SHILOLE afunguka bifu na Snura, kupatana na Kiba, kutaka kumfunga Uchebe, ukaribu na Zari na Diamond
Вставка
- Опубліковано 29 кві 2022
- Sehemu ya pili ya #ChillnaSky na Shilole anafunguka kuhusu kumpeleka polisi Nuh Mziwanda kutokana na tabia yake ya kumchafua mtandaoni, kumaliza tofauti yake na Alikiba, bifu yake na Snura, jinsi anavyomkubali Zari na ukaribu wake na Diamond pamoja na kitendo cha kupigwa na ex wake Uchebe na jinsi ambavyo alikaribia kumfunga
- Розваги
Yaani kabisa interview za chilii na sky zinaheshimika kweli si utani.. Kuna watu wakorofi kwenye interview lakini wakifika hapa wanakuwa wa pole wanajibu kwa adabu mfano mzuri ni Hemed PhD niliaangalia interview yake nikasema hee kumbe huyu jamaa Kuna saa network inashika kwenye interview.. Big up brother 💪💪kweli nimeamini ukijiheshimu utaheshimiwa
Asante sana Amina
@@SimuliziNaSauti tupo pamoja 🙏
Sana huyu kaka etu anajiheshimu ndo maana watu wanamheshimu
@@vickydan2869 kabisa
Yaan hapa lazima pawe patulivu kaka skay yupo na heshima sana
Leo umependeza sana umejistiri MashaAllah
Good work SNS am proud of you guys keep it up for the good work 👏 🙌 👍
Brother SKY you the best 🇴🇲ukifanya interview na mtu Yan ata Sisi watazamaj tunaenjoy ubakishagi kitu ❤️👊
Brother siky nakukubali Sana👊🙏
GOOD JOB Br. Nice interview 👏👏👏👏 as always
Napenda ulihpomtaja Diamond Platnumz
I love this woman
Shishi ndo kwanza unazidi kujaa naramadhani yote hii mashallah
Sky 🙌🔥
Nice Sky👌👌👌👌❤❤
Ni macho yangu au……..Shishi ana rangi mbili
Ni tatu braza
Mikono meusi
Mwenyewe nakukubali sanaaaaa kaka kwanza una adabu unauliza maswali umetulia tena ya maana ,napenda vipindi vyako M/mungu akubariki na akipiganie,
Show kali
Shishi umependeza sana pia nakupenda sana
Kweli kbs anakipaji
Akili kubwa Sky Bundala❤❤
Umezungumza KWA BUSARA na HEKIMA shishi. Live long mumy
Miladi ayo mashaallah umenenepa
Sky mtangazaji anajiyerea anajua nini anafanya wapi anataka kufika sio média zingine zinavurugu ata awo watu wanauriza maswari hawaishimu kutokana na watangazaji vire wana mionekano yao mufano wa uwoneye sky mturivu hana mambo mengi pia anajua kuriza maswari kwa uturivu naupole hongera sky wewe ni mufano wa kuigwa👏👏
I love you My sister Zuwena
Sky Congratulation Interview it’s very Nice👌🏿💕💕🔥
👌🏻👌🏻👌🏻
Heading to 1M subscribes 🔥🔥🔥I started watching this channel since round up
💥💥💥💥
😅😅😅ukampa kichwa
shishi ❤❤❤❤
Umefika home
Mashallah samehe saba Mara sabini🙏🏿🙏🏿👏👏👏
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Zuwena kiboko yao
Kuna eneo hasema kua sijuwi ana fatuation badara ya frustration
Huwezi kuzungumza na moyo wangu, moyo wangu ndo unasema 🤣🤣🤣🤣🤣.
Dah! Nimejipata napasua kicheko kama chizi.
Hii interview imekua very entertaining but pia motivating 💯
Somesing 😂😂😂shishi
Bundala dimpo kama la pacha wangu☺
Mtandio tulia basi 😄 🤣 😂 jamani mie nikiufunga unatuliaa tu tuliiii hautoki hahaaa
Snura yuko vizuri bhna shilole wewe kujichetua kwingi na ww ndio ukimuanzaaa snura
Ibrahim kibira: snura mpangaji Dar- Shilole mama mwenye nyumba, na mgahawa wake na tu ubalozi tunamsaidia kwa kipato, ila snura hana nyumba ,wala biashara ionekanayo wala sio ubalozi Shilole mpambanaji hiyo iko wazi
Wengine maisha yao sio yamitandaoni yawezekana akawa ananyumba ila sio lzma aweke mambo yke pablik
@@zawadisingano5659 anatangazia wapi biashara yake?,na ubalozi wa kampuni nao unafichwa?
@@svt3 Soma vzur comment yangu umesema hana nyumba namimi nakujibu yawezekana akawa nayo lkini sio lzma aweke mambo yake mtandaoni
@@zawadisingano5659 ubalozi ni kuuza biashara ya kampuni lazima uwekwe, yeye mwenyewe kama anabiashara matangazo ni mitandaoni, yeye hivi vyote hakuna shilole anayo biashara yake ya chakula, na ni balozi wa nazi,nguo .... lazima auze hizo vitu na mitandaoni ni nafasi kubwa ya kutangaza biaashara
The level of luck of exposure in Tanzania is at another level. You find someone with a small business like this lady been worshipped 🤣🤣 .
GOOD JOB Br. Nice interview 👏👏👏 as always