SWALI LILILO MCHANGANYA NDACHA NA KUMPA USHINDI DR SULE JANA NIHILI NDACHA ASUBIRI KUSILIMISHWA LEO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 гру 2023
  • #AdilTV

КОМЕНТАРІ • 581

  • @raiyasaluum
    @raiyasaluum Місяць тому +4

    Mashaallah Allah akulinde Dr sule amkupe umri mrefu kwa kuulinda uislam . Waislam takbir.🤲🤲🤲🤲

  • @AhmedNagei-et5vm
    @AhmedNagei-et5vm 14 днів тому +1

    Dr sule JazakaAllah Kheir Mungu akuzidishie elimu

  • @ZigashaneByamungu
    @ZigashaneByamungu 28 днів тому +2

    Yesu si mungu bali ni mtume ❤❤❤❤❤❤❤

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys Місяць тому +2

    Dkt sule mashallah mashallah Allah akubariki sana

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 14 днів тому +2

    Msomaji wakiislam nampenda maashaallah anasoma vizuri❤

  • @user-vb4ek9jd7x
    @user-vb4ek9jd7x 3 місяці тому +10

    Ndacha unajielewa sana ubarikiwe ❤❤❤❤

  • @motivumotivunbktv4409
    @motivumotivunbktv4409 3 місяці тому +5

    Alhamdulillah Dr sule ww ni hatari sana,Allah SW akuzidishie

    • @myself4128
      @myself4128 Місяць тому

      Unashabikia mganga??

  • @raiyasaluum
    @raiyasaluum Місяць тому +2

    Ndacha kweli ww ni innalilahi wanna ilaih rajiu unapotosha wenzio kwa Kur Ani yauongo.

  • @shabanabudalah
    @shabanabudalah Місяць тому +2

    Dini ya mungu Iko wazi ktk vtabu vya mungu ,soma,3,19

  • @muhamedtwaha8225
    @muhamedtwaha8225 3 місяці тому +2

    Jazzakallahu khair Dr Sule 🙏

  • @sikudhanimagembe8190
    @sikudhanimagembe8190 16 днів тому +2

    Waislam taq taq taqbiiiiirrrr!!!! Dr. Sule maashaallah!

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 4 місяці тому +4

    Mashaallah Allah awabariki masheikh wetu

    • @mahamudsalim-uq4xc
      @mahamudsalim-uq4xc 3 місяці тому

      MashaALLAH hawa wakristo hawana muelekeo juu mapaster wao wanawadanganya juu ukiulizwa maana ukristo nini?..

    • @mahamudsalim-uq4xc
      @mahamudsalim-uq4xc 3 місяці тому

      Mungu inshaALLAH wajalie maustadh wetu awape nguvu maana hakuna cku mkristo ataweza mshinda muisilamu kwa mjadala hapo hakuna hata kidogo nadhani kila mtu anashuhudia

  • @AbinexHaje-rn5mv
    @AbinexHaje-rn5mv 3 місяці тому +1

    Nilichokisoma na Nilichokiona ni tofauti... Mungu akurehemu sanaa

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 3 місяці тому +4

    Yesu sio mungu

    • @RehemaKingu
      @RehemaKingu 2 місяці тому

      yesu mwana wa mungu

    • @vinny.morales
      @vinny.morales 16 днів тому

      Endeleeni kuabudu jiwe jeusi la Makka

  • @AbdirizakSiyat
    @AbdirizakSiyat 3 місяці тому +2

    Mashaallah by dr sule that is totally knockout

  • @allymugisha6431
    @allymugisha6431 3 місяці тому +6

    Ma sheikh wetu nyie.ALLAH.awaweke myaka miya pasina maradhi ao uze

  • @motivumotivunbktv4409
    @motivumotivunbktv4409 3 місяці тому +3

    Dr sule umepigaje apo😂😂 msomaji ubarikiwe uko vizuri sana

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 6 місяців тому +9

    Mashallah ushindi wetu waislamu innadina idallah al,islam

  • @user-ik2fz3kg9y
    @user-ik2fz3kg9y 3 місяці тому +4

    Allahu Akbar❤❤❤❤

  • @aminajuma838
    @aminajuma838 3 місяці тому +1

    Mungu akupe maisha malefu mtumish wa mungu ndacha wafundish wajue njia ya kweli ya mungu muumbaji wa vitu vyote

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655 5 місяців тому +9

    Ndacha👋👋👋🤝🙏🔥📖

  • @aminajumale6805
    @aminajumale6805 2 місяці тому

    Jazakallahu kheir

  • @mwinyiamsobabel6061
    @mwinyiamsobabel6061 5 місяців тому +9

    😂😂😂😂😂 dr. Sule umepigaje hapo

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 2 місяці тому +13

    Ndacha ni mpuuzi tu mim mwenyewe kutokana na huo mdaharo nimeamua kusilimu (MaashaaAlla)

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 2 місяці тому

      Mashallah
      Allha akuongoze kwenye haki,
      Ww una akili, n km umesilimu basi Allah kakuchagua
      Kuwa muisilamu n neema kubwa kukliko chochote.
      Usirudi nyuma mdugi yangu silimu na ukasome uisilamu usikae tu.

    • @SANDUKUTV
      @SANDUKUTV 2 місяці тому

      Allah Akbar

    • @peterluppy8843
      @peterluppy8843 2 місяці тому

      Mashallah ❤❤❤

    • @HappyMunisi-ig6he
      @HappyMunisi-ig6he 2 місяці тому

      Huna akili

    • @directorhaji2023
      @directorhaji2023 2 місяці тому

      Mashallah

  • @KhamisiJuma-xd7il
    @KhamisiJuma-xd7il 17 днів тому +1

    Uislamu ni raha sana ukweli wote umeelezew ndacha kama hautaki kusilimu jiandae na Moto wa jianam

  • @user-fu8iw8xb3n
    @user-fu8iw8xb3n 4 місяці тому +3

    Ndacha wafundishe neno waache maneno

  • @MaryamJumwa-mp2ds
    @MaryamJumwa-mp2ds 3 місяці тому +7

    Astaghafrullah mungu akusamehe ndacha...... Alhamdhulillah kwa mafunzo ya Dr. Sule Allah akuzidishie Insha'Allah 🙏

    • @johannesmusa1393
      @johannesmusa1393 3 місяці тому

      Sijui jina lake, Lakini kiukweli Mkristo kashinda debating fosho!! Mungu ni Mkristo

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 3 місяці тому +1

      Maryam ALLAH Hasemehe makafiri kamwe

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 2 місяці тому

      ​@@h.alshidhani8971
      Mpaka asilimu

  • @user-xu7de2hb2c
    @user-xu7de2hb2c 4 місяці тому +2

    Mungu akusamehe ww tubuu mapema maana umisha dini hiyo hako sahihi

  • @samueldoweramadhani6826
    @samueldoweramadhani6826 3 місяці тому

    Merci pasta wa chane

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz 5 місяців тому +5

    Dr sule takbiriiiiii

  • @babakayla4109
    @babakayla4109 6 місяців тому +6

    Msomaji wa Kiislamu iko vizuri sana❤

  • @user-zv4sx9iv8z
    @user-zv4sx9iv8z 5 місяців тому +8

    Tume mushukuru Allah kupitiya Dr SULE

    • @molee2339
      @molee2339 3 місяці тому +1

      Wewe, Mnafik, Allah HANA Broker, kama Sule, wala MTU yeyote!

    • @SANDUKUTV
      @SANDUKUTV 2 місяці тому

      ​@@molee2339hii inaweza kuwa shirki

  • @RehemaKingu
    @RehemaKingu 2 місяці тому +2

    Ndacha win %100 mungu atazami kama tunavyo tazama sisi ukiwa mkristo upo sehem sahihi

  • @claimministries4505
    @claimministries4505 5 місяців тому +4

    Knowledge and power of God be with you Ndacha.Jesus is Lord.continual revealing Jesus to Them.

    • @user-sb2tz7sk6t
      @user-sb2tz7sk6t 5 місяців тому +1

      wew acha upumbavu,kwahy had leo unaamin yesu ni mungu?mungu gan wa kumxhika nyie mukamuua mxalabak😂😂😂,hovyo mumetawaliwa na wazungu

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 5 місяців тому

      Hyu ni wazim kabisa yesu anakuaje mungu!?? Yaan ata kwa akili za kawaida tu hawezi kua binaadam mwenye amekua akienda haja anakula anakunywa jaman anapigwa na kusulubiwa yaan kiufupi hyo mungu yesu akakubali kdhalilishwa na binaadam innalillah😢😢😢 hii ni kufuru kabisa yesu ni nabii wa mungu jaman acheni kuzua ni gharam😮 tena bac tuwaulize kama mnashangaa yesu kutokea bila baba bac mtuambie kati ya kuku au yai kilianza kitu gani!???

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s 4 місяці тому

      OH POOR ON YOU THE BLIND OR HEART AND SOUL

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 4 місяці тому

      @@user-oh6pc7zd4s Tuambie kati ya kuku na yai kilianza kitu gani ndo mshangae yesu ktokea dunian bila baba aya nabii Adam nae!?? Wakristu akili zenu mnazijua wenyewe dadeki

  • @ManenoDouglas
    @ManenoDouglas Місяць тому

    Mwalimu dacha Ako juu sana ,pia Ako na hoja zenye mzingi

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq 2 місяці тому

    Safi ndacha kiboko yao waislamu hamuuwezi mziki wa yesu yesu Yuko kazini msipookoka basi Tena mnaenda kuhuukimiwa

  • @nelsonrunya4686
    @nelsonrunya4686 2 місяці тому

    Pongezi ndacha we love your❤

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi6849 3 місяці тому +10

    Mwandishi acha ushabiki! Aliyechanganyikiwa ni Sule sio Ndacha! Hoja za Ndacha haziwezi kujibiwa na muislamu yeyote hapa duniani!

  • @basilejuma
    @basilejuma 2 місяці тому

    Ndachaaaa mwalimu anae garagaza waislam

  • @petermwelesa1749
    @petermwelesa1749 3 місяці тому

    ❤❤great

  • @user-hg5vb5ct5g
    @user-hg5vb5ct5g 5 місяців тому +1

    Pole msifuate mikusanyiko y a vitabu funguken Allah awaongoze

    • @Nim68182
      @Nim68182 3 місяці тому

      Niulize ,kwani taurati alopew nabii Moses katika Quran imo au

  • @user-hg5vb5ct5g
    @user-hg5vb5ct5g 5 місяців тому +3

    Mkusanyiko wa vtabu?hamjiuliz tuu Allah Waongoze

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytz 3 місяці тому +1

    Ndacha ubarikiwe sana Mungu akutunze unaeleweka sana

  • @user-wl5pu4qe1z
    @user-wl5pu4qe1z 4 місяці тому +2

    Inshaallah nimeujua ukweli najiunga na wakristo

    • @cabylake2320
      @cabylake2320 4 місяці тому

      Umepotea kabisa

    • @punyetoke9343
      @punyetoke9343 3 місяці тому +1

      karibu kwa dini ya ukweli,,,

    • @hajiameir8688
      @hajiameir8688 3 місяці тому

      Toka na mwanzo tu ww ni kafiri kwa lipi kubwa alilolisema ndacha kuacha dini yako yahaki na kuufuata ukiristo we huna akili kama ndacha

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 3 місяці тому

      Huyu kafiri zaman

    • @user-wl8cq2rn8z
      @user-wl8cq2rn8z 3 місяці тому

      Ni kafiri tangia mwanzo,

  • @user-sw4wi9iw5x
    @user-sw4wi9iw5x 4 місяці тому

    Mungu atu vushe

  • @SadalaMahamdu-vj7iy
    @SadalaMahamdu-vj7iy 2 місяці тому

    Moto umewashwa kwa ajil ya majeuri allah aepushie mbali akuongoe na miongon mwa waliokufuata ndacha😭😭😭

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys Місяць тому

    Ndacha mbona mm sijakuelewa naona hapo ww wamkoseya mungu sana kwanza staghafiru sana piya msikilize dokt sule anavo kupa elimu vizur ila la muhimu rud kwa mola wako na umuombe maghafra akusamehe

  • @gilbertfungameza
    @gilbertfungameza 4 місяці тому +3

    Ndaca Fundisha Hao Wahiitao Kwamba Wanamtumikia Mwenyezi Mungu Kumbe Mfalme Wao Ni Wa Kuzimu Jamani Wakubali Wabatizwe

  • @RobertMadolio
    @RobertMadolio 3 місяці тому +8

    Akuna mwalimu wa kislamu anae weza ndacha kwa uchambuzi 🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋

    • @lulkul7784
      @lulkul7784 2 місяці тому

      Dr sulle ndio dawa yake umejionea Wacha uwongo

    • @onesmusmathitu8313
      @onesmusmathitu8313 2 місяці тому

      Tumekupa hizi haya Saba! Kwani walimpea wakiwa naa nani na mungu ni mmoja?

    • @peterluppy8843
      @peterluppy8843 2 місяці тому

      😂😂😂 Keisha habari yak

    • @HabasuFamily
      @HabasuFamily Місяць тому

      Sasa kwa jina lk lilivyo unadhani utamkubali dk sule

    • @HabasuFamily
      @HabasuFamily Місяць тому

      Ndacha kapigwa ambush

  • @faqueabudo161
    @faqueabudo161 5 місяців тому +2

    Ndacha Ana utafauti na abujahar

  • @ZigashaneByamungu
    @ZigashaneByamungu 28 днів тому +1

    Ndacha ww ni kipuuzi sana 😢😢😢😢. Dt sule mungu. Akupe maisha marefu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FelixMallya-xv9xu
    @FelixMallya-xv9xu 2 місяці тому +1

    Ndacha have a good life broo watu mnaona dini n kama team zampra jaribu kujioneeni huruma

  • @LEAHHAMISI-gg7ov
    @LEAHHAMISI-gg7ov 3 місяці тому

    Ubarikiwe saana mchungaji ,unachanganua vzr saana sielewi hata wanaposhindwa kuelewa ni wapi?

    • @mahamudsalim-uq4xc
      @mahamudsalim-uq4xc 3 місяці тому

      Ushawai sikia musilamu amemuelewa mcristo akiongia

  • @peteremanuel8022
    @peteremanuel8022 5 місяців тому +2

    Ndacha fundisha hawa waokoke na moto wa jehanamu hawaijui hawa maana njia ya kwenda kwa mungu ni moja tu. NI YESU KRISTO NDIYO NJIA KWELI NA UZIMA

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 3 місяці тому

      Wewe una matatizo ki Akili. Huyu ndacha wako Kisha laanika utamwona baadae atakavyokuwa

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube Місяць тому

      Yesu katahiriwa

  • @HIRBOSALESA
    @HIRBOSALESA 4 місяці тому +5

    Bwana ndacha Ubarikiwa katika Jina LA yesu

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s 4 місяці тому

      POOR ON. U THE BLIND OF HEART AND SOUL

    • @mahamudsalim-uq4xc
      @mahamudsalim-uq4xc 3 місяці тому

      Yesu n nn?

    • @Nim68182
      @Nim68182 3 місяці тому +2

      ​@@mahamudsalim-uq4xcYESU nimwana wa Mungu naa nimwokozi wamaisha yetu vilevile ninjia kweli na uzima kwa Mungu hafiki mtu bila kupitia kwake

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 3 місяці тому

      Ndio maneno yenu makafiri. LAANA Zinawasumbua

    • @h.alshidhani8971
      @h.alshidhani8971 3 місяці тому

      ​@@Nim68182yesu ni Mtume wa wayahudi tu. Hawahusu ninyi makafiri wengine. Mtume wa binaadamu wote ni MUHAMMAD saw

  • @KulekatsengeHaruni-sb6qc
    @KulekatsengeHaruni-sb6qc 5 місяців тому

    Mafundisho Mazuri mubarikiwe

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9e 6 місяців тому +5

    Mkristo wa kwanza ni Ibilisi pinga na hilo

    • @Nim68182
      @Nim68182 3 місяці тому

      Towa Aya kweny Biblia kama ulisoma kwel 😂😂😂 usidanganywe na sulee jisomee mwenyewe we nip andiko kweny Biblia
      Ila usisahau kuwa majini nawo walisilimu mpk sas niwaislam

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 2 місяці тому

      ​@@Nim68182
      Sasa unataka waisilamu tuamini bibilia 😂
      Qur'an ishatuambia kila asiefiata maamrishi y Allah anamfuata shetani,
      Sasa hapo kila dini nyengine ni shetani.
      Kuhusu majini kuwa nibwaisilamu ni kweli ni viumbe wameumbwa kumuabudu Allah.
      Na hao majini wapo mashetani ambao ndio wamemuasi Allah ambao sio waisilamu km iblis n wafuasi wake.
      N viumbe km sisi wapo waisilamu wapo n wasiokuwa waisilamu.
      Na wala hawataki dini nyengine kwa sababu wanajua dini zote sio z haki isipokuwa uisilamu.
      Sasa wawe wakiristo kwa nini na wkt wanajua sio dini y kweli

    • @HappyMunisi-ig6he
      @HappyMunisi-ig6he 2 місяці тому

      Hahaaaa,,pole na Quran Yako ya kichawi

    • @user-pl8pn7qb9e
      @user-pl8pn7qb9e Місяць тому

      @@HappyMunisi-ig6he mkristo wa ni ibilisi ndacha mwenyewe amekubali andiko Hilo we nani ,makao makuu ya shetani kanisani we unasoma biblia Gani

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 Місяць тому

    Ndacha ni kiboko.🎉

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 6 місяців тому +9

    Wakristo wengi hupewa maneno ya himani yao bila ushaidi wa maandiko ni dini propanganda tu haina ushaidi wa maandiko kazi yao ni uchawi tu wa wachungaji wao lakini hilo awalisemi kwa nini kila siku shetani toka kwa jina la yesu atatokaje na hapo ndiyo nyumbani kwake hiyo ni danganya toto tulakini hatoki hapo hamnadua kumtoa shetani kanisani hata siku moja wenyewe msharuusu ushoga kanisani sasa atatokaje apo na shetani anaupenda ushoga

    • @Nim68182
      @Nim68182 3 місяці тому

      Ushoga nidhambi mbele za Mungu kama dhambi zingine
      Ko hakuna muislam shoga???

    • @nelsonrunya4686
      @nelsonrunya4686 2 місяці тому

      Lakini ndacha anakupea maandishi sio maneno kuruan inatibitisha

    • @francisnachan1045
      @francisnachan1045 Місяць тому

      Hujui chochot ww ebu tulia waislam wamejaa majini ndo dini inayoongoza Kwa kuwa na wachawi wengi mnamiliki majini

    • @AmanMaker-wb5ss
      @AmanMaker-wb5ss 14 днів тому

      Hv ww usiongee kwa kujinufaisha zungumza/andika kwa point nikuulize kitu labda hv kati ya Zanzibar na Bara wap mashoga wamejaa mm nitakwambia zenji na nitakupa ukweli ya kuwa hata bara mashoga wapemba wapo wengi na wanaonekana hivyo bas mbona husemi na nyie waislam msharuhusu ushoga mskitin kwa maana iyo usiishi kwa kukosoa dini ya mtu ama imani ya mtu ww amini tu unachoamin kwa maana hata hizi dini mbili kubwa duniani tumeletewa waafrica hatukuwa na dini kwahy mkuu amini unachoamin na sio kukandamiza dini ya mtu bro

  • @user-rg1fz7wr7p
    @user-rg1fz7wr7p 4 місяці тому +1

    Hakika dini mbele ya Allah ni dini ya kiislam.... Ukiristo ingekua dini wangeingia kanisani wakaanza kutumbuiza na mavazi ya Uchi, et wapo ibadani na muziki unaendelea Allah awasamehe na awaoneshe njia iliyonyooka... Amini inshallah

    • @aldinazani528
      @aldinazani528 3 місяці тому

      Unaabudu mungu unampigia instrument na makelele zote

    • @aldinazani528
      @aldinazani528 3 місяці тому

      Ndacha amekuja kutafuta pesa kwnye ukristo lkn ukwl anaujua ulipo

    • @aldinazani528
      @aldinazani528 3 місяці тому

      Unashk bibilia na umetoka chooni kujipangusa na tissue,,dini gani hyo inaruhusu jina kitabu cha.mungu ukishike ukiwa mchafu

    • @user-pl8pn7qb9e
      @user-pl8pn7qb9e 3 місяці тому

      @@aldinazani528 na janaba toopu ,maana nywele Toka alisuka Zina miezi 3 kichwa hakijatiwa maji janaba linaulizana tu we umingia lini we upo Toka lini ,aisee najivunia sanaaa kuwa muislamu

  • @MathewMaliva
    @MathewMaliva Місяць тому

    Waislamu takbir...tubatizwe wazeee ndacha zamisha kwa maji wote hao

  • @user-kd5eu3bn4g
    @user-kd5eu3bn4g 3 місяці тому +3

    Wislam wezangu ndacha mwache awe mbishi lakin ubishi wake ndo chanzo cha kusilimu Allah amfanyie mwepesi dokta sule ishaallah

    • @mahamudsalim-uq4xc
      @mahamudsalim-uq4xc 3 місяці тому

      InshaALLAH mungu ampe nia ndacha na atasilimu juu wengi wao hao wakristo walikua wabishani mwisho wakasilimu wote kwa hvo imebaki ndacha

    • @onesmusmathitu8313
      @onesmusmathitu8313 2 місяці тому

      Tunakupa hizi haya Saba! Kwani mungu ni wangapi hao wanapea mtume Mohammed hizo haya?

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 2 місяці тому

      ​@@onesmusmathitu8313
      Hiyo ni lugha tu inatumika, kwenue lugha y kiarabu inatumika hivyo kwa wingi km ni kujitukuza

    • @Nim68182
      @Nim68182 Місяць тому

      @@zulekhaa6817 Quran inasema anaye mfanyia uadui malaika wake hasahas wawili jibrili na mikaeli ni adui wa Mungu,
      Pia ikasem kuwa alie teremsha Quran moyon mwa muhamad ni adui wa jibrili
      🤔🤔🤔🤔🤔 Hoooo hio imekaaj

  • @user-ct9fb5or2n
    @user-ct9fb5or2n 3 місяці тому +1

    Ndacha we kiboko umefanya nianze kufuatilia chanel hii una mafundisho mazuri zaidi

  • @turojosephrukiko1622
    @turojosephrukiko1622 4 місяці тому

    Ndacha yuko vizuri

  • @user-ek7bx6sk6f
    @user-ek7bx6sk6f 5 місяців тому +31

    Subhanallah Mwemyezi Mungu Akusamehe wewe ndacha na Matusi unayozungumuza kwamaana wewe usipopata neema ya kupata Uislamu unaishiya jahannamu milele ,so hivyo nikusahauri tu Tafuta haki Bado unanafasi ukiwa bado ungali hai

    • @EmanuelNicholaus-vn9gl
      @EmanuelNicholaus-vn9gl 5 місяців тому

      Kitabu mnachokikataa ndicho mnachokitumia basi tumieni Maandiko yenu kuliko kutukana Injili ya Kristo acheni kulazimisha imani

    • @Melikzedek-dy1nv
      @Melikzedek-dy1nv 5 місяців тому

      Ndacha ana kipaji

    • @ZeroBlen
      @ZeroBlen 5 місяців тому +4

      Tunatumia kitabu chenu Kwa sababu ndicho mnachokiamini,,so tunatumia ili kukufundisha usichokielewA

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 5 місяців тому +1

      Ndacha ni mkali waislamu hamumuwezi

    • @AyubuIbrahim
      @AyubuIbrahim 5 місяців тому +2

      Ndacha hajui anachokisema maskini ya mungu ya mungu anainge mladi ashinde ila anazima ya kumjibu mungu kesho na nyie wengine msishikwe akili mwenzenu anaonge ushindani kuwaongezea maudambwi ila ukweli unajulikana uislamu ndio unaojulikana

  • @user-sv3em3hm8u
    @user-sv3em3hm8u 4 місяці тому +1

    Jaman hawawezetu jaman hawaelewe

  • @Fatma99-ve7ys
    @Fatma99-ve7ys Місяць тому

    Ndacha utamueza wapi dokt sulee

  • @user-ey9vf2xo6l
    @user-ey9vf2xo6l Місяць тому

    Ndacha hata ujikambe dini sahihi ni moja tu uisilim unapotea bure tu ila ww unajua vizur sana ila unapo tosha mwenzako

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i 6 місяців тому

    Hallelujah mwalimu ndacha ubarikiwe sana wewe ndiyo uitwe Dr.
    Siyo huyo anae jiita Dr sule hajui kitu. Waislamu poleni.

    • @AishaAbbas-mw6ef
      @AishaAbbas-mw6ef 5 місяців тому

      Pole ww usie elewa maan ya dini Sasa hunukristo ndo dini Gani na imeandikwa wapi 😅😅😂

  • @pettybrown2655
    @pettybrown2655 5 місяців тому +1

    Ameeeeeen ndacha Yes the lord Jesus Christ of Nazareth is the winner

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 5 місяців тому

      Ny'oo atawakata siku ya mwisho hyo yesu manake mmemzushia uongo😢 sio mungu bhana acheni

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu 5 місяців тому +1

    Thanks alot pastor ndacha you are good preacher

  • @AtanasioBento-sy8xn
    @AtanasioBento-sy8xn 4 місяці тому +1

    Wape vidonge..yesu ni mashindi milele watake au wasitake

    • @JamesJastin-bg1rx
      @JamesJastin-bg1rx 2 місяці тому

      Toka huko ktk ukristo mim mwezako nishatoka huko kitambo tu kwasababu dini yenyewe inaruhusu ushoga Sasa hiyo ni dini yamungu kweli? Tafakali ww huu ndy muda Sasa wa kusilimu kama mim mwezako nilivyoamua kusilimu

  • @user-rs7rg1kd7s
    @user-rs7rg1kd7s 5 місяців тому +1

    Uyu ndacha anajivuriga Sana Yan tatizo lake ajui kutofasir Aya za Quran anaipita hovyo hovyo shida anataka ubishi sio kuelewa na atajua anaotosha watu wengi

  • @SefuChikambo
    @SefuChikambo Місяць тому

    sure nakubar ndacha apo amna k2 mahan mungu awezi akafa yani wakristo awana akili ile ni dini ya kutafutia ela tuuu

  • @AbihudiMbekomize-py8fb
    @AbihudiMbekomize-py8fb Місяць тому

    Jamen mnisaidie kwani wanajuaje vitabu Ivo make wananisitajabisha😊😊

  • @user-mj2jw2ms4o
    @user-mj2jw2ms4o 4 місяці тому

    Ndasha siyo hiyo pole sana

  • @ElizmasLiving-xw4pk
    @ElizmasLiving-xw4pk Місяць тому

    Duh wanadamu bwana

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9e 6 місяців тому +1

    Yaani we ndacha kweli chenga unakataa biblia ya kiafrika alafu unaitumia hiyohiyo kujengea hoja

  • @ramadhanimwambeni1259
    @ramadhanimwambeni1259 3 місяці тому

    Huwa mnanifurahisha 😂😂😂 mungu azidi kuwajalia uzima na afya wote waislamu na wakristo coz tunaelimishana kimpango

  • @MohammedMo-ew7el
    @MohammedMo-ew7el 5 місяців тому +1

    Ya Allah muoneshe nuru ya uislamu kabla aujampata umaiti

  • @zakayohafidh
    @zakayohafidh 3 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @gudogodana9704
    @gudogodana9704 2 місяці тому

    Sule jitayarishi acha tu tukubali ulishindwa baba..i believe in references

  • @el_khaydary
    @el_khaydary 2 місяці тому

    Ndacha unawapoteza wenzako huku hawajui km wanapotezwa😊

  • @DominickFranciss
    @DominickFranciss 2 місяці тому

    Sule kama unamwamini mungu
    Kwann unamabodigadi
    Kama hakunakitu ndaniyake

  • @EuniceNgigi-ot6pg
    @EuniceNgigi-ot6pg 5 місяців тому +1

    Sasa kuna mahali manabii na mitume na mungu wanajua kitabu kinaitwa koran religion will not take us to heaven mtu ajiangalie na akae kikamilifu kwa mwenyezi mungu

  • @user-ik5lm6ky2s
    @user-ik5lm6ky2s 2 місяці тому

    Ndacha unasheriya ila huna adabu

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji5869 27 днів тому

    Ukihamia ukiristo kumbe tunamuabudu Yesu sio MUNGU,hasara tupu.

  • @alphapetro4901
    @alphapetro4901 2 дні тому

    Ndacha wewe umetumwa na mungu kuwaelimisha dini saf dini aliyoileta mungu duniani

  • @baltonichiwanga8976
    @baltonichiwanga8976 3 місяці тому

    Huyu jamaa anajua mungu ampe maono

  • @Mwendoo
    @Mwendoo 4 місяці тому +1

    Mimi nimewapenda wote kwa kunipa ufahamu lakini napenda uyu ndacha anavyochambua vitabu vyote viwili nmekuwa mkristo toka utotoni na sioni pa kwenda.

  • @MathewMaliva
    @MathewMaliva Місяць тому

    Ndacha batiza hao wote

  • @user-pl8pn7qb9e
    @user-pl8pn7qb9e 6 місяців тому +2

    tofautisha kati ya sura wewe na aya kiswahili hujui si uombe wakufundishe tu ili upate kuelewa

  • @suleymanmrutu9498
    @suleymanmrutu9498 6 місяців тому +3

    Wakristo niwajinga sana

    • @josephmuchina3051
      @josephmuchina3051 6 місяців тому +2

      Koran inasema Mohammed alitumwa kwa watu wasio jua kusoma na kuandika.
      Je nabii wako alijua kusoma na kuandika?
      Mbona mwitaji wa majini akamwabia Mohammed "soma" ilihali alijua hajui kusoma?

    • @user-dt4nz4ly1s
      @user-dt4nz4ly1s 4 місяці тому

      Mjinga ni wewe usi dharau usicho ki jua

  • @geoffreymutisya9747
    @geoffreymutisya9747 3 місяці тому +1

    Dacha oyeee💓

  • @user-gm3lt7ei1x
    @user-gm3lt7ei1x 5 місяців тому +2

    Uyo ndacha angoje kuchomwa moto 2 jmn innalillah wainna ilaigh rajjiun

    • @peteremanuel8022
      @peteremanuel8022 5 місяців тому +1

      Ndacha hachomwi moto bali wewe utachomwa moto pamoja na mtume wenu. Maana anasema hajui atakachofanywa nae anangojea adhabu kama wewe una

    • @Nim68182
      @Nim68182 5 місяців тому +1

      ​@@peteremanuel8022ndomaan wanasem eti tumswalie mtume kmb hajui atakach fanywa😂😂

    • @MohammedMo-ew7el
      @MohammedMo-ew7el 5 місяців тому

      Na wewe Mungu akusamehe mana ujui unachoongea

    • @MohammedMo-ew7el
      @MohammedMo-ew7el 5 місяців тому

      Unapoteza wakristo wenzako na ilhali ukweli unajua uko wapi Allah akuongoze

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian 2 місяці тому

    Mimi nilisema kuwa sule hana imani na Mungu

  • @StevenMgassa
    @StevenMgassa 2 місяці тому +1

    Ndacha oyeeeeeeee....👏👏👏👏

  • @kamandadubu2563
    @kamandadubu2563 3 місяці тому

    Dakika tano pastor katoa aya 27 wala hajaeleweka anaongelea nini kajichosha tu

  • @user-sb2tz7sk6t
    @user-sb2tz7sk6t 5 місяців тому +1

    Na hamjiulizi manabii na mitume ote wamezaliwa bara la Asia iweje wazungu wa ulaya waijuwe din ya haki na halali?Munaaminije ukristo ulioletwa na wazungu toka ulaya?mumefeli kwa kweli

  • @user-gw4ti6vi5e
    @user-gw4ti6vi5e 5 місяців тому

    Waaaa kivumbi