Joel unamjua Mungu unaemuabudu.....na unayemtumikia.....its level.....unajua kama haumuelew Mungu upendo wake kwa watu wake .....unabaki kumuishia kwenye ufahamu tu
Waimbaji wa injili wanafuatiliwa sana na adui, sababu wanaokoa roho za watu sanaaa, ndo maana wanapitia majaribu sana, but ashukuriwe Mungu huwa anawavusha na imani zao kuwa imara zaidi ya zaidi
👏🏽👏🏽👏🏽Love love his response he is doing it for the KINGDOM OF GOD AND NOT FOR THE WORLD.. he DOES NOT CONDEMN secular musicians he uses his gift from God to DRAW THEM to God…when you KNOW your calling you will not fall into temptation hongera kaka mdogo 👌🏽🇰🇪
Yes uko sahihi kaka binadamu haturidhiki tunapenda kuchimbua vya wenzetu cha kushangaza vizuri huwa hatuvioni tunatafuta vibaya na tusipoviona vibaya tunavitengeneza.kaka Joel uko vizuri
Asante sana,umejibu vema,uko vizuri mtumishi wa Bwana. Ninaipenda huduma yako. Barikiwa sana ,Endeleeni mbele. Bwana akiwa upande wenu ni nani Alie juu yenu.?
Joel Lwaga you are talented, you sing very well. God bless you very much, I listened to your interview very well. but I want to advise you only one thing through the word of God 2 Cor 6:14 KJV Do not be yoked together with unbelievers, in a way that is not right; for what friendship is there between righteousness and rebellion? What is the relationship between light and darkness? We are the Light of the World May Our light shine on people, so that they may see our good deeds; glorify Our Father who is in heaven.
Be you na usimruhusu binadamu akakujurge let God judge you. Yaani Joel wewe endelea kueneza neno la Mungu. Hata Mungu walimsema alipokuwa anajichanganya na watu ambao binadamu waliwaona hawafai ila kwa Mungu walikuwa wanafaaa na ndio maana alijichanganya nao
Romans 5:8 Fanya kazi mtumishi, mwanadamu hatosheki kwa lolote. Jaa Roho Mt. Ongozwa na Roho Tii Neno That's all More than that "Tunajua Mungu alitupenda tungali bado wenye dhambi"I like TULIOKOLEWA HATUKUJIOKOA. 👍
Alipitia changamoto / mambo hayo yapo / watu hawapendi watu wawili wakipemdana/ bado uamini hayo mambo -umesema nn na unakataa nini?? Any way kama uamini MUNGU yuko na shetani yuko , yalishanitokea mm kwa ndoa yangu na nina miaka 27 sasa ya ndoa nakiri ni shida mnooo yote all tje best na maombi ndio siraha tu
That’s right no 17 song has change my life, it’s a prophetic song that has described everything that I have been through, I don’t listen to secular music but I was drawn to that song Sayini. Thank you for your obidience Joel and God bless you
Nimeenda iyo wanachukua nafas ya mungu afu wanakasilika Yan hao tunao makanisan Sana Wana kela wanajiona wao wamemmeza mungu walokole wa agano la kale badiliken
-Wala msiifuatishe namba ya Dunia hii Warumi 12:2. -Msifungwe nira na pamoja na wasioamini kwa namna isivyo sawasawa 2Kor 6:14-18. -Uasherati usitajwe kwenu kamwe Efeso 5:3-4.
Sijacheki hadi mwisho, lakini Joel, unamjua Mungu unayemtumikia, hata nyimbo zako zinaakisi hilo. Lakini msisahau kujiombea, ilinde sana nafsi yako usikutane na changamoto iliyomkuta Rose. Joel unaimba, una sauti nzuri sana. Usikubali habari za label baba, zina siri nyingi sana ndani yake hasa hizi secular, Rose aliangushwa na Sony, keep doing what you doing, Yesu awe label yako. Mungu aendelee kukuimarisha.
Hekima don't strain your self yesu anakupigania na anampigania mkeo watches was emergency yesu uliyenaye atawajibu kwa kishindo waombee kusema sio ulinzi wa mkeo tulia mwanangu mpendwa.
Mnaficha ficha viti vya shetan na nyie ni kioo cha jamnii my be kama hamkuitwa na Mungu kwa kazi hiyo lhujui tu watu watapona vipi kupitia changamoto mmh huwez mpost mbona mwanzo uliposti??? Sawa mdogo wangu yote all the best
Wewe ni mtumishi wa MUNGU unatambua wito wako. Ubarikiwe sana binafsi napenda nyimbo yako
Joel unamjua Mungu unaemuabudu.....na unayemtumikia.....its level.....unajua kama haumuelew Mungu upendo wake kwa watu wake .....unabaki kumuishia kwenye ufahamu tu
Joel.. Mungu amekupa hekima sana yaan. Umejibu vzr sana kwa hii interview. Mungu akuongoze daima.
Waimbaji wa injili wanafuatiliwa sana na adui, sababu wanaokoa roho za watu sanaaa, ndo maana wanapitia majaribu sana, but ashukuriwe Mungu huwa anawavusha na imani zao kuwa imara zaidi ya zaidi
👏🏽👏🏽👏🏽Love love his response he is doing it for the KINGDOM OF GOD AND NOT FOR THE WORLD.. he DOES NOT CONDEMN secular musicians he uses his gift from God to DRAW THEM to God…when you KNOW your calling you will not fall into temptation hongera kaka mdogo 👌🏽🇰🇪
This man Joel Lwaga is an intellect,right answers to all the questions,much love from 🇰🇪🇰🇪
Joel Yesu Akushike kwa utukufu wake, Mungu Amekupa hekima sana
Barikiwa Mungu akinipa mtoto wa kiume nitamwita Joel
Kwa kweli umekua spiritually, majibu mazurii mnoo na sahihi , utumiwe zaidi na Mungu aisee.. na hiyo ndio sababu ya kuishi kwetu.
Amen mwanangu kwa majibu ya hekima huwezi kujilinganisha na na nyimbo za Dunia Barnaba yuko njiani kumtumikia Mungu Mia kwa Mia lwaga its holy name.
WOW nimeipenda hii, "doing for the kingdom of God" love it!😍😍
My brother, may God lift you on higher dimension.
Nakukubal mnoooooooooo unajielewa sana kaka God bless you Joel
Joel may the Almighty God Bless and protect you and your family. May He take you to next level.
Ubarikiwe kwa majibu yanayojjitosheleza ishi maisha yako.
Daaaah. My brother umeongea mambo makubwaaa sanaaa aiseee nmejifunzaaa sanaaa ubarikiwe my mentor 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Naweza kupata tafsiri ya hizo pete mikono miwili tofauti?
Mungu aendelee kukupa Hekima zaidi mtumishi wa Mungu,nimependa majibu yako..neema ya Mungu izidi kukutegemeza Sana katika huduma yako na ndoa yako.🙏🙏🙏
He is after Gods heart and purpose. May God establish his will
Joel ! You provide answers perfectly. I love your understanding.
Ishi sawasawa na jinsi Mungu anavyotaka Mtumishi inatosha.Barikiwa.
Kuimba injili ni huduma cyo business umejimu vema kabisa Joel🥰👍
Joel wewe ni mkomavu, nimependa majibu yako na maelezo yako. Mungu azidi kukuinua
Nakukubali sana kaka Mungu akutunze
Yes uko sahihi kaka binadamu haturidhiki tunapenda kuchimbua vya wenzetu cha kushangaza vizuri huwa hatuvioni tunatafuta vibaya na tusipoviona vibaya tunavitengeneza.kaka Joel uko vizuri
Ombi langu kwa Mungu, ni akuwezeshe kufika mbali zaidi.
Asante sana,umejibu vema,uko vizuri mtumishi wa Bwana. Ninaipenda huduma yako. Barikiwa sana ,Endeleeni mbele. Bwana akiwa upande wenu ni nani Alie juu yenu.?
Joel Lwaga you are talented, you sing very well. God bless you very much,
I listened to your interview very well.
but I want to advise you only one thing through the word of God
2 Cor 6:14 KJV
Do not be yoked together with unbelievers, in a way that is not right; for what friendship is there between righteousness and rebellion? What is the relationship between light and darkness?
We are the Light of the World
May Our light shine on people, so that they may see our good deeds; glorify Our Father who is in heaven.
Go go Joel....I love what you are doing bro...blessings!😍😍😍
Bro your more than a gosple artist,what a complete ministration 🙏❤
Ubarikiwe sana Bro,nimependa ulivyosema wewe unaimba kwa ajili ya Mungu,na si kwa ajili yako kama waimbaji wa kidunia
Bro Mungu ni mwema kwako... Ur blessed
Nakukubali sana my bro from the green city Mbeya boy, unanifurahishaga sana, point zako pambe
I just Love this Guy.. GOD BLESS YOU SO MUCH.
Ongera baba Mungu akulinde unaelewa unacyo kifanya.
Nice interview. I liked the Wisdom the Man of God had in answering all the questions. In everything To God be the Glory.
Nimependa majibu yako shujaa wa Bwana
Congratulations 👏👏👏
Joel I love you ❤️❤️ nimekuelewa mpaka nimekuelewa tena Mungu aendelee kukutunza
Joel my son l love ❤️ you and be happy with your family
The song feels different for sure..i love it
Point sana bro usiweke wazi Kira maisha unayo ishi ya kifamilia so watu cyo wazur
Thanks Joel for saying it's all for God's kingdom
Very perfect ideas in Spirit
Wanyakyusa wanaakili aisee
Lwaga Nakukubari saana Ndugu yangu Unayajibu Maswali kiufasaa Wenye Vidomodomo wamepata Dozi yao Nakitu Chakujifunza kwako
Be you na usimruhusu binadamu akakujurge let God judge you. Yaani Joel wewe endelea kueneza neno la Mungu. Hata Mungu walimsema alipokuwa anajichanganya na watu ambao binadamu waliwaona hawafai ila kwa Mungu walikuwa wanafaaa na ndio maana alijichanganya nao
He is blessed😇🔥
MUNGU akuinue kaka
Romans 5:8
Fanya kazi mtumishi, mwanadamu hatosheki kwa lolote.
Jaa Roho Mt.
Ongozwa na Roho
Tii Neno
That's all
More than that "Tunajua Mungu alitupenda tungali bado wenye dhambi"I like TULIOKOLEWA HATUKUJIOKOA.
👍
Uko vizur, Kaka joell, please naomba no zako tuwasiliane watsup Nina taka unisaidie Jambo kuhusu uimbajii, asantee
Alipitia changamoto / mambo hayo yapo / watu hawapendi watu wawili wakipemdana/ bado uamini hayo mambo -umesema nn na unakataa nini?? Any way kama uamini MUNGU yuko na shetani yuko , yalishanitokea mm kwa ndoa yangu na nina miaka 27 sasa ya ndoa nakiri ni shida mnooo yote all tje best na maombi ndio siraha tu
Joel ni Handsome boy Mashallah
😂😂
Proud of you brother Joel
That’s right no 17 song has change my life, it’s a prophetic song that has described everything that I have been through, I don’t listen to secular music but I was drawn to that song Sayini. Thank you for your obidience Joel and God bless you
Joel lwaga your talented ,Just think of making collabo with Abbychams,u will make a powerful gospal song as Sayuni
Good job Suzzet! Keep glowing 😍😍
I am blessed
Yesu hakuwa na ubaguzi ndio maana alimponya mwanamke kahaba kwenye kisimani..Songa mbele Joel. .PANDA MBEGU KWAO.
nmejifunza ktu kkubwa, barikiwa
What a wise response ✨🥰
Vraiment
Amazing
I love it ❤️is for the kingdom of God it is a ministry not industry
Aki si nimekupenda bure Bro
Nimeenda iyo wanachukua nafas ya mungu afu wanakasilika Yan hao tunao makanisan Sana Wana kela wanajiona wao wamemmeza mungu walokole wa agano la kale badiliken
Mungu ni yey yule wa jana leo na hata milele habadilishwi na habadilishwi na mazingira au utandawaz. Be careful
Amen Amen Joel.
MUNGU akutunze zaidi 🙏
Blessed 😇
I'M BLESSED WITH THIS INTERVIEW...GOD I GREAT. THERE'S IMMATURITY IN IT
Correction. Did you meant maturity I think there is typing error there Mr @ Samson Mkisi
Maturity @samson Mkisi
Unakitu kikubwa sana ndani yako...sjui nisemeje in short wewe ni madhabahu ya Mungu
Be blessed mnoo broo joel
I respect him
Dada suzzet nakufurahia
-Wala msiifuatishe namba ya Dunia hii Warumi 12:2.
-Msifungwe nira na pamoja na wasioamini kwa namna isivyo sawasawa 2Kor 6:14-18.
-Uasherati usitajwe kwenu kamwe Efeso 5:3-4.
Appreciated
Huyu Joel huyu anahitaji maombi ya Kitaifa huyu. N a huyu mtanfazaji Interview nzima Diamond ooh Barbaba
Mtangazaji ana mahaba na Diamond,interview ya Joel,lakini maswali sehemu kubwa Diamond
It's not your battle mti wenye matunda mara nyingi unappopolea tulia tu Yesu anakupigania usiogope.
I love this man 👨 ❤️❤️
Watu kama Hawa ndyo huwa tuna waita Harf cest waimani hamna wokovu nimichanganyo tuu 😭😭😲
Sijacheki hadi mwisho, lakini Joel, unamjua Mungu unayemtumikia, hata nyimbo zako zinaakisi hilo. Lakini msisahau kujiombea, ilinde sana nafsi yako usikutane na changamoto iliyomkuta Rose. Joel unaimba, una sauti nzuri sana. Usikubali habari za label baba, zina siri nyingi sana ndani yake hasa hizi secular, Rose aliangushwa na Sony, keep doing what you doing, Yesu awe label yako. Mungu aendelee kukuimarisha.
Hatulii akijibu maswali
Safi Songa mbele
Hayo ni mapito kwa kuwa umefanikiwa simama na maombi mdogo wangu ndoa yenye mafanikio ina Vita sana.
The guy fits me alot he has what I own
Akili kubwaaa, hakunaga mnyakyusa fala
devo aiseeee daaah😂😂🙌🙌🙌🙌
Umeonaee
Point wanapo furahi wawili wengine Wana chukia ndivyo ilivyo
🕸️uishi miLeLe mbarikiwaa
Ahsanteeeeeeeeeee🤝🤝🤝🤝🤝🤝
❤️❤️❤️❤️❤️
Huyu Joel namkubali Sana tena Sana
Nasubili na ninaomba pia natamani barnaba aokoke et
Mtangazaji mbon kama unabishana 😝
Tafuta unyenyekevu brother
Namkubal sana joel
Ko we we kila kitu ni uwongo 😏
Uongo ngap kafanya
Hekima don't strain your self yesu anakupigania na anampigania mkeo watches was emergency yesu uliyenaye atawajibu kwa kishindo waombee kusema sio ulinzi wa mkeo tulia mwanangu mpendwa.
Kidhungu kidhungu not kiswahili
Mnaficha ficha viti vya shetan na nyie ni kioo cha jamnii my be kama hamkuitwa na Mungu kwa kazi hiyo lhujui tu watu watapona vipi kupitia changamoto mmh huwez mpost mbona mwanzo uliposti??? Sawa mdogo wangu yote all the best
Acha upuuuzi wewe
Huyu demu nae. Yani kila mtu anae mfanyia mahojiano basi lazima amtake awe kama diamond. Sijuwi yeye huyo mtu ndio anamuona mfalme?
Wengi wanachojua ni mapenzi, stupid.
Watu hawaridhiki kwakweli
Mi naona unajishaua mnoo
Jishaue na wewe
@@sheckycobb5240 😂
😂😂😂
Jamani anajishauwaje
@@elizabethvenans3672 wivu wao tu