Huyu nae nikama hazitoshi, hivi unaweza kupeleka mtu kumuona huyo mtu mkubwa bila hata appointment, unamwamini vipi kama katumwa ? Uhuru wake na Diamond anatumia vibaya huyu.
Dada ongea tu Lugha yk nzuri iliyojulikana na kueleweka,si kuwa lazima kugha za wenzetu,Watangazaji 😢zawadi haijaelezwa umbeya gani iutaka UTANGAZE ameletewa zwd!
Ata daimond happy ajapenda kabisa usiamini mtuu aya olewako hizo pafyumu ziwe sumu zimuafeti daimond ata babutale kashangaa sanaaaa uoniaibu leo nimekushusha kweliii
Hahahahahaaaaa yaaaniiiii shiiishiiiiiiiiii kama chiiiziii vileeee,ndo maana uchebee anakubutuaa bwegee wewe,hujuii mondi kama mume wa zarii,wengn hao ni wapita njia,wew shishi food Gani unamletea mond muuuuzoooo huoooo,zari ndo chakula bora kwa diamond.
Shilole utumie hakili haya hizo pafyumu zikiwa nisumu zikamuasili daimond naunajua kabisa daimond wanawake wengi kawaacha aya jekama wamemtuma ebu tumieni akili jamaniiii
Hhhhh ila WCB wamekukomesha kweli umezidi kujipendekeza Sana duu nimefurahi Sana Adabu yako. Hapo ulifikiri unakaidisha wasanii wengi. Duu Maskin vizuri Sana wamekukomesha
Mbona sasa haja pokea zawadi yake jamani sio poa ana dharau sana diamond.ila msimraum sana shishi mashabiki ndivyo tulivyo sio kwa huyu dada tu kutamani kuonana na mwanamzi.kila mtu huwa anatamani kuonana na msaini anae mpenda hivyo tuacheni unafiki wa mitandaoni.ingekuwa kweli huyu dada anamtaka kimapezi domo.shishi anayo namba ya diamond ange mchana tu.shishi sio taila kama mnovyo zani😏😏👌
Shilole mpuzi sana wataka sifa za kijinga yani mtu atoke uko akwambie yuataka kumuona mtu na umchukue umpeleke subhanallah je kama amekuja na nia mbaya
@@mauwabijoux6966 hatakama ivo Mauwa lakini Shishi ni ndumila kuwili badala ya kumushauri Diamond a settle na mwanamke mmoja yeye anazidi kumuletea wanawake wengine na yeye ni mwanamuke , Uchebe angetafutiwa mwanamuke na Zarina angefurahi? NDO maana Uchebe alimpigwa.
@@Kwazulu1 si rahisi ki binadam ila dai sio mutu waivo angekua ni mwenye nia ya kutaka kua na mutu kwani wanawake wangapi wamempita mikonono utasema wote wabaya ndio ivo dada dai sio muowaji
Shishi usije Ludia Taifa letu lina mwangaliya msani wetu sikumpeleka kienyeji ungewasiliana na Nasibu, muombe msamaha brother wa taifa
Huyu nae nikama hazitoshi, hivi unaweza kupeleka mtu kumuona huyo mtu mkubwa bila hata appointment, unamwamini vipi kama katumwa ? Uhuru wake na Diamond anatumia vibaya huyu.
ndio tatizo la kuchukuliana poa,inabidi amwombe msamaha,amenisikitisha sana
Fact
Hili demu huwa n lijinga Sana n mlopokaj na anapenda sifa za kijinga
Mbona nasib km hajafurahi
Ameshaonwa n wengi mno😅
Nakupenda sana shishi. Nakiona kama mwanangu.
🤔🤔🤔
Huna Akili Ulitaka kumkuwadia
Angalia jicho la babu tale😂😂😂😂😂
Queen Darking kapowaaa! Kapwaayaaa! Yani Zuchu anaonekana ana bafasi kuliko Queen Darling!
Shilole kujitoa ufahamu tu unaweza
Dada ongea tu Lugha yk nzuri iliyojulikana na kueleweka,si kuwa lazima kugha za wenzetu,Watangazaji 😢zawadi haijaelezwa umbeya gani iutaka UTANGAZE ameletewa zwd!
Ata daimond happy ajapenda kabisa usiamini mtuu aya olewako hizo pafyumu ziwe sumu zimuafeti daimond ata babutale kashangaa sanaaaa uoniaibu leo nimekushusha kweliii
Yaan kwa hili namuunga mkono mama mond kwa %110 thoo nampenda shishi
Vizur mwaya
Dunia ina mambo mungu tusaidie
Aibu zingine hizi🤣🤣🤣
Hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we Kenyanys are having fun 😂😅😅😅😅we don't CARE who Diamond marries that's he choice and Allah ❤️❤️❤️❤️❤️bit we wish him the best
i know Im pretty off topic but does anybody know of a good place to watch new tv shows online?
Hahahahahaaaaa yaaaniiiii shiiishiiiiiiiiii kama chiiiziii vileeee,ndo maana uchebee anakubutuaa bwegee wewe,hujuii mondi kama mume wa zarii,wengn hao ni wapita njia,wew shishi food Gani unamletea mond muuuuzoooo huoooo,zari ndo chakula bora kwa diamond.
Njoooo nkustir shishi ovo
Eti savahaa shishi bwana😂
Hehehe mama D akutafuta utakoma Shishi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Which which which
😂
Mnafki sana wewe shishi siuna jifanya una mpenda zari?
6
Mond anaeehimu kila mtu nngekua Mimi kode ningevunga
Diamond platinumz aifai amwowe zuchu malisafi apo
Shilole utumie hakili haya hizo pafyumu zikiwa nisumu zikamuasili daimond naunajua kabisa daimond wanawake wengi kawaacha aya jekama wamemtuma ebu tumieni akili jamaniiii
Yani watu wanatok Paris uku wengn tupo tz tunampendaa kinyamaa💋💋
Hahahahaha mtokee sasa
Shishi ww ni balaaaa nakukubali xana unajiamini yani
Duuuu sijui Ila naona aibu
Shishi usirudie tena kitendo ulicho fanya utajiharibia mpaka kazi zako
Hhhhh ila WCB wamekukomesha kweli umezidi kujipendekeza Sana duu nimefurahi Sana Adabu yako. Hapo ulifikiri unakaidisha wasanii wengi. Duu Maskin vizuri Sana wamekukomesha
Mmmh! Makubwa aibu zingine Hahahaaaaa!!
Dishi ili
jamani shishi anajua k
hana akili huyu demu utakuja kumpoteza mond wetu
Hahaaa nimecheka jamn wadada tunatabu sie
acha ukuwadi
Shishi mwehu,eti paaariiss msuuuu
Uyo mdada shilole ni malaya ndio maana na chamoto amekiona
🤣🤣🤣🤣🤣
Shuleeeee
Aiiiii mwambie a kwenda na hizo perfumes zake uwezi jua ni nini anataka
Kiki hizo mlikuwa kimya sana tupo na Tembo kajara
Mnacomplain nn kipi cha ajabu hapo alikuwa anapendwa michael jakson hadi na wachumba za watu sembuse huyu aaah wa Tz sisi kaaah
Hivi vijamaa vinamtengaga lavalava
Lava ako busy maana na yeye anajambo lake kubwa week ijayo. Sasa kumuona sio rahisi hivyo nadhani ni 27/3/21. Wcb Nlm 4life.
Zawadi inatakiwa hazarani? Watangazaji mtakua wa Songwe.
isiwe kaleta corona we jichanganye
Pafyum zina mambo
Nimecheka😆😆😆
Shilole utapasuka
Mbona sasa haja pokea zawadi yake jamani sio poa ana dharau sana diamond.ila msimraum sana shishi mashabiki ndivyo tulivyo sio kwa huyu dada tu kutamani kuonana na mwanamzi.kila mtu huwa anatamani kuonana na msaini anae mpenda hivyo tuacheni unafiki wa mitandaoni.ingekuwa kweli huyu dada anamtaka kimapezi domo.shishi anayo namba ya diamond ange mchana tu.shishi sio taila kama mnovyo zani😏😏👌
Jiga ww uwezi muamini mtu kwa muda mfupi ata umjuwi vizuli namuuga mkono mama dagote
Mlinzi anapokea zawadi anatembea nayo,kama ni bomu je?
Yenyewe cant trust anyone atackama ni mwanamke..dunia imekuwa mbaya..shish araletea diamond wrong person!aki
Which which wchich Gift😂😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣
Jamani mbona wameepa huyo dada
Hizo pafyum asizipake alikwambia diamond anataka mke
🇹🇿 umbeya muko juu
Kama umesikia mwachie number like apa
Shilole hapo umefeli haki, ukamwangusha chibu, kiufupi namsapoti mama Diamond 💯💯💯
Shilole ; Leo umeonyesha uwezo wako FINYU wa kupambanua jambo. USIRUDIE
Chizi ww mxuyuuu umeuona yule muza maandazi kama ww
Shilole mpuzi sana wataka sifa za kijinga yani mtu atoke uko akwambie yuataka kumuona mtu na umchukue umpeleke subhanallah je kama amekuja na nia mbaya
Shishi mnafiki. Day Light Robbery. Zarina anakuamini alafu unamugeuka??. Shame on you
Sasa makasiriko ya nini kwani zari si ana king bae wake hamjampokea pole ama nivile munajua moyo wa zee upo kwa dai
@@mauwabijoux6966 hatakama ivo Mauwa lakini Shishi ni ndumila kuwili badala ya kumushauri Diamond a settle na mwanamke mmoja yeye anazidi kumuletea wanawake wengine na yeye ni mwanamuke , Uchebe angetafutiwa mwanamuke na Zarina angefurahi? NDO maana Uchebe alimpigwa.
Zari ame move on
@@Kwazulu1 si rahisi ki binadam ila dai sio mutu waivo angekua ni mwenye nia ya kutaka kua na mutu kwani wanawake wangapi wamempita mikonono utasema wote wabaya ndio ivo dada dai sio muowaji
@@mauwabijoux6966 kweli nakubaliana na wewe Mauwa. Ulishaona wapi Mauwa mpaka mama yake amuchagulie . Akatubu ili aowe.
Dar,mbona mnawaangalia dada Kwa dharau?
Ety ni muungwana yaan sijui lini wadada tutabadilika kwahyo mwanaume akiwa star fresh tu mh aibuuuu
Hii aibu kubwa jmn,,,,Mondi mwenyewe kashangaa wala hajawaelewa vzr hata zawadi hajapokea
This was not nice shish
Peleka uwongo wako ata kuongea uwongo uwezi uyo demu mpeleke uchebe
😂😂😂😂😂😂😂
Kiki hizo mlikuwa kimya sana tupo na Tembo kajara