SHILOLE AFUNGUKA KUMLETEA DIAMOND MCHUMBA ALINISUMBUA SANA ZAWADI HIZI ZA MAMILIONI KAMLETEA DIAMOND

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 бер 2021
  • SHILOLE AFUNGUKA KUMLETEA DIAMOND MCHUMBA ALINISUMBUA SANA ZAWADI HIZI ZA MAMILIONI KAMLETEA DIAMOND
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 93

  • @Michael-ig6oi
    @Michael-ig6oi Рік тому +2

    Shishi usije Ludia Taifa letu lina mwangaliya msani wetu sikumpeleka kienyeji ungewasiliana na Nasibu, muombe msamaha brother wa taifa

  • @mwansaflorence6862
    @mwansaflorence6862 3 роки тому +15

    Huyu nae nikama hazitoshi, hivi unaweza kupeleka mtu kumuona huyo mtu mkubwa bila hata appointment, unamwamini vipi kama katumwa ? Uhuru wake na Diamond anatumia vibaya huyu.

    • @zaggyization
      @zaggyization 3 роки тому +3

      ndio tatizo la kuchukuliana poa,inabidi amwombe msamaha,amenisikitisha sana

    • @hemedykiboko2650
      @hemedykiboko2650 3 роки тому

      Fact

    • @texastexas2545
      @texastexas2545 3 роки тому

      Hili demu huwa n lijinga Sana n mlopokaj na anapenda sifa za kijinga

  • @FatmaAli-oy7yu
    @FatmaAli-oy7yu 3 роки тому +5

    Mbona nasib km hajafurahi

  • @azizasaid5255
    @azizasaid5255 3 роки тому +3

    Nakupenda sana shishi. Nakiona kama mwanangu.

  • @leonardpeter6385
    @leonardpeter6385 3 роки тому +7

    Huna Akili Ulitaka kumkuwadia

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 3 роки тому +2

    Angalia jicho la babu tale😂😂😂😂😂

  • @Sppah697
    @Sppah697 3 роки тому

    Queen Darking kapowaaa! Kapwaayaaa! Yani Zuchu anaonekana ana bafasi kuliko Queen Darling!

  • @naamohamed1042
    @naamohamed1042 3 роки тому +1

    Shilole kujitoa ufahamu tu unaweza

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Рік тому

    Dada ongea tu Lugha yk nzuri iliyojulikana na kueleweka,si kuwa lazima kugha za wenzetu,Watangazaji 😢zawadi haijaelezwa umbeya gani iutaka UTANGAZE ameletewa zwd!

  • @ruttykibonge4093
    @ruttykibonge4093 3 роки тому

    Ata daimond happy ajapenda kabisa usiamini mtuu aya olewako hizo pafyumu ziwe sumu zimuafeti daimond ata babutale kashangaa sanaaaa uoniaibu leo nimekushusha kweliii

  • @lindahjoseph8360
    @lindahjoseph8360 3 роки тому +3

    Yaan kwa hili namuunga mkono mama mond kwa %110 thoo nampenda shishi

  • @florahjeremiah7596
    @florahjeremiah7596 3 роки тому

    Vizur mwaya

  • @sheilalolila2233
    @sheilalolila2233 3 роки тому

    Dunia ina mambo mungu tusaidie

  • @aishasalum4601
    @aishasalum4601 3 роки тому +1

    Aibu zingine hizi🤣🤣🤣

  • @aishaomar1845
    @aishaomar1845 3 роки тому +1

    Hahahaha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 we Kenyanys are having fun 😂😅😅😅😅we don't CARE who Diamond marries that's he choice and Allah ❤️❤️❤️❤️❤️bit we wish him the best

    • @keenanmiles843
      @keenanmiles843 2 роки тому

      i know Im pretty off topic but does anybody know of a good place to watch new tv shows online?

  • @jackilinemwanja6596
    @jackilinemwanja6596 3 роки тому +3

    Hahahahahaaaaa yaaaniiiii shiiishiiiiiiiiii kama chiiiziii vileeee,ndo maana uchebee anakubutuaa bwegee wewe,hujuii mondi kama mume wa zarii,wengn hao ni wapita njia,wew shishi food Gani unamletea mond muuuuzoooo huoooo,zari ndo chakula bora kwa diamond.

  • @halimanamrihaji4062
    @halimanamrihaji4062 3 роки тому

    Njoooo nkustir shishi ovo

  • @littlecute9920
    @littlecute9920 3 роки тому +1

    Eti savahaa shishi bwana😂

  • @aishaaboud4406
    @aishaaboud4406 3 роки тому

    Hehehe mama D akutafuta utakoma Shishi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jameskahasa2247
    @jameskahasa2247 3 роки тому +1

    Which which which

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 3 роки тому +3

    Mnafki sana wewe shishi siuna jifanya una mpenda zari?

  • @bestinarajabu34
    @bestinarajabu34 3 роки тому

    6

  • @taifafitina6547
    @taifafitina6547 3 роки тому

    Mond anaeehimu kila mtu nngekua Mimi kode ningevunga

  • @PeterWafula-vr1gx
    @PeterWafula-vr1gx Місяць тому

    Diamond platinumz aifai amwowe zuchu malisafi apo

  • @ruttykibonge4093
    @ruttykibonge4093 3 роки тому

    Shilole utumie hakili haya hizo pafyumu zikiwa nisumu zikamuasili daimond naunajua kabisa daimond wanawake wengi kawaacha aya jekama wamemtuma ebu tumieni akili jamaniiii

  • @yasintajames1524
    @yasintajames1524 3 роки тому +1

    Yani watu wanatok Paris uku wengn tupo tz tunampendaa kinyamaa💋💋

  • @josephkomba64
    @josephkomba64 3 роки тому

    Shishi ww ni balaaaa nakukubali xana unajiamini yani

  • @emmakipalula9097
    @emmakipalula9097 3 роки тому

    Duuuu sijui Ila naona aibu

  • @RajatSharma-uq7pz
    @RajatSharma-uq7pz 3 роки тому

    Shishi usirudie tena kitendo ulicho fanya utajiharibia mpaka kazi zako

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 3 роки тому

    Hhhhh ila WCB wamekukomesha kweli umezidi kujipendekeza Sana duu nimefurahi Sana Adabu yako. Hapo ulifikiri unakaidisha wasanii wengi. Duu Maskin vizuri Sana wamekukomesha

  • @faustermathiasfaustet5362
    @faustermathiasfaustet5362 3 роки тому

    Mmmh! Makubwa aibu zingine Hahahaaaaa!!

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 3 роки тому

    Dishi ili

  • @joevang4685
    @joevang4685 3 роки тому

    jamani shishi anajua k

  • @franklinmganga736
    @franklinmganga736 3 роки тому

    hana akili huyu demu utakuja kumpoteza mond wetu

  • @ummymsangi1204
    @ummymsangi1204 3 роки тому

    Hahaaa nimecheka jamn wadada tunatabu sie

  • @jumarocky9544
    @jumarocky9544 3 роки тому +1

    acha ukuwadi

  • @misanamohamedi8438
    @misanamohamedi8438 3 роки тому

    Shishi mwehu,eti paaariiss msuuuu

  • @athumanmarekano2454
    @athumanmarekano2454 3 роки тому

    Uyo mdada shilole ni malaya ndio maana na chamoto amekiona

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 3 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yakaramayaka1456
    @yakaramayaka1456 3 роки тому

    Shuleeeee

  • @pheobemaina8343
    @pheobemaina8343 3 роки тому +1

    Aiiiii mwambie a kwenda na hizo perfumes zake uwezi jua ni nini anataka

  • @zumamarande3242
    @zumamarande3242 3 роки тому

    Kiki hizo mlikuwa kimya sana tupo na Tembo kajara

  • @suma643
    @suma643 3 роки тому

    Mnacomplain nn kipi cha ajabu hapo alikuwa anapendwa michael jakson hadi na wachumba za watu sembuse huyu aaah wa Tz sisi kaaah

  • @stivepeter8054
    @stivepeter8054 3 роки тому

    Hivi vijamaa vinamtengaga lavalava

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 3 роки тому

      Lava ako busy maana na yeye anajambo lake kubwa week ijayo. Sasa kumuona sio rahisi hivyo nadhani ni 27/3/21. Wcb Nlm 4life.

  • @faroukrashid5507
    @faroukrashid5507 3 роки тому

    Zawadi inatakiwa hazarani? Watangazaji mtakua wa Songwe.

  • @yousirsports7482
    @yousirsports7482 3 роки тому

    isiwe kaleta corona we jichanganye

  • @zamdachiguru2054
    @zamdachiguru2054 3 роки тому

    Pafyum zina mambo

  • @ezradaniel4613
    @ezradaniel4613 3 роки тому +2

    Nimecheka😆😆😆

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 3 роки тому

    Shilole utapasuka

  • @wandishaomani8392
    @wandishaomani8392 3 роки тому

    Mbona sasa haja pokea zawadi yake jamani sio poa ana dharau sana diamond.ila msimraum sana shishi mashabiki ndivyo tulivyo sio kwa huyu dada tu kutamani kuonana na mwanamzi.kila mtu huwa anatamani kuonana na msaini anae mpenda hivyo tuacheni unafiki wa mitandaoni.ingekuwa kweli huyu dada anamtaka kimapezi domo.shishi anayo namba ya diamond ange mchana tu.shishi sio taila kama mnovyo zani😏😏👌

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 3 роки тому

    Jiga ww uwezi muamini mtu kwa muda mfupi ata umjuwi vizuli namuuga mkono mama dagote

  • @12322879
    @12322879 3 роки тому +1

    Mlinzi anapokea zawadi anatembea nayo,kama ni bomu je?

    • @meg-iv1sw
      @meg-iv1sw 3 роки тому +1

      Yenyewe cant trust anyone atackama ni mwanamke..dunia imekuwa mbaya..shish araletea diamond wrong person!aki

  • @josephatjordan5560
    @josephatjordan5560 3 роки тому +3

    Which which wchich Gift😂😂😂😂

  • @maureenmwende3515
    @maureenmwende3515 3 роки тому +1

    Jamani mbona wameepa huyo dada

  • @fantamohamedi8564
    @fantamohamedi8564 3 роки тому

    Hizo pafyum asizipake alikwambia diamond anataka mke

  • @florencerose859
    @florencerose859 3 роки тому +1

    🇹🇿 umbeya muko juu

  • @ashibby5647
    @ashibby5647 3 роки тому

    Kama umesikia mwachie number like apa

  • @noelamadadi5731
    @noelamadadi5731 3 роки тому +1

    Shilole hapo umefeli haki, ukamwangusha chibu, kiufupi namsapoti mama Diamond 💯💯💯

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 3 роки тому

    Shilole ; Leo umeonyesha uwezo wako FINYU wa kupambanua jambo. USIRUDIE

  • @myfetty1960
    @myfetty1960 3 роки тому

    Chizi ww mxuyuuu umeuona yule muza maandazi kama ww

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 3 роки тому

    Shilole mpuzi sana wataka sifa za kijinga yani mtu atoke uko akwambie yuataka kumuona mtu na umchukue umpeleke subhanallah je kama amekuja na nia mbaya

  • @Kwazulu1
    @Kwazulu1 3 роки тому +3

    Shishi mnafiki. Day Light Robbery. Zarina anakuamini alafu unamugeuka??. Shame on you

    • @mauwabijoux6966
      @mauwabijoux6966 3 роки тому +1

      Sasa makasiriko ya nini kwani zari si ana king bae wake hamjampokea pole ama nivile munajua moyo wa zee upo kwa dai

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 3 роки тому

      @@mauwabijoux6966 hatakama ivo Mauwa lakini Shishi ni ndumila kuwili badala ya kumushauri Diamond a settle na mwanamke mmoja yeye anazidi kumuletea wanawake wengine na yeye ni mwanamuke , Uchebe angetafutiwa mwanamuke na Zarina angefurahi? NDO maana Uchebe alimpigwa.

    • @jcrackcrack1669
      @jcrackcrack1669 3 роки тому

      Zari ame move on

    • @mauwabijoux6966
      @mauwabijoux6966 3 роки тому

      @@Kwazulu1 si rahisi ki binadam ila dai sio mutu waivo angekua ni mwenye nia ya kutaka kua na mutu kwani wanawake wangapi wamempita mikonono utasema wote wabaya ndio ivo dada dai sio muowaji

    • @Kwazulu1
      @Kwazulu1 3 роки тому

      @@mauwabijoux6966 kweli nakubaliana na wewe Mauwa. Ulishaona wapi Mauwa mpaka mama yake amuchagulie . Akatubu ili aowe.

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 3 роки тому

    Dar,mbona mnawaangalia dada Kwa dharau?

  • @lucyjoseph5178
    @lucyjoseph5178 3 роки тому

    Ety ni muungwana yaan sijui lini wadada tutabadilika kwahyo mwanaume akiwa star fresh tu mh aibuuuu

    • @pettyjongera1295
      @pettyjongera1295 3 роки тому

      Hii aibu kubwa jmn,,,,Mondi mwenyewe kashangaa wala hajawaelewa vzr hata zawadi hajapokea

  • @debiesalma5311
    @debiesalma5311 3 роки тому

    This was not nice shish

  • @khairattapanya2828
    @khairattapanya2828 3 роки тому

    Peleka uwongo wako ata kuongea uwongo uwezi uyo demu mpeleke uchebe

  • @nyamburalemis7341
    @nyamburalemis7341 3 роки тому

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @zumamarande3242
    @zumamarande3242 3 роки тому

    Kiki hizo mlikuwa kimya sana tupo na Tembo kajara