8 місяців тому

    Pole sana Daddy

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 10 місяців тому

    Alikuwa andisamu jamani khaa❤❤❤😭😭😭😭😭😭

  • @ahmedbashash3672
    @ahmedbashash3672 10 місяців тому +10

    Kashamtoa kafara mtoto wake baba lenyewe shetani eti nabii mashetani wachaafu na matapeli

    • @AniaSawaki
      @AniaSawaki 10 місяців тому +1

      😂😂😂😂 jameniiiiiiii

  • @RenatusLeonardMillambo
    @RenatusLeonardMillambo 10 місяців тому +12

    Mbivu na mbichi...zitajulikana.........MUNGU NA ATUKUZWE....mana njia zetu anazijua vema....ziwe za kweli au lah!!!

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 10 місяців тому +7

    Acha Mungu afanye kazi yake, mapenzi yake

  • @FedyChaula
    @FedyChaula 10 місяців тому

    Kufa kawaida wote tutaondoka tuache Iman potofu.

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 10 місяців тому +1

    Pole sana kwa msiba mr davie

  • @officiallugano8991
    @officiallugano8991 10 місяців тому

    Daaaa pole sana

  • @fatma4628
    @fatma4628 10 місяців тому +8

    Mpigie yesu simu Mzee 😂😂amrudishe

    • @othmanjumaaly
      @othmanjumaaly 10 місяців тому

      3:37

    • @immajungu5190
      @immajungu5190 10 місяців тому

      Acha kufuru fatma hzo kejel n mbaya sana plz omba msamaha

    • @fatma4628
      @fatma4628 10 місяців тому

      @@immajungu5190 sasa msamaha gani wakati baba yake anasema alionana na yesu wewe acha mungu hataniwi bana ama pia wewe ushaonana na yesu

  • @AgnessCostantine-l6z
    @AgnessCostantine-l6z 9 місяців тому

    Pole xn

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 10 місяців тому +8

    Hii interview haihusiani na msiba ni kabla ya mwanae kufariki

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 10 місяців тому +1

    Mwanae kafanana na USHER RAYMOND

  • @IbrahimMfaume-c3j
    @IbrahimMfaume-c3j 10 місяців тому +1

    Rip kuzimuuuuuuuuu

  • @salamakitule-3856
    @salamakitule-3856 10 місяців тому

    Pole sana kea mitihani

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 10 місяців тому +3

    Hapo ndo utaelewa kuwa kifo ni haki kutoka kwa muumba.Hakuna atakayenusurika na kifo. Nii hi njia ambayo kila mmoja atapitia tu. Ni suala la muda bwana ametwaa

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 10 місяців тому +9

    Mshua wake anajua alichokifanya!

  • @EmpireMoviesNseries
    @EmpireMoviesNseries 10 місяців тому +9

    R.I.P mengine tumwachie muumbaji😢

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 10 місяців тому +3

    Nlijua wataanza freemason upuuzi mtupu

  • @imaniyohana
    @imaniyohana 10 місяців тому +4

    Bro mbn hii interview ya mda sana af mbn Kam umeandk kuwa kamhoji baada ya msiba

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 8 місяців тому

    Baba hasa familia yangu inakupa pole sana

  • @felistaantoni5446
    @felistaantoni5446 10 місяців тому

    Pole sana babaangu kipenzi

  • @hilidentamale9778
    @hilidentamale9778 10 місяців тому +4

    Na huo ndo mwanzo na bado tutaona mengi

  • @ANNETTVSHOW
    @ANNETTVSHOW 10 місяців тому

    😢😢 pole sana

  • @ibrahimnganyule5367
    @ibrahimnganyule5367 10 місяців тому

    Hivi mnaocoment kejeli hamjawahi poteza ndugu zenu

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 10 місяців тому +1

    Gwaji yuko wapi?

  • @jacobmgao-hi7rj
    @jacobmgao-hi7rj 10 місяців тому +1

    Pole sana mungu awatie nguvu

  • @ImanuelMwaipaja-wf7xq
    @ImanuelMwaipaja-wf7xq 10 місяців тому

    Pole mzee jodave kwakipindi kigumu mungu atakulinda

  • @laxmajor
    @laxmajor 10 місяців тому +1

    Dar siyo pow😭

  • @PriscarRamadhan
    @PriscarRamadhan 10 місяців тому +1

    Pole baba yangu MUNGU wa mbigu na nchi akutie nguvu

    • @EliechiKimario-bv1gz
      @EliechiKimario-bv1gz 10 місяців тому

      Hkn ch fremasoni kifo ni kifo hakuna mahali pameandikwa watumishi au watoto wao hawatakufa poleni sanna wafiwa

  • @SelinaPaschal-vq2iy
    @SelinaPaschal-vq2iy 10 місяців тому +6

    Hivi mnazani kuua mtoto wake nirahisi acheni ujinga na Imani potofu

    • @Mkinga_og
      @Mkinga_og 10 місяців тому

      Acha ukenge watu wanamuua mama mzazi sembuse mtoto, we unavohisi uyu mzee ni mtu mwenye imani gani, "yesu alinitokea live" we ulisikia wapi

    • @SelinaPaschal-vq2iy
      @SelinaPaschal-vq2iy 10 місяців тому +1

      @@Mkinga_og bro pambana na hali yako akiri yako ukiijaza ushirikina basi Kila kifo utasema umelogwa mara kafara ashindwe kumtoa since akiwa mdogo aje amtoe now hayo nimapenzi ya MUNGU nothing else bro,,,,shame on u😏

    • @marthamollel9859
      @marthamollel9859 10 місяців тому +1

      Ukikaa na maneno ya Mtandao utashindwa kufanya kazi huo ni uvivu wa fikira ukiona mtu kafanikiwa ooohh freemason . Kila mmoja atauonja umauti🙏🙏

    • @SelinaPaschal-vq2iy
      @SelinaPaschal-vq2iy 10 місяців тому

      @@marthamollel9859 point,,,,,Yani watu huwa hawafikilii

  • @jacquelinefrankie5309
    @jacquelinefrankie5309 10 місяців тому

    Pole nabii .rip broh nisher

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 10 місяців тому +6

    Wangapi walikua hawaamini karumba hakua frmasoni leohii ndowana amini

  • @eliamwakimage5389
    @eliamwakimage5389 10 місяців тому

    Mtoto wa Nabii.... Ananda mziki wa Bongo fleva... Nabii wa mungu yupo tu anaangalia. Mungu mrehemu Nisher uko alipo. Revelation 14:13

    • @naigeorge7765
      @naigeorge7765 10 місяців тому

      Uombee sana watoto wako unafikiri ni kazi rahisi.Au unaweza kutumia nguvu mtoto wako awe utakavyo wewe.Ni neema ya MUNGU tu ndio inaweza kufanya hivyo.Kwahiyo mtoto wako akiwa ana njia zake anabadilika kuwa mtoto wako.

  • @StephanoAkyoo
    @StephanoAkyoo 10 місяців тому

    Wakati wa mwisho kutakuwako...na manabii wengi wa uongo na kweli, na wapo kuwapoteza hata Walio wateule....watafanya ishara, miujiza, na maajabu ya kufanana kabisa na yake ya kimbingunii......IWENI NA AKILI🤏

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 10 місяців тому +3

    Frimason Katolewaaaa😢😢😢 heeeeee

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 10 місяців тому +1

      Weweee kumbe Bado unaulimbukeni hivyo, wajinga ndiyo wanaamini haya mambo,

  • @joycerichard9274
    @joycerichard9274 10 місяців тому +1

    Pole sana baba yangu

  • @AishaNgoyi-vi2ku
    @AishaNgoyi-vi2ku 10 місяців тому

    Pole sana baba

  • @Hajer-be2kh
    @Hajer-be2kh 10 місяців тому

    Huwa kabila gn huyu baba mashaallah mzuri na Pole kwa kufiwa

  • @annamrema2861
    @annamrema2861 10 місяців тому

    Pole Baba Mungu akupe nguvu kiukweli inauma

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 10 місяців тому

    Aiseeee😢😢😢😢

  • @idrisamapesa2732
    @idrisamapesa2732 10 місяців тому +13

    Tayar mambo yamekaa sawa kwa bwana mchungaji

  • @Adibo-r8o
    @Adibo-r8o 10 місяців тому

    Rahisi Sana kuwa unajuwa nini alifanya mpaka afike apo alipo

  • @vaikaayagadiel520
    @vaikaayagadiel520 10 місяців тому +1

    Ukiwa muislamu hufi/hufiwi, ndimi ndimi zichungeni

  • @wilsonlazaro4048
    @wilsonlazaro4048 10 місяців тому +2

    Naomba wote mnao msema vibaya huyu baba mtubu na kuomba msamaha msipo fanya hivyo nanyie mtapatwa na misiba Hadi mshangae mtafiwa au mtakufanyie wenyewe ili iwefundisho m mekosa chaku sema kwani ni la zima mseme na tamani ni ngekua karibu nanyie ni wakate hizo dimi zenu

    • @gabrielkimario1891
      @gabrielkimario1891 10 місяців тому

      Acha kutisha watu,,Wewe unayeona wamekosea waombee kwa Mungu,,na Mungu hayupo hivyo unavyofikiria ndugu

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 10 місяців тому

    Mungu Wa mbinguni,akufariji,,,binadamu WA na maneno meng😂

  • @franckswedi5664
    @franckswedi5664 10 місяців тому

    Mungu ndo ana juwa ukweli

  • @RuthyTemu-ev5li
    @RuthyTemu-ev5li 10 місяців тому +1

    Mungu akutie nguvu baba pole sanaa na wanaohukumu wajue wao sio Mungu waache Mungu ahukumu

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 10 місяців тому

    Nabii Mashimo yuko wapi kwenye huu msiba ?

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 10 місяців тому

    Kumbe nisher alikuwa mwanae😊

  • @MasterPlan-e5c
    @MasterPlan-e5c 10 місяців тому

    Kamtoa mwanae kafala daah😢😢😢

  • @CatherineJohnson-y2h
    @CatherineJohnson-y2h 10 місяців тому +1

    ii dunia jamn 😥

  • @priscamavura8135
    @priscamavura8135 10 місяців тому

    Poleni Sana familia

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 10 місяців тому +3

    Sinabii mbona hajarudisha roho yake kamakweli mponyaji

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 10 місяців тому +10

    Msiba ni ule wa kule manyara. Huo ni msiba wakawaida sana

    • @summahthedon3511
      @summahthedon3511 10 місяців тому +1

      Wewe ni matako kabisa😢😢😢😢msiba ni msiba tu

    • @lizashagilliard2336
      @lizashagilliard2336 10 місяців тому

      Shame on you

    • @EmmanuelNyinyigwa
      @EmmanuelNyinyigwa 10 місяців тому

      @@summahthedon3511 kinge wewe

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 10 місяців тому +1

      ​@@summahthedon3511Bado haijamtosha mpe lingine

    • @summahthedon3511
      @summahthedon3511 10 місяців тому +1

      Yaani wewe ningekupata Mikononi mwangu ningekufilimba mbwa wewe sura Kama chapati iliyo kauka kukamamake zako

  • @anenragnesmunis8490
    @anenragnesmunis8490 10 місяців тому

    Hatari

  • @HekimaMinga-v8l
    @HekimaMinga-v8l 10 місяців тому +1

    The Prophet is not sad

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs 10 місяців тому

    Pole San baba yetu .

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 10 місяців тому

    Ritual??!

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 10 місяців тому

    Mungu akupe nguvu kipindi hiki Cha msiba wa mwanao nabii mkuu nakupenda nakupenda na nakupenda sana, wanaokuongelea vibaya wacha wajipe shughuli hawana yankufanya na ukiwachunguza wachovu ndio Wana maneno mengi yasiyo na maana Wala faida, mungu atawalipeni kwa midomo na maneno yenu machafu sisi tunasonga mbele. Viumbe km nyie hamkosekanagi jmn

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 10 місяців тому +9

    Mzee katoa kafara ndio stetani alivyo ukimtumikia lazma utoe kafara natamani watu wajue huyu jamaa ni muabudu shetani kabisa yani

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 10 місяців тому +4

    Yy si Nabii amuombee pepo mwanae

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 10 місяців тому

      Mitume walikufa, manabii hata wale walioongea na Mungu moja kwa moja walikufa Sasa wewe ambaye hutaki mtoto wa nabii afe,sijui unaishi dunia ipi

    • @MdNasr-jm8pj
      @MdNasr-jm8pj 10 місяців тому

      @@queenmollel6739 nipo dunia uliokuepo ww Ila ufahamu wngu na wko tofaut

    • @TYN-o1r
      @TYN-o1r 10 місяців тому

      ​@@queenmollel6739 nimepita reply zoote wewe tuu ndio uko busy na one side ,mmmh au mzee wa kanisa dada😂 samahani😢

  • @Mufti-c7t
    @Mufti-c7t 10 місяців тому +4

    Hee nabii anashindwa kuzuia mwanae asifariki lakini wengine anawaambia anawaombea wawe salama makubwa

    • @faithjonesmeena4679
      @faithjonesmeena4679 10 місяців тому

      Walikufa watoto wa ayubu na alikua mwema Sana mwachon pa bwana. Mitihan huja kwa njia mbali mbali

    • @Mufti-c7t
      @Mufti-c7t 10 місяців тому

      Mjinga huamini kila neno lakini mwerevu huangalia sana aendavyo

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 10 місяців тому

      Kwani mganga wako hajafiwa?

    • @Mufti-c7t
      @Mufti-c7t 10 місяців тому

      @@mwigarleysaid5406 alaa kumbe uyu mganga wenu sio?

  • @ElizabethWilliam-q7t
    @ElizabethWilliam-q7t 10 місяців тому

    😢😢

  • @josephinelwamlema7331
    @josephinelwamlema7331 10 місяців тому +16

    Nimeshukuru kutozaliwa katika familia hizi..waweza kujikuta unatolewa sadaka hivi hivi

    • @joymafur1935
      @joymafur1935 10 місяців тому

      😂😂

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 10 місяців тому +3

      Kabisa kabisa usitamani familia za watu Zina Siri nzito 😢

    • @DavalsonMarlony
      @DavalsonMarlony 10 місяців тому

      mwenyenz mungu ampzshe mahala pema pepon Ila unachekesha

    • @roynessmanji6292
      @roynessmanji6292 10 місяців тому

      😅

  • @faridadumasalhathoseni
    @faridadumasalhathoseni 10 місяців тому

    😢❤

  • @abnermailos8043
    @abnermailos8043 10 місяців тому

    Hope Moyo mkuu

  • @amasmary3
    @amasmary3 9 місяців тому

    Millard ayo anavyochonga nywele sasa 😂

  • @limymasele21
    @limymasele21 10 місяців тому

    Sipendi hii hali sasa hivi wa pili ndiyo anakuwa wa kwanza anaenda kubeba majukumu mazito sana yaliyokuwa yanafanywa na kaka wa miaka 34 alikuwa mkubwa huy😢😢😢

  • @mwami_the_don_
    @mwami_the_don_ 10 місяців тому +2

    Sadaka ndio zina tuogopesha umeona sas alivyo mpoteza mtoto

  • @GodwinKimasha
    @GodwinKimasha 10 місяців тому

    mungu mwenyewe