Me mtanzania naskiza sana ngoma za khalighraph. OG ni biggest rapper huezi mlinganisha na fido kwa chochote kile... Simsifii ni haki anajituma na anafanya vema
@@lakasid3860Sasa imekuwaje mwaongea kuhusu mtu hamumjui? 😂😂 punguzeni nyege watoto wa kiume Khaligraph yuatambulika Africa nzima na nje ya Africa huyo mama wa kiswazi fido akaimbe taarabu hip hop iko na wenyewe.
The OG shall be respected, King Khali is not in your league. I love and respect Tz music & artists but Our King is on another level. Kujicompare na the OG ni kama kucompare our currencies 🤣🤣🤣 Respect the OG !!!
Khaligraph alioshwa na Roma kwenye ngoma yake mwenyewe.Jamaa ni mzuri kuflow na Kiingereza lakini mistari yake ni ya kawaida,haina punchline nyingi ambayo itakufanya uumize kichwa. Mimi ni Mkenya lakini uzalendo wangu ni kwa Hip Hop. Tz wako fiti tangu enzi za Mr.2,Prof Jay , Fid q mpaka enzi za Dizasta,Stamina,Songa,Toxic...Jamaa wanawakilisha vizuri.
KENYA iko mbele kwenye hiphop, Tanzania iko mbele kwa bongo. Nyimbo za Kenya na Tanzania siyo kitu cha kulinganisha maana ni nyimbo tofauti sana. Kenya huimba Genge na hiphop, ila Tanzania wakona Bongo, Amapiano lakini kwa rap hampo kabisa.
Kali haezi kuja bongo cz hamuezi kumlipa hamuna hela zakutulipa labda muje nyinyi huku tuwalipe bt kama ni bongo hamuezi kutulipa sasa kana 1000 ya kenya huko mwajaza gunia sasa ww waeza ongea nn acha udwanzi bro ww endelea kujipaka mikorogo achana na kali humuezi
To be honest maneno ya huyu jamaa ni kama ameyasema Gigi money.... Huwezi kukaa kwenye media alafu ukasema utampiga mwanamme mwenzio .. huu ni uke kabisa
Sky Walker Fredrick Nundala SNS ishakuwa kubwa achana na wasanii haters. Fido atambe Chuga tu asitafute kick kwa the OG. Kina Roza wananua thamani yake
Ndo mana mukaimbiwa na MEJA KUNTA na CHIDI BENZ NYIMBO YA MJAMBO baadhi ya TZ hawana brk kama kina fido vato na ww watoto wazuri ww na fido vato Beyonce na Rihanna 😂😂😂
Huyo ni Beyonce mke wa Jay-Z 😂😂😂😂😂ana mdomo wa kunyoa mbooo ...kisha wasema eti ana sauti ndogo OG ww ujioni mtoto mzuri hata waeza kuolewa wacha wivu Beyonce wa Arusha 😂😂😂😂.
Huyu jamaa kila akiongea yeye ni ubabe wa ngumi tu, haongelei mziki anaoufanya ila kila msanii anamtishia kumpiga ngumi, sasa si uache mziki uingie kwenye boxing kaka?
Respect the OG dude 😎😎 last warning ⚠️⚠️ ma G
I think the fact that khaligraph doesn't call for a show in Tanzania doesn't make him a local artist may be his is doing it in Amsterdam
Khaligraph is a force i think he should be added science book 😂❤ OGIMETRIC FORCE ,OG to the top❤😅 i think this war will not end to fido vato 😂😂
Me mtanzania naskiza sana ngoma za khalighraph. OG ni biggest rapper huezi mlinganisha na fido kwa chochote kile... Simsifii ni haki anajituma na anafanya vema
@@johdanny7816 kachomekwe huko..ss hatuna fagio Wala panga
Huyu ni dem wa Nani aliyejibleach
CHOKO WA VYBZ KARTEL
Og anasikilizwa Tanzania bn 🇹🇿🔥
Uyo fido ni mrembo kwa OG ma English to the world
Hata nyimbo za fido vato zinasikukuzwa Arusha tu tena kaloleni na sekei huko na mianzini
Babe gal relax khaligrap he's in another level
Og sio level zako ww baby girl,kile chuma bwana
og mchumba tu mwili jumba ila boya tu hapo anakaa tu
@@richardduwe jifunze kuandika kisha uje
huelewi kichina si ndio? 😂
Kizungu Bado haujafika mzimbiting
Khaligraph does not want a TZ platform. Tz artists like you need Kenyan platform to penetrate in international markets.
Wewe huwezi elewa what the og is producing, the og must be respected
Khaligraph haezi kuwa na show Tanzania juu Tz hawajui kingereza
Eti OG...afanye show tz ...ww unaota mama fatuma ..mtamlipa pesa ngapi....
Unamchokoza na sijui utapita na wapi
..Respect the Og....💪💪
In terms of hip-hop Kenya is the best in East Africa. In terms of bongo, Tanzania is the best in east Africa. We cannot be compared in any way.
Kaliigraph Ndo Nani Msanii Mpya wa Singel au?
Pole dogo. Endelea kujitafuta
OG ni mkali Si level yko kwani huwelewi kingereza
Ata huku Kenya hatukujui unaimba ama unafanya nn, ata wasanii wa Kenya hawakujui kama wee ni Msanii,,achana na OG ni level kubwa snaa kwako
Sisi Tz hatuwajui 😂
@@lakasid3860Sasa imekuwaje mwaongea kuhusu mtu hamumjui? 😂😂 punguzeni nyege watoto wa kiume Khaligraph yuatambulika Africa nzima na nje ya Africa huyo mama wa kiswazi fido akaimbe taarabu hip hop iko na wenyewe.
@@fahimluniz5051unaongea Kama shoga...eti mwaongea....hatufagiliiik Wakenya .....ss tuna Maisha yetu
Mwambie
100
We mwenyewe uko na hit song gani? Kazi kupiga domo tu na hauna lolote...umechichubua ka shoga🚮⚰️🪦
OG sio level yako jamaa
OG is doing shows in America,uk and Australia, Tanzania is not a market to be bothered with, how many shows has fido vato done outside tanzania?
The OG shall be respected, King Khali is not in your league. I love and respect Tz music & artists but Our King is on another level. Kujicompare na the OG ni kama kucompare our currencies 🤣🤣🤣 Respect the OG !!!
Respect OG
I like both but fido just came for kaligraph unnecessarily
Kali can beat him in boxing ring and rap battle that’s a fact
Not true.
@@angelsblackboard8008 it’s my dear kali is bigger and stronger physically and bigger musically
I love Fido but truth be told my G can't handle og period
Truth to be told 🔥
Point blank period ✌
Mimi ni mtanzania apa una tafuta mailage ww kwa kali n mdogo sanaa
Who is this dude I've never even heard of challenging da O.G??
I'm sure even in TZ some don't know him 🤣🤣
Uyo n mrembo au nn
Og ni og siku zote big up
Huyu ni Peter Salasya wa Tanzania
OG king of hip hop Africa
Khaligraph alioshwa na Roma kwenye ngoma yake mwenyewe.Jamaa ni mzuri kuflow na Kiingereza lakini mistari yake ni ya kawaida,haina punchline nyingi ambayo itakufanya uumize kichwa. Mimi ni Mkenya lakini uzalendo wangu ni kwa Hip Hop. Tz wako fiti tangu enzi za Mr.2,Prof Jay , Fid q mpaka enzi za Dizasta,Stamina,Songa,Toxic...Jamaa wanawakilisha vizuri.
Fido Vato mdogo sana kwa OG Kaligraph ki mziki na vyote.
Mm n mkenya n hakuongelea vibaya Tanzania ju n ndugu zetu alisema challenge kwani hamjasoma
Wacha kujichubua kwadza ndipo uwe mwanaume kamili wewe u can't conca kaligraph jones
Huyo jamaa anaasil ya kizungu ndugu acha kukurupuka
Uyo mshkaji ni chotara wa kihindi ww acha ujuaji
Kichaa wewe.. mzungu huyo ndezi wewe
Huyu NI mrembo wa wapi? Watanzania hawewezi Rada OG ju ya ngoso bana Mambwakni mawaganiz wao
OG Must be respected🦁
Jamaa haelewi kizungu
No problem am sorry
Don't even think of challenging OG on the ring broo.dont,dont. Before you stand up for him think of yourself G.
OG mkali wao
Kumtaja prof jay katka dis track yake phatboy wenu wakenya hapo alifail...
OG to the world❤🎉💪🔥🇰🇪👑
Bro sky the way unaongeaga na fido it's like ok i'm ready for anything that will happen😅😅😅😂😂😂
😂😅😂😅
@@japhetkyarukambaaristides8698 fido kakaa kiushari sana n kama marehem geez mabovu
Hiii comments ilikua naitafuta 😂😂😂😂😂😂
@@JohnCage-we6tp 😅😅umeipata
KENYA iko mbele kwenye hiphop, Tanzania iko mbele kwa bongo. Nyimbo za Kenya na Tanzania siyo kitu cha kulinganisha maana ni nyimbo tofauti sana. Kenya huimba Genge na hiphop, ila Tanzania wakona Bongo, Amapiano lakini kwa rap hampo kabisa.
What is his account??we say hi to it
We proud of fido.❤
Nothing 🤣🤣
Khaligraph anajulikana uko kwenu wew hatujui huku
hamuwezi mlipa broo
Jay z, rick rose, fifty wamelipwa ndo tushndwe kumlipa uyo tukunyema!....sema ukimlipa hakuna mtu atakayekuja maana ajulikani
Fido Vato mi sijaisikia ngoma zake
Fido tafuta kiki kwengine OG humuwezi kwa lolote OG ananyimbo nyingi sana za kiswshili.
Huyu jamaa bado sana kwa OG ...no wonder umeitwa Beyonce ....wataka upepo
Sasa Fido ni msanii ama kasanii 😏😂.. Mwambie Fido kama mziki umemshinda aende nyumbani Acha kutafuta kick kwa mastar🙌✨
Huyo sjui ndio vado ama ndio vido.....Achana na OG .....kwanza huogopi we unabrown skin minus english
Aendelee Tu na English nusu saa tuone Ka ataweza😂😂
respect the OG
Kali haezi kuja bongo cz hamuezi kumlipa hamuna hela zakutulipa labda muje nyinyi huku tuwalipe bt kama ni bongo hamuezi kutulipa sasa kana 1000 ya kenya huko mwajaza gunia sasa ww waeza ongea nn acha udwanzi bro ww endelea kujipaka mikorogo achana na kali humuezi
Kaligraph Jones is on another level don't bargain on tht ...u are not in his level simple
Kijana wacha mihadaradi OG hamuezi
Huyu Fido Vato anaimba nini lakini mshenzi sana kujiona superstar kupitia tattoos
Respect the OG😅
Respect OG 🙏 🫡 my friend
Huu ni ushahidi kwamba Kenyan guy amecatch and he cared about it. Imemuuma
Inawezekana ww ndo umejichubua kwa unachoongea
Young lunya anamtambua papa jones unaona amechill😂😂😂😂
Khali apige show TZ na hawajui kizungu si nikama kupigia makondoo gita . Khali acha apige show ulaya
Mi ni mtanzania lakini huyu jamaa ni mpumbavu kumdisrespect OG. He is the best rapper in Africa for now...... Huo ni moto mwingine.
Hakuna m-tanzania kama ww tunajuana wa tanzania 🇹🇿
Wewe Ni Mkenya Tunakujua
Fido vato Yuko sahihi
Wewe sio mtanzania watanzania tunajuana
Ww mshamba wa zamani
😂😂😂Fido tunakuhurumia tuuu...utapigwa na huo uso wako😅😅😅😅
Huyu simujui ni wa wapi
Huyo mrembo kwanza ni nani? Ohh, nasau, ni Beyonce kutoka Arusha
Hata huyu mwana habari hajui kama show OG hupiga tanzania
Who is kaligraph by the way...
Fido sasa utamuwezea wapi OG?
Mi hata karigraphe ninemjua juzi aisee
Tz respect OG plz
To be honest maneno ya huyu jamaa ni kama ameyasema Gigi money....
Huwezi kukaa kwenye media alafu ukasema utampiga mwanamme mwenzio .. huu ni uke kabisa
Sky Walker Fredrick Nundala SNS ishakuwa kubwa achana na wasanii haters. Fido atambe Chuga tu asitafute kick kwa the OG. Kina Roza wananua thamani yake
Huyu jamaa hadi UA-cam hajafikisha subscribers 30k😂 and now he think he can challenge OH
khaligraph jones is a Hoe g mwambieni DT wamesema💯
Sky unaita watu kama Hawa kwa interview then unawaogopa hata wewe ..But fido hamuwezi khaligraph. Ila fido Hana Akili.
Hata hili neno "RAP" ni KIZUNGU!
We mwenyewe sauti yako ka ya mwanamke, huna nyota ni mdomo tu na pia wewe kutojua kiingereza sio tatizo letu
Who is this fido btw, Respect The Ogs is the African anthem when it comes to hip-hop
Fido uko rights , jamaa alitunyea Kwa zarau sn ko umedefend tz yetu
Ndo mana mukaimbiwa na MEJA KUNTA na CHIDI BENZ NYIMBO YA MJAMBO baadhi ya TZ hawana brk kama kina fido vato na ww watoto wazuri ww na fido vato Beyonce na Rihanna 😂😂😂
Tanzania hawana hela kulipa khalighraph
Pesa na maisha ya Khali utazidi kutamani tu😂😂😂
Huyu mpuzi anatafuta Kiki na og bado sana bro
Manna bleacher huyu anatuambia nini
Wakenya wakiona mambo hayaendi wanachokoza Watanzania 🥴 Watanzania shtukeni MNATUMIKA
Buda creativity does not base on one language eti kiswahili 😂😂 you can rap In even mother tongue
So never dare Kenyans we will make you a lady kijanaa
Huyo ni Beyonce mke wa Jay-Z 😂😂😂😂😂ana mdomo wa kunyoa mbooo ...kisha wasema eti ana sauti ndogo OG ww ujioni mtoto mzuri hata waeza kuolewa wacha wivu Beyonce wa Arusha 😂😂😂😂.
😂😂😂look at this guy kizungu ikikushinda bana wachana nayo unaaibisha tanzania bana wewe pekeako ndio ujui kizungu ama aje tanzania😂😂
Wewe ushaiskia Jayz ama Ye ako Na show Tanzania😂😂😂😂does it make them local artist
Maskini huyu 😢😢
Alafu uyu ndio nani anaongelea OG
Huyu jamaa kila akiongea yeye ni ubabe wa ngumi tu, haongelei mziki anaoufanya ila kila msanii anamtishia kumpiga ngumi, sasa si uache mziki uingie kwenye boxing kaka?
Kwan wadau uyu Fido nyimbo zake ndo zip????
Huyu ni msanii kwani? 😂. Ata Simple Boy anajulikana Tz
😂😂 Me ni Mkenya na naskiza rappers wa Tz but huyu simtambui .Ile Ngoma ya target niliiskiza Kwa sababu Chidi alikuwa hapo