hongera kwa kazi nzuri bro sky napenda sana harakati zako nakufatilia tokea RFA wewe ni miongoni mwa hazina kubwa sana katika tasnia ya habari na burudani kwa ujumla kwanza kabisa huna ubinafsi kila anae stahili anapewa interview pili media yako haiposti habari bila uthibitisho pongezi nyingi kwa na team nzima ya ya sns
Jamal, Alikuwa producer wa e newz shot back na alikuwa anatangza hiyo segment alikuwa fundi sana.. And still ni fundi sana coz kichwa Chake kina mambo kibao sana
Mengi nimejifunza congrats #sns for this perfect opportunity that ur trying to give people to talk and to express their thoughts thoughts of success with with us 🙌💯❤️❤️❤️
Katika vijana wachache wa sasa wanaoongea kiswahili kizuri,Jamal nitakuweka kwenye kumi bora. Nimependa sana lafudhi yako. Hata siamimi kuwa umezaliwa Dar na kukulia Dar. Huwa nakerwa sana na watu wanaoharibu kiswahili. Sasa hivi watu wameharibu mno kiswahili. Hakuna tofauti ya "R" na "L", H inawekwa sehemu ya A nk. Nachukia sana. Tena wengine eti wanajiita waandishi wa habari!!!
Safi sana Jamal... Ni Professor wa Kwanza anaye jisifia juu ya yale anayoyafanya 😁✌ it's magical thing to seeing yourself on what you doing before anyone else, it's a great thing - Lusekelo A.M
Kinachonistaajabisha ni kwamba Jamal amezaliwa dar na kukulia dar. Alafu anazungumza KISWAHILI FASAHA KABISA. kwenye R. anaitamka R. Na kwenye L anaitamka vizuri L. . Nachukia sana wazaliwa wa dar wanavyokiharibu kiswahili . Mpaka hapo namuona Jamal ni number 1 Tz kwa kiswahili Fasaha
Ahsante sana Jamal kwa kutuletea simulizi nzuri na za kusisismua ndani ya Wasafi Media. Mimi na familia yangu tunakufuatilia na kukukubali sana...Mungu azidi kukuongoza...🙏
Mimi hufuatilia Sana story book na wacha niseme this a very intelligent man
Sure
Nimejifunza kitu kutoka kwa Jamal,we need to be hardworking and much exposed ilikufika mbali, thank Jamal vijana tumekuelewa👍
🙏🙏
Jamal ww Ni mbunifu mzur Sana tunakujua vzr kwasababu unajionesha kwa tv sio Kama wengine tunasikia sauti tu
hongera kwa kazi nzuri bro sky napenda sana harakati zako nakufatilia tokea RFA wewe ni miongoni mwa hazina kubwa sana katika tasnia ya habari na burudani kwa ujumla kwanza kabisa huna ubinafsi kila anae stahili anapewa interview pili media yako haiposti habari bila uthibitisho pongezi nyingi kwa na team nzima ya ya sns
Nakukubali sana
Aisee jamal kweli kilamtu nakipaji chake kusimulia kubali nikipaji chako Asante mungu Akuongoze zaidi nakupa hongera sanaaa naitwa nalay niko ughaibuni uku
ni kweli wakubal wsf ni radio kubwa sana
With no scepticism, this guy is brilliant And his sentational narratives are addictive, Big 💕 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Mr Jamal
Jamal, Alikuwa producer wa e newz shot back na alikuwa anatangza hiyo segment alikuwa fundi sana.. And still ni fundi sana coz kichwa Chake kina mambo kibao sana
True but nilikuwa nataman awe anaendelaea but ulikuwa mfupi
The love I have for this guy,he is a free Thinker.And as always intelligence turn me on,I love this guy
Me too
Turning you on
Much respect to both of you
Sijutii MB zangu shukran sana
😂😂😂 true....
Daaa jamaa huyu ni noma sana 💪👍
One of the fathers of history from Tanzania 🇹🇿 👏 from nakuru Kenya 🇰🇪 we love him ❤
Prof..Jamal.. respect bro..
Ongereni sana kwakumleta jamali na mkumbali sana❤️❤️❤️❤️❤️
Kwa hii interview bundala unastahili 1million subscriber much respect to u bro! Best interview ever!
Dah! Big up Professor 🔥🔥🔥
#WASAFIMEDIA 🔥🔥🔥🙌
Mengi nimejifunza congrats #sns for this perfect opportunity that ur trying to give people to talk and to express their thoughts thoughts of success with with us 🙌💯❤️❤️❤️
Nilipenda janaa alivoo towaa story ya nelson Mandela madibaa
Much respect bro huwaga namkubali Sana huyu mwamba
Namuelewa sana Jamal professor
nan amegundua profesa ni mpole sana.
Kweli ni mpole na mstaarabu
Katika vijana wachache wa sasa wanaoongea kiswahili kizuri,Jamal nitakuweka kwenye kumi bora. Nimependa sana lafudhi yako. Hata siamimi kuwa umezaliwa Dar na kukulia Dar. Huwa nakerwa sana na watu wanaoharibu kiswahili. Sasa hivi watu wameharibu mno kiswahili. Hakuna tofauti ya "R" na "L", H inawekwa sehemu ya A nk. Nachukia sana. Tena wengine eti wanajiita waandishi wa habari!!!
Tatizo sugu la uharibifu wa Kiswahili
Bro tupo wengi tunaokerwa na UHARIBIFU huo..!
Na to be honest, "WAANDISHI WA HABARI" ndo wa kwanza kuharibu lugha yetu adhimu ya Kiswahili
True say
umetisha sana #jamal pamoja na #sky
SNS my Favorite Online Tv
"Msingi wa elimu hauko kwenye umri"🙌
Wanang wa kibiti boyz (keybeat) kwa Njawa hit like apa
Njawa namkumbuka pia mzumbe boys pale hahaha
If you get give...if learn teach
Safi sana Jamal... Ni Professor wa Kwanza anaye jisifia juu ya yale anayoyafanya 😁✌ it's magical thing to seeing yourself on what you doing before anyone else, it's a great thing - Lusekelo A.M
It's good ee
Jamal Mashallah Mashallah napenda sana unavyo hadithia you are so amazing hongera sana mungu akubariki
Wangoni tumebarikiwa Sana Hekima Hongera Sana professor
Kweli wangoni tunatisha
Woyooooo🔥
Huyu jamaa anatisha namkubali vibaya sana. Mungu akuongoze kwenye kazi zako. Wasafi sehemu sahihi kwako Jamal, Amini nachokuambia wasafi sehemu salama
Nimejifunza Vitu vingii sana kwenye hii Interview... sababu kubwa zaiidi ni kwakua nawakubali wote mtangazaji na mgeni. Sky na Jamal..
Prof jamal nakukubali sana kk
The story book it very public even us in Australia we are proud of you ❤️❤️
Jamaa anasomaa sanaa kumbe ndo maana the story book inaupekee fulan hv tofauti na story nyingine🔥
Mm nampenda Sana professor Jamal april
Kama Proffesor anakubali Diamond ni akili nyingi mimi nibishe ni nani?
#MondiBabaLao
The story Book my Fav kipindi....Jamal upo vzr sana
...Good ..great int.. 👏...Jamal!!
Diamond ni poa sana
Jamal, you are a man of people.
I Burundi turagukurikirana ukora neza.
Warundi tunakufuatilia kwa uwezo mzuri wako.
Professor 🙌🏽
That is the best interview much respect sns and professol jamal
Daaah kumbe wew ni Professor kabisa si kwa maelezo hayo duuh love you professor
Hv ndugu yangu uko wapi??
Jaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaal fundi
Kinachonistaajabisha ni kwamba Jamal amezaliwa dar na kukulia dar. Alafu anazungumza KISWAHILI FASAHA KABISA. kwenye R. anaitamka R. Na kwenye L anaitamka vizuri L. . Nachukia sana wazaliwa wa dar wanavyokiharibu kiswahili . Mpaka hapo namuona Jamal ni number 1 Tz kwa kiswahili Fasaha
Prof .jamal .big up
Jamal nakukubali and I say big up sana my young brother.
@simulizi Mleteni Big chawa
Yan ww kaka hamna siku umenikosha kuliko leo I lv Jamal oooh my god
Nakupenda bure Jamel kutoka congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪👏👏👏🔥🔥🔥 unafanya vizuri sana 💪💪
Asante kwa kutuletea Jamal April,sauti yake sasa!yaani hapo mmekutana....mbarikiwe Sana!nawapenda Sana!
Tulia wasafi wewe #usitokee na dirishani wewe
Jamal nakukubal san
Namkubali sana jamal
You are very intelligent Jamal, mi ni mfuatiliaji WA the Story book
Keep up the good work Jamal, Your Inspirational 👏
Nakuelewa sana ndugu
💓💓💓this guy
Ahsante sana Jamal kwa kutuletea simulizi nzuri na za kusisismua ndani ya Wasafi Media. Mimi na familia yangu tunakufuatilia na kukukubali sana...Mungu azidi kukuongoza...🙏
Uyo jamaa ni konyoo ana madini adi anakeraa
Nimekubali professor Jamal
Asante sana kaka kwa kipindi kizuri kama hiki
nimejifunza meng Sana leo Jamal uko vzur na mungu akutangulie kwa kila jambo
Mwamba uyu jamaaaa
Bro tuletee big chawa hahahahaha miyeyusho sana yule nyau
September eleven11 wasaf media daah jamaa ulitisha sana
Hongera jamal mustapha
Huyo ni professor
BRO WIMBO WKO TU WA ONLY U. NAUPND KILA CKU NA SAIT AKO MAGORI MBAYA ZAID ULIEMSHRIKISHA DAAA! HTAREEEE SANA. LOV U DUE 2 THE SONG
I like this good wow aah Prof Jamal Mustafah
respect jamal
Ta ben parlé jamal🏆🏆🏆
Ndio maana ukamushinda ule kijana uliwahi kuandikia stories
Nakubal sana
Wewe ni mtu makini sana #jamal
Napenda unavyo nyoa
ako sawa
From 254 apa ,,ukiacha masomo uyu jamaa physical appearance enyewe n professor big up
we love admire Jamal
Jamal nakubali saana bro Ila natamani saana tuonane from🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩congo
Mwamba namuelew sana ,haswa kipindi walikuw pamoja na abdala mtiga, it was too 🔥
🎧🎧😎😎
Manshallah uwo namkubal sana Jamal huwa najifunza vitu vingi kupitia jamal
Jamal A
Uyu jamaa anajua xana
Dope
💪💪 💪
Interview kali sana 🔥 🔥🔥
Jamal umetisha na presenter n noma
Aah schoolmate jitegemee jiteuteeee✊✊✊
Nice jml
Namkubali sana jamal profesa
Nawapendanga sana hawajamaa wawli 😍😍😍 😘😘😘
Yes ❤️
I love this guy ❤️❤️
Hongera sana brother Fred na your young brother Chris
Mh yani wewe ni noma professor
Safi Sana
Jamal April