UCHEBE KAFUNGUKA KUHUSU SHILOLE KULEWA "Nimembadilisha Shilole hakuwa hivi"
Вставка
- Опубліковано 2 січ 2018
- Mume wa Msanii Shilole ambaye alifunga naye ndoa mwishoni mwa mwaka 2017, Uchebe amezungumza kwenye Exclusive interview na kuzungumza jinsi alivyombadilisha Shilole haswa kwenye swala la pombe na akasisitiza kuwa watu wapuuzie Account ya Instagram inayotumia jina la Official Uchebe siyo ya kwake.
Kijana mstaarabu MashaAllah, Allah hawaongoze katika ndoa yenu daima muelewane
amiin
Unafungu lako kwa mungu kumtowa kwenye maovu na kumuweka njia njema mungu akutilieni baraka kwenye ndowa
Uchebe uko vzr,Allah akuongoze ktk mstari huohuo,uko mstarabu unaongea point,sura nzuri moyo safi,Shenzi mange
Uchebe 1,hivo nakupenda sana umenifanya niwe fan wa shilole mwanzo sikua namdhamini,mungu awape kila la kheri kwenye ndoa yenu.mnanipa mfano mwema sana kuishi katika ndoa.shilole umebarikiwa na Mme love you guy's Allah azidi kutenda mema kati yenu.
Hongera sana uchebe MUNGU akufanyie wepesi uweze kumbadilisha shishi
Namshukuru MUNGU kuona shilole na jack wameolewa. Bado wema MUNGU mpatie na wema,
Dee Wallance hahahaha
Mwanaume na nusu shishi una bahati uchebe ni HEAVEN SENT
Simba kwa ngozi ya kondoo
Uchebe you very competent haf upo descent kwenye media..big up bro
Màsha Allah kaka ana akili huyu mwenyezi mungu awafikishe mbali insha Allah
Mashallah uchebe upo sawa mwenyezmung akuzidshie umuelimish dadaetu shishi mpk aache mziki tuangalien akhera tusiangalie dunia tu huo ndo uzur wa kupata mume mwenye dini unajielewa pongez
Huyu kaka ni mwanaume kamili yaani umeaongea ka wanaume mia na...Shilole ukapata mtu anajua maisha nn ...l like this ...wacha Mungu aendelee kuwasimamia ndoa yenu..
kaka uko sawa sana maongezi mazuri sana, wampenda sana mkeo pongezi sana na mungu awajalie.
Sema mshikaji tembo,ngumi jiwe....!!!!safi sana achana na mambo ya mitandao ishi na mkeo inshaasllah.
Inshaallah Mungu akulinde wewe na mkeo pia azidi kukusikiliza abadilike zaidi
Uchebe u r very wise
Masha Allah
hongera uchebe hakika ww ni mume unaejielewa
kweli uchebe kapole
Lovely.
mashaallah mashaallah kaka yupo safi sana wengine igeni sio kilakitu mna tangazatu
Mashaallah
mashaallah uko sawa kaka na maongezi yako
hongera sana uchebe mungu yupo nawe
Uchebe kapendeza hatarii saiz🔥🔥
M/mungu awafanye kudumu katika ndoa yenu
Nakupenda kaka yangu ❤️❤️❤️👌
Masha Allah kijan mstarab shish hap umepata
Mashallah naatazid kubadilika mkeo kwa uwezo wa Allah
safi sana kaka usitoe siri zako za ndan
mashalla
mashalah uchebe
MashaaAllah uchembe umwingi wa hekma mungu akujalie kheri
Kijana mzr kweli mungu awapee maskizano na ,mkewe ache kuimbia jana kaniudhi kwepi kacheza vibaya kweli huyo Shishi
Hee umeowa mlevi kumbe mitihani Allah atunusuru na vizazi vyetu
safi sana inapendeza sana
Uchebeee
Masha Allah kijana mstaarabu,Allah anipe namie mstaarabu😊
Mejumaa Athman .Ameen thumma Ameen akupe yule alive timia kwa kila kitu Inshaallah
Salma Ibrahim : Ameen
Smart uchebe
Upo vzr shem
Hahahahaha uko sawa dogo wadau jarb kubonyeza hyo picha kushoto utafurahi usisahau #kusubsribe
mungu azid kukuongozen inshallaah
Uchebe nakupenda buree
uchebe hiyo shughuli lini maana leo trh 3 mwaka 2018
Janjaro uko wapili uchebe uko vizuri
Nmekuelewa Cha msingi mpende mkeo
yaan shishi umepata mume anajitambua sana
Mkeo domo kaya
huyu kaka mshaharabu sana shilole mheshim mumeo
Chaupole wa shishiiii
Kumbe uchebe mzuri
Masha Allah lakini mbona haikua hyo sherehe natamani kuiona...+254. Mombasa
Review shighul kwishwaaaaa.......
jamani mbona uchebe yuko vizuri ilikuaje mange amnange kaka wa watu kweli hii mitandao itatutia uchizi
Rasta ni haram kuswali nazo hata kusuka tu ni haram
Kaka yangu rudi tena madrasa unasema unawezakusuka rasta bdae ukaingia masjid iyo sio sahihi niharamu kusuka rasta upo kaka fkiria vzr
kumbe ni handsome..nlikua sjamuonea 18
Towa hicho kiduku shehee uchebe 🏃🏃🏃🏃
Tatu T kiduku sio matendo
Uyo jama ni mvuta bangi anajifanya tu hana mpango wowote
Suleiman Salim kweli
anna mapesa hee akitowe bwana sio poa
Shishi jmn huyo kk.anavyoongea😆😆😆mie hoi🙊🙊🙊Mme wa mtu
Kijana anaongea vizur ukijua dini tu utakua na hekma sana hongera shemeji
Ki benten
jamani muwe Na masikilizano
shekhe unaonekana uko vzur ktk karate nakoz zako hazdangany kwa ss wataalam wa mambo asa angalia usije ng'oa meno mkeo
Kwel unajielewa
Mkaka una heshima wee
Jamani uchebe namm natafta mume mzuri kama ww si ungenioa mm basi ama kama una kaka yako mzuri kama wewe namm namtaka mbona uko sawa kaka
Kazuri mange wivu tu
Baba jitahid sn ndoa sio mchezo mchezo ikiwa ww ni Muislam na mkeo Muislam,bas jitahid awe muadilifu asje kukutia motoni usimruhusu alewe wala aimbe,jitahid ndugu yang na msihi sn kuhsu tatoo ktk mwili wake ajute na amube Allah amsamehe na ajitie kwa nin alichora mwili wake,ukimlingania juu ya kumcha Allah bas utapata fungu kubwa kwa Allah na Allah akufanyie wepes lkn km hukumlingania na ukamuacha tuuu bas jukumu lote unalibeba ww Mume,,na umsihi asiwe na sauti kali mbele ya wanaume iyo ndo sheria ya Uislam,,jitahid ndugu yang mzigo sio mdogo uliojitwika ila Allah atakufanyia wepes Inshaallah ila jitahid asijekukuingiza ktk moto,,,you are Man halaf msihi cn asitoe siri zenu,,na mziki aache bila ya hivyo utakua haukufanya kitu kwa muhib wa Qur an..laaa ikiwa umeowa kwa zeheb jengine apo sina elim nalo laaa ikiwa ni Qur an..Yoyote anae imba mziki wa aina yoyote ile amelaaniwa na ni kharam kuskiliza nyimbo,sasa km ni mkeo kua makin na hili kwanza kisha ayo mengine Inshaallah ya takaa saw,,
Uchebe, una ustaarabu kweli mola akushidishie maarifa ya kuweza kumstaimili mkeo. Huku kwetu kenya tungepata wanaume wastaarubu ka wewe aise tungekua na mvuto wa kuolewa
Saf uchebe kwel vi2 vya ndani haviruhusiwi kutangaza nje
😅Jamaa upo sawa, unatumia akili nyingi kuliko ulevi wa sifa! Udaku si poa jamaa ana misimamo.
yaan shishi umepata mume na anajielewa sana mpaka naona wivu mm hahahaa
Tarehe 20 yamwezigani nije
Tatu T ilikuwa mwezi wa 12 sasa naona kimya nini tatizo 😂😂
Tatu T. Agufr
shishi akika umepata Mme mtunze
Yani huyu kaka anajidai anadini mbona ulimsaliti mama January ulilalanae chini mxiuuu kwa mungu utaungua na malipo hapa hapa duniani
Jamani mkaka mstaarabu sana,Sijui ni nani hule kwenye mtandao anajifanya ni wewe eti unalelewa looh,Watu wabayaaa
Inalilah wainna ilaihirajiun wewe Hujui kitu kuhusu dini usijibu kitu Kinachohusu masala ya dini Kama Hujui
Rajab Khalid hamna aliyekamili...tuwaombee inshallah watabadilika siku zijazo
r r r nyingi sehemu za L
wew muongo kunyoa kidukwi airusiwi kuingia kuswali nayo swala aikubaliki ata rasta
Acha kupotosha dini airuhusu kunyoa kiduku unyoaji wa kiyaudi huwo
yani shishi huyu ukimwacha dakika kumi nyingi magubegube wa mjini washamuona hahaa nawaombea mola awajaze shfaa midomo yenu iwe nasubra mstamiliene
We uchebe kunyoa fanki haibatishi swala ila ni haramu kunyoa fanki
Ni kazuri jaman mange acha wivu
ila kaka mshauri mkeo avae vizir kwan ww muslim nawatakia kila lakher
Kakwambia nani kiduku inaruhusiwa kwenye uislasm
Nassor Hamadi Nassor acha kukurupuka
Mxiuuu wewe si boda boda wewe mwananyamala wanakupa hi 😂😂
w uchebe n ñusukilo akiliyako yaaan MTU mwenye akili timamu akikuskilza tayar anakuona unahitajika milembe ww n muoaji au muolewaji? m ckuerew shish alisemakilaktyu n yeye kwako sasa iweje uoe boraungeliolewa tyu ww hatakukuskilza nakuona ka unanimalzia mb zangu hujitambui
princiokechuku tz muckarts ivi wew una matatzo au??? Uchebe ana gereji na kasema apo sasa kila ktu shish vip?? Yey hapend kutangaza hyo ndo tofauti yake na wengne ambao kila kitu wanatangaza nje... Ndoa inataka stara
huyu nae Mara hana account Mara uchebe I au kiswahil shida
Sura ya uchebe imekaa nikama ume pigwa makora za uso alafu ww umeoa ama umeolewa toba 💔🙆🙆🙆
Nakupendea hivyo uchebe mungu awaongoze Inshaallah