Mungu ni mmoja na sote ni wanadamu tumeumbwa na mungu mmoja na sisi sote ni mavumbi..... dini ni roho ya mtu, wivu, fitina, ubaguzi na kuhukumu mwenzako ni vibaya sana. Sote tunaishi kwa nehema na rehema za mwenyezi mungu... am a proud Christian but napenda watu wote kutoka dini zote. Sending love from kenya to super star Diamond, his wonderful family, watanzania na watu wote duniani ❤
When diamond is singing with half naked ladies no one is condemning him, but when he does a decent thing people come out to ridicule him..! je huu ni ungwana? instead of supporting him akifanya jambo la maana you are busy making it a big deal. Have seen many Muslim leaders internationally quoting the bible, and confirming that they know the Bible more than Christians do. Hata nchi ikiombewa, huwa yawakilishwa na dini zote. Diamond, wherever you are, ONLY GOD can JUDGE YOU! don't let any human being make you feel wrong in what you do. KE loves what you do no matter how different it is
Kwa hiyo sheikh kajibu vema nyinyi musio na elim juu ya jambo ilo ni Bora kukaa kimya musipende kujibu jambo musilo na elimu nalo waache wakenue midomo hao wasojua kitu ktk Iman Yao lkn si ww muislam kama haujui Kaa kimya
Watanzania tupendane tusitengane. Sisi wote ni wamoja na safari yetu ni moja. One love❤
Mungu ni mmoja na sote ni wanadamu tumeumbwa na mungu mmoja na sisi sote ni mavumbi..... dini ni roho ya mtu, wivu, fitina, ubaguzi na kuhukumu mwenzako ni vibaya sana. Sote tunaishi kwa nehema na rehema za mwenyezi mungu... am a proud Christian but napenda watu wote kutoka dini zote. Sending love from kenya to super star Diamond, his wonderful family, watanzania na watu wote duniani ❤
diamond platinumz yesu akubariki
Huyu jamaa mwambie akaleye watoto anacho hongea nalichosema anakwepa,kumbe anajuwa yeye awezi kuukumu 😝😝😝😂😂😂😂
Allah atunusuru jamia Muslim
Umejibu vizur Sana shehe sharifu majini,,umejua kupangua maswali yote kifasaha ,,, mashalah
Shida ya mashehe ni jina la Yesu kristo linachoma🔥🔥🔥
When diamond is singing with half naked ladies no one is condemning him, but when he does a decent thing people come out to ridicule him..! je huu ni ungwana? instead of supporting him akifanya jambo la maana you are busy making it a big deal. Have seen many Muslim leaders internationally quoting the bible, and confirming that they know the Bible more than Christians do. Hata nchi ikiombewa, huwa yawakilishwa na dini zote. Diamond, wherever you are, ONLY GOD can JUDGE YOU! don't let any human being make you feel wrong in what you do. KE loves what you do no matter how different it is
Dah Masha Allah mwandishi wa habari leo umependeza kwa ulivyo vaa,Allah akubariki
Omg 🙋🙋🙋🙋Jesus is the only way the truth and life ❤
Shekhe mwenyewe anajiita majini.😂😂
Kusoma bibilia kwa muislam sidhambi kabisa ata wakristo usoma Qur'an this days
Diamond Simba Mungu akulinde🙏
Wafanye yao waache ushehe uchwala watuachie simba wetu
Kweli tuna matatz😂 waislamu
woiiiiiii muacheni mtoto wa mwenzenu
Daimond Hana kosa Kwan mungu so mmoja
Kwa hiyo sheikh kajibu vema nyinyi musio na elim juu ya jambo ilo ni Bora kukaa kimya musipende kujibu jambo musilo na elimu nalo waache wakenue midomo hao wasojua kitu ktk Iman Yao lkn si ww muislam kama haujui Kaa kimya
Hajui misingi ya dini mbona kuna waimbaji kibao wanajua dini zao mitatoo watoto wa nje kibao uislam gani mwacheni aendelee na dunia
IPO kazi hapo...!!