JOEL LWAGGA;SIWEZI KUMTAFUTA MANGE KIMAMBI/MKE WANGU HAKUROGWA/SIWEZI KUSAINIWA WCB

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 жов 2024
  • #wasafi #millardayo #diamondplatnumz #cloudstv @Got Talent Global #harmonize #rayvanny

КОМЕНТАРІ • 125

  • @MekitildaKitambi
    @MekitildaKitambi 6 місяців тому +1

    Wewe ni mtumishi wa MUNGU unatambua wito wako. Ubarikiwe sana binafsi napenda nyimbo yako

  • @neemakayanda5860
    @neemakayanda5860 2 роки тому +5

    Joel unamjua Mungu unaemuabudu.....na unayemtumikia.....its level.....unajua kama haumuelew Mungu upendo wake kwa watu wake .....unabaki kumuishia kwenye ufahamu tu

  • @JacquelineJanuary-ll8oz
    @JacquelineJanuary-ll8oz 2 місяці тому

    Joel.. Mungu amekupa hekima sana yaan. Umejibu vzr sana kwa hii interview. Mungu akuongoze daima.

  • @evamwinga921
    @evamwinga921 2 роки тому +9

    Waimbaji wa injili wanafuatiliwa sana na adui, sababu wanaokoa roho za watu sanaaa, ndo maana wanapitia majaribu sana, but ashukuriwe Mungu huwa anawavusha na imani zao kuwa imara zaidi ya zaidi

  • @marionciano8519
    @marionciano8519 2 роки тому +5

    👏🏽👏🏽👏🏽Love love his response he is doing it for the KINGDOM OF GOD AND NOT FOR THE WORLD.. he DOES NOT CONDEMN secular musicians he uses his gift from God to DRAW THEM to God…when you KNOW your calling you will not fall into temptation hongera kaka mdogo 👌🏽🇰🇪

  • @lorettahamaro9065
    @lorettahamaro9065 2 роки тому +15

    This man Joel Lwaga is an intellect,right answers to all the questions,much love from 🇰🇪🇰🇪

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 2 роки тому +8

    Joel Yesu Akushike kwa utukufu wake, Mungu Amekupa hekima sana

  • @user-oi5tw8zi2f
    @user-oi5tw8zi2f Рік тому +2

    Barikiwa Mungu akinipa mtoto wa kiume nitamwita Joel

  • @euniceanthony4576
    @euniceanthony4576 2 роки тому +8

    Kwa kweli umekua spiritually, majibu mazurii mnoo na sahihi , utumiwe zaidi na Mungu aisee.. na hiyo ndio sababu ya kuishi kwetu.

  • @juliethsanga6151
    @juliethsanga6151 2 роки тому +13

    Amen mwanangu kwa majibu ya hekima huwezi kujilinganisha na na nyimbo za Dunia Barnaba yuko njiani kumtumikia Mungu Mia kwa Mia lwaga its holy name.

  • @leahmtamba7404
    @leahmtamba7404 2 роки тому +7

    WOW nimeipenda hii, "doing for the kingdom of God" love it!😍😍

  • @yusuphfutte6979
    @yusuphfutte6979 2 роки тому +3

    My brother, may God lift you on higher dimension.

  • @cuprumkimwaga6500
    @cuprumkimwaga6500 2 роки тому +7

    Nakukubal mnoooooooooo unajielewa sana kaka God bless you Joel

  • @rogatendosi6826
    @rogatendosi6826 2 роки тому +6

    Joel may the Almighty God Bless and protect you and your family. May He take you to next level.

  • @estherphinehasi6817
    @estherphinehasi6817 2 роки тому +8

    Ubarikiwe kwa majibu yanayojjitosheleza ishi maisha yako.

  • @frankotitusayo8169
    @frankotitusayo8169 2 роки тому +4

    Daaaah. My brother umeongea mambo makubwaaa sanaaa aiseee nmejifunzaaa sanaaa ubarikiwe my mentor 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪

  • @farajaonesmo171
    @farajaonesmo171 2 роки тому +3

    Naweza kupata tafsiri ya hizo pete mikono miwili tofauti?

  • @beataselestine586
    @beataselestine586 2 роки тому +2

    Mungu aendelee kukupa Hekima zaidi mtumishi wa Mungu,nimependa majibu yako..neema ya Mungu izidi kukutegemeza Sana katika huduma yako na ndoa yako.🙏🙏🙏

  • @naomiwangari4794
    @naomiwangari4794 2 роки тому +3

    He is after Gods heart and purpose. May God establish his will

  • @modeemojombo5662
    @modeemojombo5662 2 роки тому +6

    Joel ! You provide answers perfectly. I love your understanding.

  • @pendomlay9674
    @pendomlay9674 2 роки тому +2

    Ishi sawasawa na jinsi Mungu anavyotaka Mtumishi inatosha.Barikiwa.

  • @rashidakimaro7407
    @rashidakimaro7407 2 роки тому +4

    Kuimba injili ni huduma cyo business umejimu vema kabisa Joel🥰👍

  • @gwaluganomwalusamba1093
    @gwaluganomwalusamba1093 2 роки тому +5

    Joel wewe ni mkomavu, nimependa majibu yako na maelezo yako. Mungu azidi kukuinua

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Рік тому +1

    Nakukubali sana kaka Mungu akutunze

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Рік тому

    Yes uko sahihi kaka binadamu haturidhiki tunapenda kuchimbua vya wenzetu cha kushangaza vizuri huwa hatuvioni tunatafuta vibaya na tusipoviona vibaya tunavitengeneza.kaka Joel uko vizuri

  • @bspgra-ustv4119
    @bspgra-ustv4119 2 роки тому +3

    Ombi langu kwa Mungu, ni akuwezeshe kufika mbali zaidi.

  • @emilymdoe619
    @emilymdoe619 2 роки тому +2

    Asante sana,umejibu vema,uko vizuri mtumishi wa Bwana. Ninaipenda huduma yako. Barikiwa sana ,Endeleeni mbele. Bwana akiwa upande wenu ni nani Alie juu yenu.?

  • @bishopheryngonyani1904
    @bishopheryngonyani1904 2 роки тому +4

    Joel Lwaga you are talented, you sing very well. God bless you very much,
    I listened to your interview very well.
    but I want to advise you only one thing through the word of God
    2 Cor 6:14 KJV
    Do not be yoked together with unbelievers, in a way that is not right; for what friendship is there between righteousness and rebellion? What is the relationship between light and darkness?
    We are the Light of the World
    May Our light shine on people, so that they may see our good deeds; glorify Our Father who is in heaven.

  • @angupeter3439
    @angupeter3439 2 роки тому +2

    Go go Joel....I love what you are doing bro...blessings!😍😍😍

  • @martinmadimilo8593
    @martinmadimilo8593 Рік тому +1

    Bro your more than a gosple artist,what a complete ministration 🙏❤

  • @pharesmitarya4892
    @pharesmitarya4892 Рік тому

    Ubarikiwe sana Bro,nimependa ulivyosema wewe unaimba kwa ajili ya Mungu,na si kwa ajili yako kama waimbaji wa kidunia

  • @jeremiahobed22
    @jeremiahobed22 2 роки тому +1

    Bro Mungu ni mwema kwako... Ur blessed

  • @bahatimmependezamwanginda5202
    @bahatimmependezamwanginda5202 2 роки тому +2

    Nakukubali sana my bro from the green city Mbeya boy, unanifurahishaga sana, point zako pambe

  • @agapetouch903
    @agapetouch903 2 роки тому +2

    I just Love this Guy.. GOD BLESS YOU SO MUCH.

  • @violetsinibagiye4123
    @violetsinibagiye4123 Рік тому

    Ongera baba Mungu akulinde unaelewa unacyo kifanya.

  • @jkilogrammedia
    @jkilogrammedia 2 роки тому +2

    Nice interview. I liked the Wisdom the Man of God had in answering all the questions. In everything To God be the Glory.

  • @asheknazisillahwearetogeth7574
    @asheknazisillahwearetogeth7574 2 роки тому +1

    Nimependa majibu yako shujaa wa Bwana
    Congratulations 👏👏👏

  • @katherinyohana1891
    @katherinyohana1891 2 роки тому +2

    Joel I love you ❤️❤️ nimekuelewa mpaka nimekuelewa tena Mungu aendelee kukutunza

  • @makitivo246
    @makitivo246 2 роки тому +5

    Joel my son l love ❤️ you and be happy with your family

  • @ney_nation2544
    @ney_nation2544 2 роки тому +7

    The song feels different for sure..i love it

  • @bitecastory2137
    @bitecastory2137 2 роки тому +4

    Point sana bro usiweke wazi Kira maisha unayo ishi ya kifamilia so watu cyo wazur

  • @florencenjeri1698
    @florencenjeri1698 2 роки тому +3

    Thanks Joel for saying it's all for God's kingdom

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 2 роки тому +1

    Very perfect ideas in Spirit

  • @rachelmpimbe1331
    @rachelmpimbe1331 2 роки тому +4

    Wanyakyusa wanaakili aisee

  • @mnyakyusambunifu143
    @mnyakyusambunifu143 2 роки тому +2

    Lwaga Nakukubari saana Ndugu yangu Unayajibu Maswali kiufasaa Wenye Vidomodomo wamepata Dozi yao Nakitu Chakujifunza kwako

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 2 роки тому +6

    Be you na usimruhusu binadamu akakujurge let God judge you. Yaani Joel wewe endelea kueneza neno la Mungu. Hata Mungu walimsema alipokuwa anajichanganya na watu ambao binadamu waliwaona hawafai ila kwa Mungu walikuwa wanafaaa na ndio maana alijichanganya nao

  • @roseluvanda1737
    @roseluvanda1737 2 роки тому +2

    He is blessed😇🔥

  • @enosseth3899
    @enosseth3899 2 роки тому +1

    MUNGU akuinue kaka

  • @florabernard2056
    @florabernard2056 2 роки тому +2

    Romans 5:8
    Fanya kazi mtumishi, mwanadamu hatosheki kwa lolote.
    Jaa Roho Mt.
    Ongozwa na Roho
    Tii Neno
    That's all
    More than that "Tunajua Mungu alitupenda tungali bado wenye dhambi"I like TULIOKOLEWA HATUKUJIOKOA.
    👍

  • @eunicembwambo
    @eunicembwambo Рік тому

    Uko vizur, Kaka joell, please naomba no zako tuwasiliane watsup Nina taka unisaidie Jambo kuhusu uimbajii, asantee

  • @neemajohn6142
    @neemajohn6142 2 роки тому +7

    Alipitia changamoto / mambo hayo yapo / watu hawapendi watu wawili wakipemdana/ bado uamini hayo mambo -umesema nn na unakataa nini?? Any way kama uamini MUNGU yuko na shetani yuko , yalishanitokea mm kwa ndoa yangu na nina miaka 27 sasa ya ndoa nakiri ni shida mnooo yote all tje best na maombi ndio siraha tu

  • @neemaneema9969
    @neemaneema9969 2 роки тому +3

    Joel ni Handsome boy Mashallah

  • @alexaugustino3230
    @alexaugustino3230 2 роки тому +3

    Proud of you brother Joel

  • @Shalvah19
    @Shalvah19 2 роки тому

    That’s right no 17 song has change my life, it’s a prophetic song that has described everything that I have been through, I don’t listen to secular music but I was drawn to that song Sayini. Thank you for your obidience Joel and God bless you

    • @gracemataba4652
      @gracemataba4652 Рік тому

      Joel lwaga your talented ,Just think of making collabo with Abbychams,u will make a powerful gospal song as Sayuni

  • @modeemojombo5662
    @modeemojombo5662 2 роки тому +1

    Good job Suzzet! Keep glowing 😍😍

  • @robertamas7338
    @robertamas7338 2 роки тому +1

    I am blessed

  • @tulibakokyoma1132
    @tulibakokyoma1132 2 роки тому +1

    Yesu hakuwa na ubaguzi ndio maana alimponya mwanamke kahaba kwenye kisimani..Songa mbele Joel. .PANDA MBEGU KWAO.

  • @alinanusweemanuely4907
    @alinanusweemanuely4907 2 роки тому +1

    nmejifunza ktu kkubwa, barikiwa

  • @edifyomtafyaggfeddy3026
    @edifyomtafyaggfeddy3026 2 роки тому

    What a wise response ✨🥰

  • @adorateurandremwati2519
    @adorateurandremwati2519 2 роки тому +1

    Vraiment

  • @princebuingo617
    @princebuingo617 2 роки тому

    Amazing

  • @lauradeogratias3055
    @lauradeogratias3055 Рік тому

    I love it ❤️is for the kingdom of God it is a ministry not industry

  • @zachariaglory9625
    @zachariaglory9625 2 роки тому +1

    Aki si nimekupenda bure Bro

  • @upendodavid3081
    @upendodavid3081 2 роки тому +4

    Nimeenda iyo wanachukua nafas ya mungu afu wanakasilika Yan hao tunao makanisan Sana Wana kela wanajiona wao wamemmeza mungu walokole wa agano la kale badiliken

    • @Werema3760
      @Werema3760 2 роки тому +1

      Mungu ni yey yule wa jana leo na hata milele habadilishwi na habadilishwi na mazingira au utandawaz. Be careful

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 Рік тому

    Amen Amen Joel.

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 2 роки тому +3

    MUNGU akutunze zaidi 🙏

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 2 роки тому +1

    Blessed 😇

  • @samsonmkisi9272
    @samsonmkisi9272 2 роки тому +1

    I'M BLESSED WITH THIS INTERVIEW...GOD I GREAT. THERE'S IMMATURITY IN IT

    • @elizabethsimon6447
      @elizabethsimon6447 2 роки тому

      Correction. Did you meant maturity I think there is typing error there Mr @ Samson Mkisi

    • @Mandugudigitalify
      @Mandugudigitalify Рік тому

      Maturity @samson Mkisi

  • @charityanthony30
    @charityanthony30 2 роки тому +1

    Unakitu kikubwa sana ndani yako...sjui nisemeje in short wewe ni madhabahu ya Mungu

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 2 роки тому +1

    Be blessed mnoo broo joel

  • @abigailjoseph7620
    @abigailjoseph7620 2 роки тому +1

    I respect him

  • @maxmilliangabriel5244
    @maxmilliangabriel5244 2 роки тому +1

    Dada suzzet nakufurahia

  • @hebrew1214
    @hebrew1214 Рік тому

    -Wala msiifuatishe namba ya Dunia hii Warumi 12:2.
    -Msifungwe nira na pamoja na wasioamini kwa namna isivyo sawasawa 2Kor 6:14-18.
    -Uasherati usitajwe kwenu kamwe Efeso 5:3-4.

  • @atanasicosmas6678
    @atanasicosmas6678 2 роки тому +1

    Appreciated

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 2 роки тому +3

    Huyu Joel huyu anahitaji maombi ya Kitaifa huyu. N a huyu mtanfazaji Interview nzima Diamond ooh Barbaba

    • @pharesmitarya4892
      @pharesmitarya4892 Рік тому

      Mtangazaji ana mahaba na Diamond,interview ya Joel,lakini maswali sehemu kubwa Diamond

  • @juliethsanga6151
    @juliethsanga6151 2 роки тому +3

    It's not your battle mti wenye matunda mara nyingi unappopolea tulia tu Yesu anakupigania usiogope.

  • @alinemfurakazi287
    @alinemfurakazi287 2 роки тому +2

    I love this man 👨 ❤️❤️

  • @mosesmwailenge5192
    @mosesmwailenge5192 Рік тому

    Watu kama Hawa ndyo huwa tuna waita Harf cest waimani hamna wokovu nimichanganyo tuu 😭😭😲

  • @njiayakwelinauzima
    @njiayakwelinauzima Рік тому

    Sijacheki hadi mwisho, lakini Joel, unamjua Mungu unayemtumikia, hata nyimbo zako zinaakisi hilo. Lakini msisahau kujiombea, ilinde sana nafsi yako usikutane na changamoto iliyomkuta Rose. Joel unaimba, una sauti nzuri sana. Usikubali habari za label baba, zina siri nyingi sana ndani yake hasa hizi secular, Rose aliangushwa na Sony, keep doing what you doing, Yesu awe label yako. Mungu aendelee kukuimarisha.

  • @shangwerobert5639
    @shangwerobert5639 2 роки тому +1

    Hatulii akijibu maswali

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 2 роки тому +2

    Safi Songa mbele

  • @tausipaschel155
    @tausipaschel155 2 роки тому +4

    Hayo ni mapito kwa kuwa umefanikiwa simama na maombi mdogo wangu ndoa yenye mafanikio ina Vita sana.

  • @maggiekelimishajamiishow6670
    @maggiekelimishajamiishow6670 2 роки тому +1

    The guy fits me alot he has what I own

  • @devothamwakyumba7628
    @devothamwakyumba7628 2 роки тому +4

    Akili kubwaaa, hakunaga mnyakyusa fala

  • @luthmwandinde8930
    @luthmwandinde8930 2 роки тому +1

    Point wanapo furahi wawili wengine Wana chukia ndivyo ilivyo

  • @WakupereeWakutelezaa
    @WakupereeWakutelezaa 3 місяці тому

    🕸️uishi miLeLe mbarikiwaa

  • @careenwasonga
    @careenwasonga 2 роки тому +1

    Ahsanteeeeeeeeeee🤝🤝🤝🤝🤝🤝

  • @esterisaya9560
    @esterisaya9560 2 роки тому +1

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aoman5214
    @aoman5214 2 роки тому +2

    Huyu Joel namkubali Sana tena Sana

  • @gloriousfamilytanzania2981
    @gloriousfamilytanzania2981 2 роки тому +1

    Nasubili na ninaomba pia natamani barnaba aokoke et

  • @michaelgodfrey9838
    @michaelgodfrey9838 2 роки тому +4

    Mtangazaji mbon kama unabishana 😝

  • @gabriemanoti2146
    @gabriemanoti2146 2 роки тому +1

    Tafuta unyenyekevu brother

  • @olivermfinanga9387
    @olivermfinanga9387 Рік тому

    Namkubal sana joel

  • @tumpeernest9690
    @tumpeernest9690 2 роки тому +3

    Ko we we kila kitu ni uwongo 😏

  • @juliethsanga6151
    @juliethsanga6151 2 роки тому +1

    Hekima don't strain your self yesu anakupigania na anampigania mkeo watches was emergency yesu uliyenaye atawajibu kwa kishindo waombee kusema sio ulinzi wa mkeo tulia mwanangu mpendwa.

  • @naomilukani2279
    @naomilukani2279 2 роки тому +1

    Kidhungu kidhungu not kiswahili

  • @neemajohn6142
    @neemajohn6142 2 роки тому +2

    Mnaficha ficha viti vya shetan na nyie ni kioo cha jamnii my be kama hamkuitwa na Mungu kwa kazi hiyo lhujui tu watu watapona vipi kupitia changamoto mmh huwez mpost mbona mwanzo uliposti??? Sawa mdogo wangu yote all the best

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Рік тому

    Huyu demu nae. Yani kila mtu anae mfanyia mahojiano basi lazima amtake awe kama diamond. Sijuwi yeye huyo mtu ndio anamuona mfalme?

    • @kiatu
      @kiatu Рік тому

      Wengi wanachojua ni mapenzi, stupid.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 роки тому +3

    Watu hawaridhiki kwakweli

  • @tumpeernest9690
    @tumpeernest9690 2 роки тому +4

    Mi naona unajishaua mnoo