Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

#ZaNdaaani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 сер 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 115

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Місяць тому +6

    Wamechelewa usajili umeisha, kikosi kiko full😂😂😂

  • @SijapataMathiasJosephat
    @SijapataMathiasJosephat Місяць тому +5

    Me binafsi namwomba Eng Hersi aelewe uongozi ni gunia la misumari aswaze kuhusu maumivu inabidi atizame zaidi makusudio na malengo yako kwa ajili ya maslahi ya Young Africans

    • @xfamefatetv
      @xfamefatetv Місяць тому

      Shame on you too Maskini😂

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 Місяць тому +3

    😂😂INGEKUWA SIMBA HAPO STUDIO
    MAMAMAMAMAAA.

  • @JolotaErastoJuma
    @JolotaErastoJuma Місяць тому +2

    I LOVE YOU 🎉🎉❤❤ SIMBA NGUVU MOJA MAJILAN MKOWAP 😢😢😅😅😂😂😂😂

  • @zakaria924
    @zakaria924 Місяць тому

    Mnajifariji, bahasha inafanya kazi, wengine mnacheka kwa kujilazimisha

  • @edwardmbonika5102
    @edwardmbonika5102 Місяць тому +21

    Jamanii sipati picha ingelikuwa ni Simba iyo studio leo ingekuwa ni furaa

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Місяць тому +2

    Dah mafanikio ya yanga yata towa watu roho😢

  • @Conrad-c4r
    @Conrad-c4r Місяць тому +2

    Swali langu kwenu nyote hapo studio" Hivi mnahisi Hilo Jambo Lina madhara gani kwa wanachama na mashabiki pia na wachezaji kwa ujumla ??

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Місяць тому

    Hongereni hapo studio,na nina wakubali kinoma.

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Місяць тому

    Mbona mambo ya Simba mnafurahi sana

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Місяць тому +2

    Studio Ina uyanga ....

  • @bymnyaru
    @bymnyaru Місяць тому +2

    Napenda kuuliza kwenye huyo magoma yupo kwenye balaza la wazeee

    • @khamisihussein8777
      @khamisihussein8777 Місяць тому +1

      hahah wazee wenyewe wanasema wamemfukuza mzee wamigogoro

    • @DottoMoshi-x9o
      @DottoMoshi-x9o Місяць тому

      Hakuna ata anae mjuwa kwenye balaza chura tu huyo

  • @Funyvideos708
    @Funyvideos708 Місяць тому

    Yani ingekuwa Simba wangeua sanaaaaa yani

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Місяць тому +2

    HATA SIMBA SUALA LA LAWI SIMBA IMETULIA TULIIIIIII......

  • @zakaria924
    @zakaria924 Місяць тому

    Assumptions & Gossip za wapokea hahaha 🤣🤣

  • @martinejohn714
    @martinejohn714 Місяць тому +2

    Huyo magoma njaa zinamsumbua atafute chakufanya yanga siku hizi imeacha kushibisha matumbo ya watu

    • @bone102
      @bone102 Місяць тому

      😂😂😂 we kweli dishi limeyumba kushibisha matumbo wakat mshatapeliwa billioni 1 mnaambiwa ni hasara ya timu😂😂

  • @user-np4di2lg5u
    @user-np4di2lg5u Місяць тому

    Tanzania 🇹🇿 eeeeee nchi yangu eeeeee

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Місяць тому

    Yanga uwaneniii kabisaa tutakula nyama zeni

  • @kamandamlimaog3430
    @kamandamlimaog3430 Місяць тому +1

    wasafii mnauyanga yanga sana katikaa uchambuzi wenuu
    Simba hawana shidaa na matatzoo ya yangaa
    Simba wanaangalia Yao ya lawii

  • @rbayoub1181
    @rbayoub1181 Місяць тому +2

    Wasafi na yanga yao

  • @user-hj9fc6it1y
    @user-hj9fc6it1y Місяць тому +5

    chuki ni katumiwa ni vtu vibaya sana mzeee unatumiwa 😂 mungu atujaliee maishaa mazuri atuepushe na njaaa tusije kuwa kama hawa wazeee kutumiwa kufanyaaa ujinga😂

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 Місяць тому

    Ndio maana nmeacha kusikiliza hili li REDIO uchwara. Hawa sio watangazaji, ni machawa wa Utopolo.......

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Місяць тому +1

    Yanga fm ipo hewani😂

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 Місяць тому +1

    Kama anauwezo huyo magoma apeleke mguu wake apo jangwani aone

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 Місяць тому

    ONA KITENGE NA WASENGE WENZAKE ETI WAMETULIA TULIIIIIIII😂

  • @user-xr2hw3om9z
    @user-xr2hw3om9z Місяць тому +1

    Makomandoo wanatafuta njia ya kuingia kwenye mfumo. Njaa imekuwa kali mtaani huko.

    • @tirathegreat8839
      @tirathegreat8839 Місяць тому

      Kubababake...wanaona watoto wadogo tuu wanatamba

    • @jumamustapha8254
      @jumamustapha8254 Місяць тому

      Wakajiunge na jeshi wapelekwe ukrein watapata pesa.

  • @RashidRajab-oz5ec
    @RashidRajab-oz5ec Місяць тому

    Mzee wa zandani wewe c ni mdudu mwenzetu tu

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd Місяць тому +1

    Sasa mbona maamuzi yametoka bila hata mshtakiwa kuulizwa?

  • @Conrad-c4r
    @Conrad-c4r Місяць тому +1

    Jibun koment

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 Місяць тому

    Ingekuwa Simba mamamaaaaaaa

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Місяць тому

    maambo ya simba mnashabikia lakn ya yanga aaaah kuma zenu

  • @ludovickkimaro6362
    @ludovickkimaro6362 Місяць тому

    Wasafi na Yanga yao sasa ingekuwa Simba ohooo sipati picha

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Місяць тому

    Mbona tunakereheka na huyo magma ambassador sio mwanachama? Nahiyo mahakama inatoaje hukumu kwa sahihi za kugushi,kama nikweli waligushi ni aibu sana kwa mhimili huu

  • @ZubeidaRashid-tq1yd
    @ZubeidaRashid-tq1yd Місяць тому +3

    Kwa hiyo kumbe mnajua km jamaa hakukaa kihalali?
    Sasa mbona mnatetea

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Місяць тому

    SUBILINI MO MUIONE HII STUDIO

  • @AllanKabuga-k2d
    @AllanKabuga-k2d Місяць тому

    Ingekua Simba hapo studio kungechafuka

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Місяць тому

    Ingekuwa simba Leo hpo cjui ingekuwaje wangese nyinyi Leo mmepoaaaaaaaa😁😁🏃🏃🏃

  • @salumobed5980
    @salumobed5980 Місяць тому

    Simba Huwa inakomaliwa balaaa dah.... Ila kwa sabAbu ni Yanga

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Місяць тому

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MohammedJaizan-yf5yt
    @MohammedJaizan-yf5yt Місяць тому

    Kipindi Cha michezo kimebadilika kimekuwa udaku wa dida

  • @gilbertfrancis217
    @gilbertfrancis217 Місяць тому

    Wachambuzi hamnazoo hasa maulidi kichwa majii kabisaa

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl Місяць тому

    😅😅Kisu kimechoma kwenyewe!

  • @JabirAthuman-d6d
    @JabirAthuman-d6d Місяць тому

    Mlikuwa wapi kujua kma ayupo mwenyewe

  • @goodlucksalumu1818
    @goodlucksalumu1818 Місяць тому

    nani akupe like kenge wewweeeee

  • @khamisihussein8777
    @khamisihussein8777 Місяць тому

    nimewaelewa wakuu

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Місяць тому +1

    INGEKUWA SIMBA MNGESEMA SIMBA Haijielewi.....LEO .MNASEMA kimajungu

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Місяць тому

      Ongea fact bro, we hapo unadhani magoma ana evidence gan ya maana katika Hilo?

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Місяць тому

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Місяць тому

    Za ndaniiiiiiiii

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Місяць тому +1

    Mmmmmmmmhhhhhhhhhhh mrudisheni madarakani huyo ataleta tafrani jangwani

  • @AthumanKais
    @AthumanKais Місяць тому

    Mzee wa kudele nkbl sana🤜🤜🙂

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Місяць тому

    Kuanzia leo viongoz wa simba na wansimba tuhme hii media inauyanga sana sasa mamb ya yanga na simba wapi kwa wpai eti wakti sisi tunaongea mzee kaamkia avic na wanae aloo dah nije nion msemaj wa simb akiend wasafi nahama timu

  • @nickdr_tv
    @nickdr_tv Місяць тому

    MWAIPOPOOOOOO.....

  • @user-np4di2lg5u
    @user-np4di2lg5u Місяць тому

    Malipo hapa hapa dunian

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Місяць тому

    Mhuuuu magoma chambo atakoma

  • @LucyMtweve-i9b
    @LucyMtweve-i9b Місяць тому

    Sipati picha ingekuwa simba momo unavyoivumisha zandaaaaaaani

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi Місяць тому

      Za simba zinakuwa na evidence ndo maana zinakomalia, mfano unakumbuka mzee kilomoni na hati ya Simba? Sasa huyu magoma ya kwake haina hata circumstancial evidence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @williammajani2152
    @williammajani2152 Місяць тому +1

    Hawa ndio watu wameaniniwa na TV walete habari za michezo shame of you

  • @user-mz4ik1hx1q
    @user-mz4ik1hx1q Місяць тому

    Makumaaaaaa awaaaa

  • @HamisMdamu-en5fe
    @HamisMdamu-en5fe Місяць тому

    Popo ni mnyama sio mdudu wala ndege

  • @aminangano3635
    @aminangano3635 Місяць тому +1

    Popo mnyama😂

  • @manfredmlay2743
    @manfredmlay2743 Місяць тому

    Popo ni mbuzi sio mdudu

  • @user-jy1wm8do8w
    @user-jy1wm8do8w Місяць тому

    Ubaya ubwela machambuzi machoko

  • @Athmanichambuso
    @Athmanichambuso Місяць тому +1

    nimikulewa hap

  • @felixmwayeya6716
    @felixmwayeya6716 Місяць тому +1

    Huyu ndo debora magoma mwenyewe sasa😂😂

  • @thejoeclassicsoldier
    @thejoeclassicsoldier Місяць тому

    Popo sio ndege, acheni ujinga

  • @SaidiMkome-qq7hy
    @SaidiMkome-qq7hy Місяць тому

    Machawa😁😁😁😊

  • @dicsonbiko-wz7ym
    @dicsonbiko-wz7ym Місяць тому

    wasafi imekaa kiuyanga yanga tu😅😅😅

  • @user-ft4ii2jx5d
    @user-ft4ii2jx5d Місяць тому

    mjukuu wng momo upo sawa mie babu yako muba

  • @SaimonAnton-rj3vt
    @SaimonAnton-rj3vt Місяць тому +1

    Mwaipopo

  • @WilfredSaidi-st3tn
    @WilfredSaidi-st3tn Місяць тому

    GEN Z'S are typing 😅😅😅😅

  • @HermanJoseph-mi2og
    @HermanJoseph-mi2og Місяць тому

    Mnazinguaaaaa mna waponda simba sana acheni ushabikiii naona Leo habar y yangaa yn mnawadefend

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Місяць тому

    Studio yenu ni utopolo kabisa Yani Yanga

  • @Mumewangu
    @Mumewangu Місяць тому

    Wote hawa ni uto wanaongea kiwoga woga

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 Місяць тому +1

    Magoma Yuko sawa😂😂😂

  • @zainabbakari-vw4jy
    @zainabbakari-vw4jy Місяць тому

    Na huu ndo ukwel

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 Місяць тому

    Mwai popo hyo

  • @chamyluna8030
    @chamyluna8030 Місяць тому

    Mnadhihirisha wazi kua mnaongea kiyanga yanga tu mbona Mambo ya simba hamuyapambi hivyo mungeongeza chumvi kibao mbwa nyie

  • @user-ft4ii2jx5d
    @user-ft4ii2jx5d Місяць тому

    momo msalimie ndg yng mauridi

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl Місяць тому +2

    wakwanza nipeni like zngu😢

  • @AziziAbdala-tw6uf
    @AziziAbdala-tw6uf Місяць тому

    bundi limeanza kuzagaa yanga

  • @bonfacemassawe3394
    @bonfacemassawe3394 Місяць тому +1

    Popo si ndege bali ni mnyama.

  • @mussakunenga8866
    @mussakunenga8866 Місяць тому +1

    Acheni uyanga

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Місяць тому +1

    Momo wacha uongo

  • @PaulMuasya-z8c
    @PaulMuasya-z8c Місяць тому +1

    Hivi wewe Kitenge wataka kusema Yanga hawakuwahi kufika mahakamani kwa hii kesi ?
    Hii ni mahakama ya kisheria na sio wale Tff. Wacha kuwapotosha wanachama wa Yanga.

  • @jonasfrank1758
    @jonasfrank1758 Місяць тому

    Ingekuwa lunyasiiiii

  • @AyubuMwakalibule
    @AyubuMwakalibule Місяць тому +1

    Sheli zipo ili zilindwe ko kama mtu kawafanyia mema ndio avunje shelia mgebadili ndio mmpe mtu uongozi mbona ingewezekana tu alaka sio nzuri,

  • @mjuaelias3681
    @mjuaelias3681 Місяць тому +1

    Bundi huyoo jangwani,

  • @GosheSecurity
    @GosheSecurity Місяць тому

    Mwaipopo ni mshamba toka malawi ndio maana anatumika kifala afu hana hata kadi ya uanachama

  • @BarakaMalekela-nf6gv
    @BarakaMalekela-nf6gv Місяць тому

    Bola mgombane tu

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i Місяць тому +1

    Jangwani kumekucha

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m Місяць тому +2

    Hapa angekuwa Mo hii studio wangeshambulia lakin hapa wanajaribu kutetea kila kaeneo hapo ndipo utatambua hawa wachambuz wala lushwa

  • @peterkissiri9821
    @peterkissiri9821 Місяць тому

    Magoma ni Messi mtupu😂😂😂