Mungu inshaALLAH wajalie maustadh wetu awape nguvu maana hakuna cku mkristo ataweza mshinda muisilamu kwa mjadala hapo hakuna hata kidogo nadhani kila mtu anashuhudia
Mashallah Allha akuongoze kwenye haki, Ww una akili, n km umesilimu basi Allah kakuchagua Kuwa muisilamu n neema kubwa kukliko chochote. Usirudi nyuma mdugi yangu silimu na ukasome uisilamu usikae tu.
Hyu ni wazim kabisa yesu anakuaje mungu!?? Yaan ata kwa akili za kawaida tu hawezi kua binaadam mwenye amekua akienda haja anakula anakunywa jaman anapigwa na kusulubiwa yaan kiufupi hyo mungu yesu akakubali kdhalilishwa na binaadam innalillah😢😢😢 hii ni kufuru kabisa yesu ni nabii wa mungu jaman acheni kuzua ni gharam😮 tena bac tuwaulize kama mnashangaa yesu kutokea bila baba bac mtuambie kati ya kuku au yai kilianza kitu gani!???
@@user-oh6pc7zd4s Tuambie kati ya kuku na yai kilianza kitu gani ndo mshangae yesu ktokea dunian bila baba aya nabii Adam nae!?? Wakristu akili zenu mnazijua wenyewe dadeki
Ndacha mbona mm sijakuelewa naona hapo ww wamkoseya mungu sana kwanza staghafiru sana piya msikilize dokt sule anavo kupa elimu vizur ila la muhimu rud kwa mola wako na umuombe maghafra akusamehe
Towa Aya kweny Biblia kama ulisoma kwel 😂😂😂 usidanganywe na sulee jisomee mwenyewe we nip andiko kweny Biblia Ila usisahau kuwa majini nawo walisilimu mpk sas niwaislam
@@Nim68182 Sasa unataka waisilamu tuamini bibilia 😂 Qur'an ishatuambia kila asiefiata maamrishi y Allah anamfuata shetani, Sasa hapo kila dini nyengine ni shetani. Kuhusu majini kuwa nibwaisilamu ni kweli ni viumbe wameumbwa kumuabudu Allah. Na hao majini wapo mashetani ambao ndio wamemuasi Allah ambao sio waisilamu km iblis n wafuasi wake. N viumbe km sisi wapo waisilamu wapo n wasiokuwa waisilamu. Na wala hawataki dini nyengine kwa sababu wanajua dini zote sio z haki isipokuwa uisilamu. Sasa wawe wakiristo kwa nini na wkt wanajua sio dini y kweli
Wakristo wengi hupewa maneno ya himani yao bila ushaidi wa maandiko ni dini propanganda tu haina ushaidi wa maandiko kazi yao ni uchawi tu wa wachungaji wao lakini hilo awalisemi kwa nini kila siku shetani toka kwa jina la yesu atatokaje na hapo ndiyo nyumbani kwake hiyo ni danganya toto tulakini hatoki hapo hamnadua kumtoa shetani kanisani hata siku moja wenyewe msharuusu ushoga kanisani sasa atatokaje apo na shetani anaupenda ushoga
Hv ww usiongee kwa kujinufaisha zungumza/andika kwa point nikuulize kitu labda hv kati ya Zanzibar na Bara wap mashoga wamejaa mm nitakwambia zenji na nitakupa ukweli ya kuwa hata bara mashoga wapemba wapo wengi na wanaonekana hivyo bas mbona husemi na nyie waislam msharuhusu ushoga mskitin kwa maana iyo usiishi kwa kukosoa dini ya mtu ama imani ya mtu ww amini tu unachoamin kwa maana hata hizi dini mbili kubwa duniani tumeletewa waafrica hatukuwa na dini kwahy mkuu amini unachoamin na sio kukandamiza dini ya mtu bro
Hakika dini mbele ya Allah ni dini ya kiislam.... Ukiristo ingekua dini wangeingia kanisani wakaanza kutumbuiza na mavazi ya Uchi, et wapo ibadani na muziki unaendelea Allah awasamehe na awaoneshe njia iliyonyooka... Amini inshallah
@@aldinazani528 na janaba toopu ,maana nywele Toka alisuka Zina miezi 3 kichwa hakijatiwa maji janaba linaulizana tu we umingia lini we upo Toka lini ,aisee najivunia sanaaa kuwa muislamu
@@zulekhaa6817 Quran inasema anaye mfanyia uadui malaika wake hasahas wawili jibrili na mikaeli ni adui wa Mungu, Pia ikasem kuwa alie teremsha Quran moyon mwa muhamad ni adui wa jibrili 🤔🤔🤔🤔🤔 Hoooo hio imekaaj
Subhanallah Mwemyezi Mungu Akusamehe wewe ndacha na Matusi unayozungumuza kwamaana wewe usipopata neema ya kupata Uislamu unaishiya jahannamu milele ,so hivyo nikusahauri tu Tafuta haki Bado unanafasi ukiwa bado ungali hai
Ndacha hajui anachokisema maskini ya mungu ya mungu anainge mladi ashinde ila anazima ya kumjibu mungu kesho na nyie wengine msishikwe akili mwenzenu anaonge ushindani kuwaongezea maudambwi ila ukweli unajulikana uislamu ndio unaojulikana
Toka huko ktk ukristo mim mwezako nishatoka huko kitambo tu kwasababu dini yenyewe inaruhusu ushoga Sasa hiyo ni dini yamungu kweli? Tafakali ww huu ndy muda Sasa wa kusilimu kama mim mwezako nilivyoamua kusilimu
Uyu ndacha anajivuriga Sana Yan tatizo lake ajui kutofasir Aya za Quran anaipita hovyo hovyo shida anataka ubishi sio kuelewa na atajua anaotosha watu wengi
Sasa kuna mahali manabii na mitume na mungu wanajua kitabu kinaitwa koran religion will not take us to heaven mtu ajiangalie na akae kikamilifu kwa mwenyezi mungu
Koran inasema Mohammed alitumwa kwa watu wasio jua kusoma na kuandika. Je nabii wako alijua kusoma na kuandika? Mbona mwitaji wa majini akamwabia Mohammed "soma" ilihali alijua hajui kusoma?
Na hamjiulizi manabii na mitume ote wamezaliwa bara la Asia iweje wazungu wa ulaya waijuwe din ya haki na halali?Munaaminije ukristo ulioletwa na wazungu toka ulaya?mumefeli kwa kweli
Mashaallah Allah akulinde Dr sule amkupe umri mrefu kwa kuulinda uislam . Waislam takbir.🤲🤲🤲🤲
Dr sule JazakaAllah Kheir Mungu akuzidishie elimu
Yesu si mungu bali ni mtume ❤❤❤❤❤❤❤
Dkt sule mashallah mashallah Allah akubariki sana
Msomaji wakiislam nampenda maashaallah anasoma vizuri❤
Ndacha unajielewa sana ubarikiwe ❤❤❤❤
Alhamdulillah Dr sule ww ni hatari sana,Allah SW akuzidishie
Unashabikia mganga??
Ndacha kweli ww ni innalilahi wanna ilaih rajiu unapotosha wenzio kwa Kur Ani yauongo.
Dini ya mungu Iko wazi ktk vtabu vya mungu ,soma,3,19
Jazzakallahu khair Dr Sule 🙏
Waislam taq taq taqbiiiiirrrr!!!! Dr. Sule maashaallah!
Allahu Akbar
Mashaallah Allah awabariki masheikh wetu
MashaALLAH hawa wakristo hawana muelekeo juu mapaster wao wanawadanganya juu ukiulizwa maana ukristo nini?..
Mungu inshaALLAH wajalie maustadh wetu awape nguvu maana hakuna cku mkristo ataweza mshinda muisilamu kwa mjadala hapo hakuna hata kidogo nadhani kila mtu anashuhudia
Nilichokisoma na Nilichokiona ni tofauti... Mungu akurehemu sanaa
Yesu sio mungu
yesu mwana wa mungu
Endeleeni kuabudu jiwe jeusi la Makka
Mashaallah by dr sule that is totally knockout
Ma sheikh wetu nyie.ALLAH.awaweke myaka miya pasina maradhi ao uze
Dr sule umepigaje apo😂😂 msomaji ubarikiwe uko vizuri sana
Mashallah ushindi wetu waislamu innadina idallah al,islam
INNA DIIN GHINDA ALLAH AL ISLAAM
Allahu Akbar❤❤❤❤
Naam Manshaallah
ALLAH AKBAR
Mungu akupe maisha malefu mtumish wa mungu ndacha wafundish wajue njia ya kweli ya mungu muumbaji wa vitu vyote
Ndacha👋👋👋🤝🙏🔥📖
Jazakallahu kheir
😂😂😂😂😂 dr. Sule umepigaje hapo
Ndacha ni mpuuzi tu mim mwenyewe kutokana na huo mdaharo nimeamua kusilimu (MaashaaAlla)
Mashallah
Allha akuongoze kwenye haki,
Ww una akili, n km umesilimu basi Allah kakuchagua
Kuwa muisilamu n neema kubwa kukliko chochote.
Usirudi nyuma mdugi yangu silimu na ukasome uisilamu usikae tu.
Allah Akbar
Mashallah ❤❤❤
Huna akili
Mashallah
Uislamu ni raha sana ukweli wote umeelezew ndacha kama hautaki kusilimu jiandae na Moto wa jianam
Ndacha wafundishe neno waache maneno
Astaghafrullah mungu akusamehe ndacha...... Alhamdhulillah kwa mafunzo ya Dr. Sule Allah akuzidishie Insha'Allah 🙏
Sijui jina lake, Lakini kiukweli Mkristo kashinda debating fosho!! Mungu ni Mkristo
Maryam ALLAH Hasemehe makafiri kamwe
@@h.alshidhani8971
Mpaka asilimu
Mungu akusamehe ww tubuu mapema maana umisha dini hiyo hako sahihi
Merci pasta wa chane
Dr sule takbiriiiiii
Msomaji wa Kiislamu iko vizuri sana❤
MashaAllah
Tume mushukuru Allah kupitiya Dr SULE
Wewe, Mnafik, Allah HANA Broker, kama Sule, wala MTU yeyote!
@@molee2339hii inaweza kuwa shirki
Ndacha win %100 mungu atazami kama tunavyo tazama sisi ukiwa mkristo upo sehem sahihi
Knowledge and power of God be with you Ndacha.Jesus is Lord.continual revealing Jesus to Them.
wew acha upumbavu,kwahy had leo unaamin yesu ni mungu?mungu gan wa kumxhika nyie mukamuua mxalabak😂😂😂,hovyo mumetawaliwa na wazungu
Hyu ni wazim kabisa yesu anakuaje mungu!?? Yaan ata kwa akili za kawaida tu hawezi kua binaadam mwenye amekua akienda haja anakula anakunywa jaman anapigwa na kusulubiwa yaan kiufupi hyo mungu yesu akakubali kdhalilishwa na binaadam innalillah😢😢😢 hii ni kufuru kabisa yesu ni nabii wa mungu jaman acheni kuzua ni gharam😮 tena bac tuwaulize kama mnashangaa yesu kutokea bila baba bac mtuambie kati ya kuku au yai kilianza kitu gani!???
OH POOR ON YOU THE BLIND OR HEART AND SOUL
@@user-oh6pc7zd4s Tuambie kati ya kuku na yai kilianza kitu gani ndo mshangae yesu ktokea dunian bila baba aya nabii Adam nae!?? Wakristu akili zenu mnazijua wenyewe dadeki
Mwalimu dacha Ako juu sana ,pia Ako na hoja zenye mzingi
Safi ndacha kiboko yao waislamu hamuuwezi mziki wa yesu yesu Yuko kazini msipookoka basi Tena mnaenda kuhuukimiwa
Pongezi ndacha we love your❤
Mwandishi acha ushabiki! Aliyechanganyikiwa ni Sule sio Ndacha! Hoja za Ndacha haziwezi kujibiwa na muislamu yeyote hapa duniani!
😂😂😂 kula chuma
Wewe ukilicto nn
Wambie
Ndachaaaa mwalimu anae garagaza waislam
❤❤great
Pole msifuate mikusanyiko y a vitabu funguken Allah awaongoze
Niulize ,kwani taurati alopew nabii Moses katika Quran imo au
Mkusanyiko wa vtabu?hamjiuliz tuu Allah Waongoze
Swali gani?
Ndacha ubarikiwe sana Mungu akutunze unaeleweka sana
Abarikiwe na mungu amueke....
Inshaallah nimeujua ukweli najiunga na wakristo
Umepotea kabisa
karibu kwa dini ya ukweli,,,
Toka na mwanzo tu ww ni kafiri kwa lipi kubwa alilolisema ndacha kuacha dini yako yahaki na kuufuata ukiristo we huna akili kama ndacha
Huyu kafiri zaman
Ni kafiri tangia mwanzo,
Mungu atu vushe
Moto umewashwa kwa ajil ya majeuri allah aepushie mbali akuongoe na miongon mwa waliokufuata ndacha😭😭😭
Ndacha mbona mm sijakuelewa naona hapo ww wamkoseya mungu sana kwanza staghafiru sana piya msikilize dokt sule anavo kupa elimu vizur ila la muhimu rud kwa mola wako na umuombe maghafra akusamehe
Ndaca Fundisha Hao Wahiitao Kwamba Wanamtumikia Mwenyezi Mungu Kumbe Mfalme Wao Ni Wa Kuzimu Jamani Wakubali Wabatizwe
Akuna mwalimu wa kislamu anae weza ndacha kwa uchambuzi 🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋
Dr sulle ndio dawa yake umejionea Wacha uwongo
Tumekupa hizi haya Saba! Kwani walimpea wakiwa naa nani na mungu ni mmoja?
😂😂😂 Keisha habari yak
Sasa kwa jina lk lilivyo unadhani utamkubali dk sule
Ndacha kapigwa ambush
Ndacha Ana utafauti na abujahar
Ndacha ww ni kipuuzi sana 😢😢😢😢. Dt sule mungu. Akupe maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Unalana pa kumtukana mwalimu ndacha
Ndacha have a good life broo watu mnaona dini n kama team zampra jaribu kujioneeni huruma
Ubarikiwe saana mchungaji ,unachanganua vzr saana sielewi hata wanaposhindwa kuelewa ni wapi?
Ushawai sikia musilamu amemuelewa mcristo akiongia
Ndacha fundisha hawa waokoke na moto wa jehanamu hawaijui hawa maana njia ya kwenda kwa mungu ni moja tu. NI YESU KRISTO NDIYO NJIA KWELI NA UZIMA
Wewe una matatizo ki Akili. Huyu ndacha wako Kisha laanika utamwona baadae atakavyokuwa
Yesu katahiriwa
Bwana ndacha Ubarikiwa katika Jina LA yesu
POOR ON. U THE BLIND OF HEART AND SOUL
Yesu n nn?
@@mahamudsalim-uq4xcYESU nimwana wa Mungu naa nimwokozi wamaisha yetu vilevile ninjia kweli na uzima kwa Mungu hafiki mtu bila kupitia kwake
Ndio maneno yenu makafiri. LAANA Zinawasumbua
@@Nim68182yesu ni Mtume wa wayahudi tu. Hawahusu ninyi makafiri wengine. Mtume wa binaadamu wote ni MUHAMMAD saw
Mafundisho Mazuri mubarikiwe
Hi
Mkristo wa kwanza ni Ibilisi pinga na hilo
Towa Aya kweny Biblia kama ulisoma kwel 😂😂😂 usidanganywe na sulee jisomee mwenyewe we nip andiko kweny Biblia
Ila usisahau kuwa majini nawo walisilimu mpk sas niwaislam
@@Nim68182
Sasa unataka waisilamu tuamini bibilia 😂
Qur'an ishatuambia kila asiefiata maamrishi y Allah anamfuata shetani,
Sasa hapo kila dini nyengine ni shetani.
Kuhusu majini kuwa nibwaisilamu ni kweli ni viumbe wameumbwa kumuabudu Allah.
Na hao majini wapo mashetani ambao ndio wamemuasi Allah ambao sio waisilamu km iblis n wafuasi wake.
N viumbe km sisi wapo waisilamu wapo n wasiokuwa waisilamu.
Na wala hawataki dini nyengine kwa sababu wanajua dini zote sio z haki isipokuwa uisilamu.
Sasa wawe wakiristo kwa nini na wkt wanajua sio dini y kweli
Hahaaaa,,pole na Quran Yako ya kichawi
@@HappyMunisi-ig6he mkristo wa ni ibilisi ndacha mwenyewe amekubali andiko Hilo we nani ,makao makuu ya shetani kanisani we unasoma biblia Gani
Ndacha ni kiboko.🎉
Wakristo wengi hupewa maneno ya himani yao bila ushaidi wa maandiko ni dini propanganda tu haina ushaidi wa maandiko kazi yao ni uchawi tu wa wachungaji wao lakini hilo awalisemi kwa nini kila siku shetani toka kwa jina la yesu atatokaje na hapo ndiyo nyumbani kwake hiyo ni danganya toto tulakini hatoki hapo hamnadua kumtoa shetani kanisani hata siku moja wenyewe msharuusu ushoga kanisani sasa atatokaje apo na shetani anaupenda ushoga
Ushoga nidhambi mbele za Mungu kama dhambi zingine
Ko hakuna muislam shoga???
Lakini ndacha anakupea maandishi sio maneno kuruan inatibitisha
Hujui chochot ww ebu tulia waislam wamejaa majini ndo dini inayoongoza Kwa kuwa na wachawi wengi mnamiliki majini
Hv ww usiongee kwa kujinufaisha zungumza/andika kwa point nikuulize kitu labda hv kati ya Zanzibar na Bara wap mashoga wamejaa mm nitakwambia zenji na nitakupa ukweli ya kuwa hata bara mashoga wapemba wapo wengi na wanaonekana hivyo bas mbona husemi na nyie waislam msharuhusu ushoga mskitin kwa maana iyo usiishi kwa kukosoa dini ya mtu ama imani ya mtu ww amini tu unachoamin kwa maana hata hizi dini mbili kubwa duniani tumeletewa waafrica hatukuwa na dini kwahy mkuu amini unachoamin na sio kukandamiza dini ya mtu bro
Hakika dini mbele ya Allah ni dini ya kiislam.... Ukiristo ingekua dini wangeingia kanisani wakaanza kutumbuiza na mavazi ya Uchi, et wapo ibadani na muziki unaendelea Allah awasamehe na awaoneshe njia iliyonyooka... Amini inshallah
Unaabudu mungu unampigia instrument na makelele zote
Ndacha amekuja kutafuta pesa kwnye ukristo lkn ukwl anaujua ulipo
Unashk bibilia na umetoka chooni kujipangusa na tissue,,dini gani hyo inaruhusu jina kitabu cha.mungu ukishike ukiwa mchafu
@@aldinazani528 na janaba toopu ,maana nywele Toka alisuka Zina miezi 3 kichwa hakijatiwa maji janaba linaulizana tu we umingia lini we upo Toka lini ,aisee najivunia sanaaa kuwa muislamu
Waislamu takbir...tubatizwe wazeee ndacha zamisha kwa maji wote hao
Wislam wezangu ndacha mwache awe mbishi lakin ubishi wake ndo chanzo cha kusilimu Allah amfanyie mwepesi dokta sule ishaallah
InshaALLAH mungu ampe nia ndacha na atasilimu juu wengi wao hao wakristo walikua wabishani mwisho wakasilimu wote kwa hvo imebaki ndacha
Tunakupa hizi haya Saba! Kwani mungu ni wangapi hao wanapea mtume Mohammed hizo haya?
@@onesmusmathitu8313
Hiyo ni lugha tu inatumika, kwenue lugha y kiarabu inatumika hivyo kwa wingi km ni kujitukuza
@@zulekhaa6817 Quran inasema anaye mfanyia uadui malaika wake hasahas wawili jibrili na mikaeli ni adui wa Mungu,
Pia ikasem kuwa alie teremsha Quran moyon mwa muhamad ni adui wa jibrili
🤔🤔🤔🤔🤔 Hoooo hio imekaaj
Ndacha we kiboko umefanya nianze kufuatilia chanel hii una mafundisho mazuri zaidi
True
Ndacha yuko vizuri
Subhanallah Mwemyezi Mungu Akusamehe wewe ndacha na Matusi unayozungumuza kwamaana wewe usipopata neema ya kupata Uislamu unaishiya jahannamu milele ,so hivyo nikusahauri tu Tafuta haki Bado unanafasi ukiwa bado ungali hai
Kitabu mnachokikataa ndicho mnachokitumia basi tumieni Maandiko yenu kuliko kutukana Injili ya Kristo acheni kulazimisha imani
Ndacha ana kipaji
Tunatumia kitabu chenu Kwa sababu ndicho mnachokiamini,,so tunatumia ili kukufundisha usichokielewA
Ndacha ni mkali waislamu hamumuwezi
Ndacha hajui anachokisema maskini ya mungu ya mungu anainge mladi ashinde ila anazima ya kumjibu mungu kesho na nyie wengine msishikwe akili mwenzenu anaonge ushindani kuwaongezea maudambwi ila ukweli unajulikana uislamu ndio unaojulikana
Jaman hawawezetu jaman hawaelewe
Ndacha utamueza wapi dokt sulee
Ndacha hata ujikambe dini sahihi ni moja tu uisilim unapotea bure tu ila ww unajua vizur sana ila unapo tosha mwenzako
Hallelujah mwalimu ndacha ubarikiwe sana wewe ndiyo uitwe Dr.
Siyo huyo anae jiita Dr sule hajui kitu. Waislamu poleni.
Pole ww usie elewa maan ya dini Sasa hunukristo ndo dini Gani na imeandikwa wapi 😅😅😂
Ameeeeeen ndacha Yes the lord Jesus Christ of Nazareth is the winner
Ny'oo atawakata siku ya mwisho hyo yesu manake mmemzushia uongo😢 sio mungu bhana acheni
Thanks alot pastor ndacha you are good preacher
Hi
OH POOR ON U THE BLIND OF HEART AND SOUL
Wape vidonge..yesu ni mashindi milele watake au wasitake
Toka huko ktk ukristo mim mwezako nishatoka huko kitambo tu kwasababu dini yenyewe inaruhusu ushoga Sasa hiyo ni dini yamungu kweli? Tafakali ww huu ndy muda Sasa wa kusilimu kama mim mwezako nilivyoamua kusilimu
Uyu ndacha anajivuriga Sana Yan tatizo lake ajui kutofasir Aya za Quran anaipita hovyo hovyo shida anataka ubishi sio kuelewa na atajua anaotosha watu wengi
sure nakubar ndacha apo amna k2 mahan mungu awezi akafa yani wakristo awana akili ile ni dini ya kutafutia ela tuuu
Jamen mnisaidie kwani wanajuaje vitabu Ivo make wananisitajabisha😊😊
Wamekariri
Ndasha siyo hiyo pole sana
Duh wanadamu bwana
Yaani we ndacha kweli chenga unakataa biblia ya kiafrika alafu unaitumia hiyohiyo kujengea hoja
Huwa mnanifurahisha 😂😂😂 mungu azidi kuwajalia uzima na afya wote waislamu na wakristo coz tunaelimishana kimpango
Ya Allah muoneshe nuru ya uislamu kabla aujampata umaiti
Amin
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sule jitayarishi acha tu tukubali ulishindwa baba..i believe in references
Ndacha unawapoteza wenzako huku hawajui km wanapotezwa😊
ndacha ni umeme
Sule kama unamwamini mungu
Kwann unamabodigadi
Kama hakunakitu ndaniyake
Sasa kuna mahali manabii na mitume na mungu wanajua kitabu kinaitwa koran religion will not take us to heaven mtu ajiangalie na akae kikamilifu kwa mwenyezi mungu
Ndacha unasheriya ila huna adabu
Ukihamia ukiristo kumbe tunamuabudu Yesu sio MUNGU,hasara tupu.
Ndacha wewe umetumwa na mungu kuwaelimisha dini saf dini aliyoileta mungu duniani
Huyu jamaa anajua mungu ampe maono
Mimi nimewapenda wote kwa kunipa ufahamu lakini napenda uyu ndacha anavyochambua vitabu vyote viwili nmekuwa mkristo toka utotoni na sioni pa kwenda.
safi
Ndacha batiza hao wote
tofautisha kati ya sura wewe na aya kiswahili hujui si uombe wakufundishe tu ili upate kuelewa
Wakristo niwajinga sana
Koran inasema Mohammed alitumwa kwa watu wasio jua kusoma na kuandika.
Je nabii wako alijua kusoma na kuandika?
Mbona mwitaji wa majini akamwabia Mohammed "soma" ilihali alijua hajui kusoma?
Mjinga ni wewe usi dharau usicho ki jua
Dacha oyeee💓
Uyo ndacha angoje kuchomwa moto 2 jmn innalillah wainna ilaigh rajjiun
Ndacha hachomwi moto bali wewe utachomwa moto pamoja na mtume wenu. Maana anasema hajui atakachofanywa nae anangojea adhabu kama wewe una
@@peteremanuel8022ndomaan wanasem eti tumswalie mtume kmb hajui atakach fanywa😂😂
Na wewe Mungu akusamehe mana ujui unachoongea
Unapoteza wakristo wenzako na ilhali ukweli unajua uko wapi Allah akuongoze
Mimi nilisema kuwa sule hana imani na Mungu
Ndacha oyeeeeeeee....👏👏👏👏
Dakika tano pastor katoa aya 27 wala hajaeleweka anaongelea nini kajichosha tu
Na hamjiulizi manabii na mitume ote wamezaliwa bara la Asia iweje wazungu wa ulaya waijuwe din ya haki na halali?Munaaminije ukristo ulioletwa na wazungu toka ulaya?mumefeli kwa kweli
Waaaa kivumbi