MUME ANAE TAFUTA FAMILIA YEKE, MKE NA WATOTO WALIPOTEA GHAFLA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 126

  • @sifaoksbagirishyasie2410
    @sifaoksbagirishyasie2410 2 місяці тому +5

    Ndugu zake Walisha mchukua ugaibuni, pole Sana. Wanakumaliza kisaikogia. Wewe endelea na maisha yako, watoto watakuja siku moja kukutafuta. Tamaa zimemzidi. Usimrudishe tena utaendelea saaana huko mbele na atakutafuta.hujue Mungu amekunusuru nini. Jamani Wanawake WA kizazi hiki?

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 2 місяці тому +9

    Wanaume mna mambo mengi sana mimi nilimkimbia mme wangu kisa ananitakaga kinyume na maumbile kile kitu kilikuwa kinanitasa sana mda mrefu ukipitiwa na usingizi ukishtuka unakuta mtu kakupaka mafuta kinyume na maumbile anahangaika mnagombana anakiri sitorudia anakaa siku 2 anarudia nimejaribu kuivunja ile inashindika mwisho wasiku na mimi nikaea nahisi hivo ndo nikachukua maamuzi ghafla ya kumkimbia ila namchukia sana

    • @user-lt2qh5dj1b
      @user-lt2qh5dj1b 2 місяці тому

      Pole Sana kipenzi mungu mkubwa atakupigania

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee 2 місяці тому

      Mungu akubariki kwa maamzi hayo

    • @user-gy5en6cy8o
      @user-gy5en6cy8o 2 місяці тому

      Du pole kwa ulikua unatumia mafuta😢

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 2 місяці тому

      Pore sana kwakweri yani Mimi mwanaume akijaribu kufanya hivyo cku hio hio naachana nae

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 2 місяці тому +4

    Huyo mwanamke ni asiri yake ni mnyarwanda wanapenda maisha ya juu alishaenda Marekani

  • @AngelRupia-od2gu
    @AngelRupia-od2gu 2 місяці тому +16

    Hakutorokwa bure lazima kuna kitu cc wamama tunapitia mengi msione tupo kwenye mdoa zetu, mwenyewe hapa ningekua na pa kukimbia nami ningesepa tu....

    • @user-ds5tf9xx1d
      @user-ds5tf9xx1d 2 місяці тому +1

      Pole my

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 2 місяці тому +2

      Tupo wengi

    • @TinaZimba
      @TinaZimba 2 місяці тому

      Ondoka ukaishi polini mjinga wewe unapitia shida shida gani ukahaba unakusumbua mtii mumeo mjinga wewe

    • @joreen7603
      @joreen7603 2 місяці тому

      Wa mam wanapitia mengi

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 2 місяці тому

      baba anajua uthamani wa mke na watoto. sio limbering afanye hivyo

  • @AMO_BUSINESS
    @AMO_BUSINESS 2 місяці тому +14

    Duuuh...huyu baba...hua na muona ona apa CHARAMBE KWA MBIKU duuh..kumbe hua anatembea na mengi kichwani MUNGU MSIMAMIE

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 місяці тому +1

    Mapito hayo ndugu yangu. Pole sana, chakufanya we chukua chuma ingine weka ndani maisha yasonge

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 2 місяці тому +2

    Pole kaka inavyoelekea hao wakwe zako wanajua kila kitu ndo mana hawana wacwac 😢😢mkeo alikuwa hakupendi ww ndio unampenda 😢😢hao watt ipo ck watakutafuta tuu ww ni baba yao ipo ck utawaona labda yuko ulaya huko kachukuliwa na ndg zake

  • @user-pj3lh8vz5k
    @user-pj3lh8vz5k 2 місяці тому +2

    pole sana kaka tafuta wtt wako bas huyo mwanamke achana nae kapata mwegine we tafuta wanao bas

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 місяці тому +5

    Huenda ulikuwa unamtesa acha apambane na maisha alee watoto wake

    • @ClementinaHabineza
      @ClementinaHabineza 2 місяці тому

      Razima ariteswa kupereka watoto kunakitu hakutaka nawatoto wapitie

  • @sifaoksbagirishyasie2410
    @sifaoksbagirishyasie2410 2 місяці тому +2

    Kama ni mkimbizi ulaya, Basi hawezi kujionesha mpaka apate makaratasi 🤣 wanaacha maisha mazuri kwenda kutafuta shida na kuharibu watoto wao wenyewe. Tamaa Jamani ni mbaya.

    • @TichaSabah
      @TichaSabah 2 місяці тому

      Kwakweli kama mchawi vile maana nimejionea live mwenyewe bila chenga wanatutambia wakirudi tu.lakini hamna kitu

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 2 місяці тому

    Njoo nikuzalie mtoto mwingine wakigoma mwenzangu❤

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph 2 місяці тому +6

    Muache vituko watoto wapo na mama yao watakua salama hata mimi la kwangu nililitoroka wewe baki na cheti utajua mwenyew

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 2 місяці тому +1

      😂😂😂 hatari abaki na cheti? kumbe wanaume nao wanapataga viboko yao

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 2 місяці тому

      vingine anamshirikisha .vingine hamshirikishi. hivyo ambavyo ulikua humshirikishi ndo vimeharibu ndoa yako

    • @enockmaige8936
      @enockmaige8936 2 місяці тому

      😂😂😂😂

    • @sophiasophie55
      @sophiasophie55 2 місяці тому

      Hahahahhah

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂 yani jamani ndomana bongo sihami mm eee et nimelitoroka ribaki na cheti

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 2 місяці тому

    Waha mnamanyanyaso sana

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 2 місяці тому

    Duuh pole sana brother ndio maana watu wanakuaga matahira kuwatesa watoto wa watu

  • @sifaoksbagirishyasie2410
    @sifaoksbagirishyasie2410 2 місяці тому +4

    Kama ni mkimbizi ulaya hawezi kujionesha mpaka apate makaratasi 🤣

  • @gracewilliam4102
    @gracewilliam4102 2 місяці тому

    Nawaha huwa mnapangiwa na wazazi wenu

  • @Chaotic-c2p
    @Chaotic-c2p 2 місяці тому +5

    Wacha mkimbiwe wanaume mmezidi ubaghili mfyuu .mko radhi mtoe pesa nje kuliko kuwapa wake zenu mfyuu .kaa mwenyewe sasa ndio utajua hujui

    • @brantywilson1347
      @brantywilson1347 2 місяці тому

      Ww ni wale wale😅

    • @Chaotic-c2p
      @Chaotic-c2p 2 місяці тому +2

      Naona kimekuuma kwelkwel na wewe mmoja wapo mbaghili kwa mkeo .kwendraaa hilooo mtakoma round hii wanaume .Wanawake pia tunaweza .yena nikimuona ntamwambia asirudi kabisaa

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 2 місяці тому

      ​@@Chaotic-c2p
      miaka yote hiyo jamaa amejirushaaa ,sasa ameona ya dunia ni ubatili anaanza kumtafuta.

  • @user-mq2ip3dh4v
    @user-mq2ip3dh4v 2 місяці тому +4

    HUYO jamaa aache ulimbukeni, tayari una hakika mwanamke hakutaki, unataka kulazimisha Aishi na wewe? pambana wanawake waziri zaidi ya HUYO wapo WENGI ,tafuta mmoja uoe. Watoto watakutafuta tu... Anza upya mapenzi hayalazimiShwi

    • @sospeterezekiel1927
      @sospeterezekiel1927 2 місяці тому

      Jielewe komenti zako kwaio unapenda watoto wawe na malezi ya upandemmoja? Furaha ya watoto kuwakuta baba na mama wako pamoja yeye hatetei mapenzi kama ulimuelewa vizuli toka mwanzo alimpa uhulu maana ya uhulu mapenzi yalikwisha kikubwa watoto

    • @sophiasophie55
      @sophiasophie55 2 місяці тому

      😂😂😂😂

  • @viviansulle3194
    @viviansulle3194 2 місяці тому +1

    Nenda kwenye maombi kwa kuhani mussa

  • @user-dy8yc5ml1p
    @user-dy8yc5ml1p 2 місяці тому +3

    Kabila la waha wana gubu sana acha mwanamke ajiendeee

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 2 місяці тому

    Hiyo njo Hasara ya kuowa Mnyarwanda. Kwanza we kaka shukuru Mungu hujapewa Sumu .ila Watnao wanakutafuta tu usijali Mungu yupo upande wako

  • @latifakikoti9808
    @latifakikoti9808 2 місяці тому

    jambo usilolijua sawa na usiku wa giza jamani mambo yamapenzi sio ya kuingilia acheni kuongea ovyo

  • @TeddyTheresiamboya
    @TeddyTheresiamboya 2 місяці тому +2

    Inaonekana ni mkorofi hiyo tu kusema unaweka hela ya mtego kwanini iwe mtego na pia mwanamme anapokuwa ndani huwa hana thamani ila akiondoka ndipo utakumbuka yote iliyokuwa ukimchukua powa

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 2 місяці тому +1

    Sasa kaka yetu,unamtafuta mkeo mrudiane na kulea watt au unataka watt wako uwalee ww mwenyewe. Mpaka akutoroke yapo makubwa uliyomtenda mpaka akutoroke.Mshukuru Mungu mkeo anakulelea watt wako,wakikua watakutafuta.Watt watakutafuta kama baba yao.
    Ushauri nenda ubalozi wa Marekani hapo Dsm ukaulizie hapo ,kwani umeeleza anao ndugu Marekani. Huenda kakaribishwa marekani na ndugu zake akatulize mawazo na watt wake.

  • @urbanmission3072
    @urbanmission3072 2 місяці тому +1

    Mbona anaongea kama anamtuhumu mke uyu? Oh nilikuwa nimempa uhuru ndo sababu, kama alikuwa ananmpenda kweli na unampango wa kumpata usiongee yote

  • @zainab8251
    @zainab8251 2 місяці тому

    Pole sana kaka mtihani

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 2 місяці тому

    Pole kijana kwasasa surrender then move on uachie muda utaamua wenyewe.

  • @user-ty1tp8ly8q
    @user-ty1tp8ly8q 2 місяці тому

    Pole Sana dah htr

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 2 місяці тому +1

    Usimfundishe.kama.anataka.kumrudisha.acha.amludishe.na.mwanamke.kama.lizia.kuludi.muache.aludi.ila.nataka.tu.nikwambie.maisha..ya.ndoa.yanasiri.kubwa.na.hatuwezi.jua.nn.kilichomtoa

  • @sund2553
    @sund2553 2 місяці тому +1

    Ndugu wanajua mtoto wao alipo ndio maan hawakusumbui kukuuliza.

  • @Namaize-lc8sh
    @Namaize-lc8sh 2 місяці тому

    Kwahyo mambo yakifamilia humshirikishi uliona yeye sio mwana familia acheni kutunyanyasa jamani na sisi ni watu

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 2 місяці тому

    Miaka tanooo unamke hapo tena uyoo alikuwa anatafuta GIA ya sepaaa

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267
    @tanzaniawomenyouthempowerm267 2 місяці тому

    Nenda wizara ya elimu na uhamiaji utapata taarifa zao. Mana kama qameenda nje utapata taarifa kutoka uhamiaji..kama.wako hapa hapa tz utapata taarifa watoto wapo shule gani then utawafuatilia kwa ukaribu zaid

  • @mariumseif6751
    @mariumseif6751 2 місяці тому

    Sasa unampa mwanamke hera kisha unasema umemuwekesha kwani yy ni benki😂😂😂 pesa ukimpa mwanamke ni ya matumizi sio ya kuweka

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u 2 місяці тому +1

    kaendamarekani kwanguduzake😂

  • @anifamickidard4555
    @anifamickidard4555 2 місяці тому

    Yupo Marekani huyo

  • @user-mp4yt7ps5q
    @user-mp4yt7ps5q 2 місяці тому

    Mrembo alishawishika na kipato chako moyoni mwake hukuwepo pole na janga hilo

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 2 місяці тому

    Hinzo picha Za watoto zitumwe kwenye umoja Wa Mataifa poa Tuma Amerika. Canada Australië. London Uholanzi. DANMARK. DUICHLAND. NORVEG. YANI HUKO KOTE WEWE TUMA picha zote kabisaa

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 2 місяці тому

    Africa mko nyuma kama mtu amepotea polisi wanatangaza kwenye Television, hata kila station ya train inakiwa matangazo hanonekana.

  • @malila4582
    @malila4582 2 місяці тому

    Mh! Ndoa hizi jamani

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 2 місяці тому

    Wakwe zako wanajua mtoto wao yuko wapi. Ukitumia police interpol ndani ya masaa 24 itajulikana walipo. Sema mambo ya rushwa na vyombo vya kutoa haki ni changamoto wewe waombee heri tuu kwa mungu. Huenda mkeo aka respond. Au piga moyo konde na uoe tena kama njia ya kupata amani. Ila wamesema usichague wenye asili ya unyarwanda😊

  • @user-mj3hn6yw4s
    @user-mj3hn6yw4s 2 місяці тому

    Kaka mm yamenikuta mke wangu nimeishi nae miaka 11 na tar 15/09/2023 alinitoroka na tar 10/11/2023 aliolewa hapo Dar na wazazi walijua,kwahyo mambo haya yapo,tuliza kichwa bro ingawa inauma sana hasa watto

    • @mariumseif6751
      @mariumseif6751 2 місяці тому

      @@user-mj3hn6yw4s Labda ulikua hujalipa mahari yao na hujamuowa maana mke wa mtu hawezi olewa na mtu mwengine bila talaka ila pole ndio dunia

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 2 місяці тому

    Ndugu yangu uyo mwanamke udimtafute siyo wako tena na ameshaanu maisha yake. Tafuta watoto wako hao ndiyo wakwako. Awafaagi kwa lolote wanawake wengi ni tatizo kubwa kwenye maisha yetu. Weka mbali na moyo wako uishi kwa amani Kamanda.

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 2 місяці тому

    Imetoka hiyo mwache aende una shida wewe asingekukimbia

  • @mlomilucy8294
    @mlomilucy8294 2 місяці тому

    Huyu mwanamke atakuwa mrundi au mnywanda hata mwonanekano wake. Kama Ana ndugu marekani basi yupo marekani

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 місяці тому

    Shida ilianzia kwenye pesa sasa bora umeshajifunza huyo dada alishapata mngefungua hata kiwanda ungemshika mkono kuuza chupa 50 kwa siku siyo kazi ndogo sijui ulikwama wapi wengine huku tunauza mashuka na amduvert tunakaa mwezi hatujalipwa😢

  • @AbuuSumaiyah
    @AbuuSumaiyah 2 місяці тому

    Jamaa inaelekea boya kdg, sasa km ww pesa zako ulikuwa unaficha mwenyewe sasa unataka ujue mahesabu ya pesa za mkeo, itafaa wapi namna hiyo

  • @sauda4505
    @sauda4505 2 місяці тому

    Yaan wanopata wanaume WA kueleweka hawakai na wanosaka wanaume WA kueleweka hawapati bas taabu tu

  • @samiatsungura
    @samiatsungura 2 місяці тому

    Hawezi sema ukweli huyo

  • @urbanmission3072
    @urbanmission3072 2 місяці тому

    Ni kwer baadhi ya mikoa sisi wanaume tupo ivo mtu anapata mali anaanza kusaidia sada zake,mama zake wadogo wajomba zake n.k kw mari izo izo na hawasaidii ndugu za mke je kwani mkoa wenu haupakani na mkoa wa kagera kweri?

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 2 місяці тому

    Bosi endelea na maisha Yako Wala usiwaze wanawake ni shidaa sana tafuta utaratibu mwingine mm Niko Kilimanjaro mm ilishanitokea nikapambana na maisha yangu ss ninafamilia nyingine achana nayeeeee tembea wanawake wengi tunaooa ni wakuokota barabarani ni shidaaaa ana ofuu ya mungu sepaaa kunamaisha mengine uyoo ni mwiziiiii kabisaaaa

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 2 місяці тому

      hapo mzee amesha jaribujaribu ameona mke wake ndo alikua bora. alimkorofisha akafikiri angevumilia tu kwasababu ni mwanamke natayari amezaa akaona hawezi kuondoka. sasa ndo anaamini kua kaondoka

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l 2 місяці тому

    Mradi wapi salama hope that

  • @HusnaSimbila-ig7ks
    @HusnaSimbila-ig7ks 2 місяці тому

    Me nazani abanwe kwanza atasema tu ukweli

  • @CathernNtebwa
    @CathernNtebwa 2 місяці тому

    Pole sana jemsi.mbona ww dada Yako kamkimbia shemeji Yako Tena dada Yako pia alifunga ndoa ya kanisani?mjichunguze

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz 2 місяці тому +1

    Kwa hiyo ulivyojua anajishuhulisha ukaacha kumtunza

  • @CathernNtebwa
    @CathernNtebwa 2 місяці тому

    Mjichunguze.mbona dada Yako na yeye kamkimbia shemeji Yako?

  • @DM_15
    @DM_15 2 місяці тому

    Wanawake sikuzote wakiwa na fedha huwaza kuachana hilo tunapaswa kulijua wanaume, ukiona mkeo ana pesa jiandae kisaikolojia saayoyote analipuka pole broh nakama ni mnyarwanda, bro Wale watu huwa wanatakaga umwage maji kwanza ndio akwambie chumita! Kama alipata mzee wa majalo huraah siowako huyo. Nahawachagi watoto

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 2 місяці тому

    Babangu pole nenda buza kwa Nabii kiboko ya wachawi Buza utampata

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 2 місяці тому

    Miaka 10 mtu akimbie tu ngoja aibuke tumsikie nayeye

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 місяці тому

    Mtihani sana

  • @AziziMpili-zj9ne
    @AziziMpili-zj9ne 2 місяці тому

    Kaka nenda kwa mwamposa, ata awe wapi atarudi tu

  • @nashnene6326
    @nashnene6326 2 місяці тому

    Sometimes huwa inakuwa viseversa! Labda kuuwawa na kwanini hajenda chukua pesa za mashamba?

  • @user-re2su8qc4n
    @user-re2su8qc4n 2 місяці тому

    Atakuwa ameenda huko marekani kwa ndugu zake

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 2 місяці тому

    Wanaume wenzangu tutafte sana hela

  • @RoseDhahabu-qv3yt
    @RoseDhahabu-qv3yt 2 місяці тому

    Achunguzwe Kwa makini watu wasiamini moja Kwa moja wt tumegeuka wanyama.

    • @ClementinaHabineza
      @ClementinaHabineza 2 місяці тому

      Ndio nimekumbuka ariejifanta amemukosa mke wake kumbi kamuwuwa kamuzuka mwenyewe ndaiu yanyumba yake

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 місяці тому

    Muhimu akashikwe baba mkwe anajua mtt wake yupo wapi na anafanya nini

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 2 місяці тому

      Baba mkwe anahisikaje na usalama wa mke wa watu. Baba mkwe ndo anatakiwa amshtaki jamaa aseme mke yuko wapi

  • @LilianPhilemon
    @LilianPhilemon 2 місяці тому

    Nenda Claus utawapata

  • @YekoniaKusiluka-jt2ju
    @YekoniaKusiluka-jt2ju 2 місяці тому

    Wanawake siku hizi wako hivyo

  • @angle3600
    @angle3600 2 місяці тому

    Wazazi wanajua mahali alipo

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 2 місяці тому

    😢😢😢

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 2 місяці тому

    Tunakuaminije au umewaua hii mijitu nyie acheni kabisa

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 2 місяці тому

    Kakutana na viuno mtaani.vumilia mtakutana uzeeeni.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 місяці тому

    BABAMKWE MCHUNGAJI RAKINI KAWA MPOTOSHAJI KWA MWANAE MKAMATE BABA.MKWE ANAJUA YOTE😂

  • @user-ur8cq1ye3b
    @user-ur8cq1ye3b 2 місяці тому

    Tafuta mke mwengine owa uyosiowako asije akakuuwabule

  • @JoycemsangiJoyce-go9su
    @JoycemsangiJoyce-go9su 2 місяці тому

    We tafuta mwingine nyie waha mna roho mbaya

  • @mercye.4277
    @mercye.4277 2 місяці тому

    Pole nenda wizara ya Elimu omba msaada wacheck watoto kama kama wapo registered na shule yeyoyote
    Nenda vizazi na vifo kama watoto wamechukuliwa birth certificate.
    Mliwahi kuchukuwa Birth certificate za watoto. Tafuta mbinu ya kwenda mambo ya ndani kama utasaidia ku access information...
    Kama wametengeneza passport au vipi

  • @CathernNtebwa
    @CathernNtebwa 2 місяці тому

    😂😂

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 2 місяці тому

    Mshaurini huyo jama a aende kwa pastor Dominic kiboko ya wachawi aliyeko Buza atamsaidia.

  • @TinaZimba
    @TinaZimba 2 місяці тому

    Mkuu achana naye huyo ashakuwa kahaba tena ukitaka mkomoe oa mwingine achana nae

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 2 місяці тому

      siyo wanawake wote wanakomolewa na kuoa. laba aliyeondoka ili umfuate muongee. la sivyo, mwanamke hupenda mara moja na akikuchukia anakuchukia akiondoka hageuki hata uoe 20

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627 2 місяці тому

    Mdada mrembosan

  • @AziziMpili-zj9ne
    @AziziMpili-zj9ne 2 місяці тому

    Kaka nenda kwa mwamposa, ata awe wapi atarudi tu

  • @CathernNtebwa
    @CathernNtebwa 2 місяці тому

    Mjichunguze.mbona dada Yako na yeye kamkimbia shemeji Yako?