Stalement as Kennedy Onyango's family clashes over burial site
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- Kennedy Onyango Burial Stalemate
Burial Protest Victim, 12, In Mbita Suffers Stalemate
Victim’s Father Got Court Order Stopping Burial
Kennedy Onyango Was Shot Dead In Rongai
Father Of Victim Wants To Be Allowed To Bury Son
He speaks with the confidence and authority of a man who paid dowry. Na hata Jacinta atazikwa kwa huyo bwana.
Somebody should talk with this mum and just allow the real dad also to take part.
Real dad hakulea, kwani kuzaa ni kazi, ama ni kulea
@@MAINA_THETHERE_1704 both ni kazi. Akalea until last year. Mama akaanza kuishi naye a year ago. Tumeelewa kwako kulea inacount tu kama inafanyika physically wakati wa kifo, kama inafanyika kwa umbali sio kulea. Issue ni, the Kenyan law haiangalii hivyo. Utaona vile Kenyan law inacheki hizo situations on the 17th.
😢
@@annea5781 ati kuzaa ni kazi u mean, ata mtoto wa 12yrs anaweza weka mtu mimba, point ni kulea, so if huyo mtoi umeweka mtu mimba hakupata mtu wa kumlea angekufa, so bona utokee wakati mtoi Ako successful or Kuna issue, am not on this case, juu baba mzazi alimlea, but have seen many cases, mtoi akiomoka ama awe celebrity, ndio baba mzazi hakulea, anajitokeza, so it's all about money, coz if the child didn't make in life, the real dad, hangetokea, I can't terolate that on my side.
Those who were saying that its government who took the boy where are you
Imagine!
All this is after money,,but let them reconcile to let the body to be buried,go well ken😭😭
@@joyousjn3300 lol I doubt it’s after money cos whichever parent buries him they both get compensation as per the law as they are both his biological parents
The child belongs to the father as long as he has been in the life of the child whether he paid dowry or not.... I stand with Baba kennedy
Very true, wazae wao , queen drama
That's never the case...so long as no dowry paid...he has no right!!
Akikufa custody changes? Just asking?
The person with death certificate is to be compensated that's why all this vuta nikuvute
hakuna kitu kama hiyo. Sheria zimebabilika sana.
@@toxxyg8 sawa mwanasheria 😂😂
The boy is gone ,why fight over a dead body, more so a child,
Mtoto azikwe kwao
Kumbe ule baba alikua tuko sio baba ya mtoto.
My question too so u saw the interview then this other dad mm niliona kama ni mdogo kwa huyu mama
The time tht mother has been raising the kid, where was tht father? Some men...aah..aah
The boy was staying with the farther when mum was married to another man till 2022 the mother steal took the boy that he’s going to visit and never return it’s wrong the boy should be buried in the father’s land
@@Beingme2024 what stealing? It's just that she is not hear thank God you baba got you the defender. Whatever the case they could agree as families not father and mother now
It's like the mother wanted the best for her son and that's why she's hustling washing clothes to fend for her son. This man looks lazy waiting to be given the mother could not have taken the boy if he was well taken care of. Ni pesa anataka
@@elizabethngare2283I also wonder custody charges after death,
Instead of the family disturbing the boy who needs to rest why can't they take his body to the cemetery place because the father wasn't there all that time and they all want to benefit.
those all years where was the father...waah
So those who were calling Ruto Ruto mko wapi always listen to 2sides of story
Si wote wanajua kwa kina mtoto. Wamwache tu azikwe kwao. I fail to understand how burying him place sio kwao can be important to some. Hata hao wasee wanaona mtoi anazikwa kwao na si kwa kina mtoi, si wakatae?! So weird.
Unasema Nini, kuweka mtu mimba na hukulea, hustahili kuitwa baba
You are a confused person amekua baba yake now? Where has been the so called father? Akipatiwa hiyo body atamufufua ?
@@Borvia109 read the comments before asking questions that have already been answered in the comments and showing us you are your first comment. Use your common sense, if any, to answer your last question.
@@annea5781 am not in any competition here being number one or number sijui nini that mama has the right for his boy Making some pregnant it doesn’t make you the father of the baby cause they so many babies out here who are being raised by step parents
@@Borvia109 good thing no one claimed you were in a competition then
Mama kabila yako iko na mila na desturi, hata ulie mtoto ni wa baba heshimu mila na desturi, msichana wako ni mwerevu sana.
It’s weird that she doesn’t want to bury the child kwa kina mtoto. Anajitafutia curses za bure. Like whose place does she intend to bury him in surely?
She is also quite dramatic in as much as I empathise with her
@@jeffkoveti4377 explains her action of taking the corpse to a home that is not his
Guys acheni mambo mengi,where was the dad tangu kijana aage? Ni wangapi hawazikwa kwao n we have never seen anything happenning? Mbona hakupinga akiwa nairobi? He is greedy n selfish.
@@annea5781stop being judgemental.This man is an idiot.where was he from the time he died?
Ruto has no powers over court orders, they should agree amongst themselves.
😢😢
Jacinta is a drama queen
True
She's in pain and just lost her child. Be kind.
Very dramatic hata hiyo kulia yake zii Ana over do
Mtoto azikwe kwa babake, na pia bibi arudi kwa bwanake, whaat we know ruto atawapea pesa wale wote period........
Sasa wanafanyia nini huyu mathe?rudisha mwili
It is the mother who feels the pain of this boy. Wababa wengine ni jina tu na visirani. Let the mother decide , whom was the boy living with? Baba ameona pesa
Waah.
Uko na bahati sana babake alijitokezea relax mtoto awekwe poa
Msichana alifanya vizuri sana kuambia baba yao.wachaneni na mama aolewe na mrudi home
From the interview on TUKO, Kennedy was living with another man, who now we are learning isnt the biological dad!! The question is, where was this biological dad and did he have a relationship with Kennedy and invest in him apart from being his biological dad?
This is becoming dramatic and complicated.😮
Mtoto alikuwa anaishi na babake biological huyu mama alienda kumuiba 2022
Akubaliane na baba mtoto hii ruto hahusiki
Kwann huyu mama anateswa hivi tayari amepoteza mtoto wake jamani
Sheitani wewe jibaba ulikuwa unagoja afe ndio ujitokeze?.uchungu wa means aujuaye ni mzazi Mwenye kumzaa.
Sasa huyu baba.... Anyway God is faithful
He is afool. Tangu kennedy aage,wherebwas he?
Nonsense....the boy you never catered for is now yours? Sema ni pesa ya compensation umesikia...bure sana
@@anointedhandmaiden5261 dont comment before you know the story the dad stayed with the boy till 2022 the took the boy hes going to visit her and never return there are other siblings with dad actuall she left those kids when he was young 2015 took the boy 2022 cmon
But why can't the mother just be in a talk with his ex husband.
They came in terms on where to burry the kid.
If it is at dads place let her just go in peace and burry.
If it is at mothers place let him go in 🕊️ and burry
For sure it will be hard for another dad baba wakambo to burry a son in his own land while the real dad is still a live .❤❤
Who said ni kwa baba ya kambo,n what's wrong with that? Get info correct.
Kuweka mimba ni one second, kulea ndio kazi
@@MAINA_THETHERE_1704 your point?
@@eleanorkinadiali4721 it was in the news, that the mother wanted to do it at the stepfather’s family and the dad at his family’s.
@@MAINA_THETHERE_1704but the boy has been staying with his dad he went for a visit to his mom and never went back to his dad just a year ago so that's means he has been raised by his dad all along
Mwili ni ya baba
Babako ama?Akiwa hai where was he? Mbona Hakuja Nairobi for burial plans? Angepinga mwili ikiwa Nairobi?
Unaongea aje
Wewe rono baba alijipatia mimba na akasikia labour pain akazaa ? Mtoto niwa wote wawili.shallow mind
@@eleanorkinadiali4721 akiwa hai he was at his place. He had no legal binding to come to nairobi. The Kenyan law does not bind people on their position during a funeral arrangement. Alipinga mwili ikiwa nairobi just like you are saying he should have
@@eleanorkinadiali4721looks like you have Dady issues bana punguza hasira naniii
Aache mtoto azikwe kwao
Kwao ni kusema nini
Mtoto azikwe kwO. Incase serikali ilipe kitu they should both benefit
Mum,azike mtoto wake,kwani wakati ameaga ndio baba amejua ni mzuri?? He is only after money. The daughter is a fool,baba yake hakujua aje na ilikua hata kwa media na newspaper. Kindly the court should rule in favour of the mum.
The father has been there in his child's life and the child has been living with the father until 2022
You truly are a fool yourself the daughter said well about kumzika not death even the media didn't know when the kid was to be buried
@@Vincent_worldusait’s as 2022
@@Beingme2024 yes thanks for correction
Where was he 2023
Even joseph was agovernor in misr and when he died the body rest there till the door to Canaan was open and he was taken straight up to where his father was burried so huyo mama yeye aendelee na kupea watu wa midia vichekesho na mtoto azikwe kwao kama ni pesa ndio anataka ataachiwa tu usless mother