Nchi hii tunafuga ugonjwa wa kufugana2. Katiba mpya ni muhim na sheria zirekebishwe ili yoyote hata Kama ni mkuu akifanya makosa ashtakiwe. vinginevyo nchi inaweza kupigwa Bei bila sisi kujua
Huyu ndiye kiongozi Sasa anayejua nchi inavyokwenda, kwa nn huyu jamaa acpewe uwazil wa fedha! Huyu jamaa apewe nafac kubwa ktk nchi atasaidia San taifa hili cjui kwa nn hawamuoni huyu jamaa, hata urais Nampa kula
Jaman nadhan tunaweza kukubaliana mnyonge mnyongen haki yake mpeni watanzania tumemuelewa magu,mtaongea Sana kwa Sasa hakuna wa kusimamia kwa na kukemea haya kwa moyo wa kizalendo pole watanzania acha tupigwe
Hakika Watanzania tunateseka na kuteketea MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZETU,na walaji wamo humo humo bungeni lakini hatuoni hatua kali za kisheria dhidi yao.
Waziri wa fedha atoke mama tunakupenda ila huyu waziri ana mapungufu mengi sisi tuko macho mda unakuja polepole kweli tunaumia pesa zinaliwa na kugawana kama karanga dah.
Trillion 30 zimeteketezwa halafu wananchi wanadanganywa dai risiti ukinunua kitu na wakati hicho kitu kimoja unacho nunua kimelipa kodi 10 na zaidi kuanzia kitoke kiwandani.
Yaani serikali hii ya CCM imekosa uwadilifu Kila siku nimajizi TU sijui wazazi wao Hawa majizi nao nimajizi yaani inauma sana mitozo Kila Kona na yakiiba Yana bembeleza ndio maana bunge ni dhaifu nikweki kabisa
Anaongea sana mpina alafu ana vielelezo kanyimwa madaraka Nini? Du pole sana kuongea hivyo ndo utapewa Sasa uoni unajichosha mambo yenyewe unaongea majungu au una chuki binafsi du
Mpina alipo pata uwaziri alifanya kazi vizuri sana nakumbuka alikuwa waziri wa mifugo na uvuvi kipindi cha cha magufuli ila baada ya magufuli kuondoka chuki ikaingia mawaziri wote wa magufuli wakaondolewa na kurejeshwa mtandao wa wezi na wahujum mali za uma kama tunavyo ona hivi ,na kumbuka waziri medadi kalemani alikuwa waziri wa nishati mambo ya umeme kila mwananchi alishuhudia alivyo sambaza umeme hadi vijijini lakini magufuli alipo ondoka mtandao wa wezi wa nchi ukalejeshwa kama tunavyo shuhudia watanzania tuendelee kuomba bado MUNGU yupo kulipigania taifa hili mpaka haki ya watanzania ipatikane
Tuanze na waziri wafedha na haya majizi tufuatilie Mali zao zote tuchukue na wao washitakiwe kuhujumu nchi maana naona Sheria hii niuma na kupuliza hivi anaemkumbatia huyu mwingulu nani au wanakula wote
Mmmmh...hivi umesikia...! Ubadhilifu wote Kwa mwaka mmoja ni zaidi ya 30 tilioni... Hii nchi kweli ni tajiri sana...sasa tunakopa Ili iweje.... Iwe heri Kwa watz
Anaongea sana mpina alafu ana vielelezo kanyimwa madaraka Nini? Du pole sana kuongea hivyo ndo utapewa Sasa uoni unajichosha mambo yenyewe unaongea majungu au una chuki binafsi du
Wapinzani walituchelewesha jamani ,,kauli za Kipuuzi sana ,ni ujinga wa hali ya juu watu wanapiga hela hizo ,maisha yapo juu Hafu watu unakuta kiherehere kwa watu juu serkali ,Kila cku ni wizi TU
Luhaga jorison mpina Mungu akjalie sana upeo wawe ni raisi ujao Mungu akujajalie sana na akulinde
The only one standing man
Wananchiiii mitano tena kwa Mpinaaaa
Nchi hii tunafuga ugonjwa wa kufugana2. Katiba mpya ni muhim na sheria zirekebishwe ili yoyote hata Kama ni mkuu akifanya makosa ashtakiwe. vinginevyo nchi inaweza kupigwa Bei bila sisi kujua
Sasa wao ndio wenye maamuzi yakuipitisha au laa Sasa unampa mwizi akuwekee kitasa unafkir ataweka kigumu Cha kumbana yeye
Wote tunasema Mungu akulinde na mabalaa yote ya kimwili, kiakili , kiuchumi na kiroho Mh. Mpina
Kama umeonana kazimiwa Mic 🎤 tujuane hapa
Ndio utajua vita n kibwa
Huyu ndiye kiongozi Sasa anayejua nchi inavyokwenda, kwa nn huyu jamaa acpewe uwazil wa fedha! Huyu jamaa apewe nafac kubwa ktk nchi atasaidia San taifa hili cjui kwa nn hawamuoni huyu jamaa, hata urais Nampa kula
huyu jamaa mkali sana kama jpm watalimia meno
@@jworld1480 atazimwa tuu maana majizi ni mengi nchi hii
Ashawahi kuwa wazir wa uvuvi
Haibu sana pesa mnazilatu kutubambikia mikodi ndio ilikuwa mbinuyenu tumewaelewa wezingie Mpina nakukubalisana
Jaman nadhan tunaweza kukubaliana mnyonge mnyongen haki yake mpeni watanzania tumemuelewa magu,mtaongea Sana kwa Sasa hakuna wa kusimamia kwa na kukemea haya kwa moyo wa kizalendo pole watanzania acha tupigwe
Mbona alimkataa CAG report zikawa hazisomwi
Nchi hii tatizo sana mwazalendo wapo ila wamekaliwa
Nakukubali mpina
Hakika Watanzania tunateseka na kuteketea MATUMIZI MABAYA YA FEDHA ZETU,na walaji wamo humo humo bungeni lakini hatuoni hatua kali za kisheria dhidi yao.
oyo wazir wa fedha zijawah kumuelewa kabisa
Hivi mpina anaushindani 2025?
Asee nchi yetu sijui inaenda wap
Mwamba sana huyu
Mzee huyo wazir wa fedha ajara peke yake kala na mm yake na baba yake kwhy hapo unaoongea wanakuchora2
Mwigulu hawezi kuwa na jeuri na dharau bila kinga ya mama yake wanajuana haoo!
Dahhhh magufuli alisema hii nchi Tajili sana😢😢
Ingekuwa ni kale kaenzi ka Magufuli hilo nijipu sio kijipu
Waziri wa fedha atoke mama tunakupenda ila huyu waziri ana mapungufu mengi sisi tuko macho mda unakuja polepole kweli tunaumia pesa zinaliwa na kugawana kama karanga dah.
January ,mwigulu na waziri wa ujenzi WAFUNGWE
broo Mpina 💪💪💪
Trioni 30 ni Hela nyingi sana!
Wenye meno kazini,no More
Huyu Mwigulu Nchema ni nani Tanzania?
Kwanini mnakua mnatusimulia mambo ambayo tunaenda kuyasikiliza
Daah trillion 30
Uko sawa mzarendo haiwezekani kupitieha bagenti nyingne wakati haijatumika ya awali
warudishe fedha zetu wawajibike!
Wewe ndiye Magufuli wangu kwa sasa
Mabusssss
Wengine kimyaaaaa na hivi mnachukuliwa video recod
Mpina ana point ila anapuuzwa koz viongozi wa juu pia ni wahusika
Rais asipchukua hatua Mungu atamuadhibu!
Dah anaongea kwa uchungu na maumivu
Uwanja WA ndege chato
Trillion 30 zimeteketezwa halafu wananchi wanadanganywa dai risiti ukinunua kitu na wakati hicho kitu kimoja unacho nunua kimelipa kodi 10 na zaidi kuanzia kitoke kiwandani.
Yaani serikali hii ya CCM imekosa uwadilifu Kila siku nimajizi TU sijui wazazi wao Hawa majizi nao nimajizi yaani inauma sana mitozo Kila Kona na yakiiba Yana bembeleza ndio maana bunge ni dhaifu nikweki kabisa
Anaongea sana mpina alafu ana vielelezo kanyimwa madaraka Nini? Du pole sana kuongea hivyo ndo utapewa Sasa uoni unajichosha mambo yenyewe unaongea majungu au una chuki binafsi du
mpina ndugu yangu utakufa tu siku sio zako ccm yako ni sikio la kufa halisikii dawa ,spika wako na mwenyekiti wako wanakuona kama inzi tu 😂😂😂😂
Najua vya maana huwa mnapuuzia ma kijinga mnakazia.MAJAMBAZI;MAFISADI MNAYAFANYA SANA.tutawaona kwenye utekelezaji
😂😂😂
Alipata huyo uwazili wa maliasili mpina, hamna kitu kabisaa hapo maneno mengii ,anafurahisha watu tu
Anahafadhari aisee kuliko wengine
Acha usenge wewee
Peleka chuki zako huko,ww ni mnufaika wa wizi
@@tanzanitetv 😢
Mpina alipo pata uwaziri alifanya kazi vizuri sana nakumbuka alikuwa waziri wa mifugo na uvuvi kipindi cha cha magufuli ila baada ya magufuli kuondoka chuki ikaingia mawaziri wote wa magufuli wakaondolewa na kurejeshwa mtandao wa wezi na wahujum mali za uma kama tunavyo ona hivi ,na kumbuka waziri medadi kalemani alikuwa waziri wa nishati mambo ya umeme kila mwananchi alishuhudia alivyo sambaza umeme hadi vijijini lakini magufuli alipo ondoka mtandao wa wezi wa nchi ukalejeshwa kama tunavyo shuhudia watanzania tuendelee kuomba bado MUNGU yupo kulipigania taifa hili mpaka haki ya watanzania ipatikane
Huyu jamaa apewe uwazil wa fedha anafaaa san
Akipewa Uwaziri halafu bado akawa anaagizwa na wakubwa zake naye atafanya madudu tu
@@pastorgodwinchengula7848 kabisaa pastor
Wala hawez kupewa
Kwa nn wajibu ktk kamati privately, wajibu apo cc sote tusikie, no secret room
Ukweli umeungea ila baadae watakuita sukuma gang
Mtu anapiga hela leo anaangaliwa awekwe kati basi kwani mnawaogopa au dhalau
Tuanze na waziri wafedha na haya majizi tufuatilie Mali zao zote tuchukue na wao washitakiwe kuhujumu nchi maana naona Sheria hii niuma na kupuliza hivi anaemkumbatia huyu mwingulu nani au wanakula wote
kwanini uwaziri wanapewa mazezeta wanaachwa wazarendo kama wakina mpina ?
Mmmmh...hivi umesikia...!
Ubadhilifu wote Kwa mwaka mmoja ni zaidi ya 30 tilioni...
Hii nchi kweli ni tajiri sana...sasa tunakopa Ili iweje.... Iwe heri Kwa watz
Kama Mwigulu Ataendelea Kuwa Wazir Wa Fedha Tutapigwa Mpka Basi
hii nchi hatuna viongozi nchi imekaa tenge,,,
Hoja kama hizo makofi yanakua machache wabunge wa fisiem buana
SEMA mpina japokua wasema ukweli ndo wanakamata nakunyamazisha hiselekari hii wamu ya 6 nitatizo wabunge baazi walio wengi nasipika niwanafiki Sana ubalikiiwe mpina🙏👍
Anaongea sana mpina alafu ana vielelezo kanyimwa madaraka Nini? Du pole sana kuongea hivyo ndo utapewa Sasa uoni unajichosha mambo yenyewe unaongea majungu au una chuki binafsi du
Pole mpina,wenzio wanalinda matumbo yao we unajitoa mhanga
Ndio maana mwigu ananenepa saaana aiseeee
Duh... Inauma Sana unakatwa tozo, Kodi ,vat, application fee's kila kona Serikali inachukua pesa yake alfu unasiki haya inauma Sana.
Yana mdaa
Kwakweli bora wangewaachia wananchi
Wakatoa hizo tozo
Aki tozo zetu jamani.,.aki nasikia kulia
Usilie dadaangu , hii nchi imejaa majizi kibao , kunamuda hasira inakaba koo mpk mtu unawaza kufanya matukio ya ajabu.
Hivyi inamaana Rais ajui yanayo fanyika kweli
Yeye ndio anayetoa maagizo hayo...ni vile Huwezi Sasa kumlenga moja kwa moja boss wako hivyo hata mawaziri sio kosa lao
Rais anajua sana tu si ndio watu wake wanajuana
Wapinzani walituchelewesha jamani ,,kauli za Kipuuzi sana ,ni ujinga wa hali ya juu watu wanapiga hela hizo ,maisha yapo juu Hafu watu unakuta kiherehere kwa watu juu serkali ,Kila cku ni wizi TU
Mbn ueleweki ,wapinzani walikuchelewesha wapi uuu blind,wao ndio wameiba hizo trl 30 za mpina stp
anakopa pesa anawalipa wabrazil wake huyu ni mwizi sana
😢😢😢
Niko naska ela ya kula wanangu S big star😅
Hatari sana
Mpeni uwaziri anyamaze😂😂
Kamata wote sweka ndani waliopiga hela
na nchi iendelee kuzama sio
Kuma wee