Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
MWAJAKU amuashia moto SHARIFU MAJINI usimtishe DIAMOND PLATNUMZ amebadilika sana amekuwa mwema
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 12 кві 2023
КОМЕНТАРІ • 156
Наступне
Автоматичне відтворення
BABU WA TIK TOK AONGEA KW MARA YA KWANZA KUHUSU VIDEO YAKE NA MREMBO HUYUBongo Touch
Переглядів 12 тис.
Breaking News❗❗Ruto Runs to HIDE in UGANDA ahead of Gen Z's Nane Nane MEGA PROTESTS TOMORROW⚠⚠Kenya Breaking News
Переглядів 10 тис.
FEARLESS GEN Z ORDER WILLIAM RUTO TO RESIGN BEFORE NANE NANE OR ELSE HE WILL FACE THE CONSEQUENCESWasos Tv
Переглядів 103 тис.
Этот боец РАЗНЁС в одиночку ТРОИХ соперников всего за ТРИ минуты #shortsBalcevMMA_BOXING
Переглядів 14 млн
Як морпіхи ЗСУ проривалися на «Азовсталь» на машинах із ZРадіо Свобода
Переглядів 1,4 млн
🔥Огненный фокус с зажигалкой Zippo! #обучениефокусам #александрнапорко #напоркоАлександр Напорко
Переглядів 7 млн
ТЫ С ДРУГОМ В ДЕТСТВЕ😂#shortsBATEK_OFFICIAL
Переглядів 6 млн
NDARO ATOA SIRI ZA TUNDA BAADA YA KUACHANA WHOZU ATOA KAULI SABABU YA KUACHANABongo Touch
Переглядів 853
HUYU NDIE JINI HATARI AISHIO MSITUNI | JINI KAMSASKU | SHEIKH SHARIFU MAJINISheikh Sharifu Majini
Переглядів 2,6 тис.
Best Nasso Feat Siva Music, Willy one - Usiende mbali (Official Video)SIVA MUSIC
Переглядів 34 тис.
GEN-ZS NO MANDAMANO ENOUGH IS ENOUGH~RAILA ODINGA WARN GENZSAzibest Media
Переглядів 823
NAIROBI: What's Happening Now, Nane Nane Protest!Asulab TV
Переглядів 1,3 тис.
MANDAMANO LIVE THURSDAY RUTO MUST GO!!!Azibest Media
Переглядів 73
Heated Debate | Christian Professor vs dr zakir naik about Prophet MuhammadOne Man Army
Переглядів 561 тис.
MREMBO ALIYE JIBIWA COMMENT NA RAIS SAMIA AFUNGUKA KAZI ALIYOPEWABongo Touch
Переглядів 394
FEARLESS Oscar Sudi tells Ruto face to face what is happening in Kalenjin LandKenya News Channel
Переглядів 108 тис.
«Жінка моя - героїня, я це так»: батько шістьох дітей та боєць 10-ї ОГШБр #shortsСуспільне Донбас
Переглядів 468 тис.
Просеивание пляжного песка совкомFD Vasya
Переглядів 2,6 млн
Максим Галкін заспівав українською в ЮрмаліФакти ICTV. Новини
Переглядів 1,4 млн
«Hummer - ласа ціль для окупанта» #shorts #війна #зсуСуспільне Запоріжжя
Переглядів 186 тис.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 12 млн
Сильна історія 🎥: 🎥: Kevin W. / X #спорт #олімпіада2024 #олімпійськіігри2024СПОРТ УКРАЇНИ SHORTS
Переглядів 1,3 млн
😳 Все русские уже знают итальянский?🇮🇹Super Italiano
Переглядів 1,8 млн
ЛЕБЕДЕВ у ДУДЯ: муху не обманешь 😁 [Пародия]Юрий ВЕЛИКИЙ
Переглядів 1,2 млн
Mwijaku leo ameongea point sema wakati mwngine anajizima data anajifanya chizi. Ila anaakili zake
True
Kwl kabisa
Wallahi yarrabi munguh atunusuru yni bdla waislamu kuiyona haki y dini mnatetea uovu sababu tuh yakuwa n msanii ndo mnapenda kwaiyo mnapenda xnaa mzikii klko dini ynuuh
Basi mumkataze na rais asihudhurie maadhimisho yoyote yanayohusiana na ukristo kuna mda nafas yako uliyopo inakufanya ucbague dini japo ww unajijua dini gan achana na ww shughuli zako unazofanya ukijibagua bado zinaenda tu lakin kunawengine wakifanya hivyo mambo hayaend lazma ujue kutofautisha.
Jaman Tanzania yetu hii!, Dah!
Wewe Mwinjaku una imani ya kweli ivi wewe unaombewa na mtu mwenye imani na mtu ambaye mtume wa Mwenyezi Mungu ana mpa sifa za Mwenyezi Mungu
WEWE BWEGE SANA MUNGU HANA SHIDA NA MASHOGA NA MAUWADI
Yaan waislamu mgekua wengi na dola yenye nguvu km saiv wakristo walivyo haki ya mungu dunia nzima ingeslimishwa kwa lazima
🙏
Hakuna mwenye haki ya kumuhukum mwengne Bali na Mungu2 na kuisema dino nyingne vibaya unauhakika gani kama dini yenu Iko sawa,Mungu tuhurumie🙏🙏
Kwani wewe Dini gani? wewe kafiri sio ?
Ila kweli careni simba anajimwili mzigo sana huo mwili ni wastareh tu japo ❤️👍
Hawa akina mwijaku Hawa ni kuwakata shingo zao anatangaza uzinifu na uchafu katika jamii alafu amevalia vazi takatifu hivi huyu anajua thaman ya kanzu na uislamu kweli tena mwez mtukufu na anasema kafunga Ramadhan huyu anatumika kuharibu na kuuvunja nguvu uislamu mwijaku Fanya Kaz yko ya ukuwadi mambo ya dini yaache usituvuruge kabx maneno Yako yanakutoa katika dini Moja kwa Moja
Njaa na Imani havichangamani,mwenye njaa haongei ukweli.
Kwahiyo unataka kufananisha mvaa hereni,mtoboa pua,mvaa sketi,mlevi,mzinzi na mtume wa Mungu. Amefanya jema lipi acheni unafiki na uongo kwenye dini ya Mwenyezimungu.
Oyá kati yamaneno mazuri leo umioguea mungu awe nawe milele
Ukisoma Azekiel 18-20 inasema ivi : Roho itendayo zambi ndiyo itakayo kufa wala hatouchukua uovu una baba yake wala baba hatouchukua uovu wa mwanae haki yake mwenye haki itakua juu yake na uovu wake mwenye uovu utakua juu yake
Huyu mwijaku ni kuadi tuuu mwanamme mzima kazi kujihusisha na ufisadi tu n a umbea chawa chokoo tu
CAREN SIMBA amesha tukanwa huko alipo daah so sad
Mwijaku unafaa kuwa mkiristo ungefaa sana kuliko huko uliko kwenye uislam pangine ungekuwa mt mkubwa kuliko hapo ulipo
Jifunze dini vizuri Mwijaku wacha upuuzi hujui dini, anazungumza hovyo hovyo Waislamu tunaamini INJILI sio hii bible unayo ifikiri,vitabu vyote vilivyo teremsha na ALLAH INJILI, TAURAT,ZABUR,QUR'AN NK.vilikua vya KIISLAMU na Mitume wote walikua Waislamu kuanzia( ADAM a.s)mpaka Mtume wa Mwisho MUHAMMAD S.A.W.)Wote walikua WAISLAMU, kwahio Msichanganye watu kwa kutaka kujipendekeza kwa maisha ya kidunia.tafadhalini sana tunajua WAPAGANI wanaingia misikitini na KANISANI pia badhi yao hujenga misikiti na MAKANISA kwa Maslaha ya kidunia.MWISLAMU huwezi kwenda kanisani kuombewa sahau.
Mwajuku nenda kale Daku usimalize maneno yote
Mwijaku nimegundua upo vzr kichwani sema njaa inakupeleka vibaya mda mwingine unaropoka kuwa na msimamo basi
Ww mwijaku una turukana Sis sio makafili na hamumupati mutu bakini naujunga wnu wa wawuslamu nyinyi ndo makafili
Sawa sawa mwijaku n akupa heko zote bigaup
🔥🔥🇰🇪
Huu mjadala ufike mwisho mungu ni mmoja tu
Kweli nimekubali
Km mungu mkoja kwa nn mnabudu masanamu
Ni mmoja kweli anaitwa nani uyo Mungu
We kubwa jinga mwijaku Mbona diamond haendi kuungana na kina kishki katika mashindano ya Quran anakwenda kwenye pasaka ni sawa we usojielewa
Ndugu zangu kwani mondi aende kwenye mashindano ya kuran yeye ni muislamu. Muislam havai misalaba wala hachori mattoo rudini kwa masheikh mukaulize mwajiko ikiwa watafuta riziki yako tafuta kwa njia nzuri wewe hujui dini mwajiko usionge sana ikaingia kwenye dhambi wewe waona ni sawa mondi kuva misalaba alafu wewe wafananisha injili na bible ogopa mola wako usiingilie dini na wewe hujui kitu fanya kazi yako ya uchawa tu
Hiyo n danganya toto ww huyo mondi n Freemasonry kwahy hata akifany ivyo n kwk n sawa tuh
Pumbav zen mwachen mtu afanye anachoona ni sawa bira kujunja Shelia za nchi kwan hata nyiny hapo ni waovu wazinz kumanina zenu hapo iktokea mkianguka moja kwa moja moton
@@personpeter2221 WE SIO MZIM
Na kwa taarifayako Mwijaku katika uislam kunavitu ukivifanya kisheria unatoka kwa uislam. Na hainamana etiumehukumiwa la.uislam siokamadini zengine msifanye uchafu wenu kisha mujiite waisilam.
Mwijàku usiwachambe shemeji zako we umefunga
Sheikh mwinjaku
lakin ulisema eid unaenda na family kwa harmo
Mwijaku Mwijaku 😅😅😅😅😅
Kabisa
Hakika waislamu mmelaliliwa kumuita mtu mwizi ingali haibi hakuna akili ni matope makubwa kuliko
Uwe unamalizia S.A.W
Makafir wenyew.
Yan anasifia ila naita wakristo makafili hii ikoje
Mimi sikushanfaini watanganyika.msela akitaka mwari aishi nae kinyumba mnapeleka batuwa unachukuwa mwari bila ndowa hakuna ndowa unazanae faida ndio hiyo ukipatizama hapo utajuwa km tanganyika dini haipo usaninn
Kwahiyo unasema wakristo wamepotoka sijakuelewa ebu nyosha kauli vizuri
Awa watu wanaubaguzi utafkir wenyewe wamekamilika
Wewe chawa mwijaku umelaanika unaogopa kukosa ugali vipi daimond apige magoti huu ni mwezi mtukufu mshenxi kweli
Wewe mwenyewe na mwezi huu kwenye hii comment yako ,umehukumu ,umeshatukana ndugu zetu waislamu mbona mnapata shida sana ,hivi ni kweli kwa akili za mwanadamu atashinda dhambi? au Kwa sheria?ipo neema ya kushinda dhambi ni kumpokea YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO .hapo utauona mlango wa mbinguni itabaki kuufuata tu na kuingia 🎉.
Wangesikia kaenda kwa mganga wa tunguri hata asingeongea chochote. Wangeona okay. Kuhudhuria kongamana la dini la kumtukuza Mungu huyohuyo mmoja . Mishipa ya shingo imewasimama. Puuuu
Uyu jamaah
Alafu waislamu muache kuwaambia wakristo makafili sio vzur hakuna anaejua kama islamic ndio dini ya kweli ..kila mtu abaki ktk imani wala hamna mamlaka kabisa nyie ni binadamu kama wengine wote tunamuomba mungu mmoja neno kafili sio zuri na linatumiwa sana na waislamu kujiona wao wako sawa..na sio kweli kwamba nyie muko sawa, mumekuwa mukimpinga yesu kuwa si mwana wa mungu yote hiyo ni kuchafua ukristo wetu, mumekuwa na roho mbaya kama waarabu wenye dini yao, watu wa jihadi muda wote na mauaji, Alkaida boko alamu, M 23 yote hayo makund ya kigaid kupitia dini ya kislamu pia wanajitoa mwanga na kujivika mabomu huku wakisema Allah wakbaru aisee
Hivi ni Abu Jahal au Abu Lahabi Alie teremshiwa sura ktk Quruan sikumwelewa Mwijaku hapa.
Mnatoa wapi ujacri wa kutuita wakristo makafiri hv nyie mnajiona ndo watu sana kwa hii dunia kuliko wengine
Eti sijarudia kanzu lakini unashangiria uzinzi na swaumu juu, kanzu hzo kuna mwenzako kavaa na kilemba na fimbo mkonon na yy anafunga?
wakat mwingin tusiw wanafk kwani diamond amekosea nn ss sot ni wamung n mumoj2
Yaan wao wanaona dhambi kubwa nikusoma bible , Daar so sad 😢
WEWE KUWADI TUU NA KAMA NI ZAMA HIZO MUNGU ANATOA ADHABU ZA PAPOPAPO KAMA ZAMANI BASI UNGEGEUZWA NYANI KUWADI MKUBWA MPENDA DUNIA LAAANATU LAH . MUNGU ANASAMEHE SANA LAKINI JINI WEWE MUOMBE MUNGU SANA MAGHUFIRA MAANA NAONAUMESHA LAANIWA
Bora ulivyosemaa
Mwijaku wewe ni mpuhizi kabisa ma pumbu wewe ya mr pimbi
Njaaaa usitete usichokijuwa
Mwijaku haujasoma kinachokatazwa ni muislam kuombewa Dua na kafiri au hasiyekuwa muislam ila muislam kumuombea hasokuwa ni muislam inajuzu
Mwijaku nakukubar ila Roze muhando na bahati bukuku hawawez kuja kweny Uislam never happen
Kwanini?
Wamesilimu watu wakubwa wenye majina makubwa sembuse hawa
Diamond alienda kufanya dini ya kiislam
Ukisoma majina yaliyo msifia huyu mnafiki,,hakuna muislam hata mmoja 😂😂😰 kama vipi kajiunge nao!!
MMELAANIWA WEWE NA HUYO SHOGA MWENZIO HAMONIZE NYOTE MASHOGA MLOLAANIWA . NA UISLAM WA KISHOGA HAKUNA MMELAANIWA
NA HILO SHOGA JENGINE SI JUI DIAMOND NAE NI SHOGA MKUBWA MASHOGA NYIE
kafiri mama yako na ndugu zako wote
Sasa mwijaku kwahyo anaitangaza dini ya kikristo ni ukafili? Mbona anaizalilisha dini? Serikali ingilie kati
huo ndy ukweli mlinganie naswara sio waliofika msikitini
Ngoja tumuulize yesu ww yesu umeondoka umeenda zako sisi Soma Yohana 8-21 inasema ivi : Bac akawaambia tena Mimi naondoka nanyi mtanitafuta nanyi mtakufa ktk zambi zenu
Acha kukurupuka na mstari mmoja....soma habari yote uelewe
Good mwejaku unajuwa tenaunajuwa ❤😂
Mwinjaku ,ulipaswa kwanza ukajifunze dini Yako .
Maana unainekana kichwani hamna kitu au ndo unatafuta kiki
Ivi kwanini mnapenda kuwaita wakristu makafiri mbwa nyie punguze husuda na Imani za wengine fanyeni yenu, mnawaandama wakristu utafikir wamewabomolea misikiti
abu jahal au abu lahab
1:59 1:59
Nyie ndio makafiri na wengi wenu ni mashoga,hovyo kabisa
Miyeminajuwa wakrosto n'a waislamu sikuya raidi wana tuita tunakweda hâta yesu kakarimbisha makahamba muachedrama mitadaoni
Umaskini ni kitu kibaya sana. Hata wale wanao ongea wametoka kwenye shida. Maskini akipata mkundu hukia mbwata
Leo kimeongea kama mtu😅😮 au kisa kabaa ganzu
ila kutuita wenzenu makafili sio poa
Nakubaliana na ww mm ni muislam na siwezi kumuita mkristo kafir sio sawa
@@hamismahmood Mwenyezi Mungu Akubariki ndugu yangu
🥰😂
Nini wewe kasome Tena uslamu huna tawhidi sisi na makafiri hatushirikiani katika ibada ama mambo mengine yadunia sawa ila mambo ayo yakuombewa nakafiri hakuna dabda wewe umuombee yeye kuamakini halafu wewe ACHA kutuchokoza ss waisilamu
Nani ahubiri amani 😮 mbona kama Na wewe akili huna
Mtu anajiita Shekhe Majini halafu wanasema dini yao ni ya haki yaan haki mtu anajiita Jini kiumbe ambacho kinamsikiliza Shetan anyway tusubiri mwisho wa hesabu halafu washangae wanao tuita makafiri tupo sehemu salama maana hakuna mchungaji majini
Je mtu kuitwa simba maana yapo majina ya watu simba yeye simba au
Huyu mwijaku inabidi apimwe akili huyu.
inawezekana ana matatizo kwenye kichwa chake.
Yaani ameamua kumzushi uongo mpaka MTUME MUHAMMAD S.A.W.
{1} Kuna muhadhara gani alioitisha abuu jehel na MTUME MUHAMMAD S.A.W. akaenda?
{2} Umesoma wapi eti kuwa MTUME MUHAMMAD S.A.W. alienda kwa abuu jehel akakuta kumechimbwa shimo yeye akapita mlango wa nyuma?
Wewe hata sijuwi kama unamjuwa huyo MTUME MUHAMMAD S.A.W.
Usitafute kiki kwa MTUME wetu mtukufu wakati hata humjuwi!
Mwajaku hujui Dini wewe wajua mzikitu. Sharifu Majini hajakosea.tena ukiongea kuhusu Mtume chunga manenoyako.mtume alienda kulingania watu waje kwa uislam.kunapahali popote Mtume aliombe na kiongozi wa Dini nyengine yoyote.Muislam kuombewa na kiongozi wa Dini nyengine na kuamini imanihiyo au kuombewa na muganga na kuamini imanihiyo umetoka kwa uislam.uislam sijina.
Sasa swala la kutokurudia kanzu na kurudia na kufunga linaingiliyanaje na mwenyenzi Mungu agalii mavazi yeye anaangalia moyoni mwa Mtu kuna nini?
Yeye pia kafiri asiite wakristo kuwa ni mak afiri mwijaku uko poa sana
Acheni kuita watu kafiri Pumbavu zenyu
🙄
Unaiamini injili wakati hauna hiyo injili,😆eti imechakachuliwa basi tuletee yako ambayo haijachakachuliwa, kafiri ni wewe na ndugu zako majini ambayo kiongozi wako aliya silimisha.
Kwaiyo Abuu Jahari ni jina la dini gani hili?
Njaaa mbaya
Angeokoka tu kabisa,ndo mtaongea mpaka,makafiri ndo nyinyi wenyewe
😂
Surah Al- kaafiroon
109:1 Sema enyi makafiri.
109:2 siabudu mnacho kiabudu.
109:3 wala nyinyi hamuabudu ninae muabudu.
109:4 wala sitabudu mnacho kiabudu.
109:5 wala nyinyi hamuabudu ninae muabudu.
109:6 nyinyi mna dini yenu,
nami nina dini yangu.
Kila mtu na duni yake tusibabaushane mmesh asirika na maisha ya dunia mafikio yake motoni. sio maneno yangu
Kilofa
Acha ujinga akuna mkristo kafiri,waislamu ndio makafiri
Nguruwe itawarafuna ndungu zangu muulizen mtume wenu but sorry kwahilo
Elimu ni Mali yako iliyopotea itafute.
Tul/......67
Sasa wewe nahuyo majini nini? Hao unawaita makafiri kumbuka huwa njaa yako inakupelekaga kwao
Kafiri babaako mzazi.nyau weweee
Yani nyiyi Mimi siwahelewi ivi mkimpimia Shoga Mondi hamuoni tu Kama ni Jini huyo nikiumbe wa sheitwani Lana zimshukiye Mbwa yeye. Mara kava kanzu Mara kava msalaba uislam siyo dini yakuchezea izo ni pesa akifa ataziwacha na ataulizwa aliyoyatenda tatizo lauyo mumewake mwinjako nayeye hajuwi kutofautisha kuwatembelea na kwenda kanisani wapi Mtume kaingiya kanisani Mbwa wewe
Point of collection,...mwijaku umujue yesu ...utanishukulu baadae
Umemaliza 😀😀😀😀
Soma hadithi vizury matini
Kwann nimesema hasokuwa muislam kumuombea muislam ndani yake Kuna shirk diamond kaombewa kwa jina la yesu na ktk maombi itikadi yetu ni kwa mwenyezimungu peke yake
Makafiri ni nyie waislamu wafuga majini mashoga na wachinja watu wauwaji ma umbwa nyie
Inaupendo gani dini imejaa ubaguzi utasema kuna alie kufa akaenda mbinguni akaambiwa Mungu niwa waislam niajabu sana 😒😒
Khe na ww pia ni muislam
Huna akili wewe mkiambiwa!pombe,nguruwe,zinaa na hanasa nyinginezo ni dhambi nyie mnaona ni ubaguzi!wakati mabeberu makristo yana bagua ngozi zetu hamsemi!ebu nambie nchi gani ya kiislam inabagua watu!?shida nyinyi makafili mnakalilishwa maneno ya chuki wachungaji wenu wapiga pesa! Hamtaki kuambiwa ukweli mnamkumbatia shetan kutaka muwe huru tuu!nchi za ulaya na Marekani zina ukristo mwingi ndo zinazo ongoza kuuwa,ushoga na dhambi za kila haina hamsemi nyie kazi kila siku uislam mbaya!wakristo ni watu mnaopinga Mungu ndomana huwa hamuamini kuwa kuna dhambi!ebu amkeni kwenye huo usingizi mzito tokeni gizani mje kwenye mwanga!huo uhuru mnaoupigania una mwisho wake!
Yasikupe shida hapo mpenzi wangu
Mhhh ww upo dini gani mpaka uongea maneno ya shombo kama ayo pumzi isikupe kiburi
@@shwaibukhatibu2838 usiyzjibu MAFENESI ndugu yangu
Mbona unaongea uongo kwenye mwezi huu? Mala utaenda na familia yako yote kwa Harmonize Leo kiko je?
SASA KASWIDA NINI ??? KASWIDA NI UISLAM USITAKE KUNITUKANISHA NA RAMADHANI SHOGA MKUBWA WEWE -WEWE CHUNGA SANA NA MAMBO YA KIISLAM UTAKUJA KUJUTA
Please zungumza bila kuingiza dini usichezee quruani vipi awachawishi wewe anaimba aleluya mwijaku hujuwi dini na masharti yake wapi Quruani imeandikwa nenda kanisani uimbe kwaya
Mmmmh
Je mtume s.a.w alienda kanisani
Wagapi wameoa na kuolewa na wakiristo?
Hakukua n makanisa
Alafu ujue mtu kuhubiri kanisani kwa neno la bibilia sio kulingania Bac ni makosa kwa sababu kanisani kuna hichi ukisoma ; Ufunuo 2-21 inasema ivi: Na kwa Malaika wa kanisa lililopo Pergamo waandika kama alivyo anenae yeye mwenye upanga mkali kuwili napajua ukaapo ndipo kwenye kiti cha enzi cha shetani : maelezo kanisani apo mjue ndugu zangu
MSIBAA HUUUU HAMNA KITU HUJAMAA KISA ANACHOKITOA TOFAUTI NA ALICHOKIFANYA NASIBU ABSULI.SOMA SUR YA MAKAFIRI.KUNAKUAHIRIKIANA KIJAMII NA KUSHIRIKIANA KISINI SASA HUYO AMEENDA KUABUDU PASAKA WEWE HAMNA KITU MUOGOPE ALLAH ACHA KUJIPENDEKEZA
Ww Ni maleyi
Naona zezeta linaongea
Mke wako kapotea kuacha dini yake na kujiunga na dini yako, ipo siku ataona makosa aliyo yafanya na kurudi kwenye dini yake anayo ijua na aliyo zaliwa nayo.