Mkasi - SO4E02 with Banza Stone

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 31

  • @blacksniper2009
    @blacksniper2009 12 років тому +6

    bonge la interview....jamaa yuko muwazi n so humble. hana haibu na maisha yake na ndio maana maisha anayoishi kwake yanamfurahisha. sio lazima uwe na pesa nyingi ili ufurahie maisha yako

  • @abdulrazakgwotta5561
    @abdulrazakgwotta5561 5 років тому +7

    Like father like son,kama baba kama mtoto . Nna mtoto mmoja anaitwa Hajji leo hii ndio Hanstone.

  • @MrKaingu
    @MrKaingu 12 років тому +3

    next week uaja kkkkkkkkkkk hahahahaha kikikikikikikiki hahahahaha sawa i can't wait to see her or him very funny you all mwavuta bob marley ryt

  • @aloycelimu6192
    @aloycelimu6192 4 роки тому +5

    Continue to rest in peace Banza stone.....

  • @SwaumuMussa-xp1zo
    @SwaumuMussa-xp1zo 10 місяців тому +1

    Rip banza mwalimu wa walimu Mungu akupunguzie adhabu ya kabri ardhi inameza jamaniii

  • @habibamfaume9013
    @habibamfaume9013 2 місяці тому

    Banza mkali wa kuimba anajuwa kurap kuimba mnanda mduara jamaa yupo full packej Rip teacher wa ma teacher

  • @husseinkibwana4009
    @husseinkibwana4009 7 років тому +7

    pumzika kaka mbele yako nyuma yetu r.i.p banza stone

  • @kasumbapraygod1688
    @kasumbapraygod1688 6 років тому +3

    nilikua namuitaga mwalimu wamuziki daah pumzika kwaamani Broo

  • @tatuamir1742
    @tatuamir1742 6 років тому +2

    Mashallah Allah akuweke mahali pema peponi

  • @daynesakulu3169
    @daynesakulu3169 3 роки тому +2

    Huyo alikuwa mkongomani,Banza ni jina la kikongo, mtu mkasahi mtu wa kasahi mbuji mayi.

    • @adidjayousuf7300
      @adidjayousuf7300 3 роки тому

      Haina maana kuyawongeya sisi wote wamojatu nikumuwombeya duwa tu apmzike kwa amani

    • @Thestones01
      @Thestones01 2 роки тому +1

      weee acha uongo sisi ni wasukuma tena wa shinyanga hata jina huoni,hatujawahi kuwa wakongo sisi

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 8 місяців тому +1

    Mwana Masanja Ulikuwa huna Mpinzani Nakukumbuka Sanaa

  • @edondaki
    @edondaki 12 років тому +3

    hhahaa eti waliniua nikaishia hapo hapo..hahah aaa Banza bana

  • @khalidvova6601
    @khalidvova6601 7 років тому +3

    .Dah banza stone mshkaj wang nakutakia a man huko ulipo !

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer 4 місяці тому

    😢😢 daaaaa jamani

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 5 років тому +3

    R.I.P Banza

  • @DUL69
    @DUL69 10 місяців тому

    Mpaka Leo bado huwa nakusikiliza KUMEKUCHA. BONGE LA SONG

  • @husnabashiru6736
    @husnabashiru6736 4 роки тому +2

    R.I.P legend

  • @benbranco3688
    @benbranco3688 5 років тому +3

    mzee wa euro endelea kupumzka bro

  • @99graphix
    @99graphix 12 років тому +2

    Si mbaya, ila nahisi ikiwezekana waombe more air time ili kupatikane muda mzuri wa mahojiano.

  • @herbethlukogela7657
    @herbethlukogela7657 4 роки тому +1

    hanstone bab ako alishakupa baraka zoooooote

  • @PartnerMatumbi-bf7eq
    @PartnerMatumbi-bf7eq Місяць тому

    R.i.p BANZASTON

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 3 місяці тому

    mungu airadhe roho yake maari pema peponi

  • @controlTheoryChamps
    @controlTheoryChamps 12 років тому +3

    Kumekucha ndiyo bora ya banza.........naipenda sana

  • @raymbwana4795
    @raymbwana4795 9 років тому +2

    Nakkbali sana

  • @DUL69
    @DUL69 10 місяців тому

    Banza R.I.P BRO. Ulikuwa WA kipekee.😔😔😔🙏🙏

  • @kingojanta8643
    @kingojanta8643 9 років тому +3

    R.i.p banza

  • @mwanakomboabdully327
    @mwanakomboabdully327 11 років тому +4

    kisa cha mpemba