Penati | Yanga SC 1-3 Simba SC | Ngao ya Jamii - 13/08/2023
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Tazama ushujaa wa golikipa wa Simba SC, Ally Salim akidaka penati tatu. Adaka penati ya Khalid Aucho, Pacome na Yao.
Diarra adaka penati ya Saidi Ntibazonkiza
Mungu azidi kumlinda na kumpa ujuzi kilaaa kukicha ally salumu katoro 🤲🏿🤲🏿🤲🏿💯 pia na wachezaji wetu wa Simba nguvu moja 🔥🔥🙏🙏
🦁🦁🦁🦁❤️❤️❤️❤️ Asnte simba maua yako Ally Salim 🙌🎉🎉🎉🎉
Alieona baada ya onana kufunga penat yake alitud na kumwambia baleke asijifikirie Sana mpaka kipa ajipange kamwambia akifika chagua angle we piga tu na kweli baleke hakujifikiria sana
Yaani tayar iko namba 1 on TRENDING .. simba mnasifa
Hah😂😂😂 na bado
Simba Sc ni Taifa kubwa ndani ya Taifa kubwa jingune🦁💪🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
❤❤❤❤❤❤❤❤ Ali salim apewe mauayake liki zakutosha
Hii siku nililia kwa furaha sana😢❤❤❤❤❤
Kwakweli
Mimi binafsi
Sina wa kumlaumu❤ ❤
Yanga ilicheza Vizuri Saana
Wanampira mzuri saaana❤n❤❤❤
Ndo ngao kucheza vizuri siyo?
❤❤❤❤❤ nitaipenda Simba mpaka kufa 🎉🎉🎉
Shukran sana, ila bidii zinahitajik
Wanasimbaaaaaaaa hataharingiiii❤❤❤❤❤❤
Ali salimu umejua kutufulaisha. Pambana mdogo wangu.❤❤❤❤❤❤❤
Huyu kipa ni kiboko wa majini
Anadaka mpaka stress zetu za mapenzi 🤣🤣🤣
Huyu ally salim ni Tanzania one unyama mwingi❤
simba sc wananipa raha kumoyo,simba nguvu moja
Hongera simba yangu mm nawe forever❤❤❤😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤ unyama mwingi nguvu moja
Golikipa wa simba sio professional....penati zote ameanza kuruka yaani ametoka nje ya mstari kabla mchezaji hajapiga. sio ushindi mzuri huo. Golikipa kaiba zote
Na Golikipa wa yanga hongera sana very professional. big up.
Simba waende wamfunze golikipa wao na pia refa alioko mstarini kule hajielewi na hajui.
Tuyafute
😂😅😅
Acha maneno mengi ww
Chukuen ngao bas
Katafute bwana acha kufatilia vya wanaume
Love ue simba huu n mwanzo tu thanks God
Simba yangu nakupenda Sana Ila kocha anamasiara Sana tuache utani
Mimi ni Yanga yaani namanisha utoporo asante simba kwa kutukanda😅
Ali salimu , ulaya inakuita kaka angu tuna kushukulu sana
Simba nguvu MOJA❤❤❤
#simbaaa nguv moja🦁🦁💪🏾💪🏾💪🏾
Ushamba
Mgunda baba yangu nimeshakumis Kwa kweli huyu Mzungu kichefu chefu tu hapo
Simba hatuna kocha anazingua sana
Lasana simba I love you simba ❤💪💪💪💪
Kaz nzur xna simbaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Chama langu miaka Mia ata iwejeeee🎉🎉🎉🎉❤
Kazii nzuri kwa Ally salimu🎉🎉🎉
Mbona hata dr aliruka kama ali salimu kudaka penalt y saidoo?!
Safi sana ali salimu 🎉
Heeeeeee wakwanza mm leo jamni simba ulaya pasi milioni simba sports club simba nguvu moja
Kawaida sana honestly simba mmeshambuliwa kinomaaa usinitukane lakini
Simba wanaitani kufanya jambo Ili waendelee kuwa salama.
@@rithadonatus8110 si ajabu kwani kombe lilopita yanga walishambuliwa sana then wakashinda ajabu nini apo
Tuwe wakweli Hamna kitu.... Timu nyepesi saaana... Yanga wameenea kila eneo leo.... Penalty kawaida haina ufundi.... Tusitegemee kwenda kwa Penalty huko mbele kuzito.... Timu nyepesi kocha mwepesi jamani tusitiane ndimu.... Musitukane lakini huu ndo ukweli na kila mmoja wetu anajua hata ukitukana....
Kocha sio level ya Simba,Tumeshinda lkn tumecheza mpira m'bov sana,iv kwa kiwango icho tutatoboa club bingwa
we yanga nn??
@@Mbarakamkopi-jc1kkkwani uhongo
@@Mbarakamkopi-jc1kk kasema ukweli subir mechi zijazo utasadiki anachokisema mpira wa hovyo san
Ali Salim kipa kweli kweli
Simba tunaomba mumwangalie kocha kwa jicho la tatu na amini na uwongoz mzr sana watazingatia😊
UWANJA WA MIKOANI SIMBA HATUWEZI KWASAB HAIKO STABLE, SIMBA MPIRA WA PASI WA CHINI NDO TUNACHEZA SAS MKOANI UWANJA MPIRA UNADUNDA SANA TATZO UWANJA SIO KOCHA , SIMBA 🔥
Sababu ya kiwanja sahihi na kocha ni sahihi.. Kocha hawezi kupanga wachezaji na kufanya mabadiliko mapema pia hawezi... Inaonekana wazi kocha anampango wa kuprove baadhi ya wachezaji hawafai kwa kulazimisha kwanini chama asimpange na onana + phiri/ baleke
Miii nakataa tatizo lipo kwa kocha wetu wa simba hawezi kumiliki mpira ndomana tumezidiwa umiliki wa mpira na yanga yeye anajua kushambulia kwa kasi tu lakini kukaba na kukaa na mpira hawezi
Katoro anatoroka sana b4 mpigaji wa penati hasa ile ya pacomee
Simba kama Simba👏👏👏
Yaan mashabiki bana, hebu tuacheni mpira wa kizamani kama mnafikiri mnaweza kuwa makocha hebu muuvae huo uhusika kocha amefanya anachoona yeye kwake ni sahihi na sio nyinyi wa kumuelekeza, mchezo tumeshinda tuendelee kuipa moyo timu ili waweze kuchukua makombe zaidi na siyo kumponda kocha.
Hii sio sawa kipa anatoka kabla sio sawa marefa hawaoni au kusudi
Kweli kuna miluko miwili anaifanya hapo
Cheki penalty aloidaka Diara hazina tofauti
("Boli itembeeee")
Wapi mgundaaa come back.
I love you simba
Bocco awe anakataa kucheza jamani awe mshauri wa timu kocha hovyo kabisa viongozi muwe makini
Sawa anawahi kutoka ndo mupige penalt zote kulekule 😂
Napenda sana stail ya kushangilia ya diara
Jamani Yani Kwa Raha waliyonipa Simba Leo hata Dem sitaki
Hakun raha yoyote kwa hali hii tabu naiona mbele tuendako
🔥🔥❤❤❤🦁💪1🌹🌹🌹🌹🌹🌹Ally salim🔥
Ali salim❤❤❤❤
Tumeshinda lakini kocha sijamuelewa na BAdo simuelewi mgunda apewe timu haraka sana mbeleni tutaaaibika,phiri anaingia KWA ajili ya penati tu hii imeniuma sana kiukweli
Na simba imebebw
Ila hawa wapiga penat wa yanga kwakweli hawajatumia akili ila wamepiga tu ilimladi . Penat nzuri niliyoipenda ni hiyo aliyopiga mzamilu
Uyo ndo Aly Salim
Vyuraaaaaaaaaaaa fc 😅😅😅🤣🤣🤣, big up Ally 💪😍
Nikiimiss simb nkuj apa❤❤❤
Kumbe ww kama mm😂
Honestly huyu kocha wa simba ni hanithi samahani sana wanasimba huu si kocha kabisa nawaambia mpuuzi huyu .. kudos to Ally salimu
Kwanini?
Na wewe ni nani sasa😢
Na we ni shoga
@@emmanuelmichael4508 sawa Mimi Nina k ..
Yes... Na hafiki mbali...... Hamna kitu hapa...
Ally Salim wanasimba tunaxhukur xan kwa mchango wako
Eya Tanzania uy Ali salim kator
Asant San Ali salim
Kwakweli tunamshukuru sana amevusha salama
TUNAOMBA MGUNDA APEWE TEAM YAKE
Mgunda wenu alitukoshesha ubingwa sale kibao
Boko ametukost sana hongera kwa kipa kutusave otherwise tulizidiwa game
Mnakariri sana. Boko kafanya nn
Sibishanagi na mishabiki maandazi
Kweli bwana
Ally salim❤
Hii siku nililia Kwa furaha
Pamoja❤❤❤
Eeh
Nilichokigundua hapa yanga walichokikosea nikudaka penati ya saido alisoma dua hapa😅😅
😊
Hata me nililala Kwa furaha San
Saido siku zote penati zake ni za kushikilia roho Sana kuna mtu juzi na singida kabla hajacheza nilimwambia saidoo hana ujuzi wa penati ipo siku atawaferisha baada ya kupiga tu yule jamaa alikubali maneno yangu yani penati zake zote zinafuatwa na kipa almanisura tu sasa na Leo aliko atakubali maneno yangu na pili simba hamna kocha pale
❤❤❤ Alliy mungu azid kukupa mwanga
❤❤❤ simba nguvu moja
Vzr kipa ila coach anakazi ngumu kwenye kiungo pale kati tunayumba sana
Simba waooooooooooooooo
Simb rah Sanaa❤️❤️❤️❤️
Mgunda arudishwe katika baraza la ufundi
Simba ni dude kuuuuuuubwaaaa 🦁🦁🦁🦁😂😊😁🙂😀
Kwa kweli mgunda arudi tu kwa kocha huyu hatufiki popote club bingwa, anatuchanganya tu
anadaka mpaka upepo
Jamani maua yake kwa ali salm
Kwa hiyo kiwango cha yanga ni sawa na singida
Dah simba tamu wazeee
Kocha hatumtakiiiiiiiii,bora tubaki na Mgunda yuleyule.
mbona kipa wa simba anatoka kwenye line wakati inatakiwa hata mguu 1 ubaki ndani. zote alizodaka ni za kurudiwa
Ametoka Sanaa Tenaa
Mavi
😅😅😅😅 hukosi kisingizioo
Haya zirudiwe basi , madako yako
Hahaha sawa madako na ww sio unayo madako so hatuchekani
Honger xan simba
HAPO ANAESEMA KOCHA HAFAI NA YULE ANAESEMA SIMBA MBOVU WOTE WALEMAVU WA AKILI AMBAO HAWAJUI MPIRA WASHAZOEA KUSHANGILIA LEDE , SIMBA INACHEZA MPIRA WA PASI WA CHINI SAS UTASKIA CHOKO MMOJA AMBAE HAJUI MPIRA ANABWABWAJA 2 UWANJA MPIRA UNADUNDA HAUTULII CHINI KABISA MASHABIKI JIELEWENI BASI KHAAAA , SIMBA 🔥
Hamna kocha hapo
We nae kocha hamna tuna mpira gani sasa wakutisha kwa sasa timu inacheza ovyo tu
Kwa hiyo mpira una dunda tu kwa simba?? Mbona yanga wamecheza mpira mzuri na haudundi kwa hiyo fact yako ya uwanja!!😂😂
@@medyaziz4806 😂😂😂
bado kipa siyo bora sana kwenye penalty na wapigaji wa yanga hawajui kuchagua angle nzuri kwa kipa anavyoruka sana upande mmoja.
Ayo niyakwako
Sema Phiri alinishangaza 🤣🤣🤣
Hata mimi ningepaisha, haiwezekani nitumike kwenye penalties tuuu
@@signecha_😂😂😂😂😂😂
Aliye Kula Kala 😂😂😂 Utopolo vip pale 😂😂😂 inauma eeh🤪🤪🤪
Simba Robertino should be careful he is failing to arrange best combination what is bocco doing in the field we don't need him again let him be adviser of the club not the player for tough game.
Tuliwaambia huyu kocha sio kitu watu wakabsha, hivi kocha gani anaomba asijiliwe wachezaji lakn hata kufanya substitution anashindwa
Hongera mnyama
Hatuna marefa asee!! Huyu sindo alifeli mitihani CAF? anashindwa kutafsiri sheria? Kipa anatoka miguu yote kabla ya mpigaji kupiga
Nenda katfusr ww unae jua
🎉we are unstoppable
Leo ndio simba
Bigup Sana kaka Ally Salim
Mnyama
Mujitaid kuwah kuweka haya mambo pale mpila unapoisha
Simba ili tuchukue makombe ya ligi tunazoshiriki lazima tumtimue Huyu mzungu sio kocha Ni sharti la mtumba kutoka Brazil Bora arudi mgunda Mara Mia na sio Huyu gasho was kizungu
Wewe utakua unajua mpira hao wengine waache warukeruke majibu watayapata mzunguko wa kwanza tu
Kiazi hakuna kitu unajua
Acha uchoko umemuajiri wewe pale au , kaajiliwa na MO SIMBA 🔥
Ndugu zangu, Kocha hamna pale.
ondoka ww
jaman uyu boko anaisa Simba kwann au ndo undewa kila zama nakitabu chake akubali2 yaishe Simba I❤
❤❤❤❤
Huyu refa kashidwa kuona kwamba Kipa Ali Salim Anadakia mbele ya mstari wa goli. Marefa wa namna hii hawakubaliki. Alf si wanaligi yao, huyu wamrudishe akawabebage wenzie huyu Queens.
😅😅 kafute magoli
Maneno mengi af huelewek unasema nn
Kumbe kipa wa kolo Alikuwa anatoka kabla ya mpira kupigwa......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu kocha amshukuru salim
Mimi ni Simba but yuhu kocha wa Simba ni sawa na mavi ya chooni iv walienda uturuki kucha mavi au kufanya mazoez
Hasira za hapa tuliziamishia taree 5 mwez wa 11 tukasimamisha kono la nyani niliumia ila aikua bahat yetu mkianza penati angalieni kipa upande anapenda kudakia wengin msipige uko kama afcon walimsoma kipa wa south afrika nusu fainal wakaambiazana akuona ata moja sa awa wanapiga upande ule ule wa mwenzake alioudakia kipa
Vp haukuona kule zanzibar alidakia upande mwingine ali salimu noma😅😅
Simba nguvu moja
Tunashukuru tumeshinda ila Hatuna Furaha na Ushindi kwamaana Hatukutegemea Kama Team yetu itacheza Vibaya Vile Kwa wachezaji tulionao hatukupaswa kucheza Mpira Mbovu vile Kukosa jitihada binafsi za wacheza Moja moja kama Malone, Mzamiru na Ally Salim Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine COACH HATUMTAKI SIMBA IMESHA KUWA LIDUDE LIKUBWA COACH ROBERTINHO HAIWEZI.📌
Bado mapema
Hapana kocha kapanga tu ila pia uchezaj wa wachezaj binafs hawajajituma San kam wa yanga
Huna furaha wewe
Kwann huyu kocha kama anmyogopa sana saido na bocck