Mimi naitwa Moses from Kenya makoda nampeda sana nasema hivi makoda analidwe na mungu nakuna nyota mungu ameiweka juu yakichwa chake itangaa dunia mzima siku moja mtanikubuka mungu awambaliki
Wampigie cm tumsikie watanzania 😢😢😢😢 hao wana tuchanganya sana 😢😢😢😢😢😢 hila sawa tuu ngoja muda hutaongea😢😢😢😢😢😢 likizo gani bwana mpigieni sm basi tujue yupo wapi
Shukran Millard Ayo kwa taarifa. Inashangaza sana. Hakuna kiongozi hata mmoja amejitokeza kutoa taarifa zitakazo weka hizi rumors to rest. Inashangaza sana.
Tanzania tuelekeako ni kubaya sana kwahyo jipangen sana maana kila kiongoz akionesha ushupavu lazma awindwe ufisadi umekthiri mno tz hakuna lolote viongoz wa juu ndo wanaliza wananchi ninyi hamjui
Millard Ayo kwenye swala hili nakushauria kutotumikishwa na CCM tambua wana inchi wamechoka na ccm ndivyo mzee magu alihenda CCM iko nakutumia vibaya ila tambua Dunia inabadilika unaweza kuja kupoteza vyote shimama kama Mtangazaji
Inamaana kama makonda kachukua likizo ni tr 15 mwezi wa Saba nawaomba Sana serikali ya Tanzania hususan kuto kuwawakweli na wawzi kama mtatudanganya kuhusu hiki basi itakuwa mnatudanganya watanzania napia itakuwa kunamengi pia mnatudanganya kuweni wakweli jamani yasemwayo yaponakama haypo mungu ayaepushe.@mungu ibariki Tanzania mungu wabariki viongozi wetu
Ngoja tusubiri maana bado kama siku 19 ili Siku hizo 28 ziishe, halafu ndio tujue kama ataendelea kuongezewa likizo. Kikubwa kuomba MUNGU Maana hata MAGUFULI picha lilianza hivyo.
Wap uwongo huo angekuwa yupo angeshajitokeza c kweli makonda hayupo sawa kuna kitu hapa mungu tu atulindie makonda jamani nina hofu kuna hatar hapa aidha hali yake cyo
Kwahyo mama Samia akiwa likizo Ruto atakuja kukaimu hapa bongo cndio? Inamaana ktk mkoa wake hakuna wasaidizi wake wa chini ambao wanaweza kukaimu hadi aje mkuu wa mkoa jirani?
Mkuu Nurdn Babu huna baya mkuu hp ktkat,achana nao wmlize Bi mkubw SAMIA we huna baya mkuu ubaya n wao,mkuu tuna kushukuru,huna baya mkuu wa muulize Bi mkubw SAMIA
Mmmmh! Yale yalee, Mapunzikoo, mapumnziko gani ya kuto onekana Kwa asijitokeze na kuongea na WaTanzania ili kuondoa hofu, kusema mapumnziko ni uongoo, nyie wandishi nenden nyumbani kwake mpate ukweli, na namba ya makonda hamna???
Hata kipindi alipokua sio mkuu wa mkoa au mwenezi tulikua tunamsikia movements zake....sembuse sasa hivi ni mkuu wa mkoa tusimsikie? huu ni ujinga mtupu, tunataka ukweli.
Miladiayo wewe si uende nyumbani kwa makonda? Shida nini tunataka kumwona, likizo gani hata nusumwaka hajamaliza, watwambie tu, pia kama kweli yupo likizo asirudie tena makonda kukaa kimya bila kutwambia kuwa analikizo maana atatuua kwa presha ya kuwaza yupo wapi
I'm from Africa I like good leaders like makonda I beg these social media to be open to work with Africans politics will end africa no one will be alive because of poor leaders and the money you are stiling you will use them in grave
Mimi naitwa Moses from Kenya makoda nampeda sana nasema hivi makoda analidwe na mungu nakuna nyota mungu ameiweka juu yakichwa chake itangaa dunia mzima siku moja mtanikubuka mungu awambaliki
Tanzania tuna bahati, Zakayo should go mm niko kenya kila kitu kiko juu
❤kaka sijakuelewa kaka au ndio malipo yetu
Milad ninakuamini Sana naomba ufanye namna yoyote umtafute wewe mwenyewe tusaidie jamani tusikie hata sauti yake tu
Wampigie cm tumsikie watanzania 😢😢😢😢 hao wana tuchanganya sana 😢😢😢😢😢😢 hila sawa tuu ngoja muda hutaongea😢😢😢😢😢😢 likizo gani bwana mpigieni sm basi tujue yupo wapi
Hawa waongo
Nipo Zambia namtaka mako kwel arudhi plz tunamupenda sana🎉🎉🎉
Apumzike salama+kaka
Nakubali kazi zako mwana ndugu
Makonda❤
Makonda Mungu amlinde
Likizo si mpaka ufikishe mwaka mmoj baada ya kuanza kazi makonda mbona hajafika huo mda au sheria ni tofauti!
Tunamtaka makondaaaaaa
Kwa iyo frida aujawai kupewa likizo au unajizima data
Shukran Millard Ayo kwa taarifa.
Inashangaza sana. Hakuna kiongozi hata mmoja amejitokeza kutoa taarifa zitakazo weka hizi rumors to rest. Inashangaza sana.
Wananchi wote masikio yetu yapo kwa makonda jinsi tunavo mpenda tanzania yote wanampenda sana❤ makonda
Unampenda wewe usiseme watanzania
Unakumbuka kilicho mkuta yule anculle wa singida
Makonda alikua siyo wakuchua rikizo mapema hivimakonda wetu jamani
Midam uneongea wewe nakubali.napenda huwa unatoa habari nzuri mno na ukweli❤❤
Siku 28 sio nyingi ukweli utajulikana tuu.
Siku hazigandi siku 28 si nyingi. Tuombe tu huko aliko awe mzima
Tanzania tuelekeako ni kubaya sana kwahyo jipangen sana maana kila kiongoz akionesha ushupavu lazma awindwe ufisadi umekthiri mno tz hakuna lolote viongoz wa juu ndo wanaliza wananchi ninyi hamjui
Huyo Nuru angekua mtu poa..angesha mpigia maana kulikua hamna jambo kubwa..sasaiv kuna jambo kubwa je..amempigia..??
Hapa kuna ki2
Millard Ayo kwenye swala hili nakushauria kutotumikishwa na CCM tambua wana inchi wamechoka na ccm ndivyo mzee magu alihenda CCM iko nakutumia vibaya ila tambua
Dunia inabadilika unaweza kuja kupoteza vyote shimama kama
Mtangazaji
Likizo haiwezi kumzuia makonda kutowajibu watanzania wenye hofu
Najiuliza mbona sijawahi kusikia mkuu wa mkoa kapumzika na ikaleta tahaluki kwani wew hupumzikagi mbona watu hawajashtuka kwa nini makonda?
Ayo tv taalifa zenu zimenyooka sana hongereni
Nimekaa miaka yangu yote sijawah kusikia mkuu wamkoa yukorikizo jamani ngojatusubiritu
tz kila kitu nni tetesi hata mtu akaiamua kutokuonekana watasema kafa
mna balaa sana
Inamaana kama makonda kachukua likizo ni tr 15 mwezi wa Saba nawaomba Sana serikali ya Tanzania hususan kuto kuwawakweli na wawzi kama mtatudanganya kuhusu hiki basi itakuwa mnatudanganya watanzania napia itakuwa kunamengi pia mnatudanganya kuweni wakweli jamani yasemwayo yaponakama haypo mungu ayaepushe.@mungu ibariki Tanzania mungu wabariki viongozi wetu
Sasa kama yupo likizo wana arusha tunaomba makonda wetu ajitokeze hata kwenye media tumwone hukohuko inaposemwa ni likizon
Hivi, hana simu kiasi cha kutokumpigia moja kwa moja watu wakasikia sauti yake? Hii taharuki itatupeleka pabaya sana.
Ivi makonda kama Una afya nje na cm taka umezima bac tumia hata cm ya mkewako tu uangalie watu wanavokulilia
Washamkanya hawa huijui ccm kweli wewe
Halafu unatoa majibu marahisi kwenye maswali magumu unakosaje kuwasiliana na mtu ambae kwa sasa unamsaidia majukumu??
Majibu tu ya Nurdin yana changamoto, mapumziko gani akae kimya kiasi hiki? Wakati yupo bench tu tulikuwa tunamwona
Hata nashangaa jaman kuna kitu haipo sawa cjui kwann wanaficha haya
Huna baya mkuu Nurdn Babu,huna baya mkuu ubaya n wao
Yeye huko kili kamuacha nani
Anavopenda media Makonda angesha jisemea mwenyewe kama yuko likizo wala wasingemsemea
Ngoja tusubiri maana bado kama siku 19 ili Siku hizo 28 ziishe, halafu ndio tujue kama ataendelea kuongezewa likizo. Kikubwa kuomba MUNGU Maana hata MAGUFULI picha lilianza hivyo.
Kweli kabisa ila hawa ccm hawaminiki
No me sikubaliani na hii habari.
Binti alie lawitiwa
Wap uwongo huo angekuwa yupo angeshajitokeza c kweli makonda hayupo sawa kuna kitu hapa mungu tu atulindie makonda jamani nina hofu kuna hatar hapa aidha hali yake cyo
Kwahyo mama Samia akiwa likizo Ruto atakuja kukaimu hapa bongo cndio?
Inamaana ktk mkoa wake hakuna wasaidizi wake wa chini ambao wanaweza kukaimu hadi aje mkuu wa mkoa jirani?
Hapo Sasa umenena hatujui nini kilimpata
Anaetakiwa kukaimu ni mwenye uteuzi wa raisi katika cheo kilekile
Nauliza hata km yupo likizo kwann hapigiwi simu tukamsikia km ni mzima kweli. hapa kuna kitu
Hao wahuni2...huu mchezo tayar tumeujua..n kama ule2 wa Maguful...ss hzo cku28 c tayar zmebaki 10...ngoja 2one
umeongea kitu Cha muhim snah
Mnaongoza kama waganga wa kienyeji . Huyo mkaimuji sasa majibu kama anapiga ramli
Xx kama yupo anaxhindwaje kuatoa w2 wacwac oya 2mepigwa
M nasoma koment tuu.naenda kukala
Mkuu Nurdn Babu huna baya mkuu hp ktkat,achana nao wmlize Bi mkubw SAMIA we huna baya mkuu ubaya n wao,mkuu tuna kushukuru,huna baya mkuu wa muulize Bi mkubw SAMIA
Hatumtaki wa. Kilimanjaro tunamtaka wa arusha makonda
😂 alafu wanaboa kweli
Mnatulixha matango pori Watanzania eti Mh Makonda yupo likizo kwanini ukaimu Arusha na kilimanjaro?? Mbona mnatudanganya Watanzania.. Mh mchengerwa, Mh Masauni Twambieni Mh Makonda alipo tujue km mzma ama laah
Hmmm kutokumuona na unaskia amepewa sumu sio kitu kikubwa icho
Kwanini amekaimu? Kaacha mkoa wake hapa sielewi vzr
Apa kunanamna sio kweli
mnaogopa kuhoji 😂😂😂
Ivi ni kweli nyie waandishi amuwez kumtafuta makonda nakuongea nae kama kweli yupo
Huyu anae mwiita amplifier unatakiwa ukapime akiri Yako pumbuvu sana .
Ata magufuri ilianza iviiiiii😢
Kwahiyo mtu akiwa likizo huwa ana potea duniani? Kama yupo likizo, kwanini haonekani popote? Au hiyo likizo kaenda Mbinguni?
Likizo hiii veeepiiii
Mmmmh! Yale yalee,
Mapunzikoo, mapumnziko gani ya kuto onekana Kwa asijitokeze na kuongea na WaTanzania ili kuondoa hofu, kusema mapumnziko ni uongoo, nyie wandishi nenden nyumbani kwake mpate ukweli, na namba ya makonda hamna???
Milad Ayo na Frida Amani mnafaa kuwa mke na mume.! Fanyeni kweli basi
Kuna wasiwasi. Ata majirani zake hawajitokezi kutujuza, wapi haripo?
Likizo gan? Uongo
Balaa Zito 😢
Tunaomba asimame mwenyewe aongee
Why would you include music when reporting news ? Ayo, be a professional, bro!
Sasa hyo taharuk kwa wananch wa Arusha kwa nin asijitikeze sasa km ni kwel Yuko likizo
Makonda ni jembe na anavita vingi sana jaman makonda kawa mtetezi wawatu naana pendwa na watu
bas muulize mchengelwa
Huui
Tutaaminiaje
Si mngempigia simu yeye badala ya watu wengine, watu wasikie.sauti yake
KWA MAGU WALISEMA HIVIHIVI 😢
Hakuna shida tunahesabu siku
Makonda hupo wapi?
Hata kipindi alipokua sio mkuu wa mkoa au mwenezi tulikua tunamsikia movements zake....sembuse sasa hivi ni mkuu wa mkoa tusimsikie? huu ni ujinga mtupu, tunataka ukweli.
Majibu yenye we ni uongo
Wamesha muua baadaya wiki utasikia 2 dalili zimesha onekana
Nani mwingine kapenda kicheko cha frida amani?😅😅😅
Miladiayo wewe si uende nyumbani kwa makonda? Shida nini tunataka kumwona, likizo gani hata nusumwaka hajamaliza, watwambie tu, pia kama kweli yupo likizo asirudie tena makonda kukaa kimya bila kutwambia kuwa analikizo maana atatuua kwa presha ya kuwaza yupo wapi
Alipoteza wenzie
Malipo hapa hapa duniani
Watu wasiojulikana wamejisahau wamepita nae😀😅
BCF
Jipumbavu sana wewe
Unaropoka au ushahidi unao??
Kwann mh asitoke akaongee kwenye ukarasa wake wa Twitter au insta?
I'll q 😊
Mkuu wa mkoa mbona km unajitafuna
Muda utaongea
Wiki ijayo Arusha kutakua na maandamano kwaajili ya kushinikiza serikali kutoa taarifa kuhusu alipo makonda
😅😅😅
upngo huo
I'm from Africa I like good leaders like makonda I beg these social media to be open to work with Africans politics will end africa no one will be alive because of poor leaders and the money you are stiling you will use them in grave
Huyo jamaa nimjinga kweli
Hata yeye hajui alipo
-utakosaje mawasiliano na mwenye office?
-
Waandish wa habar nenden bas ht kwa familia yake pia tuwasikie wanajua kitu gn
Fxk
Mnaongoza kama waganga wa kienyeji . Huyo mkaimuji sasa majibu kama anapiga ramli
Makonda alikua siyo wakuchua rikizo mapema hivimakonda wetu jamani