Nashukuru sana kaka joel kwa somozuli lenye mafunzo ndani yake nimesikiliza kwa umakini sana na nimejigundua kwamba nipo hiyo stage ya 3 the stability stage naamini mpaka sasa nitabadilika na nitasonga mbele zaidi na pia nazidikumwomba mungu ili niweze kuvuka hizo stage zote salama mwenyezimungu akubaliki kakaangu uendelee na kaziyako ya kuelimisha jamii kwa ujumla na uweze kufika mbali zaidi ya hapo AMEN.
nashukuru Mungu na wewe pia kaka Joel,power struggle imenitesa sana halafu nishaolewa ila Mungu ni mkubwa sasa nimevuka na nimeelewa,ahsante sana kwa somo
uko deep Sana brother everything you touch, you directly touch my life na maisha ya watu wengi. be blessed and keep moving forward to teach the mass. Nabarikiwa Sana.
Uwiiiiii yani ni bonge la somo nimejifunza kitu ambacho kimenishindaga miaka yangu yote ya mahusiano asante sana brother Joel Mimi nipo hatua ya pili ni balaa tu
Hakika sababu mahusiano mengi nmepita hayana mamunzi mazuri sababu akiwe mlevi ndio tuongea sana bila ulevi hamna chakuingea asante kwa maneno mazuri mungu akubariki
Asante sanaa, Hapo kwenye power struggle stage Ndipo Nilipo poteza Mahusiano na mpenz wangu ila niliamuwa kuanza upya kumbe Ulikuwa ni stage nishakosea Tayari ila sitakosea tena maana huwa naishi kwenye ninacho jifunza. Asante Joel leo nakuja dukani #timizamalengobookshop# nakuja kuchukua CD alafu tunaonana tarehe 20 kwenye DARASA endelevu. Asante.
Daaah hongera Sana kaka unatupa mafundisho mazur Sana...hiz stage kwa kweli niliishia stage ya tatu tukaachana kbx kwa sababu mtu alibadilika sana..na kwa Sasa Niko stage ya kwanza kbx sijui Kama nitafika hahahah namuomba Mungu kwa kweli
asante kwa hili somo coach sikubahatika kupata somo hili mwanzo ...hivyo stage ya pili mara nyingi uwa inanishinda kuikabili nikidhani mtu kabadirika kumbe ni lazima hayo yatokee ili tusonge mbele zaidi
Mimi nilifikia hatua ya tatu nikaona niachane nayo kbx..ila kaka nimekupenda bure huwa unafundisha vzr Sana kiukweli tunaelimika...niliachia stage ya tatu kwakuw mwanaume wangu alibadilika Sana na mm sikueza kuvumilia nikaona niachane na mapenz Kwanza maana niliumia Sana Yan mnoo...mpk sahv naona Kama wote wako hivyo..ila nadhan kwasababu sijawahi kuumizwa ndio maana nimeumia Zaid...barikiwa kaka Joel
Nipo kwenye ndoa Kwa miaka kadha sasa,Ila siku zote nilikuwa sijui kama kuna hatua nazipitia,But baada kusikiliza Somo la MAHUSIANO duuuu. .. Nimefanya tathimin ya safar yangu yote ya Mahusiano,Aisee naona kama stage Zote nimepitia na Sasa Tumekuwa na mahusiano mazuri sana na Mke wangu, NA SASA TUMEKUWA TUNAFANYA KILA KITU KWA PAMOJA ..NA NAONA MAFANIKIO MAKUBWA SANA.. AS A STRONG TEAM. @Baba LOIS
Daaah mi nipo kwenye hatua ya tatu maana kila kukicha unakuwa mwenyemaamuzi kabisaaa. Hadi unasema nimekomea hapa na kuchukia kila mwanaume duniani ila nashukuru kwamba kidogo navuta mguu kwenye hatua ya nne
Kaka Joel kwa mm ninaona nipo kwenye hatua ya pili , lakini nahisi hatua ya kwanza sikuona kwa sababu nilikuja kutambua mwanzoni kabisaa mwenzang alikua anamahsiano na mtu mwingine ,
Nipo kwenye struggle stage sema mwenzangu namuona kashaingia stability ila hapo nilipo nimeona kalbia mahudiano yafike mwisho lakn nilikomaa na mwezangu alikuwa ananiambia mbona nimebadilika sana??lakn naona kashaaza kunizoea nitaidalodii hii kwa ajilii ya kusikilizisha ilii iweze kutusaidia kuvuka hiii stage iliyongumu sana allah akubaliki kk joel
Kiukweli mm sijui nipo kwenye stage gani mahana naona ya kwanza na ya pili zote zinaniusu kiukweli sijui nitafika Lin uko kwenye stage ya mwisho au niambie mtaharamu nilikosea labda nitafute mwingene ndo atakae nifikisha stage ya mwisho niwe free
Mimi mahusiano yangu yamevunjika juzi,nafkiri yamevunjikia hatua ya 2,maana nlikuja kugundua mpenz wangu hakuwa na future yoyote,pia ni mbishi sana na ananijibu anavyotaka,apo nikijaribu kumrekebisha anakuja juu,ckuwa na jinsi mahusiano yalivunjika,
sijuti kukujua kupitia online, umenifunza mengi,Mungu tu atakulipa kwa namna ya kwake yeye anavyojua,sasa hivi sintapata shida huko mbeleni kwenye mahusiano/ndoa yangu,maana nimeshatambua
Mimi Niko kwenye stability stege tangu mwezi wa March Ila ninaona kama ninajilazimisha kuendelea na huyu mwenzangu, tunamali nyingi ila ninahisi kama naweza kwenda na mali hazina nafasi ndani ya roho yangu kwakweli kaka umenifundisha kitu kikubwa maishani mwangu ila cjui kama nitaivuka hii stage
Nashukuru sana kaka joel kwa somozuli lenye mafunzo ndani yake nimesikiliza kwa umakini sana na nimejigundua kwamba nipo hiyo stage ya 3 the stability stage naamini mpaka sasa nitabadilika na nitasonga mbele zaidi na pia nazidikumwomba mungu ili niweze kuvuka hizo stage zote salama mwenyezimungu akubaliki kakaangu uendelee na kaziyako ya kuelimisha jamii kwa ujumla na uweze kufika mbali zaidi ya hapo AMEN.
nashukuru Mungu na wewe pia kaka Joel,power struggle imenitesa sana halafu nishaolewa ila Mungu ni mkubwa sasa nimevuka na nimeelewa,ahsante sana kwa somo
Ujumbe Mzuri SANA Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA
Aiseee daaaah Asante sana
Mimi mahusiano yangu yalivunjikia kwenye stage ya 3
uko deep Sana brother everything you touch, you directly touch my life na maisha ya watu wengi. be blessed and keep moving forward to teach the mass. Nabarikiwa Sana.
Ameen sOLOGO,NASHUKURU SANA
Uwiiiiii yani ni bonge la somo nimejifunza kitu ambacho kimenishindaga miaka yangu yote ya mahusiano asante sana brother Joel
Mimi nipo hatua ya pili ni balaa tu
Johari Juma Hongera sanaa
Dah mahusiano nimeumia sana kiac cpend hata kuckia story znazoweza kunikumbusha hayo ya zamani na bd moyo wangu una makovu!
Hatua ya kwanzaaaaaa😂😂😂😂❤️❤️❤️❤️🌹🌹
Hakika sababu mahusiano mengi nmepita hayana mamunzi mazuri sababu akiwe mlevi ndio tuongea sana bila ulevi hamna chakuingea asante kwa maneno mazuri mungu akubariki
Asaantheeee my dear brother barikiwaaaaaaa Sana. Daah hizo hatua nimejifunza mengi apooo.. Mbili na Tatu apooo
Anthony Kimaro naona mbili na tatu imekugusa
Ndio brother Sana
Asaantheeee Sana barikiwaaaaaaa
Asante sanaa,
Hapo kwenye power struggle stage
Ndipo Nilipo poteza Mahusiano na mpenz wangu ila niliamuwa kuanza upya kumbe Ulikuwa ni stage nishakosea Tayari ila sitakosea tena maana huwa naishi kwenye ninacho jifunza.
Asante Joel leo nakuja dukani #timizamalengobookshop# nakuja kuchukua CD alafu tunaonana tarehe 20 kwenye DARASA endelevu.
Asante.
Justine Mmbando hongera sana na karibu sana mafunzo ni tarehe 11
Hongera Justine,nakutakia kila la kheri
Joel Nanauka nilisahau asante tutafika hapo
Dj
Daaah hongera Sana kaka unatupa mafundisho mazur Sana...hiz stage kwa kweli niliishia stage ya tatu tukaachana kbx kwa sababu mtu alibadilika sana..na kwa Sasa Niko stage ya kwanza kbx sijui Kama nitafika hahahah namuomba Mungu kwa kweli
Mr. Joel nakushukuru sana umenifumbua macho sasa. Mungu akubariki sana kaka.
Emanuel Jonas Macha Ameen nashukuru sanaa
Bro Joel umeniongezea kitu nashukur kaz yako njema mm nipo hatua ya pili
asante kwa hili somo coach sikubahatika kupata somo hili mwanzo ...hivyo stage ya pili mara nyingi uwa inanishinda kuikabili nikidhani mtu kabadirika kumbe ni lazima hayo yatokee ili tusonge mbele zaidi
Nashukuru Veronica,Nakutakia baraka zaidi
Mm naona nirianza vizurii uku mwisho nirpo mnunuria sm tu kabadirka
Santee sana kaka kwa kuniongezea,, dea!! Mungu akujalie katika kaz zako
Nashukuru kaka kwa mfundishoo bt ya kwangu yapo stage 2,,ningeomba ushauri wako nawezaje kuvuka kwenye hii stage 2 n 3 ahante
Mungu anisaidie nipo kwenye atua ya kwanza kunamtu Nampenda sana ila yeye wakati wote yuko bize hiyo inanipa shida sana
Asante kwa msg nzuri .i will see you at the top.
Robert Gwelela karibu sana Robert See You At The Top
Allah akubariki Leo ndo nimeelewa mara nyingi nimeishia hatua ya pili Leo nimejifunza kitu kikubwa sana
Nice indeed Kaka Nipo kwenye Stability stage hapo.
wow,hongera sanaaa
Ila naamini Sasa nikiingia kwenye mahusiano mengine,nitakuwa nimejifunza, asanteee sana, ubarikiwe Kaka Joel
Dah ahsante sana nimeanza kuelewa sasa. Sijawahi kuvuka hatua ya pili😕
Kiukweli unanipa material mazuri kaka asante kwa somo hili
Haji Jumanne nashukuru sana Haji
Mimi nilifikia hatua ya tatu nikaona niachane nayo kbx..ila kaka nimekupenda bure huwa unafundisha vzr Sana kiukweli tunaelimika...niliachia stage ya tatu kwakuw mwanaume wangu alibadilika Sana na mm sikueza kuvumilia nikaona niachane na mapenz Kwanza maana niliumia Sana Yan mnoo...mpk sahv naona Kama wote wako hivyo..ila nadhan kwasababu sijawahi kuumizwa ndio maana nimeumia Zaid...barikiwa kaka Joel
Kuna stage kuvuka si mchezo jmn!Unajua umepata mume/mke badae unagundua ni jambazi hyo stage inayofuata ni ngumu kukubaliana🙆
Somo zuri sana yn🙏🙏🙏🙏
Lily Kessy 😂😂😂😂😂😂hiyo ngumu kumeza
Unakuja kugundua mtu mbinafsi muongo baraha story alizokuwa anakupa mwanzo anazirudia tena tena zikiwa zimebadikika
Asante kwa Mafundisho yako Kaka Joel kila napo kusikiliza lazima nipate kitu ntafata stage hizo ili mahusiano yangu yawe vizur
Safi sana Elias,nakutakia kila la kheri
Yangu naona yametoka kwenye romance ,tukataka kuyarusha hadi kwnye commitment,,yalivunjikia hapo ,hayakuendelea😭
Nipo kwenye ndoa Kwa miaka kadha sasa,Ila siku zote nilikuwa sijui kama kuna hatua nazipitia,But baada kusikiliza Somo la MAHUSIANO duuuu. .. Nimefanya tathimin ya safar yangu yote ya Mahusiano,Aisee naona kama stage Zote nimepitia na Sasa Tumekuwa na mahusiano mazuri sana na Mke wangu, NA SASA TUMEKUWA TUNAFANYA KILA KITU KWA PAMOJA ..NA NAONA MAFANIKIO MAKUBWA SANA.. AS A STRONG TEAM.
@Baba LOIS
Justine Mrope hongera sana Baba Lois nawatakia kila la kheri
Kaka joel samahani sana koz mimi napitia mahusiano magumu sana na mwenzangu ya kuhpmbana especially yeye ni mjamzito.
Nimejifunza Kwa mafundisho asante
Niko hatuna ya 5,thanx bro
Mie nataman haya ya kwanza ijrudue nmejfunza hongera kaka
Mimi nipo kwenye hatua ya power struggle stage
Wow great advice
Asnt kaka Joel mie nko kwny hatua ya pili kaka ang
Eti sio mweusi ni mweupe mweupe mapenzi bana😂😂😂😂😂😂😂😂
great information ka mkubwa!
Mmmh!! Kwel Mimi nilimwacha hatua ya kwanza tuu(romans stage), hata ya pili atukufika Bros....
Thank you for good information
Mm nipo power struggle
Asante kwa kweli mada ya pili inanipa changamoto.
I preciate u kaka .u opened ur minds
Rosa shy thanks Rosa
Asanteeeeee . mi nipo stag ya 3 , but ya 2 nusura tuachane
Daaah mi nipo kwenye hatua ya tatu maana kila kukicha unakuwa mwenyemaamuzi kabisaaa. Hadi unasema nimekomea hapa na kuchukia kila mwanaume duniani ila nashukuru kwamba kidogo navuta mguu kwenye hatua ya nne
nice one I'm on the 1st stage br
Unatufungua sana Joel, tunaweza kukupata kwamitandao mingine?
Hongera bro kwa somo zuri
Nakukubali sana uko sasa
mmmhh aisee nilifika hatua ya pili yakanishinda
Duuuh!!! Kaka nanauka asantebkwa mosomo yako
Mie napenda zana kuchart sana na partner wangu
napenda sana unavyo vundisha
Aisee nmependa sana nam nmepitia hayo ila nmefka ya tatu
mruga mhono hongera sanaa
Kaka Joel kwa mm ninaona nipo kwenye hatua ya pili , lakini nahisi hatua ya kwanza sikuona kwa sababu nilikuja kutambua mwanzoni kabisaa mwenzang alikua anamahsiano na mtu mwingine ,
Brother ubarkiwe xna kwa hili somo.
Mm ni hyo stage ya pili kabisaa
Nimekuelewaa Sana Kaka
the best lecture ever
Tuntufye Kapesa thanks sana Tuntufye
Nipo kwenye struggle stage sema mwenzangu namuona kashaingia stability ila hapo nilipo nimeona kalbia mahudiano yafike mwisho lakn nilikomaa na mwezangu alikuwa ananiambia mbona nimebadilika sana??lakn naona kashaaza kunizoea nitaidalodii hii kwa ajilii ya kusikilizisha ilii iweze kutusaidia kuvuka hiii stage iliyongumu sana allah akubaliki kk joel
Shaibu Mahanda ahsante sana naamini itawasaidia sana
Mungu n mwema akielewa kama mm nilivyoelewa itatusaidia sana na kufanya tufikie maamuz sahihi kwa wakat sahihiii thank you brother joel
Bro thanx nimejifunza kitu
Doreen Kanje karibu sana Doreen
Asantee sana
Ama kwel stage by stage, mapenz
Mungu akubariki sana
Ameen nashukuru sana
Daah hyo namba mbili inawatesa wengi .
Asante bro
Uko vizuri kaka
We fundi 👍🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Inachukua muda gani kitoka stage moja hadi nyingine?
Niko hapa, nafuatilia somo
Choose to love 4
Jaman hiyo stage ya 2 inanicost
Duh me mahsiano yangu huwa yansishia hatuwa yapili tu huwa napata tabu sana
Asee bro mimi cjawahi kumaliza hata hiyo atua ya kwanza naomba nipe ushauri hebu yan celewii hata nakwamaga wapiii
Ahahah n kwel Kabisa Romance stage
A'm me kwakwel Kaka Joel nipo ktk stage ya power struggle na inanipa wakati mgumu sana kwakwel na ndoa bado nifanyeje ??? Kaka Joel
It reaches a time I feel like giving up
Very good teachings
Your blessed brother, thanks for your teaching
Kiukweli mm sijui nipo kwenye stage gani mahana naona ya kwanza na ya pili zote zinaniusu kiukweli sijui nitafika Lin uko kwenye stage ya mwisho au niambie mtaharamu nilikosea labda nitafute mwingene ndo atakae nifikisha stage ya mwisho niwe free
Thanks Joel Nanauka
wanifurahisha mbayaa😂😂
baba nipo hatua ya kwanza yani Romans stage na ninamalengo na imani kwamba tutatafuna stage zoooote kikamilifu kwasababu
God anapenda tunacho kifanya
Mimi mahusiano yangu yamevunjika juzi,nafkiri yamevunjikia hatua ya 2,maana nlikuja kugundua mpenz wangu hakuwa na future yoyote,pia ni mbishi sana na ananijibu anavyotaka,apo nikijaribu kumrekebisha anakuja juu,ckuwa na jinsi mahusiano yalivunjika,
James Ford pole sana,naamini kuna kitu umejifunza.Unaweza kutafuta pia video yangu nyingine niliyoelezea hatua tano baada ya mahusiano kuvunjika.
@@joelnanauka pamoja sana mkuu
Duh! Mimi mwenzenu hata sielew nipo hatua yangap ...!
mmm,asante sana,nimejifunza kitu,niko stage 2,,
safi Mary hongera kwa kujigundua
sijuti kukujua kupitia online, umenifunza mengi,Mungu tu atakulipa kwa namna ya kwake yeye anavyojua,sasa hivi sintapata shida huko mbeleni kwenye mahusiano/ndoa yangu,maana nimeshatambua
mi.nipo atua ya kwanza lakin inanipa changa moto sana nifanyaje??
Nipo ktk Power struggle
thanks papaaa...
Karibu sana George
Choose to love (marriage) hadi muda tunafanya vitu as a team.
Kila kitu ulichoongea hakuna ambacho sijapitia. Na vyote ulivyosema ni vya kweli.
Blessed bro
Godfrey Francis Ameen
True ..
Hio hatua ya pili mbaya sana ndio inayonitesa mm kwa sasa
Joel duuuh umenikaza mimi. Niko. Kuma usiano ya (5)
100℅ 100% 100% 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Joel
Mimi Niko kwenye stability stege tangu mwezi wa March Ila ninaona kama ninajilazimisha kuendelea na huyu mwenzangu, tunamali nyingi ila ninahisi kama naweza kwenda na mali hazina nafasi ndani ya roho yangu kwakweli kaka umenifundisha kitu kikubwa maishani mwangu ila cjui kama nitaivuka hii stage
Mwalimu hauna group
Kiukweli unatujenga bhana
Romance stage kaka
Ahsante
Kaka mm npo hatua ya Pili asante nimejifunza
shukrani sanaaa;;;;~
Emmanuel Laizer Karibu sana Laizer
Habal bro npo iyo ya 3 maucano kwangu n changamoto