SHEKHE KIPOZEA| SIWEZI KUOA MWANAMKE AMBAE ANA BIKRA| SARAH ANA HAKI KWA HARMONIZE
Вставка
- Опубліковано 16 жов 2024
- SAD MOMENTS Ni Kipindi Kilichoandaliwa Maalumu na MAXIMUM TV Kwaajili Ya kugusa maisha ya watu wenye mazingira Magumu Ndani ya Tanzania
kwa Mfano
1 - WENYE MARADHI
2 = WALIOTELEKEZWA NA WATOTO
3 - UNYANYAPAAJI WA KIJINSIA
4 - UBAKAJI
5 - MATUKIO YA KIKATILI
6 - AJALI
7 - KUISHI MAZINGIRA MAGUMU
8 - WAZEE NA WATOTO
___________________________________________________________________________________
KWA HABARI ZA MATUKIO TUPIGIE
Mawasiliano : +255 6254 66848 ( Pia inapatikana na Whatsapp )
Pia Unawezaa kututembelea kwenye kurasa zetu za instagram , Facebook , Telegram
Usisahau Ku-SUBSCRIBE Channel yetu ya MAXIMUM TV Ili Kuwa wakwanza kutazama Matukio Mbali Mbali na Kwa ubora zaidi.
Asalamu ghalaikum warahmatuLLAHI wabarakatuh ndugu zangu katika IMANI na ktk mwana wa ADAMU kwa kweli leo ijumaa trh . 21-4-2021,kutoka moyoni nimejikuta hii clip imeninyanyasa sana , nimelia , imenikumbusha mengi sana, lin kikubwa ALLAH ni mjuzi zaidi wote ni wanadamu ambao tuna mapungufu hatsp kama una elimu ya yr
Asant San mtangazaji maswali yako mazuri sana nimependa shukran shekhe
ua-cam.com/video/0TtuuMjFvNo/v-deo.html
Shekkah nkupenda bure n maneno yako mazuri
Huyu shekhi nampenda sana sana
You are a great journalist Ma shaa Allah . Go straight ahead .
Mafunzo mazuri sana,ujumbe umefika.ukweli wauma likikushika jirekebishe rudi kwa ALLAH,sio kashfa kwa shekh
Tumcheni allah . Jamani maan hali inatoa harufu mbaya sana😷
Sheikh kaelezea thamani ya mwanamke bikra , bali naona wasichana wengi wamepaniki kwa sababu wengi bikra zao zimeondolewa kwa uzinifu,ni adabu gani umuulize kwamba eti wewe una bikra?...someni dini na muogopeni Allah,acheni uzinifu, utulivu wa kweli hupatikana kwa kuoa au kuolewa na sio kwa uzinifu...kukasirika katika ukweli ni dalili ya moyo kuwa mgumu!
Wape hao
Wape hao haya tunajitunza ili tuolewe na wenye bikra wenzetu harafu mnasahau kuwaoa mnaotembea nao ss mnataka mnaowatoa bikra bila ndoa wakaolewe nanani
@@marymungi2104 ukijitunza usikubali kutobolewa mpaka siku yako ya ndoa hao wengine waache na mambo yao
@@marymungi2104 Kwan wanabakwa,wengine wantaka wenyewe!!?watajijua wenyewe hayatuhusu
@@khadijanurdin3163 Ndio utunze kitobo chako sasa, sasa kila Siku unabadili chaji ata sehemu ya kuchajia utaiharibu piah, nani anataka screpa wakati new zipo teh teh teh teh teh teh teh teh teeeeeeeh
Kabisa haswaaaa umejibu vizur Sana gostei muito
Na atambue kuwa thamani ya mwanamke au mke bora sio bikra ingekuwa ivyo waliokutwa na bikra wasingeacheka kwenye ndoa zao wangedumu nazo milele
ua-cam.com/video/0TtuuMjFvNo/v-deo.html
Mwanamke akikutwa hana bikra mapenzi yanapungua sana kwa mumewe hasa kwa mume aliyetulia
Umeongea la maana.
Tumeolewa na bikra tena sio bandia lakini hatukuthaminiwa na hatukupewa thamani yoyote zaidi ya kudhalilishwa
@@abuuqaasim4815 anakua hajampenda. Jamani ndio maana mliambiwa mwanaume ampende mke wake. Na mwanamke amuheshimu mumewe.
Sasa mtume alioa bi khadija alikua bikra?
@@abuuqaasim4815 anakua hajampenda. Jamani ndio maana mliambiwa mwanaume ampende mke wake. Na mwanamke amuheshimu mumewe.
Sasa mtume alioa bi khadija alikua bikra?
Assalaam Aleikum Warhamatullahi Wabarakatuh,kwa mtazamo wangu sheikh ameongea tu hayo,kama kwamba watu wajistiri mpaka uingie kwenye ndoa,juu zinaa zimezindi mno.
🤣🤣🤣🤣 mashehe tunawajuwa bana
Ahsante sana cheick komesha kabisa 😂kama ana dadake bas akuozeshe🙏tuna wafwata from Italy 🇮🇹@papasimbaDécor
ALLAH ni mwingi Wa hekima,maana wengi wenye kujiifadhi basi ataolewa na aliyejihifadhi hivohivo,na mlevi na mlevi mwenzie.
Yaaan shekh ulchokiongea n sahh kabsa Insha-Allah 🙏🙏🙏 Allah akurnde daima milele 🙏🙏🙏, yaan kuna wanawake wadai et kwa karne hii huwez kumpata mschana bkra yaan wanawaza ujnga tu, inamaana wao walio olewa bla bkra kwao n sawa tu hlo n wazo la Ibrsi, yy kama alitolewa bkra bla kuolewa bas atambue Jehanam inamhusu, Shekh umeongea point sana
Duu! Mwanamke bikra nomaa kwa Karine hii ya 21 itakuwa ngumu shehk mwanamke bikra hakuna kwa Tanzânia wanawake bikra kawapo wanawake bikra ni swazland kwa King mswatti lakini Tanzânia wanapenda sana michepuko shoow za kibabe sheikh kwa hiyo yamebaki magurubembe sio wanawake wanawake wote Tanzânia wana maradhi kwa hiyo bikra hakuna Tanzânia kwa hiyo sheikh tuowe hivyo hivyo tu kwani Tanzânia wapenda michepuko shoow za kibabe
Back ground imeekwa vby twawaheshimu sana masheikh wetu... Ila mnajishusha thamani
Background nzuri ni maneno yake unahangaika na background ya nini ?
Washenzi awa Maximum tv. Tulikua tunawapenda lkn naona wanatufanya tuwachukie sasa.
Daah shekh unamatamshi ya kukere sana ati mwanamke mwenye syo bikra hana thaman duh mungu anakuona
Kakosea sana dini yetu haijaweka kiwango cha posa iwe mkee mkuu au mwali
@@halimashabani4991 hajakosea yuko sahihi
inamaanisha huyu mwanamke asienabikra inaonekana ashazini tayari mojakwamoja nimhuni
@@abufauzan9417 nimesoma hii clip imeninyasa kwa kweli nikiwa peke yangu na wengine mbona hawakuzini lkn hawakuona bikira zao je hao wapo upande upi.
YARABBI MUONGEZEE HUYU ,SHEKHE ELIMU NA UTUKUZIE WATOTO WETU KTK MAKUZI MEMA NA UTUOZOSHEE SEHEMU SAHIHI,ALLAHUMA AMIIN.
Sheikh hapo penye mali hujafafanua zaidi kuna mali ya mume na kuna mali mulichuma pamoja kwahivo inakuaje kwa hilo?
Duu naona mademu waliotoa bikira zao inawakera, mwanamke anakuwa na thamani akiwa na bikra yake bado, ukisha guswa nje ya ndoa basi thamani yako ipo chini sana kwasababu umechezewa Bure tu, mwanamke kama hajavunjwa ungo thamani yake ni kubwa sana.
Mtihan ALLAH atufihadh
Astaghafirullah mmmmm mtihani Allah atupe mwisho mwema maswali gani haya kwenye mitandaoni.
AllAhSWT akusamehe sana kwa maongezi yako waliobakwa tusemeje
Dini imeelekeza mwanamke aliyebakwa au aliezini akatubu kwa mola kuozwa kama mwenye bikra
Mna badilisha maneno shekhe wawatu wala hajasema kama kichwa chahabar kilivyo sema muogopeni mungu napia mue mnaangalia maswali ya kuuliza
Shekhe umenikumbusha kitu cha muhimu sana lkn uchunge kauli yako kwa kuhamasisha kwa upole kwsni lugha yako imeonekanaonekana kulingania kwa KUBEZA na sio kwa upole ALLAH akujaalie umri mrefu wenye baraka tele uendelee kueneza nuru katika mgongo wa ardhi hatimaye makaburi yetu yaweze kuwa na nuru Kesho akhera ns tuweze kufuzu mele yake ALLAH ghsza wajala.
Mtihani kwakweli tuseme alhamdulillah
Ila wanaume mkitaka kuoa mnatafuta mwny bikra lkn hp mwanz mnatoka nao weng tuu
siku hizi bikra zinatolewa kwa chips kavu halafu waoaji wa kweli wanapangiwa million kazaa nisawa hiyo
Assalam aleykum haipendezi back ground mloweka wanawake wamevaa vibaya Allah atuongoze
Upo sahihi...Sheikh angekuwa akiwakanya hawa watangazaji....sio picha nzuri na yote nadhani imechangiwa na msemo wa sheikh kusema yuapenda mizigo(yaani mabinti wazuriwazuri)
Walaikum Salam
Hapa shekhe ukiwa umeshafunga ndoa halafu ukawa humtaka huyo mmewako utafanyaje
Staghfiru kwa Mungu wako.nasikiza Mawaidha ya mashekh wakubwa kina Sudesi lkn sijawahi kuona wakizungumza upuuzi huu.Aonyesha yumo huyu mtu.
Subhanallah kweli kabisa mtihani subhanallah. Mtihani mashekhe wetu
Shekh mkubwa ni yupi na mdogo niyupi na ujue sudeys kwao sio rahisi kuoa uone msichana kashabikiriwa kabla ndoa kwetu msichana wa miaka 15 kashapita zaidi na watu 5 kipozeo yuko sawa kabisa dada zetu jistirini watoto tuwakuze kwenye njia za dini na mwenyezi mungu atawastiri
@@hassinaalharthi5984 jihifadhini kaongea sawasawa
@@bableeyzabdalla531 waulize
Um mohamed shekhe anazungumzia wadada wa tz na sio wa kiarabu huko saudia kwa kina sudais
Sukrani Sheikh kwa kutuelimisha. Lakini hivyo wanavyosema haipendezi Sheilh akionekana pale akiwa na kina dada ambao wamevua baadhi ya mavazi hadharani. Swali: Mali ni za Mume? Je ikiwa mwanamke ni Artichect, kwa mfano, na mume ni mfanyi biashara. Mali itakayokuwa pale nyumbani itakuwa ni ya nani ikifikia mke amepewa Talaka?
Assalam alyka ndugu yangu. Ndoa haileti ushirika katika mali isipokuwa pale wanandoa wanapoamua kushirikiana katika mali. Mfano Mume a anamiliki duka na akaoa mwanamke ambaye akamuweka dukani kama muuzaji duka. Hapa inabidi ibainishwe anamiweka dukani kama mfanya kazi au mshirika katika biashara hiyo. Ikiwa amemuweka kama mfanyakazi inabidi amlipe mshahara kama mfanyakazi. Ikiwa amemuweka kama mshirika basi mwanaume atatakiwa kuweka wazi asilimia za umiliki ya kwake na asilimia anayoitoa kwa ajili ya mkewe. Na ikiwa itakuwa kwa utaratibu huo basi mali itagawanywa ikiwa wanandoa hao wataachana. Na si haya wanayoyataka walimwengu ka ujuvi wao.
Nimesoma coment zote na ya kwangu pia sasa nina neno moja tu kwa upande wetu waislamu tukiacha waarabu nimegundua wanaume wengi wanajifanyaga hawana Mahari ili watoe kiasi kidogo hata kama ni mwari naiiulizaga mm binafsi huoa moja kwa moja au laa muache wachoyo wa mahari mungu atawajalia wanawake wari kwa moyo mkunjufu
Wah kaz ipo apo.na uyu mwenyewe bikira anayo?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tena hao ndo wanaongoza kutembea na vitoto vidogo.
@@dorcaskidoti249 😃😃😃😃😃n aibu kwa kweli eti bikira wakat yy alisha expire.mmmmh.
@@tamaraseff.9707 🤣🤣🤣🤣Bado atupwe sio😂😂😂
@@mamymdogomamy3670 kabsaaa kapitwa na wakat babu ytu😃😃😃😃
Anajibu vizuri sn.
Very educational
Kwa nn headline ni nyingine na maelezo ni mengine?
Sasa cheikh iwapo Mali ni Zao wôte wawili hawatoganya vipi?
Bakwata sikuizi kunautendaji mzuri natamani iwe kweli viongozi bakwata ni mtihani
Mtangazaji upo vizuri sana
Wanawake inawauma Sana maana wote hamna bikra ndio maana inawauma
Kila mmoja na ufahamu wake kwa upande wangu mm huyu shehe namfahamu sana
Ikiwa mtu amebakwa
Ktk watu 100 anobakwa ni mmoja tu lkn ktk watu 100 asilimia 70 bikra zao zimeondolewa kwa zinaa sasa ivi zinaa ni kama kunywa maji tu lazima shehe aongee hivo
Huyu sio shekhe anapotoa uislamu tu Mtume saw kamuoa Khadija Ra akiwa keshaolewa na sio bikra haimahanish asie bikra Hana thaman ni ujinga huu kwakua ata uyo aliemuoa inamaana akishakumkata bikra itakua Hana thaman tena acute hio kaul bibi Maryam Ra mama wa Issa alizaa bila kuingiliwa na bikra yke ikatoka inamaana hakua nataman sio kwel thaman anayo mpaka akatajwa kwenye Quran kia nimwanamke Bora namchukia huyu shekhe
Katoa machaguzi yake ata kama ni shehe lkn bado na yy anaeweza kutoa maoni yake yy kasema alokuwa hana bikra kwake yy hampi mahari mengi sasa kuna ubaya gani kusema ivo kakosea wp? Mm binafsi yangu naoa yoyote nnaempenda lkn si mlaumu anotaka kuoa bikra
@@shufaaabdulla4961 Sheikh kakusudia bikra iliyondoka kwa kudhini
Wataka bikra utamtunza kama kawaida ama bikra ukibikiri meezi mitano humtsamini mtapata mataporo paka mchoke ila mwenye baati yake
Sasa pia ww mzee wataka bikra umfanye nn we mwenyewe ulipo owa ulikua bikra
Mmh huyu shekh bahasha kweli ona kwanza ndevu zake kaweka brich
Yupo kama mfiraji tu nae uhuni anaupenda
Sio brich bali ni inna nanisuna
Yaan ndo unajitia aibu kabsa,unaongea ktu Wala hukijui ilimrad tu umtoe mtu kasoro
Ni hinna hiyo mwaya
Fatuma kassimu hajapaka bleach sheje kapaka rangi au hina nadini.haikakataza kueka iyo rangi nahasa hina
We yako unayo bikira unataka ya mwenzio?
🤣🤣kweli
Huyu Shekhe Shehena Wawah Aka Hatari Kweli Kweli Shekhe Mchimvi Huyu Allah Atupe Mwisho Mwema😂🤣😅
Wana semaga.kanzu ikiwa imelowa uvundo kilemba kitakuwaje . Ndio haya sasa
😂😂😂
@@sidratybinkhamis2837 nimegundua mabinti wengi bikra walitolewa zamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiii maana mnavotoa povu
uchimvi ni nini ha ha ha ha aaaaa
Nimekuona mzee wa sheikh kipozeo leo ndio nimeona hii clip watu wana gombsna sana mm nidikitike tuu 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Shehe mie mumewangu hataki kunipa talaka tumeishi miaka 13 tuna wtt 5 na tumefarakana mwaka wa 2 uu tlichuma vitu vingi tuu na nimeishia kuondoka mwenyewe sikupewa ata vile nilivonunua mwenyewe na anataka nimpe milioni
95261544
Hatar
Huyu sheikh kwa wenye kuelewa wanamuelewa vizur tu can kama hapa kaongea pumba
Tena pumba Sana na anawafanya watu wanauelewa vibaya uislamu uyu sio shekhe uyu
@@shufaaabdulla4961 mm nakupinga mm mbona namuelewa vizur tu
Chamsingi ni uelewa tu nadhani shekh akisema anataka bikra anakusudia hataki mdhinifu ndo maana amezungumzia suala la zinaa na sizani kwamba anakataa asiekua bikra ila mtazamo wangu anasisitiza mabinti mulinde hizo amana zetu muje kutupa tukishawaoa😆😆😆
Hiyo in ishu nyengine kabisa,ingependeza hao wenye kuzitoa ndio wawaoe ila wakishazitoa wanatafuta pa kukimbilia.Na ingekua wanawake nao wanatafuta wanaume bikra sidhani kama watu wangeoana kwani kila mmoja angemkimbia mwenzie kiss hana bikra
@@ummuhaula1848 hahaha hilo nalo neno ila ndo ivyo tujitahidini kuwapa malezi bora watt wetu ili hili jambo wasiliendee kinyume ya sharia za Alllah(S.W).
@@mohammedomar7280 Hilo ndilo jambo la msingi kwa zama tulizonazo
@@ummuhaula1848 nanyi watoto wa kiume mkiwa linda dada wa rafiki zenu nao rafiki zenu watawalinda dada zenu, tunachokosea ni kujisahau ya kwamba dunia ni duara uzunguka ivyo basi jambo ulitendalo baya kwa mwenzi lazima litakurudi kwa njia yoyote ile
@@aishajimia8558 ni kweli ukimzini ndugu wa mwenzio mtoto mwenzio na usitubie kwa Allah basi dhambi hii itarudi kwako tu.
Asiye na bikra kweli hana dhamani wazazi wanatudai mahari mengi kisha hawasemi ukweli kama watoto wao sio bikra unajijua mwenyewe mbele ya safari wanatuibia wanatudhulumu bora waseme ukweli mtu akiridhika sawa abebe ivoivo tu ila kashaambiwa ukweli sawa
Hawa ndio wakuwahoji ili tuongeze siku mana anachekesha sana
Wajina . Ni hatari kwa dini . Na akhera pia
Nakwambia nimecheka
Wewe mwandishi,,,ambaye hana?au ambaye ana.Uandishi wa kipumbafu kabisa,eti anaandika (kipozea.)
Shukrn kwa darsa mpo juu maximum
Sijamuelewa huyo bwana shekhe aliposema mwanamke anaweza kujivua ajivuwe vipi
Anaweza kupewa qulaa. Anaweza kuachana na akapea qulaa. Anaweza kupewa kitu inafanana na talaka na aendelee na maisha yake
Labda ukajielemishe. Ni mambo muhimu.
Kujivua yaani kumrudishia maali yake uliyopewa kamaulipewa milioni 2 basi umpe 3 au 2 na nusu ,marlezo mengi nakuwa jinsi ya kujivua ndoa urudishe maali
@@julihanjosephyjs6361 analudisha alichochukua nasi ziada
Ns mm mbona kanitumia kanichskaza na nirudishe mahari ya nn ns yy atarudishs bikira yangu??????????????????????
Nipo hapa kusoma mapovu 😊
Uyu shekhi ameongea ukweli kuhusu ubikra nikweli msichana wa miaka kuanzia 15 adi 20 unaoa ukifika pale pa kumjua ww unaon ni mdogo kumbe nimkubwa kwa ayo kayaanza kitambooooo sana sasa jiulize kapitia na wangapi SO nieri uoe nwenye unajua Uyu nimtu mkubwa tayari pengine anawatoto io unajua tiyari
Mwanzo wewe ulikua bikra kabla ya kuoa?,huyu alotoka wapi.Eti shekhe Jee watoto wako wa kike unaktishinga pesa kidogo hivo surely????🙏🇰🇪@Kenya.
Audhubillah! Eti huyu ndio shekhe halafu tunalia corona inatumaliza kweli? Mungu tusamehe makosa yetu. Astaghfirullah!.
Ja hao ndio maostafhi
Kwani ni lazima mtu utoe coment ya maneno machafu si upite tuu ukishasikiliza huyu baba ni mtu mzima hata kama kakosea tukae tuu kimyaaa tusimkashfu
@@cecygeorge4443 Kukaa kimya hata Mungu hapendi. Mtu mzima ndiye anaetakiwa kuwa mfano wa watoto leo tunyamaze wakati mtu anakosea? Hiyo ni nidhamu ya unafiki. Hakuna comment ya matusi hapa zaidi ya matusi yake yeye mwenyewe.
Asha kwan kakosea wap mpaka watamka maneno hayo jiangalie
Ukishaanza kusema tumechuma wote that means tumetafuta wote soo my friend tunagawa. Na kama nimekupata na kila kitu sitaki chochote kile baki na vyako
Utamfanyia nini bikra mzee mstaafu?
Sote ni maiti watarajiwa, kwani wewe Utabaki hivyo hivyo?
Ustadh wa mizigo🤣😄😃😊🏆
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
@@saumuimeda5181 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@khadija Gundumu huyu mzeee mm namuita ustadh ubwabwa
Anajishusha tamani kwa kweli
Wanawake mmevhukia Sana puvu zito linawatoka muache zinaa mnapaniki nini mbavaa nguo uchi kuiga wasanii mtachezewa basi nikweli mnatumika nyuma na maumbile tamaa mbaya ,wenzetu watoto wa kiarabu wanaolewa milioni 30 bikra kujitunza muhimu ukweli ndio uwo sio kuzalishwa tuu
Wanawake mmechukia Sana povu zito mnapaniki nini mnavaa nguoa za uchi
We umeona wanarabu2 na co wote warabu unaowazungumzia
@@julihanjosephyjs6361 wambie maana siokwapovu hilo
@@aishaaisha1495 jitunzeni tuwaoe
@@abufauzan9417 🤣🤣🤣🤣 we kwanza bikra co kukimbilia bikra we mwenyewe co bikra
Sikuhizi kuna bikra za bandia shekhe so usiseme hivyo
Hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Za bandia zinajulikana bhana.
Njo kweli kama mwanamuke anapoteza ubikra bei yake inalinganiswa na musokoto moja wa tumbako
Bikra wana poteza kwa chips yai za buku 2 alaf kuoa tutoe million 3 mahari 😅😏😂
Ndoo mana mnaowa kwa mali ndogo sna eti kisa hicho duh , sasa na huo uzee kisha upate mwanamke bikra , alafu hizo ni dharau mno
Inaonesha wewe uliolewa tayari una kibwawa😂😂
@@saheedali7467 aisee uliona ya mama yako sababu wewe angeshindwa kukutoa kam hana bwawa , koma chunga domo lako sijawahi kuolewa na sijazaa upo mbwa wewe mavuzi ya baba ako ndoo mana alimpa mimba mamayako bila kusema bismallah , ndomana unatabia ya matusi nyoko koma hunijui fala ww.
@@mariamm2724 aaah nimekubamba ila kama bikra yako ya mbele iko poa bac nyuma kunafukuta ndio nyieee mnawambia wanaume ukitaka mbele njoo kwa baba ila nyuma maamuzi yangu. Malaya wa kufirwa mkunduni wewe. Nyokoooo
Jamani mcheni allah . Jamni msiikie hatua ya kutukanana
@@zuleyvendor6577 kipi kimekuchekesha
Naona matobo mnapovuka msimpangie mwanaume mwanamke wa kuoa pambanene na matobo yenu wanaume wanataka vitu vipya bwana sasa nyinyi endeleeni kujirahisha
Hahaha wewe upofiti
Samahani lakini
@@abufauzan9417 kama chuma
@@asiahussenn576 kamachuma vp aisha
😆😆😆 mbona mapovu ya bikra yamezidi jamani au hazipo
Umeona ee
Hazipo lazima mapovu
Zipooooo
@@lesusi7872 Kabisa naamini zipo
🤣🤣🤣🤣🤣huyu mzee kapiswa shekhe unasema nn ww
Mtezame hizo ndevu yy ni bikra
Hahahaha
Na wana michezi nao waah hujui usemalo uliza background na mke si laxima ulipe mahari nyingi nyinyi ndo mwafanya vijana wasipate wake
@Mtanzania Halisi haswaaaaa bikra ndio heshima kwa mwamk
Na ambaye hakuzaliwa muislamu na akafiwa na akasilinu..
Mimi ni mwanamke Mali nizangu inakuwaje? Kanikuta nazo
@@slicehamfrey3504 hujaeleweka
Ok🙏🙏🙏
😀😀😀😀😀😀😀 ana ongea nini huyu 😀😀😀😀😀😀😀😀
Ajua yeye😂😂😂😂
Kwamba hujafaham ama hujui maana ya bikra na utamu wake?
Anaharisha yy in bikra
Sheikh haipendezi kuzungumzia aya mambo.... Iyo ni siri yako tuu sio kujitangaza mitandaoni.. Mwatufundisha nn jamani
UmeonA eeeh nashangaaa sheikh hyu vipi jmn hilo jambo la cir baina mke na mme,
@@saumrashid8086 Nilikua namheshmu lkn anajishusha heshma mwenyewe yani tz Kiki mpaka kwa masheiksh... HAIPENDEZI
Alafu jamani ujui munatizamwa dunia nzima so ukihojiwa kama sheikh kua makini kwa majibu yako sio... Laa sivyo unatengezewa mada
@@saumrashid8086 mtume anasema katika kufundisha hakuna matusi hatakama nenolitakalotumika limekaa kama matusi
@@aishakinia4957 kwanini hamtaki kujihifadhi yeye hana kosa lolote anakuonesheni tu umuhimu wakujihifadhi
Baba kafariki kaacha wadogo zake.Mama yuupo Kakataa binti yake asiolewe kwa kijana flani. lakini baba wadogo wanaingilia kati wanamruhusu binti aolewe Je Ni sawa?Baba wadogo kuozesha.
Huyu chehe anaonekana ni chepe sana huyu
Sheikh gani huyuu... Mungu atustiri
Sheikh yupo sawa, wengi wanaopinga hawana bikra
Sheikh yupo sahihi
Nimejifunza nisioyajua asanteni
Duuuuh watangazaji wanabadilika
WENGI WALIO WAKALI KATIKA KOMENT ZAO WANAMUSH KELI HASA HAWA AKINA DADA WANAO MKEMEA SHEKH....
HUENDA BIKRA ZAO ZILIZO TOLEWA KWA CHIPS NDIO MAANA HAWAMUELEW MWALIM AMEWAGUSAA.
Zahir mnazambi kumueka shekhe wetu na wanawake walio kaa utupu
Sheakh duh
Je we bikra unayo
Wa2 wanapanic ee bikra eeeee n kwa mwanamke jaman ila umefer kidogo hamna qazi kwenye serikal ya kafir
Jamani Sheikh
@@ruqayyaharun26 pamoja kabisa ni upuuzi mtupu
Kuna kitu kinaitwa uelewa hata ilim unaweza kuwa nayo ila ukakosa ufahamu wa hyo ilimu ndio tatzo letu
Hahahah Wanawake wasiokuwa na bikra au waloolewa bila bikra utawajua kupitia comment zao wana hasira ajabu.
Kweli
😂😂😂😂😂😂
😁😁😁😁🤣🙏
Shekhe njo unitolee hzo milion 10 mm
😂😂😂
tuma namba
😂😂😂😂😂😂 unapatikana wapi weka namba tuje kufanya nikaha
Insha Allah nitaweka no mjitokeze tu wengi huwenda moja akawa bahati yake
Huyu nikama mzee wa upako🤣🤣🤣
HIYO NI STAILI YA ULAYA AMBAYO WAKRISTO WA TANGANYIKA WANAIWEKA KWENYE VICHWA VYA SIYASA NA KUFUATA USHETANI KWA WAISILAMU KUFUWATA ULAYA HATAMU MALI YS MWANAMME TU LABDA MUME APENDE KUMPA 💪💪💪💪🇹🇿🌎🕌🇹🇿🌎🕌🇹🇿🌎🕌🇹🇿🌎🕌🇹🇿🌎🕌🇹🇿🌎🕌🇹🇿
Wanakimbia majukumu ukiwa mwanamume lazima uyakabiri majukumu.
Balaaa tuuu
Ww shekhe unaongea nini?🙄eti mwanamke asiye na bikra huwezi toa milioni labda laki mbli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣sema tu huna uwezo wa milioni mzeeeee😆😆😆😆😆😆
Umeonaeeh
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nikweli hawana thamani tunawaoa kwa mahari ya chini sana haifiki hats laki mbili
Ate nn Mali ni zamume ndio maana tutakuwa waezi kuwaibia najijenga ukiniacha na ww nakuonesha machungu vile nilikuwa na kuibia
Ndio hajakosea
Njoo kwangu
Wewe ni bikra?
Kama ni kweli tutaenda sawa
Hi
Mi naulizia bikra ni Nini hasa na je mwanaume Ana ubikra
Wewe unayo hiyo bikraaa huwachiii
Tatizo lipo kwenye uelewa,sheikh ni kiongozi inabidi atumie hekima ili wanawake ambao bado ni wari wajijue thamani yao,mbona hakutaja wajane au waliobakwa? watoto leo hawajui thamani yao miili yao imekuwa ni sehemu ya kuwafurahisha wanaume kimatendo bila kuangalia kama wanajidhalilisha,ndio maana wanaume wengi hawataki kuoa kwa ajili wanasema wafuge ngombe wa nini wakati kila wanapohitaji maziwa wanayapata muda wowote,wanawake wanavoongelewa kwenye quraan jinsi gani wanatakiwa wajihifadhi miili yao na kutokufanya uchafu basi dunia ingekuwa na amani,lakini leo hii mwanaume yuko na aibu katika kutembea uchi kuliko mwanamke,na hii yote ni biashara kwa ajili kabla kutoka nyumbani nguo anazovaa anavalia huku anajiangalia kwenye kioo na anajuwa kuwa nguo ni fupi maziwa yapo nje nje yaani anakuwa nusu uchi na mwisho anasema leo ninakokwenda watanikoma kutokana na kutoka akiwa nusu uchi.,wanawake jiwekeeni akiba ya maisha ili mumridhishe aliewaumba iyo sura yako na umbile lako zuri.kuna wangapi walikuwa na mivuto ya kila kitu kuanzia makalio na sura kiujumla na walivutia kwa kila mwanaume aliemuona?wengine wameshatangulia mbele ya haki na na sifa zao pia zimeenda uko waliko wamebakia mifupa ambao na sisi pado pumzi ya akiba tunayo tutaelekea uko huko na ndio tutakapokuja kujua umuhimu wa kuolewa bikra na vyenginevyo.
Umutema cheche nikweli wanawake hatujithamini ,Mimi ninandugu yangu anavaa nguo kitovu nje na maziwa nje naongea nae ila hanielewi nawala hatupatani sababu nawaambia ukweli nahawanipendi.
@@julihanjosephyjs6361 pole ila jitahidi kumuelewesha usikate tamaa
We mtangazaji dini gani imeandika mwanaume aowe wake 5 au umejichanganya
Deni yake huko tanzania aijua yy
Dini gani inayoruhusu kuoa wake watano?.
Hakin
Mzee kipozeo wengi umewagusa humu coz hawajui bikra zao waliziacha wapi. Hahahaaaaa
Kabsa,na ndo Mana povu lnawatokkkaa,
Kumckiliza kipozeo nahic najipotezea muda naona anafanya tu masihara na dini wanamuekea back ground za ajabu ameyataka mwenyewe kama angekua sheikh kweli wacngemuekea
WW ni mwongo tu kwnn unamsikiliza ?
Ningekudanganya kam ningesema cjamckiliza uckurupuke kujibu kama hujasoma comment vzur
Mla fiwi uyo