Jamal (The Story Book): Fahamu kwanini Diamond alimuamini na kumpa cheo Wasafi TV, kujua vitu vingi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • BONYEZA LINK HII KUTAZAMA SEHEMU YA PILI YA MAHOJIANO HAYA - • Jamal (The Story Book)...

КОМЕНТАРІ • 273

  • @cyrabrown8609
    @cyrabrown8609 4 роки тому +51

    Mimi hufuatilia Sana story book na wacha niseme this a very intelligent man

  • @marcelinojunior6340
    @marcelinojunior6340 4 роки тому +25

    Nimejifunza kitu kutoka kwa Jamal,we need to be hardworking and much exposed ilikufika mbali, thank Jamal vijana tumekuelewa👍

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 4 роки тому +25

    Jamal ww Ni mbunifu mzur Sana tunakujua vzr kwasababu unajionesha kwa tv sio Kama wengine tunasikia sauti tu

  • @joshuakimbe1251
    @joshuakimbe1251 4 роки тому +45

    hongera kwa kazi nzuri bro sky napenda sana harakati zako nakufatilia tokea RFA wewe ni miongoni mwa hazina kubwa sana katika tasnia ya habari na burudani kwa ujumla kwanza kabisa huna ubinafsi kila anae stahili anapewa interview pili media yako haiposti habari bila uthibitisho pongezi nyingi kwa na team nzima ya ya sns

  • @OmanOman-gp7xm
    @OmanOman-gp7xm 3 роки тому +3

    Aisee jamal kweli kilamtu nakipaji chake kusimulia kubali nikipaji chako Asante mungu Akuongoze zaidi nakupa hongera sanaaa naitwa nalay niko ughaibuni uku

  • @janatahmad7048
    @janatahmad7048 4 роки тому +40

    ni kweli wakubal wsf ni radio kubwa sana

  • @EmmOmb19367
    @EmmOmb19367 2 роки тому +4

    With no scepticism, this guy is brilliant And his sentational narratives are addictive, Big 💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mr Jamal

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 4 роки тому +19

    Jamal, Alikuwa producer wa e newz shot back na alikuwa anatangza hiyo segment alikuwa fundi sana.. And still ni fundi sana coz kichwa Chake kina mambo kibao sana

    • @leahkilagwa2207
      @leahkilagwa2207 3 роки тому

      True but nilikuwa nataman awe anaendelaea but ulikuwa mfupi

  • @stephanieeunice8572
    @stephanieeunice8572 4 роки тому +27

    The love I have for this guy,he is a free Thinker.And as always intelligence turn me on,I love this guy

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 4 роки тому +31

    Much respect to both of you

  • @yeasrmsafi7152
    @yeasrmsafi7152 4 роки тому +40

    Sijutii MB zangu shukran sana

    • @cax1338
      @cax1338 3 роки тому +1

      😂😂😂 true....

  • @petermichagojr5521
    @petermichagojr5521 4 роки тому +14

    Daaa jamaa huyu ni noma sana 💪👍

  • @hustlerstv8248
    @hustlerstv8248 Рік тому +3

    One of the fathers of history from Tanzania 🇹🇿 👏 from nakuru Kenya 🇰🇪 we love him ❤

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 4 роки тому +22

    Prof..Jamal.. respect bro..

  • @bujsaudaselemani5562
    @bujsaudaselemani5562 4 роки тому +13

    Ongereni sana kwakumleta jamali na mkumbali sana❤️❤️❤️❤️❤️

  • @godfreygeorge4613
    @godfreygeorge4613 3 роки тому +4

    Kwa hii interview bundala unastahili 1million subscriber much respect to u bro! Best interview ever!

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.9466 4 роки тому +21

    Dah! Big up Professor 🔥🔥🔥
    #WASAFIMEDIA 🔥🔥🔥🙌

  • @chainbre275
    @chainbre275 4 роки тому +24

    Mengi nimejifunza congrats #sns for this perfect opportunity that ur trying to give people to talk and to express their thoughts thoughts of success with with us 🙌💯❤️❤️❤️

  • @AbuArafat001
    @AbuArafat001 4 роки тому +32

    Nilipenda janaa alivoo towaa story ya nelson Mandela madibaa

  • @ramadhanminani314
    @ramadhanminani314 3 роки тому +4

    Much respect bro huwaga namkubali Sana huyu mwamba

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 4 роки тому +14

    Namuelewa sana Jamal professor

  • @famorsn9834
    @famorsn9834 4 роки тому +20

    nan amegundua profesa ni mpole sana.

  • @tumahamza8972
    @tumahamza8972 4 роки тому +6

    Katika vijana wachache wa sasa wanaoongea kiswahili kizuri,Jamal nitakuweka kwenye kumi bora. Nimependa sana lafudhi yako. Hata siamimi kuwa umezaliwa Dar na kukulia Dar. Huwa nakerwa sana na watu wanaoharibu kiswahili. Sasa hivi watu wameharibu mno kiswahili. Hakuna tofauti ya "R" na "L", H inawekwa sehemu ya A nk. Nachukia sana. Tena wengine eti wanajiita waandishi wa habari!!!

    • @ngaukamaita8449
      @ngaukamaita8449 3 роки тому

      Tatizo sugu la uharibifu wa Kiswahili

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 роки тому +1

      Bro tupo wengi tunaokerwa na UHARIBIFU huo..!
      Na to be honest, "WAANDISHI WA HABARI" ndo wa kwanza kuharibu lugha yetu adhimu ya Kiswahili

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 3 роки тому

      True say

  • @naslee1010
    @naslee1010 4 роки тому +9

    umetisha sana #jamal pamoja na #sky

  • @BravoMedia23
    @BravoMedia23 4 роки тому +11

    SNS my Favorite Online Tv

  • @azirplatnums6958
    @azirplatnums6958 4 роки тому +7

    "Msingi wa elimu hauko kwenye umri"🙌

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 4 роки тому +20

    Wanang wa kibiti boyz (keybeat) kwa Njawa hit like apa

    • @hemedijr8333
      @hemedijr8333 4 роки тому

      Njawa namkumbuka pia mzumbe boys pale hahaha

  • @mikefuraha1345
    @mikefuraha1345 4 роки тому +21

    If you get give...if learn teach

  • @aftermath5226
    @aftermath5226 4 роки тому +12

    Safi sana Jamal... Ni Professor wa Kwanza anaye jisifia juu ya yale anayoyafanya 😁✌ it's magical thing to seeing yourself on what you doing before anyone else, it's a great thing - Lusekelo A.M

  • @hadijasaid8032
    @hadijasaid8032 Рік тому +1

    Jamal Mashallah Mashallah napenda sana unavyo hadithia you are so amazing hongera sana mungu akubariki

  • @josephmkuar7133
    @josephmkuar7133 4 роки тому +10

    Wangoni tumebarikiwa Sana Hekima Hongera Sana professor

  • @mustafauledi6258
    @mustafauledi6258 3 роки тому +1

    Huyu jamaa anatisha namkubali vibaya sana. Mungu akuongoze kwenye kazi zako. Wasafi sehemu sahihi kwako Jamal, Amini nachokuambia wasafi sehemu salama

  • @joelmwamlima9412
    @joelmwamlima9412 4 роки тому +3

    Nimejifunza Vitu vingii sana kwenye hii Interview... sababu kubwa zaiidi ni kwakua nawakubali wote mtangazaji na mgeni. Sky na Jamal..

  • @ramamussa3375
    @ramamussa3375 4 роки тому +6

    Prof jamal nakukubali sana kk

  • @aliceprincess3370
    @aliceprincess3370 3 роки тому +4

    The story book it very public even us in Australia we are proud of you ❤️❤️

  • @shabanikaniki9747
    @shabanikaniki9747 4 роки тому +2

    Jamaa anasomaa sanaa kumbe ndo maana the story book inaupekee fulan hv tofauti na story nyingine🔥

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 4 роки тому +15

    Mm nampenda Sana professor Jamal april

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 роки тому +33

    Kama Proffesor anakubali Diamond ni akili nyingi mimi nibishe ni nani?
    #MondiBabaLao

  • @gracewella2664
    @gracewella2664 4 роки тому +2

    The story Book my Fav kipindi....Jamal upo vzr sana

  • @salumsultan1227
    @salumsultan1227 4 роки тому +6

    ...Good ..great int.. 👏...Jamal!!

  • @timochazze9845
    @timochazze9845 4 роки тому +11

    Diamond ni poa sana

  • @user-rr6iq2do6v
    @user-rr6iq2do6v Рік тому

    Jamal, you are a man of people.
    I Burundi turagukurikirana ukora neza.
    Warundi tunakufuatilia kwa uwezo mzuri wako.

  • @simonmolanga2250
    @simonmolanga2250 4 роки тому +13

    Professor 🙌🏽

  • @chachadavid3849
    @chachadavid3849 4 роки тому +16

    That is the best interview much respect sns and professol jamal

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 4 роки тому +1

    Daaah kumbe wew ni Professor kabisa si kwa maelezo hayo duuh love you professor

  • @martinezsiwale4419
    @martinezsiwale4419 4 роки тому +9

    Jaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaal fundi

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 8 місяців тому

    Kinachonistaajabisha ni kwamba Jamal amezaliwa dar na kukulia dar. Alafu anazungumza KISWAHILI FASAHA KABISA. kwenye R. anaitamka R. Na kwenye L anaitamka vizuri L. . Nachukia sana wazaliwa wa dar wanavyokiharibu kiswahili . Mpaka hapo namuona Jamal ni number 1 Tz kwa kiswahili Fasaha

  • @arifismael5609
    @arifismael5609 4 роки тому +5

    Prof .jamal .big up

  • @samuelmajule54
    @samuelmajule54 7 місяців тому

    Jamal nakukubali and I say big up sana my young brother.

  • @itNeza
    @itNeza 4 роки тому +4

    @simulizi Mleteni Big chawa

  • @annapeter5570
    @annapeter5570 4 роки тому +5

    Yan ww kaka hamna siku umenikosha kuliko leo I lv Jamal oooh my god

  • @josephsimba3007
    @josephsimba3007 Рік тому

    Nakupenda bure Jamel kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪👏👏👏🔥🔥🔥 unafanya vizuri sana 💪💪

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 3 роки тому

    Asante kwa kutuletea Jamal April,sauti yake sasa!yaani hapo mmekutana....mbarikiwe Sana!nawapenda Sana!

  • @shabankawambwa4397
    @shabankawambwa4397 4 роки тому +16

    Tulia wasafi wewe #usitokee na dirishani wewe

  • @kaburaakbar7069
    @kaburaakbar7069 4 роки тому +12

    Jamal nakukubal san

  • @ngalowoka
    @ngalowoka 4 роки тому +4

    Namkubali sana jamal

  • @joycekathambi3072
    @joycekathambi3072 3 роки тому

    You are very intelligent Jamal, mi ni mfuatiliaji WA the Story book

  • @henryevarest6862
    @henryevarest6862 4 роки тому +4

    Keep up the good work Jamal, Your Inspirational 👏

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 4 роки тому +5

    Nakuelewa sana ndugu

  • @sharonchristian3711
    @sharonchristian3711 4 роки тому +7

    💓💓💓this guy

  • @angelmashauri6961
    @angelmashauri6961 4 роки тому

    Ahsante sana Jamal kwa kutuletea simulizi nzuri na za kusisismua ndani ya Wasafi Media. Mimi na familia yangu tunakufuatilia na kukukubali sana...Mungu azidi kukuongoza...🙏

  • @kinyovukilongola5620
    @kinyovukilongola5620 4 роки тому +21

    Uyo jamaa ni konyoo ana madini adi anakeraa

  • @HurumaMbazu
    @HurumaMbazu 5 місяців тому

    Nimekubali professor Jamal

  • @tibayawaafrica
    @tibayawaafrica Місяць тому

    Asante sana kaka kwa kipindi kizuri kama hiki

  • @eliaumetishatish2693
    @eliaumetishatish2693 3 роки тому

    nimejifunza meng Sana leo Jamal uko vzur na mungu akutangulie kwa kila jambo

  • @innocentmbise4777
    @innocentmbise4777 4 роки тому +7

    Mwamba uyu jamaaaa

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 4 роки тому +4

    Bro tuletee big chawa hahahahaha miyeyusho sana yule nyau

  • @mpembajuice8780
    @mpembajuice8780 4 роки тому +2

    September eleven11 wasaf media daah jamaa ulitisha sana

  • @jaydenkariuki6595
    @jaydenkariuki6595 4 роки тому +2

    Hongera jamal mustapha

  • @josephmkuar7133
    @josephmkuar7133 4 роки тому +6

    Huyo ni professor

  • @zephanialeonard3166
    @zephanialeonard3166 4 роки тому +5

    BRO WIMBO WKO TU WA ONLY U. NAUPND KILA CKU NA SAIT AKO MAGORI MBAYA ZAID ULIEMSHRIKISHA DAAA! HTAREEEE SANA. LOV U DUE 2 THE SONG

  • @swahumathumani2636
    @swahumathumani2636 3 роки тому

    I like this good wow aah Prof Jamal Mustafah

  • @Majambo_Duniani_Tv
    @Majambo_Duniani_Tv 4 роки тому +5

    respect jamal

  • @elarifmohamed5681
    @elarifmohamed5681 4 роки тому +3

    Ta ben parlé jamal🏆🏆🏆

  • @safariadrien5348
    @safariadrien5348 4 роки тому +8

    Ndio maana ukamushinda ule kijana uliwahi kuandikia stories

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha 4 роки тому +3

    Nakubal sana

  • @massawejose3594
    @massawejose3594 4 роки тому +4

    Wewe ni mtu makini sana #jamal

  • @isco49
    @isco49 4 роки тому +4

    Napenda unavyo nyoa

  • @godihkibe5728
    @godihkibe5728 3 роки тому

    From 254 apa ,,ukiacha masomo uyu jamaa physical appearance enyewe n professor big up

  • @malaikaangel1968
    @malaikaangel1968 4 роки тому +3

    we love admire Jamal

  • @simonkabeya7251
    @simonkabeya7251 Рік тому

    Jamal nakubali saana bro Ila natamani saana tuonane from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩congo

  • @danielkenedy4357
    @danielkenedy4357 4 роки тому

    Mwamba namuelew sana ,haswa kipindi walikuw pamoja na abdala mtiga, it was too 🔥

  • @felisterjosef6605
    @felisterjosef6605 4 роки тому +6

    🎧🎧😎😎

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 3 роки тому

    Manshallah uwo namkubal sana Jamal huwa najifunza vitu vingi kupitia jamal

  • @selemanmayala9374
    @selemanmayala9374 3 роки тому +2

    Jamal A

  • @willyjulius4907
    @willyjulius4907 4 роки тому +6

    Uyu jamaa anajua xana

  • @didasrichard3068
    @didasrichard3068 3 роки тому +2

    Dope

  • @mohamedidd3145
    @mohamedidd3145 4 роки тому +6

    💪💪 💪

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 3 роки тому +1

    Interview kali sana 🔥 🔥🔥

  • @beliusbugingo9526
    @beliusbugingo9526 3 роки тому

    Jamal umetisha na presenter n noma

  • @francismsami2169
    @francismsami2169 4 роки тому +5

    Aah schoolmate jitegemee jiteuteeee✊✊✊

  • @user-uq6pb7yh6e
    @user-uq6pb7yh6e Рік тому

    Nice jml

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 роки тому

    Namkubali sana jamal profesa

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 2 роки тому

    Nawapendanga sana hawajamaa wawli 😍😍😍 😘😘😘

  • @teresiahazivirawa-tz7gw
    @teresiahazivirawa-tz7gw 9 місяців тому

    Yes ❤️

  • @danielmsafi
    @danielmsafi 9 місяців тому

    I love this guy ❤️❤️

  • @rosemofuga6313
    @rosemofuga6313 3 роки тому

    Hongera sana brother Fred na your young brother Chris

  • @bamuucmba92
    @bamuucmba92 3 роки тому +1

    Mh yani wewe ni noma professor

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 3 роки тому +1

    Safi Sana

  • @makoyebq879
    @makoyebq879 4 роки тому +4

    Jamal April