MVUTANO MKALI BUNGENI SAKATA LA Ngorongoro - "NG'OMBE WALIOPO NI wa MABEBERU" - SALOME MAKAMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • MVUTANO MKALI BUNGENI SAKATA LA Ngorongoro - "NG'OMBE WALIOPO NI wa MABEBERU" - SALOME MAKAMBA
    feb 9, 2022 Bunge limepokea na kujadili Taarifa za Kamati ya maliasili na Utalii pamoja na Ardhi ambapo mjadala Mkubwa umekuwa na wakazi wanaishi katika hifadhi ya ngorongoro
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 109

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 5 місяців тому

    Safiiii saaaana dada Mungu akubariki saaana Salome uko vizuri .Shikilia hapo hapo nimekupendav sana SALOME ANATENDA HAKI.WENGINE WAIGE.

  • @michaeljerome6717
    @michaeljerome6717 3 роки тому +4

    Dada salome umeshusha madini sana leo ,serikali inatakiwa kuuchukulia serious hotuba yako hiii Big up

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 3 роки тому +1

    Salome uko vizuri yapo tunayotofautiana na yapo tunayokubaliana..Tukitofautiana haina maana tunaichukia Tanzania. Karibu Dada yangu tuijenge Tanzania 🇹🇿 Imara zaidi.

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 3 роки тому +8

    Salome Makamba amezungumza point nzuri sana!

  • @johannesmaloda8209
    @johannesmaloda8209 3 роки тому +3

    Salome makamba God bless you...kwnn asipewe wizara au mama samia hamuoni dada huyu...

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 2 роки тому

    Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu nazidi kukuomba taifa letu la TANZANIA ripo mikononi mwako

  • @twahashearer8302
    @twahashearer8302 3 роки тому +2

    Umenena vyema sana, suala kubwa sio ng'ombe wa nani bali suala kubwa idadi ya watu na mifugo imekua kubwa sana na inahatarisha uwepo wa Ngorongoro, hili lisiishie hapo tu hata waliopo Manyara na kuendesha shughuli za kibinadamu wanahatarisha uwepo wa ziwa Manyara

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 3 роки тому +2

    Asante ndiyo upinzani tunaoutaka kwa masilah ya tanzania

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 3 роки тому +3

    Big up Mp Salome, kupanga ni kuchagua 💖👏

    • @jambo3751
      @jambo3751 2 роки тому

      Kumbe huyu ndio alietoa mawazo ya wamasai watakaohama NGORONGORO watafutiwe sehemu wajengewe nyumba za kisasa na huduma zote za kijamii wasogezewe?
      Serikali imekubali idea yake ndio maana wakapelekwa MSOMERO HANDENI na wameanza maisha bora kabisa. Rais akiwa msikivu anafaidi sana mawazo mazuri kutoka kwa wananchi wake.
      Hongera Dada for your constructive ideas. Mawazo yako yameisaida serikali. Mungu akubariki.

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 3 роки тому +3

    Salome uko vizuriiiiiiiiii saaaaanaaaaaa

  • @sapikiwanga6154
    @sapikiwanga6154 3 роки тому +3

    Viva mh.salome viva,thank uuuuuuuuuuuuuu.

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele3633 3 роки тому

    Safi sna Mbunge salome

  • @jamesgerald7192
    @jamesgerald7192 3 роки тому +2

    Eti kondoo mharibifu wa kwanza,, hvi kweli kondoo ale majani nakung'oa mizizii,, umekisea sana aise.

  • @zainabumohamed600
    @zainabumohamed600 3 роки тому +3

    Umenifurahisha sana salome

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 роки тому +2

    Safiiiiiiiii sana.

  • @safiyasafiya5014
    @safiyasafiya5014 2 роки тому

    hongera dada salome❤😅

  • @rinaldaoman7892
    @rinaldaoman7892 3 роки тому +3

    SALOME UMETISHAAAAAAAAAAA
    DU CCM VICHWA KM HV NDIVO VINATAKIWA SIYO AKINA HAWAJUI KUJIELEZA

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 3 роки тому +4

    Salomeeeeee nimekupenda bureeeeeeeeeeeeee

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 3 роки тому

    Asante sana dad wewe kichwa kipana sana

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 3 роки тому +2

    Huyo mzee nae angekaa kimiya mh salome amwage madini.

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 11 місяців тому

    Mwongo mtupu salome mungu anakuona

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 роки тому +1

    Ng'ombe ziende wapi Sasa... Tumieni Hekma anayetaka watoke na anayetaka waendelee kuwemo wote Wana maslahi. Binafsi... Olesendeka na Salome... Ukifuatilia vizuri utajua Kuna mwenye ng'ombe hapo na Kuna mwekezaji wa vitalu au utalii au mahoteli hapo... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 3 роки тому +2

      Nchi kubwa hii, watapelekwa kwingine

    • @mackMmathayo
      @mackMmathayo 5 місяців тому

      Wacheni2 inatakiwa aletwe Salome aje awachagulie wenyewe iso Ng,omba au kama nisake aje awachukue.. Mungu yetu yupo2

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 3 роки тому +1

    Angekuwepo Jpm

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 3 роки тому

    Salome ukop powa sanaaa tuuuuu¡!!!!!!!!!! Wemgine hakuna wanacho changia

  • @lujobilz7482
    @lujobilz7482 3 роки тому +1

    Asante

  • @njironairabamollel710
    @njironairabamollel710 3 роки тому +2

    Nikweli mama

  • @mussakeston5768
    @mussakeston5768 2 роки тому

    Bungeni mkiona kitu kizur kinaongelewa mnakazana na tarifaa mnatupozesha mioyo yakutazama bunge tarifa zenyewe sasa Kwa ajili ya kumdhofisha anaeongea watoa tarifa mpone Kwa Jina la yesu

  • @milkajm4762
    @milkajm4762 3 роки тому +2

    Truth be told.

  • @kabelengegodfrey4009
    @kabelengegodfrey4009 3 роки тому +3

    Hakika sipika Tulia unaweza nanitakuombea

  • @michealmasai3080
    @michealmasai3080 3 роки тому +1

    Salome mshamba sana kondoo hangoi mizizi wewe mfuga bata utajuwaje!!!!

  • @eliudletungaa7594
    @eliudletungaa7594 3 роки тому +2

    Wabunge wetu ni waongo Sana

  • @mussamassawe7624
    @mussamassawe7624 3 роки тому

    Hata Kama kondoo au ng'ombe za kupewa waachwe, achen vita na waamasai kule ni kwao 😭😭

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 3 роки тому +4

    Mambo ni moto ole sendeka, kama kuna chako pale katoe mapema

  • @ephraimkyando6331
    @ephraimkyando6331 3 роки тому +2

    Swala la watoto kuomba kwenye magari ni kweli.

  • @amosedward4326
    @amosedward4326 3 роки тому +1

    Lakini ukisema tunachunga Ngombe za watu uongo wa ajabu 🤔🤔

  • @kisalimeyasi4482
    @kisalimeyasi4482 3 роки тому +2

    Huyu Dada Salome anajua vizuri anachokiongea kwani ni ukweli mtupu naomba apewe ulinzi

  • @naftalimhemi1208
    @naftalimhemi1208 3 роки тому +1

    Ngoja tukachunguze hawo ng'ombe wengi wa akina nani.Kama ni wa hao mabeberu wataifishwe.

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele3633 3 роки тому

    Hakika Madam speaker yupo makini nimempenda bure

  • @realbeda2880
    @realbeda2880 3 роки тому +1

    Mbna Akina Ole wanakatisha sana wanaosema ukweli

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 роки тому +3

    Huyu mzee mpuzi dada yupo vizuri matajiri ndio ngombe zao

    • @piusprospa8832
      @piusprospa8832 2 роки тому

      sio kweli kinachoendelea nchi hii unyama umezidi huwezi kuhamishwa mahali ulipo zaliwa wote mna mtetemekea mwarabu

  • @donatusngowi2267
    @donatusngowi2267 3 роки тому

    Na ngorongoro siyo hifadhi Bali ni arith yenye matumizi zaidi ya moja

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 3 роки тому +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MrLogalaa
    @MrLogalaa 3 роки тому

    Wahamishiwe wilaya ya handeni, simanjiro na kiteto patawafaa sana kwa shughuli zao za ufugaji.

  • @dominiclaizer897
    @dominiclaizer897 3 роки тому

    Wamasai wanapenda Sana ng'ombe nakuchukia watoto wao

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 3 роки тому +1

    Du, dada shikamoo. Umenyoosha haswa. Ndo hivyo hivyo yaaani.

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 3 роки тому +1

    Hao wabunge inawezekana wana ng'ombe huko

  • @mackMmathayo
    @mackMmathayo 5 місяців тому

    Bora huyu mama apewe ayende kwasababu ameshiba sana akaona pesa ndiyo ya mana kuliko wanadamu

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 3 роки тому +2

    Nimekuelwwa mbunge kwa hili

  • @sapikiwanga6154
    @sapikiwanga6154 3 роки тому +3

    Orekaita umechemsha,acha kuleta siasa kwenye issue sensitive,sheria IPO but maxingira yanaharibika so,tuache mazingira yaharibike?????

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 2 роки тому

    Ukiwasikiliza wakiongea hadharani utadhani ni ndugu zetu wa kweli. Lakini mmh.

  • @Filexwawa
    @Filexwawa 2 роки тому

    Mama uko sawa nakukubalisana ww hogera

  • @frankmasunga4410
    @frankmasunga4410 3 роки тому

    Maslahi ya taifa ni watu kama hauamini waache taifa liwe na wanyama tu tuone kama itaitwa taifa

  • @graceyohana1733
    @graceyohana1733 3 роки тому

    Kwan wanyama nao wanasemaje ? 🤔

  • @aishahashim.5079
    @aishahashim.5079 3 роки тому

    Tulia shikámoo

  • @sangoyantutunyo8811
    @sangoyantutunyo8811 3 роки тому

    Ajui anacho ongea mabeberu kutoka wapi?

  • @michaelmenja4251
    @michaelmenja4251 3 роки тому +2

    Huyu mama anasema ukweli afu Cha ajabu Kuna mmasai anasimama kujitetea kwamba hanyanyasw

  • @LUKASKALEY-y7s
    @LUKASKALEY-y7s Рік тому

    Hivi hyu mbunge alikua hajitambui kwani hyo hifadhi ilipopewa uridhi wa dunia Wamasai hawakuwepo?

  • @habau_jr1755
    @habau_jr1755 3 роки тому +1

    Kumbe Salome kichwa ipo, ila maksudi tu!😮

  • @victormneney1307
    @victormneney1307 3 роки тому +4

    wapunguze population ya mifugo na watu au waondoe wamasai wote watafutiwe eneo jingine lenyekuendana na pastorelizim

  • @JL.FoodForum
    @JL.FoodForum 3 роки тому

    Mmmmm

  • @LUKASKALEY-y7s
    @LUKASKALEY-y7s Рік тому

    Mm naomba kushauri tetea bata kama unafuga bata

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 3 роки тому +2

    JPM angekuwepo mngekoma, tatizo viongozi tunaowategemea ndo wanaokula njama, na Hao Hao ndo wanamifugo.

  • @RugemaliraRenatus-rf6yv
    @RugemaliraRenatus-rf6yv Рік тому

    Population inaongezeka kulingana na na siku na sehemu yote ya Tanzania ,sasa kuwatuhumu inatoka wapi sehemu yote ya Tanzania sasa kama walisha amishwa kutoka selengeti kwenda ngorongoro sasa mna waamisha tena.wapeni huduma muhimu,msiwanyanyapae ,watu wanaongezeka na pia wanyama wanaongezeka sio masai tu wanaongezeka.wapeni huduma muhimu ni watanzania msiwanyanyapae Masai ndio utamaduni wake kuishi na mifugo mbugani.msitake kuua tamaduni zao kisa pesa.Kilamtu na tamaduni yake hapa Tanzania,Kama wengine nimeamua kuziacha ninyie wenyewe.

  • @donatusngowi2267
    @donatusngowi2267 3 роки тому

    Salome hapo umetudangaja

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 3 роки тому

    Dada nakukibari sana wewe ni kichwa, sio kwaidadi hiyo

  • @Danielmwandu
    @Danielmwandu 10 місяців тому

    muwongo zana

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 3 роки тому +1

    Huyu Ole Kaita, Emmanuel na Ole Sendeka Ni useless MPs Kama wa Mbogwe

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 роки тому

    Dr tulia umetulia kwenye kiti we tulia mama now you proof wrong na yule mzee

  • @andrew29468
    @andrew29468 3 роки тому

    Huyu mbatia gani,mbunhe machachali

  • @kikongajoel5172
    @kikongajoel5172 3 роки тому

    Wamasai waishi miaka yote Leo watoke kweli duniani hakuna haki

  • @davidlengidong
    @davidlengidong 3 роки тому

    Hooooovyo!
    Mbona huwataji hao waliopeleka ng'ombe huko ngorongoro?
    Nenda kwenu shinyanga kale dona achana na wamasai.

  • @JamesAlanyuni-ez7cw
    @JamesAlanyuni-ez7cw Рік тому

    Wewe ni mulaya

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 3 роки тому

    Job yupo?

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 3 роки тому +3

    Wahame, wamasai, ngororo, nyie ndo mnamifugo huko

  • @emmanuelwirycrif2458
    @emmanuelwirycrif2458 3 роки тому

    rakin smriruhusu jaman

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 3 роки тому +1

    Wabunge cjui waangalizi wa mazingira mnashida nyinyi Yani hao Masai walikuepo hata babu zunu hawajazaliwa eti mnajifanya mnawatetea Kwa ni maisha Yao wanayo walio ishi Toka vizazi na vizazi na ni Moja ya utalii kuishi na wanya Poli na pia wao ni waangalizi wa wanya hao hovyo

  • @peterlemurwa3834
    @peterlemurwa3834 3 роки тому

    Acheni unafiki ngorongoro hami mtu

  • @JohnlaizerJohnlaizer
    @JohnlaizerJohnlaizer Рік тому

    Uwongo

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 11 місяців тому

    Huyu mwanamke nae anaongea ujinga pia ni mchochezi wa jambo asilolijua bac 2

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 роки тому

    Dr ni mwalimu hapo sasa unawapa na elimu mana wengine humo bado wageni wanapeleka hisia zao tu....hahahaha unanifanya niwalipie ada watoto wangu shule ni dawa

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 3 роки тому +1

    Serikari naona wabunge wanaongea Kuhusu wamasai wanaoishi kwenye mbunge ya ngorongoro wanasema wahamishwe. Ni Swali kwa serikari je na wale waliojenga mahoteri Ndani ya hifadhi nao watahamishwa.?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 роки тому

      Exactly

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 3 роки тому

      Kutumia nguvu kwao kunaweza kuwafanya hao watalii wasije kabisa ngoja tuone yetu macho

    • @twahathomas3514
      @twahathomas3514 3 роки тому

      Hawawezi maana wamasai wakitoka wanapisha na wawekezaji wamama samia

  • @gedionsopia4498
    @gedionsopia4498 3 роки тому

    Kondoo wanagoa majani na mixixi, temboje? Amisheni nao, watoto wa nhorogoro no obaomba, far no wangapi, mwanxa, Arusha, Moshi, umaskini, tasafe niagorongro, mabeberu kwani niwasungu wanafuga ngorogoro, Kama watu wamepeleka pale c watanxania, na wepeleka,

  • @pauloalfayo1868
    @pauloalfayo1868 3 роки тому

    Na serekale je itafunga mashimo ya madini

  • @jumamussa6529
    @jumamussa6529 3 роки тому

    Huyu mbunge ni nduu na magufulu

  • @charlessokoine-qp7uq
    @charlessokoine-qp7uq Рік тому

    Nyie madada mlio wemo bungeni Moja na Malaya sipika tulia akisun nyie wote makuma tu

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 3 роки тому

    Salome + january= ?

  • @hamadisululu9683
    @hamadisululu9683 3 роки тому

    Hata kuishi na wanyama ni utalii tosha ni za kina nani ngombe haihusiani.kwan viongozi wanazuiwa kufuga?

  • @jackisonmlaari4556
    @jackisonmlaari4556 11 місяців тому

    Mbinguni huendi wallai

  • @chazedwin5262
    @chazedwin5262 2 роки тому

    Wewe unaongea kuomba uwaziri kwa mama wewe una njaa

  • @reginaremi7176
    @reginaremi7176 3 роки тому

    Hakuna MTU anahama hzo ni porojo hakuna proof kuwa hyo mifugo ni ya matajiri

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 3 роки тому

    .

  • @donatusngowi2267
    @donatusngowi2267 3 роки тому

    Salome acha uwongo sisi tunapeleka wageni , ngorongoro wamasai wapo vizuri wanaongea English vizuri kuli ninyi

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Рік тому

    Kama hizo fedha zinapatikana kupitia hifadhi hiyo je ni bilioni ngapi mnaziiba?Pia je?wakazi wa eneo husika wanahali gani ?maana hata kwenye madini wakazi wa maeneo hayo ni hali mbaya.Mwisho kwa nini mnatufanya watanzania kuwa maskini wakati nchi inautajiri mkubwa?je Libya walinufaika vipi na rasmali za nchi yao?acheni kutuona watanzania wajinga hata siye tunapenda maisha Bora kama mliyonayo nyie.

  • @mimutiengungatimollel3794
    @mimutiengungatimollel3794 3 роки тому

    Huyo mwanamke anayesema sahvi wamasai tunafuga kondoo anataka tufuge nini??? Shetani mkubwa tu"" cijamfurahia kwa kweli

    • @mimutiengungatimollel3794
      @mimutiengungatimollel3794 3 роки тому

      Wanasema watu wamekuwa wengi??? Kwani si Tanzania nzima watu wanaongezeka??? Watu wanazaliana mjue na siyo ngorongoro tu" sasa siju hao utakao wahamisha kutoka ngorongoro utawapeleka wapi ambapo watu hawajazidi??? Ivi kwanza sahvi Kuna migogoro kila kona katika nchi hii ya wakulima na wafugaji" hayo yote ni kwasababu watu wamezidi,,,. Basi leteni sheria ya uzazi wa mpango basi ili tuache kuzaliana Sana"

  • @sanaremolel4711
    @sanaremolel4711 3 роки тому +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 3 роки тому +1

    Salome + january= ?

    • @deus8629
      @deus8629 3 роки тому

      Hawana undugu wowote... huyu salome ni chadema ndo wale wabunge 19 wanaitwa covid 19.

    • @eliudletungaa7594
      @eliudletungaa7594 3 роки тому

      Stupidity gang