Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MWAJAKU amuashia moto SHARIFU MAJINI usimtishe DIAMOND PLATNUMZ amebadilika sana amekuwa mwema

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 кві 2023

КОМЕНТАРІ • 156

  • @mwinyihajjsalim4405
    @mwinyihajjsalim4405 Рік тому +14

    Mwijaku leo ameongea point sema wakati mwngine anajizima data anajifanya chizi. Ila anaakili zake

  • @MaureenSindo-gk6fv
    @MaureenSindo-gk6fv Рік тому +3

    Wallahi yarrabi munguh atunusuru yni bdla waislamu kuiyona haki y dini mnatetea uovu sababu tuh yakuwa n msanii ndo mnapenda kwaiyo mnapenda xnaa mzikii klko dini ynuuh

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey Рік тому

      Basi mumkataze na rais asihudhurie maadhimisho yoyote yanayohusiana na ukristo kuna mda nafas yako uliyopo inakufanya ucbague dini japo ww unajijua dini gan achana na ww shughuli zako unazofanya ukijibagua bado zinaenda tu lakin kunawengine wakifanya hivyo mambo hayaend lazma ujue kutofautisha.

  • @anesansibert2968
    @anesansibert2968 Рік тому +2

    Jaman Tanzania yetu hii!, Dah!

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 4 місяці тому

    Wewe Mwinjaku una imani ya kweli ivi wewe unaombewa na mtu mwenye imani na mtu ambaye mtume wa Mwenyezi Mungu ana mpa sifa za Mwenyezi Mungu

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Рік тому +2

    WEWE BWEGE SANA MUNGU HANA SHIDA NA MASHOGA NA MAUWADI

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Рік тому +5

    Yaan waislamu mgekua wengi na dola yenye nguvu km saiv wakristo walivyo haki ya mungu dunia nzima ingeslimishwa kwa lazima

  • @RehemaMwailonda
    @RehemaMwailonda Рік тому +2

    Hakuna mwenye haki ya kumuhukum mwengne Bali na Mungu2 na kuisema dino nyingne vibaya unauhakika gani kama dini yenu Iko sawa,Mungu tuhurumie🙏🙏

    • @rajabjuma277
      @rajabjuma277 Рік тому +1

      Kwani wewe Dini gani? wewe kafiri sio ?

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Рік тому +3

    Ila kweli careni simba anajimwili mzigo sana huo mwili ni wastareh tu japo ❤️👍

    • @hamisinalinga5201
      @hamisinalinga5201 Рік тому

      Hawa akina mwijaku Hawa ni kuwakata shingo zao anatangaza uzinifu na uchafu katika jamii alafu amevalia vazi takatifu hivi huyu anajua thaman ya kanzu na uislamu kweli tena mwez mtukufu na anasema kafunga Ramadhan huyu anatumika kuharibu na kuuvunja nguvu uislamu mwijaku Fanya Kaz yko ya ukuwadi mambo ya dini yaache usituvuruge kabx maneno Yako yanakutoa katika dini Moja kwa Moja

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 Рік тому

    Njaa na Imani havichangamani,mwenye njaa haongei ukweli.
    Kwahiyo unataka kufananisha mvaa hereni,mtoboa pua,mvaa sketi,mlevi,mzinzi na mtume wa Mungu. Amefanya jema lipi acheni unafiki na uongo kwenye dini ya Mwenyezimungu.

  • @user-oe5eg9ji4h
    @user-oe5eg9ji4h 4 місяці тому

    Oyá kati yamaneno mazuri leo umioguea mungu awe nawe milele

  • @salummohamed9179
    @salummohamed9179 Рік тому +8

    Ukisoma Azekiel 18-20 inasema ivi : Roho itendayo zambi ndiyo itakayo kufa wala hatouchukua uovu una baba yake wala baba hatouchukua uovu wa mwanae haki yake mwenye haki itakua juu yake na uovu wake mwenye uovu utakua juu yake

  • @karimchapa
    @karimchapa Рік тому +2

    Huyu mwijaku ni kuadi tuuu mwanamme mzima kazi kujihusisha na ufisadi tu n a umbea chawa chokoo tu

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Рік тому +3

    CAREN SIMBA amesha tukanwa huko alipo daah so sad

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Рік тому +1

    Mwijaku unafaa kuwa mkiristo ungefaa sana kuliko huko uliko kwenye uislam pangine ungekuwa mt mkubwa kuliko hapo ulipo

  • @abuibra
    @abuibra Рік тому

    Jifunze dini vizuri Mwijaku wacha upuuzi hujui dini, anazungumza hovyo hovyo Waislamu tunaamini INJILI sio hii bible unayo ifikiri,vitabu vyote vilivyo teremsha na ALLAH INJILI, TAURAT,ZABUR,QUR'AN NK.vilikua vya KIISLAMU na Mitume wote walikua Waislamu kuanzia( ADAM a.s)mpaka Mtume wa Mwisho MUHAMMAD S.A.W.)Wote walikua WAISLAMU, kwahio Msichanganye watu kwa kutaka kujipendekeza kwa maisha ya kidunia.tafadhalini sana tunajua WAPAGANI wanaingia misikitini na KANISANI pia badhi yao hujenga misikiti na MAKANISA kwa Maslaha ya kidunia.MWISLAMU huwezi kwenda kanisani kuombewa sahau.

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 4 місяці тому

    Mwajuku nenda kale Daku usimalize maneno yote

  • @nasmamoza6831
    @nasmamoza6831 Рік тому +1

    Mwijaku nimegundua upo vzr kichwani sema njaa inakupeleka vibaya mda mwingine unaropoka kuwa na msimamo basi

  • @youngsimba2054
    @youngsimba2054 Рік тому +1

    Ww mwijaku una turukana Sis sio makafili na hamumupati mutu bakini naujunga wnu wa wawuslamu nyinyi ndo makafili

  • @selinatogolai3314
    @selinatogolai3314 Рік тому +1

    Sawa sawa mwijaku n akupa heko zote bigaup

  • @cathrinechigodi7683
    @cathrinechigodi7683 Рік тому +1

    🔥🔥🇰🇪

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Рік тому +2

    Huu mjadala ufike mwisho mungu ni mmoja tu

  • @salummohamed9179
    @salummohamed9179 Рік тому +3

    We kubwa jinga mwijaku Mbona diamond haendi kuungana na kina kishki katika mashindano ya Quran anakwenda kwenye pasaka ni sawa we usojielewa

    • @omarswaleh6082
      @omarswaleh6082 Рік тому +2

      Ndugu zangu kwani mondi aende kwenye mashindano ya kuran yeye ni muislamu. Muislam havai misalaba wala hachori mattoo rudini kwa masheikh mukaulize mwajiko ikiwa watafuta riziki yako tafuta kwa njia nzuri wewe hujui dini mwajiko usionge sana ikaingia kwenye dhambi wewe waona ni sawa mondi kuva misalaba alafu wewe wafananisha injili na bible ogopa mola wako usiingilie dini na wewe hujui kitu fanya kazi yako ya uchawa tu

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Рік тому

      Hiyo n danganya toto ww huyo mondi n Freemasonry kwahy hata akifany ivyo n kwk n sawa tuh

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 Рік тому

      Pumbav zen mwachen mtu afanye anachoona ni sawa bira kujunja Shelia za nchi kwan hata nyiny hapo ni waovu wazinz kumanina zenu hapo iktokea mkianguka moja kwa moja moton

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Рік тому

      @@personpeter2221 WE SIO MZIM

  • @mwinyiswaleh8388
    @mwinyiswaleh8388 Рік тому

    Na kwa taarifayako Mwijaku katika uislam kunavitu ukivifanya kisheria unatoka kwa uislam. Na hainamana etiumehukumiwa la.uislam siokamadini zengine msifanye uchafu wenu kisha mujiite waisilam.

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r 4 місяці тому

    Mwijàku usiwachambe shemeji zako we umefunga

  • @fahadmauld
    @fahadmauld Рік тому

    Sheikh mwinjaku

  • @simbafadhili
    @simbafadhili Рік тому +1

    lakin ulisema eid unaenda na family kwa harmo

  • @mrsab303
    @mrsab303 Рік тому

    Mwijaku Mwijaku 😅😅😅😅😅

  • @nnno989
    @nnno989 Рік тому

    Kabisa

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx 3 місяці тому

    Hakika waislamu mmelaliliwa kumuita mtu mwizi ingali haibi hakuna akili ni matope makubwa kuliko

  • @storytime1204
    @storytime1204 Рік тому

    Uwe unamalizia S.A.W

  • @lukamapunda628
    @lukamapunda628 Рік тому +1

    Makafir wenyew.

  • @TumainDoba-dm8vp
    @TumainDoba-dm8vp Рік тому

    Yan anasifia ila naita wakristo makafili hii ikoje

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Рік тому

    Mimi sikushanfaini watanganyika.msela akitaka mwari aishi nae kinyumba mnapeleka batuwa unachukuwa mwari bila ndowa hakuna ndowa unazanae faida ndio hiyo ukipatizama hapo utajuwa km tanganyika dini haipo usaninn

  • @sammasumbimvula
    @sammasumbimvula Рік тому

    Kwahiyo unasema wakristo wamepotoka sijakuelewa ebu nyosha kauli vizuri

  • @theresiamwacha7845
    @theresiamwacha7845 Рік тому +1

    Awa watu wanaubaguzi utafkir wenyewe wamekamilika

  • @luluwabinthamed2860
    @luluwabinthamed2860 Рік тому +1

    Wewe chawa mwijaku umelaanika unaogopa kukosa ugali vipi daimond apige magoti huu ni mwezi mtukufu mshenxi kweli

    • @yohanasungo9401
      @yohanasungo9401 Рік тому +1

      Wewe mwenyewe na mwezi huu kwenye hii comment yako ,umehukumu ,umeshatukana ndugu zetu waislamu mbona mnapata shida sana ,hivi ni kweli kwa akili za mwanadamu atashinda dhambi? au Kwa sheria?ipo neema ya kushinda dhambi ni kumpokea YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO .hapo utauona mlango wa mbinguni itabaki kuufuata tu na kuingia 🎉.

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64 Рік тому

    Wangesikia kaenda kwa mganga wa tunguri hata asingeongea chochote. Wangeona okay. Kuhudhuria kongamana la dini la kumtukuza Mungu huyohuyo mmoja . Mishipa ya shingo imewasimama. Puuuu

  • @ashurajuma3624
    @ashurajuma3624 Рік тому

    Uyu jamaah

  • @RahabBurton-fn5er
    @RahabBurton-fn5er Рік тому

    Alafu waislamu muache kuwaambia wakristo makafili sio vzur hakuna anaejua kama islamic ndio dini ya kweli ..kila mtu abaki ktk imani wala hamna mamlaka kabisa nyie ni binadamu kama wengine wote tunamuomba mungu mmoja neno kafili sio zuri na linatumiwa sana na waislamu kujiona wao wako sawa..na sio kweli kwamba nyie muko sawa, mumekuwa mukimpinga yesu kuwa si mwana wa mungu yote hiyo ni kuchafua ukristo wetu, mumekuwa na roho mbaya kama waarabu wenye dini yao, watu wa jihadi muda wote na mauaji, Alkaida boko alamu, M 23 yote hayo makund ya kigaid kupitia dini ya kislamu pia wanajitoa mwanga na kujivika mabomu huku wakisema Allah wakbaru aisee

  • @bakariomarimndeme6059
    @bakariomarimndeme6059 Рік тому

    Hivi ni Abu Jahal au Abu Lahabi Alie teremshiwa sura ktk Quruan sikumwelewa Mwijaku hapa.

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas Рік тому

    Mnatoa wapi ujacri wa kutuita wakristo makafiri hv nyie mnajiona ndo watu sana kwa hii dunia kuliko wengine

  • @shaameshaame2837
    @shaameshaame2837 Рік тому

    Eti sijarudia kanzu lakini unashangiria uzinzi na swaumu juu, kanzu hzo kuna mwenzako kavaa na kilemba na fimbo mkonon na yy anafunga?

  • @bahatasman
    @bahatasman Рік тому +1

    wakat mwingin tusiw wanafk kwani diamond amekosea nn ss sot ni wamung n mumoj2

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Рік тому

      Yaan wao wanaona dhambi kubwa nikusoma bible , Daar so sad 😢

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Рік тому

    WEWE KUWADI TUU NA KAMA NI ZAMA HIZO MUNGU ANATOA ADHABU ZA PAPOPAPO KAMA ZAMANI BASI UNGEGEUZWA NYANI KUWADI MKUBWA MPENDA DUNIA LAAANATU LAH . MUNGU ANASAMEHE SANA LAKINI JINI WEWE MUOMBE MUNGU SANA MAGHUFIRA MAANA NAONAUMESHA LAANIWA

  • @vailethmarimus1769
    @vailethmarimus1769 Рік тому

    Bora ulivyosemaa

  • @themicbandforeveryone19997
    @themicbandforeveryone19997 Рік тому +1

    Mwijaku wewe ni mpuhizi kabisa ma pumbu wewe ya mr pimbi

  • @ibrahimahmed3548
    @ibrahimahmed3548 Рік тому

    Njaaaa usitete usichokijuwa

  • @hasreeyasini
    @hasreeyasini Рік тому

    Mwijaku haujasoma kinachokatazwa ni muislam kuombewa Dua na kafiri au hasiyekuwa muislam ila muislam kumuombea hasokuwa ni muislam inajuzu

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Рік тому

    Mwijaku nakukubar ila Roze muhando na bahati bukuku hawawez kuja kweny Uislam never happen

    • @mahmoudukusso4488
      @mahmoudukusso4488 Рік тому

      Kwanini?
      Wamesilimu watu wakubwa wenye majina makubwa sembuse hawa

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 4 місяці тому

    Diamond alienda kufanya dini ya kiislam

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl Рік тому

    Ukisoma majina yaliyo msifia huyu mnafiki,,hakuna muislam hata mmoja 😂😂😰 kama vipi kajiunge nao!!

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Рік тому

    MMELAANIWA WEWE NA HUYO SHOGA MWENZIO HAMONIZE NYOTE MASHOGA MLOLAANIWA . NA UISLAM WA KISHOGA HAKUNA MMELAANIWA

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Рік тому

    NA HILO SHOGA JENGINE SI JUI DIAMOND NAE NI SHOGA MKUBWA MASHOGA NYIE

  • @theson1987
    @theson1987 Рік тому

    kafiri mama yako na ndugu zako wote

  • @TumainDoba-dm8vp
    @TumainDoba-dm8vp Рік тому

    Sasa mwijaku kwahyo anaitangaza dini ya kikristo ni ukafili? Mbona anaizalilisha dini? Serikali ingilie kati

  • @jumamsangi6583
    @jumamsangi6583 Рік тому

    huo ndy ukweli mlinganie naswara sio waliofika msikitini

  • @salummohamed9179
    @salummohamed9179 Рік тому +1

    Ngoja tumuulize yesu ww yesu umeondoka umeenda zako sisi Soma Yohana 8-21 inasema ivi : Bac akawaambia tena Mimi naondoka nanyi mtanitafuta nanyi mtakufa ktk zambi zenu

    • @israelbhai1340
      @israelbhai1340 Рік тому +1

      Acha kukurupuka na mstari mmoja....soma habari yote uelewe

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Рік тому

    Good mwejaku unajuwa tenaunajuwa ❤😂

  • @amerwelder7786
    @amerwelder7786 Рік тому

    Mwinjaku ,ulipaswa kwanza ukajifunze dini Yako .
    Maana unainekana kichwani hamna kitu au ndo unatafuta kiki

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Рік тому

    Ivi kwanini mnapenda kuwaita wakristu makafiri mbwa nyie punguze husuda na Imani za wengine fanyeni yenu, mnawaandama wakristu utafikir wamewabomolea misikiti

  • @simbafadhili
    @simbafadhili Рік тому

    abu jahal au abu lahab

  • @sivaboycm6633
    @sivaboycm6633 Рік тому

    1:59 1:59

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Рік тому

    Nyie ndio makafiri na wengi wenu ni mashoga,hovyo kabisa

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Рік тому

    Miyeminajuwa wakrosto n'a waislamu sikuya raidi wana tuita tunakweda hâta yesu kakarimbisha makahamba muachedrama mitadaoni

  • @malikeyndotopopote
    @malikeyndotopopote Рік тому

    Umaskini ni kitu kibaya sana. Hata wale wanao ongea wametoka kwenye shida. Maskini akipata mkundu hukia mbwata

  • @kisebelarajabu5712
    @kisebelarajabu5712 Рік тому

    Leo kimeongea kama mtu😅😮 au kisa kabaa ganzu

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 Рік тому +1

    ila kutuita wenzenu makafili sio poa

    • @hamismahmood
      @hamismahmood Рік тому +2

      Nakubaliana na ww mm ni muislam na siwezi kumuita mkristo kafir sio sawa

    • @partnersah8802
      @partnersah8802 Рік тому +1

      ​@@hamismahmood Mwenyezi Mungu Akubariki ndugu yangu

  • @siliviasimon7970
    @siliviasimon7970 Рік тому

    🥰😂

  • @JumaBuriani-tt4cx
    @JumaBuriani-tt4cx Рік тому

    Nini wewe kasome Tena uslamu huna tawhidi sisi na makafiri hatushirikiani katika ibada ama mambo mengine yadunia sawa ila mambo ayo yakuombewa nakafiri hakuna dabda wewe umuombee yeye kuamakini halafu wewe ACHA kutuchokoza ss waisilamu

  • @andrewkilulu
    @andrewkilulu Рік тому

    Nani ahubiri amani 😮 mbona kama Na wewe akili huna

  • @bone102
    @bone102 Рік тому

    Mtu anajiita Shekhe Majini halafu wanasema dini yao ni ya haki yaan haki mtu anajiita Jini kiumbe ambacho kinamsikiliza Shetan anyway tusubiri mwisho wa hesabu halafu washangae wanao tuita makafiri tupo sehemu salama maana hakuna mchungaji majini

    • @jumanassoro1552
      @jumanassoro1552 Рік тому

      Je mtu kuitwa simba maana yapo majina ya watu simba yeye simba au

  • @khalidjamadi6016
    @khalidjamadi6016 Рік тому

    Huyu mwijaku inabidi apimwe akili huyu.
    inawezekana ana matatizo kwenye kichwa chake.
    Yaani ameamua kumzushi uongo mpaka MTUME MUHAMMAD S.A.W.
    {1} Kuna muhadhara gani alioitisha abuu jehel na MTUME MUHAMMAD S.A.W. akaenda?
    {2} Umesoma wapi eti kuwa MTUME MUHAMMAD S.A.W. alienda kwa abuu jehel akakuta kumechimbwa shimo yeye akapita mlango wa nyuma?
    Wewe hata sijuwi kama unamjuwa huyo MTUME MUHAMMAD S.A.W.
    Usitafute kiki kwa MTUME wetu mtukufu wakati hata humjuwi!

  • @mwinyiswaleh8388
    @mwinyiswaleh8388 Рік тому

    Mwajaku hujui Dini wewe wajua mzikitu. Sharifu Majini hajakosea.tena ukiongea kuhusu Mtume chunga manenoyako.mtume alienda kulingania watu waje kwa uislam.kunapahali popote Mtume aliombe na kiongozi wa Dini nyengine yoyote.Muislam kuombewa na kiongozi wa Dini nyengine na kuamini imanihiyo au kuombewa na muganga na kuamini imanihiyo umetoka kwa uislam.uislam sijina.

  • @elieneapalangyo6938
    @elieneapalangyo6938 Рік тому

    Sasa swala la kutokurudia kanzu na kurudia na kufunga linaingiliyanaje na mwenyenzi Mungu agalii mavazi yeye anaangalia moyoni mwa Mtu kuna nini?

  • @selinatogolai3314
    @selinatogolai3314 Рік тому

    Yeye pia kafiri asiite wakristo kuwa ni mak afiri mwijaku uko poa sana

  • @elibarikilukasimakala5534
    @elibarikilukasimakala5534 Рік тому

    Acheni kuita watu kafiri Pumbavu zenyu
    🙄

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Рік тому

    Unaiamini injili wakati hauna hiyo injili,😆eti imechakachuliwa basi tuletee yako ambayo haijachakachuliwa, kafiri ni wewe na ndugu zako majini ambayo kiongozi wako aliya silimisha.

  • @ninahmbonea6248
    @ninahmbonea6248 Рік тому

    Kwaiyo Abuu Jahari ni jina la dini gani hili?

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 Рік тому

    Njaaa mbaya

  • @stevendavid8054
    @stevendavid8054 Рік тому

    Angeokoka tu kabisa,ndo mtaongea mpaka,makafiri ndo nyinyi wenyewe

  • @rajabjuma277
    @rajabjuma277 Рік тому +1

    Surah Al- kaafiroon
    109:1 Sema enyi makafiri.
    109:2 siabudu mnacho kiabudu.
    109:3 wala nyinyi hamuabudu ninae muabudu.
    109:4 wala sitabudu mnacho kiabudu.
    109:5 wala nyinyi hamuabudu ninae muabudu.
    109:6 nyinyi mna dini yenu,
    nami nina dini yangu.
    Kila mtu na duni yake tusibabaushane mmesh asirika na maisha ya dunia mafikio yake motoni. sio maneno yangu

  • @toleeancendzkezi5411
    @toleeancendzkezi5411 Рік тому

    Kilofa

  • @Rastermirish
    @Rastermirish Рік тому

    Acha ujinga akuna mkristo kafiri,waislamu ndio makafiri

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 Рік тому

    Nguruwe itawarafuna ndungu zangu muulizen mtume wenu but sorry kwahilo

  • @sivaboycm6633
    @sivaboycm6633 Рік тому

    Tul/......67

  • @anthonydcosta-hh7lu
    @anthonydcosta-hh7lu Рік тому

    Sasa wewe nahuyo majini nini? Hao unawaita makafiri kumbuka huwa njaa yako inakupelekaga kwao

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Рік тому

    Kafiri babaako mzazi.nyau weweee

  • @kisaujibabou9436
    @kisaujibabou9436 Рік тому

    Yani nyiyi Mimi siwahelewi ivi mkimpimia Shoga Mondi hamuoni tu Kama ni Jini huyo nikiumbe wa sheitwani Lana zimshukiye Mbwa yeye. Mara kava kanzu Mara kava msalaba uislam siyo dini yakuchezea izo ni pesa akifa ataziwacha na ataulizwa aliyoyatenda tatizo lauyo mumewake mwinjako nayeye hajuwi kutofautisha kuwatembelea na kwenda kanisani wapi Mtume kaingiya kanisani Mbwa wewe

  • @mrtwo-b9056
    @mrtwo-b9056 Рік тому

    Point of collection,...mwijaku umujue yesu ...utanishukulu baadae

  • @hasreeyasini
    @hasreeyasini Рік тому +1

    Kwann nimesema hasokuwa muislam kumuombea muislam ndani yake Kuna shirk diamond kaombewa kwa jina la yesu na ktk maombi itikadi yetu ni kwa mwenyezimungu peke yake

  • @sostentulian9462
    @sostentulian9462 Рік тому

    Makafiri ni nyie waislamu wafuga majini mashoga na wachinja watu wauwaji ma umbwa nyie

  • @azzamohamed6649
    @azzamohamed6649 Рік тому +5

    Inaupendo gani dini imejaa ubaguzi utasema kuna alie kufa akaenda mbinguni akaambiwa Mungu niwa waislam niajabu sana 😒😒

    • @shwaibukhatibu2838
      @shwaibukhatibu2838 Рік тому +3

      Khe na ww pia ni muislam

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Рік тому

      Huna akili wewe mkiambiwa!pombe,nguruwe,zinaa na hanasa nyinginezo ni dhambi nyie mnaona ni ubaguzi!wakati mabeberu makristo yana bagua ngozi zetu hamsemi!ebu nambie nchi gani ya kiislam inabagua watu!?shida nyinyi makafili mnakalilishwa maneno ya chuki wachungaji wenu wapiga pesa! Hamtaki kuambiwa ukweli mnamkumbatia shetan kutaka muwe huru tuu!nchi za ulaya na Marekani zina ukristo mwingi ndo zinazo ongoza kuuwa,ushoga na dhambi za kila haina hamsemi nyie kazi kila siku uislam mbaya!wakristo ni watu mnaopinga Mungu ndomana huwa hamuamini kuwa kuna dhambi!ebu amkeni kwenye huo usingizi mzito tokeni gizani mje kwenye mwanga!huo uhuru mnaoupigania una mwisho wake!

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 Рік тому +1

      Yasikupe shida hapo mpenzi wangu

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Рік тому

      Mhhh ww upo dini gani mpaka uongea maneno ya shombo kama ayo pumzi isikupe kiburi

    • @mahmoudukusso4488
      @mahmoudukusso4488 Рік тому

      @@shwaibukhatibu2838 usiyzjibu MAFENESI ndugu yangu

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free Рік тому

    Mbona unaongea uongo kwenye mwezi huu? Mala utaenda na familia yako yote kwa Harmonize Leo kiko je?

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Рік тому

    SASA KASWIDA NINI ??? KASWIDA NI UISLAM USITAKE KUNITUKANISHA NA RAMADHANI SHOGA MKUBWA WEWE -WEWE CHUNGA SANA NA MAMBO YA KIISLAM UTAKUJA KUJUTA

  • @luluwabinthamed2860
    @luluwabinthamed2860 Рік тому

    Please zungumza bila kuingiza dini usichezee quruani vipi awachawishi wewe anaimba aleluya mwijaku hujuwi dini na masharti yake wapi Quruani imeandikwa nenda kanisani uimbe kwaya

  • @lilianmakwati5228
    @lilianmakwati5228 Рік тому

    Je mtume s.a.w alienda kanisani

  • @salummohamed9179
    @salummohamed9179 Рік тому

    Alafu ujue mtu kuhubiri kanisani kwa neno la bibilia sio kulingania Bac ni makosa kwa sababu kanisani kuna hichi ukisoma ; Ufunuo 2-21 inasema ivi: Na kwa Malaika wa kanisa lililopo Pergamo waandika kama alivyo anenae yeye mwenye upanga mkali kuwili napajua ukaapo ndipo kwenye kiti cha enzi cha shetani : maelezo kanisani apo mjue ndugu zangu

  • @mtailwahamisi
    @mtailwahamisi Рік тому

    MSIBAA HUUUU HAMNA KITU HUJAMAA KISA ANACHOKITOA TOFAUTI NA ALICHOKIFANYA NASIBU ABSULI.SOMA SUR YA MAKAFIRI.KUNAKUAHIRIKIANA KIJAMII NA KUSHIRIKIANA KISINI SASA HUYO AMEENDA KUABUDU PASAKA WEWE HAMNA KITU MUOGOPE ALLAH ACHA KUJIPENDEKEZA

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Рік тому

    Naona zezeta linaongea

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 Рік тому

    Mke wako kapotea kuacha dini yake na kujiunga na dini yako, ipo siku ataona makosa aliyo yafanya na kurudi kwenye dini yake anayo ijua na aliyo zaliwa nayo.