SASA ANGALIENI NA ZANZIBAR NG'OMBE WANATUMIKA VIBAYA SANA .WANABEBA MIZIGO MIZITO KULIKO UWEZO WAO NA BAKOLA SANA MPAKA NG'OMBE ANAKIMBIZA MZIGO HUKU ANAJISAIDIA NA KUTOA MAKAMASI ..NA HATA PUNDA WENYE NGUVU KULIKO NG'OMBE NAO PIA WANATESKEKA HIVYO HIVYO EBU SERIKALI YETU IFUTE HII KITU KABISA.
kuna shida kubwa sana kwenye uongozi wetu naibu waziri na waziri, kama hawa ndio walivyokuwa hivyo basi kuna shida kubwa na je naibu waziri kazi yake nini hasa
Ulegaaaa... Naona umemtuliza jamaa kisayansi
Very intelligent . Una akili maana mpina haelewi kwamba maisha yanabadilika
Mungu akulinde mpina unautanzania ndani yako ndomaana unanyoshavkama msumeno
Jibuni hoja siyo kupoteza muda kukumbushia alipokosea mtu miaka hiyo ambapo hamkumkosoa.Hii siyo busara.
Mpe za uso huyo Mpina
SASA ANGALIENI NA ZANZIBAR NG'OMBE WANATUMIKA VIBAYA SANA .WANABEBA MIZIGO MIZITO KULIKO UWEZO WAO NA BAKOLA SANA MPAKA NG'OMBE ANAKIMBIZA MZIGO HUKU ANAJISAIDIA NA KUTOA MAKAMASI ..NA HATA PUNDA WENYE NGUVU KULIKO NG'OMBE NAO PIA WANATESKEKA HIVYO HIVYO EBU SERIKALI YETU IFUTE HII KITU KABISA.
Big brother always right😂
Nimecheka sana leo😅
kuna shida kubwa sana kwenye uongozi wetu naibu waziri na waziri, kama hawa ndio walivyokuwa hivyo basi kuna shida kubwa na je naibu waziri kazi yake nini hasa
Point
Hapa hamna kitu
Ulikuwa unauliza nini siungesubiri usikie anachangianini
Kwanini kila Wìzara mpinzani ni Mbunge Mpina tu wengine wako wapi
bindamu sio mnyama mbona mnatutenga kwenye keki ya taifa
Binadamu ni wao tu sisi ni zaidi ya wanyama
Mark my words ,Huyo jamaa ulega atafika mbali sana
kujiamini huku utakuwa umestua kdgo
😂😂😂
Kwahiyooo unawaoogopesha watu wasichangie???
Kuna pesa simepigwa nyie mnalumbana unaibua hoja za miaka kibao iliyopita hii mnatambiana vyeo hii ndio kazi mmetumwa na wananchi?
Sihami hapa tz😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan Tanzania ni raha sana😂😂
🤣😂😀😃😄😁😆😅
Inawezekana anapoteza shape, ila swali la msingi ni kwa kiwango gani? Anatunyima kufahamu tulichotaka?
Upuuzi mtupu na siasaa za kikeiii
Kwan ni uongo? Ww hujui? Kwenda zako........
Ngonjela tu hapo
Muna yenu
Ni wangapi wapo katika madaraka kwa kutotekeleza wajibu wao kama wewe.
Kumbe mnahongana kwa maneno
sasa kuna haja gani kutunga sheria kama hamuwezi kuzisimamia ? hovyo sana hawa watu
bola muhuri sio hereni😭
Haaaaaaa hii nchi ngumu sana
zoezi lingekuwa la bure lingefaa sana sasa mnachaji kwa kila ng'ombe, kodi nayo juu yaani dah!
Mpinaa jiongeze jambo na wakatiwakee
Sasa mbona huongei hoja unakera bwana
Mmm unajibu au una hasira
Bado
Mmmmhh naoa kama nikupigana maneno tu hapa😅😅
Huyu jamaa ni kichwa
Akili kubwa hii
Nakuona waziri ulega uko vizuri na mungu aendelee kukupa hekima nnaimani wizara yetu inshallah inaenda kuleta mabadiliko
Animal welfare ni kitu muhimu sana.
These are nonsense hoja za Waziri kujibu namna hii