MSTAAFU KIKWETE NYUMBANI kwa MZEE MWINYI - AKATAA KUJIBU SWALI KUWA YEYE NDIYE RAIS PEKEE MSTAAFU...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • MSTAAFU KIKWETE NYUMBANI kwa MZEE MWINYI - AKATAA KUJIBU SWALI KUWA YEYE NDIYE RAIS PEKEE MSTAAFU...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 32

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  11 місяців тому

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @VedastusSwai
    @VedastusSwai 11 місяців тому

    Na kweli kbsa Hilo swali halina maana

  • @danielkachele922
    @danielkachele922 11 місяців тому

    Kweli baba Kikwete haina maana hiyo.

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 11 місяців тому

    Mungu ampokee baba yetu

  • @aishamgambo6422
    @aishamgambo6422 11 місяців тому +6

    Hivi waandishi wahabari kabla ya kuuliza maswali yenu huwa mnafikiria kweli?hebu fikirieni Mara mbili kabla ya kuuliza.Unamuulizaje mtu swali kama Hilo?Kwani yeye ni Mungu,
    Mungu ndo anaepanga kila kitu,
    Akiwa yeye ndo amebaki inakuwaje sasa

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 11 місяців тому +1

      Nimependa alivyokataa kujibu, kwanza wanamzushia kuwa anaua wenzake halafu wanamsanifu na swali la kipuuzi

    • @zainabomar5144
      @zainabomar5144 11 місяців тому +1

      Waandishi wengine bwana,Bora Mzee ulivyomjib

    • @Ummukuruthum-m1m
      @Ummukuruthum-m1m 11 місяців тому +1

      Hawana fikra hawa waandishi wetu

    • @Ummukuruthum-m1m
      @Ummukuruthum-m1m 11 місяців тому +1

      @@homeandaway2811 wapuuz anawaua yy ni mungu mungu ndie muamuz nan aende nan abak hawana akil uchochez tu umewajaa

    • @shabanramadhan4863
      @shabanramadhan4863 11 місяців тому

      Waandishi Wa Habari Muwemnafikiria Na Maswali Ya Kuuliza Basi

  • @julianamaganga
    @julianamaganga 11 місяців тому

    Wamuache mzee bwan anamawaz ya msiba polesana baba

  • @erickyohana3363
    @erickyohana3363 11 місяців тому

    Kuna haja ya kuelimisha waandishi wa habari , Hilo swali halina maana yoyote! Mh Kikwete amefanya vema kumpuuza mtu huyo !..

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 11 місяців тому +1

    Waandishi wa Habari wetu kweli ni ndezi

  • @redtk2971
    @redtk2971 11 місяців тому

    Kikwete kaona mnataka kunichulia nyie watoto😂

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 11 місяців тому +1

    Kweli maswali mengine Ayana maana waandishi wa sikuizi wengine hawajielewi sasa unataka je na yeye afe au umeambiwa mtu akistafu tu anafariki

  • @Ummukuruthum-m1m
    @Ummukuruthum-m1m 11 місяців тому +2

    Nmependa mheshimiwa ulivyompuuza huyo na swal lake la kipuuz haangalii anauliza swal kwa wakat gan

    • @kgchippy
      @kgchippy 11 місяців тому +1

      Fala sana, ati ww pekee ndio umebaki

  • @jobharry9009
    @jobharry9009 11 місяців тому +3

    Amekataa swali la kipuuzi

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 11 місяців тому

      Ni swali la kipuuzi um aliukizwa vp kwani emu mmnukuu yule mwandish ili tujue kweeli la kipuuzi

  • @yuz0_tz
    @yuz0_tz 11 місяців тому

    Nyie watangazaji mnatakiwa msome alama za nyakati sio mna uliza uliza tuu haya ona sasa mlivyo jibiwa😂😂😂 jionge zeni kuweni na akili muda mwingine

  • @chire4574
    @chire4574 11 місяців тому

    Rais mstaafu aliebaki ......ila mnafk sana uyu jamaa

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 11 місяців тому

      Ummm vp ni mmn um umesemaa ah

  • @abdullahmanmiyanjamo1796
    @abdullahmanmiyanjamo1796 11 місяців тому

    now days jobless mmoja ukiwa na camera,mic na laptop unakua mwandishi wa habari...TASNIA IMEVAMIWA.

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 11 місяців тому

      Sio kweli sababu ya suala lile um kuna kitu apoo

  • @mohamedmwanyalisya4277
    @mohamedmwanyalisya4277 11 місяців тому

    Aibu tupu kwa tasnia nzima ya habari Tanzania. Miana habari Haina weredi haijui kazi Yao. Hahaha

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 11 місяців тому

      Aibu mwandish ni mpambanaji mdadis pia mpelelezi vp tena

  • @gabrielbakilana77
    @gabrielbakilana77 11 місяців тому

    swali gani hilo la kumuuliza mtu...?

    • @georgeriziki1092
      @georgeriziki1092 11 місяців тому

      swali hovyo sana, sijui alitegemea kujibiwa vipi?

  • @mwinjanavil
    @mwinjanavil 11 місяців тому

    mwandishi unapata fursa ya kuwa mbele ya mheshimiwa alaf unauliza swali la kipumbavu? kulikuwa na haja gani ya kuuliza vile au unataka kikwete ajione yeye ndo anayefuata kufariki au? ujinga mtupu aisee aibu mno

  • @abelimwakijungu1226
    @abelimwakijungu1226 11 місяців тому

    Acheni kuuliza wastaarabu maswali ya kijinga. Kawaulizeni viduku wenzenu.

  • @timetravellor5367
    @timetravellor5367 11 місяців тому

    Swali la kijinga

  • @julianamaganga
    @julianamaganga 11 місяців тому +1

    Wamuache mzee bwan anamawaz ya msiba polesana baba