Watching from Kenya and we love Paul Clement, his songs really ministers to me,God bless you Paul, I pray God for the revelation of writing songs,I just love the way you composes your songs
Wow what a testimony Paul Clement...waaa Great Mungu akuzidishie neema.. 🙏 Your songs are such a blessing to me..Let your light continue shinning For God's Glory .lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Napenda sana nyimbo za Paul clement especially wakati wa Mungu Huu wimbo unanitia nguvu za kuendelea mbele hata ninapokuwa nimevunjika moyo, barikiwa zaid paul🙏
Big up sana kak Paul Clement, Sina maana ya kukushabikia kwa sura ya nje.... Hapana, Bali Nina maana ya kukushuru wew na MUNGU anayekutunza na kutuoabmaarifa ya kutuhudumia.
Very powerful! Interview ever! 🙌🙌🙌🙌🙂....Kaka Paul kanibariki Sanaa na Kaka mfinanga unamaswali fire Sanaa 🔥🔥🔥 Mr.sir-mbezi the quality z super gwud! 🙌🙌🙌🙌🔥🔥😊
Mtumishi wa Mungu Bwana Asifiwe sana naitwa Telesphory kitali pia napenda uimbaji katika interview yako nimejifunza mengi sana pili pia naomba uniinue pia na mmi katika uimbaji wangu wa nyimbo za injili ningependa unisaidie pia na mimi Amen sana naimani majibu mazuri
Pole mtumishi kwa hiyo sinario ya kushushwa madhabahuni, lkn si kila madhabahu inamuabudu MUNGU wa kweli so inawezekana kazi yako ilishusha moto pale ambao ulianza kuharibu kazi za watu, you never know, coz mimi nikisikiliza nyimbo zako nasikia uwepo wa MUNGU mno.
Kimetokea machoz mno Kuna wakat mgumu naupitia umefanya nipate nguvu ya kusonga mbele 😪🙏 MUNGU akubariki Sana Sana nyimbo zako zinafanyika Barak Sana kwangu🙏
Paul najifunza sana kwenu umenyenyekea sana bro na Mungu atakubaliki sana alafu mwanza nilikuwepo bro kwa Zakayo nzogere pastor amebarikiwa yule Sana na na lile kanisa jingine mmmmh! kanisa Mungu awasaidie zaid hatuwahukumu lakin walikuumiza sana
Mmmm pole sn P hakika lazma opposite kwenye moto ndio ungare, ujue kpind cha umenifanyia Aman nkua Nairobi, ni wimbo ulokua wapigwa kla sehem afu walkua wanajivunia sn wewe nlokua nae yaan my boss alkua anakupenda na kukusfia sn, ukwel tuljua sku ulfiwa na mdg wako kumbe n Mtz mwenzangu
Watching from Kenya and we love Paul Clement, his songs really ministers to me,God bless you Paul, I pray God for the revelation of writing songs,I just love the way you composes your songs
I admire Paul's humility and staying true to the calling much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🥀❤️
Wow what a testimony Paul Clement...waaa Great Mungu akuzidishie neema.. 🙏 Your songs are such a blessing to me..Let your light continue shinning For God's Glory
.lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu Awabariki Wazazi Wa Joel Lwaga
Napenda sana nyimbo za Paul clement especially wakati wa Mungu
Huu wimbo unanitia nguvu za kuendelea mbele hata ninapokuwa nimevunjika moyo, barikiwa zaid paul🙏
Very humble guy. May God favor him exceedingly and abundantly.
My favourite gospel artist
God bless you Paul Clement. You are a rich blessing to the body of Christ. Watching from Nairobi Kenya
Big up sana kak Paul Clement, Sina maana ya kukushabikia kwa sura ya nje.... Hapana, Bali Nina maana ya kukushuru wew na MUNGU anayekutunza na kutuoabmaarifa ya kutuhudumia.
I love this guy...l thought he was a kenyan...God bless you paul. I would want to meet you in heaven someday
mwakanyamale respect sana kwako paul Mungu akuinue zaidi
We love you Paul clement keep on delivering what God gave u❤️🙏
Mungu akubariki una kitu cha tofauti Paul be blessed na your real servant of God
Kikubwa Nikua mwaminifu Kwa BWANA, GOD IS FAITHFUL looking forward to you bro
More grace bro,we love you from 🇰🇪🇰🇪
Watching from mombasa kenya,,,,,, mungu akuzidishie neema umekuwa wa baraka mno na uzidi kuwa wa baraka zaidi,,,, mungu aibariki familia ya joel
Very powerful! Interview ever! 🙌🙌🙌🙌🙂....Kaka Paul kanibariki Sanaa na Kaka mfinanga unamaswali fire Sanaa 🔥🔥🔥 Mr.sir-mbezi the quality z super gwud! 🙌🙌🙌🙌🔥🔥😊
Mtumishi wa Mungu Bwana Asifiwe sana naitwa Telesphory kitali pia napenda uimbaji katika interview yako nimejifunza mengi sana pili pia naomba uniinue pia na mmi katika uimbaji wangu wa nyimbo za injili ningependa unisaidie pia na mimi Amen sana naimani majibu mazuri
Daaaaaah mwamba Mungu akufikishe mbali.
Nimetiwa moyo sana
paulclement we love you so much, watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪
I love paul clement ....
Story yako ni ya ku encourage @paulclement na nyimbo zako zina bless sana. God bless you for keeping on despite the changes. Endelea
Ushuhuda unainua sana,mimi binafsi nimepata vitu vingi sana,safari ya imani nikumtazama Yesu
Vraiment courage homme de Dieu suis béni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mungu anawatoa mbali watu wake Paul barikiwa sana
Mtangazaji nimempenda sana mungu akubariki sana
Kaka zuravo nampenda sana kwa huduma yake nzuri
Nimejifunza vingi na nimebarikiwa pia.
Mungu ambariki sana Paul Clement.
Amenifanyia amani is still a hit in Kenya,hadi leo napenda huo wimbo.
Endelea kunyenyekea kaka Paul, Bwana Atazidi kukuinua juu.
Be blessed bro poul. Najua ipo siku moja tu tutakutana
Amenifanya amani... wimbo pendwa wa mwanangu Jjj love yeye much
Pole mtumishi kwa hiyo sinario ya kushushwa madhabahuni, lkn si kila madhabahu inamuabudu MUNGU wa kweli so inawezekana kazi yako ilishusha moto pale ambao ulianza kuharibu kazi za watu, you never know, coz mimi nikisikiliza nyimbo zako nasikia uwepo wa MUNGU mno.
Barikiwa na uzidi kuongea mbele...I like the song...Mungu ni mwema...unapolia ni mwema,siku zote ni mwema
Nakupenda mtumishi naamn Mungu alokuvunsha ww atanivusha na mm n n mwimbaj mdogo.....
My mentor Paul Clement 🔥🔥🔥🔥Neema ikutoshe bro
Kimetokea machoz mno Kuna wakat mgumu naupitia umefanya nipate nguvu ya kusonga mbele 😪🙏 MUNGU akubariki Sana Sana nyimbo zako zinafanyika Barak Sana kwangu🙏
AMINA.MUNGU AKUKUMBUKE NA WEWE NA UKUPE USHUHUDA UJE USHUHUDIE SIKU MOJA ILI UMTIE MTU MOYO
touchable story oooh my God...stay bless Paul
Mungu akutie nguvu
Atainyosha njia yako ni wimbo ambao huwa unaniinua sana be bressed brother
Ushuhuda unafurahisha sometimes but yote ni kwa ajili ya kushuhudia ukuu wa Mungu
Dah!unanijenga saana bro!Unanibariki!naona kuinuka sana!siku Moja!nitakuwa pale!kuna mahali napaona
Umetisha Sana brother
I good story ubarikiwe mno i m apostle Paul kalenga from lubumbashi drc
Mungu ni mwema kwa kweli...🇦🇬
So amazing nimeguswa Na kiongozi wetu Paul
Yani Kuna maisha watu tunapitia ni zaidi ya wafungwa dah umetoka kwenye gereza kaka mwanafyale Mungu azidi kukuinua
Hustle is really mazee.. minister 🔥
Wow God is good! Thanks for sharing your story binafsi I learn something.
Mungu akubariki sana nyimbo zako ni nzuri sana. Big up! God bless
MUNGU amekutoa mbali, maisha marefu MUNGU AKUPATIE brother 💪
Some one very humble asee daah
Adui alijitahidi kukupiga sana ila Mungu ni mwema
Paul najifunza sana kwenu umenyenyekea sana bro na Mungu atakubaliki sana alafu mwanza nilikuwepo bro kwa Zakayo nzogere pastor amebarikiwa yule Sana na na lile kanisa jingine mmmmh! kanisa Mungu awasaidie zaid hatuwahukumu lakin walikuumiza sana
Yote hua ni matayarisho ya ushuhuda ili MUNGU ajitwalieUTUKUFU
Thanks JESUS,I see my life
For sharing your life with us, thank you. More grace, man, more grace...
Very inspiring brother 💪
mr paul congratulations
Aminaa kaka
Thanks so much brother
Nmebarikiwa sana na kipindi
Hahaaaaah.!! Hyo nimekuelewa............ Kimufindi
Paul nimekusikiliza kwa makini sana. Naomba namba yako pliz.
Hongera kwa uvumilivu pamoja na Mungu
nice
God is faithful you are going far
Mungu wangu daaah inauma
Polee sanaaaa Kaka angu jmniiiiiiii Mungu mkuu mnoo Acha Mungu aitwe Mungu
Mungu akubariki paul
Paul is so funny,raha sana kumskiliza
I like your song niwewe usiyeshindwa
HAKIKA NAPATA KUBALIKI SANA KUPITIA HUDUMA YA POUL CLEMENT JAMANI@@@@@@@@@NABARIKIWA SANA
Mungu ni mwaminifu sana
Hawa watu wanajisikiaje kuona hii interview huku wakijua wao walikua ni miongoni mwa waliotaka kukushusha.
Mpo vizuri bethel radio
Paul ni baraka kwa Tanzania napenda kumsikiliza, ana historia nzuri sana japo inaumaa. Lakini ndio iliyomfanya afike hapo alipo.
,katyumii
Si Tanzania tuu ila Dunia nzima.Sisi uku Kenya tunapenda na pia tunabarikiwa na nyimbo zake
Big up sana
Kila unayemuona leo hajawa tu hvo kuna sehem katoka
Kumbe kulia kwenye huduma ni kawaida Yesu nitaimba sasa nitaimba tena
Siku zote. Mti wenyematunda ndio unaopigwa mawe
🚶😍😍😍 duuuh kila mwanaume mwenye mafanikiyo kuna nyuma yupo mwanamke
Wazo jema
Mmmm pole sn P hakika lazma opposite kwenye moto ndio ungare, ujue kpind cha umenifanyia Aman nkua Nairobi, ni wimbo ulokua wapigwa kla sehem afu walkua wanajivunia sn wewe nlokua nae yaan my boss alkua anakupenda na kukusfia sn, ukwel tuljua sku ulfiwa na mdg wako kumbe n Mtz mwenzangu
That's my bro💥
Sasa haya maisha ndo zamu yangu 🤔
🤣🤣nimecheka hy nailoni🤣daah maisha ni safari ndefu hakika. Mungu hajawahi kumuacha mtu.
Ya nimebarikiwa mnoo na ushuhuda huu i can't how to explain it
Nice work kakaa
❤🎉
Nimetiwa moyo kabisaaa
Ooh I see me
Ni nzuri sana
Barikiwa
Katuni
Ongera
Woooooow!!😍
Mambo yalikuwa mengi kiukweli broo duh!
Anatengeneza ushuhuda wako,umshinde adui kwa ushuhuda wako
Dah nimeguswa sana
Msiwe mnaweka mlio wa mzuki ili pawe kimya
Kwaio inakukela niuelewa wako ila ujui nguvu ya mziki au wimbo ungejua kitu kinachooneza ujasir hapo
Hii story inatufundisha kutendea wema watu wenye uhitaji hivi wazazi wa joel wangemtendea mabaya sasa hivi wangeweza kumtazama usoni🙄
Mtaje tu, wachungaji wasio na maana hao..
Ata hapaswi kumlaumu ndio bibilia ikasema tuwapende adui zetu tena tuwakmbee mema wanaotuudhi.Hayo yte yalitendeka ili MUNGU ajitwalie utukufu
Paul ulilia walipokucrash kwny uimbaji,hujanifikia mimi but God is good
Walimcrash VP?
Brow!
Nitakuimbia Yesu ushuhuda huu umenipa nguvu
Dahhh 😂😂😅🤣😅🤣