SHETANI HAKUSEMA UONGO ALIMWAMBIA EVA UKWELI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • KARIBU IPM TV.
    HUDUMA HII YA EMBASSY OF GOD FOR ALL NATIONS INAYOONGOZWA NA PROPHET IPM INAPATIKANA DAR ES SALAAM TANZANIA MBEZI BEACH MBUYUNI UKIFIKA ULIZIA KWA PROPHET IPM. AU PIGA SIMU
    +255 757 672 666
    +255 714 284 419

КОМЕНТАРІ • 321

  • @TambwePascal
    @TambwePascal 28 хвилин тому

    Ubarikiwe mchungaji ❤

  • @MapesaOredi
    @MapesaOredi 2 дні тому +1

    Ipm unafundisha vizuri sana .mwwnye asiye kuwa na kitu ndani mweke awezi kuelewa ❤I like big poster I follow from South african

  • @YESEWILLIAM
    @YESEWILLIAM 2 дні тому +1

    Tuko na macho ya roho na masikio ya kiroho pia nikweli umeshindwa 'kumpindua MUNGU ",kama umesikia hapo, gonga like

  • @ramadhanipadon3577
    @ramadhanipadon3577 23 години тому

    Mtumishi nimekuelewa sana,sema wengi wetu tunaupeo mdongo wakufafanua mambo ila ulicho kisema nicha kweli kabisa,mungu akuweke sana mtumishi,me ni muisilamu ila huwa nakufatilia sana kuhusu maubili yako.

  • @MechackBis
    @MechackBis 3 дні тому +5

    Mafundisho haya kama akili yako aija kaa Sawa huto elewa kitu;
    Sir asante sana kwa mafundisho❤❤mungu aku zidishiye ujuzi

    • @rodshan04
      @rodshan04 День тому

      Kuelewa maarifa haya yaitaji maarifa pia

  • @PetroFabiankingmwamba
    @PetroFabiankingmwamba 8 днів тому +33

    😅😂😂😂😂leo ndio nimeamini kwamba kuna watumishi wa shetani wanamtetea kwa siasa kibao kama ukweli vile kumbe ni hatar sana. shetani sio wakutreñdisha hivyo:

    • @StephenMwangi-h5z
      @StephenMwangi-h5z 8 днів тому +4

      Kuelewa kwako ndio batili kabisa

    • @PetroFabiankingmwamba
      @PetroFabiankingmwamba 8 днів тому +10

      @@StephenMwangi-h5z sikiliz nikuambie ndugu yangu nuru na giza havitawez kukaa pamoja milele ndio maana inapo fika jion jua linakimbia na inapo fika hasbh giza linakimbia
      shetani atakbali kua baba wa uongo milele kwa mjib wa bible aijàlishi anaijua vipi mbingu...chunguza san pia maubioi yakumtetea shetani huo ni ushetani tu.

    • @MfiriNasawe
      @MfiriNasawe 8 днів тому

      Aliposema tu shetani sii muongo hapo tu kashawapoteza​@@StephenMwangi-h5z

    • @MfiriNasawe
      @MfiriNasawe 8 днів тому

      Kwahio wee ulikuwepo kipindi huyo babaaako akisema ?

    • @ivonaevarista4654
      @ivonaevarista4654 8 днів тому +6

      Ndo maana shetani alimwendea IPM akamwambia aende gym atengeneze body awe na mwonekano flani nayeye akaona nisawa kabisa ona baada yakutengeneza body Sasa anaonekana Kama mtu flani kipofu mpeleka watu motoni,anajua anachokifanya huyuu mjinga,ndo maana wasipotubu YESU KRISTO atawakomesha nakiburi Chao.

  • @childofgod3216
    @childofgod3216 8 днів тому +23

    Yesu mwenyewe alisema shetani ni Muongo tokea zamani 😁😁😁😂😂😂😂😂 Muongo wewe Tapel tu

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 7 днів тому

      Some ueleweee

    • @childofgod3216
      @childofgod3216 7 днів тому

      @ umeshadanganywa kabisa ndo maana

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 7 днів тому +1

      Huyu anatafsiri fikra zake za kibinadamu tu usijaribu kuweka fikra zako kwenye ishu za imani

    • @childofgod3216
      @childofgod3216 7 днів тому

      @ Mungu ni Roho mambo yake yanaonekana kwa roho ukiweka ubinadamu humpati Anaposema mti wa ujuzi wa mema na mabaya ni torati iliyokua kwa mkono wa musa
      Adamu aliposikiliza hio akatambua dhambi kwa njia ya torati

    • @AlexMshota
      @AlexMshota 7 днів тому

      MUNGU akubariki 🎉

  • @GodyNsenye-d4j
    @GodyNsenye-d4j 7 днів тому +2

    Ayaa ujiitaye IPM 😢😢😢 utajilaumu badae YESU ngoja aje utaona vya moto mtete sana huyo shetani utalia wewe😢😢 haya

  • @RehemaTogwa
    @RehemaTogwa 6 днів тому +4

    Shetani ni Muongo na hayo sio maneno ya mwanadamu ..SHETANI NI BABA WA UONGO. Kusema kwake ukwel Mara nyingine hakumfanyi sifa yake ya uongo ifutike

  • @TheHistoryLocastion-ox9qw
    @TheHistoryLocastion-ox9qw 7 днів тому +3

    Dah nilikuwa nakukubali lakin kwenye hili umealibu wew sio mtumishi wa mungu wew ni mtafta hela

  • @WTC492
    @WTC492 5 днів тому +1

    IPM Leo nimekuelewa

  • @Mgishafuraha-c6t
    @Mgishafuraha-c6t День тому

    kweli kama hauko kiroho huwezi helewa, Ipm anafundisha vizuri sana msikilize kwa makini roho wa Mungu tusaidie aise ni hatari❤❤ hongera sana Mtumishi wa Mungu, uko sawa kabisa kabisa Amen saaaan

  • @rickrhymes_tz
    @rickrhymes_tz 5 днів тому +1

    Pastor your too straight "!🎉🎉🎉

  • @samsonmabula
    @samsonmabula 6 днів тому +3

    Yohana 8:44
    Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.

    • @childofgod3216
      @childofgod3216 6 днів тому

      @@samsonmabula umeiona sasa hio sentensi inavomtambulisha Shetani
      IPM ameupiga mwingi

    • @PetroFabiankingmwamba
      @PetroFabiankingmwamba 6 днів тому

      @@samsonmabula yes baba wa uongo

  • @Charlesselelya
    @Charlesselelya 7 днів тому +2

    Nyoka alianza na uongo ati hivi ndiyo alivyosema Mungu, msile matunda ya MITI YOTE YA BUSTANI? MWA 3:1, rejea MWA 2:16-17

  • @bubasha88
    @bubasha88 7 днів тому +2

    Maandiko matakatifu yako wazi, shetani ni muongo hakusema kweli. Mwanzo 2:17; Mwanzo 3; Mwanzo 3:4-6 Shetani ni muongo, Yoane/Yohana 8:44; Ufunuo 12:7-12; Ufunuo 2:1-2,10-15

  • @RichardRobert-v4u
    @RichardRobert-v4u 8 днів тому +1

    Hatari sana mwamba IPM

  • @MrMwadila
    @MrMwadila 2 дні тому

    Shetani aliwalaghai. Kulaghai (Deception) ni kuchanganya UKWELI na UONGO kwa makusudi ya kurubuni au kupotosha. Au kutumia UKWELI isivyo sahihi kwa malengo mabaya.
    Shetani aliposema “mtafumbuliwa macho na kujua mema na mabaya “ ilikuwa UKWELI
    Lakini Shetani aliposema “ hamtakufa hakika” ilikuwa ni UONGO.
    Nani ambaye Hafi leo
    Hatima ya makusudi ya Shetani ilikuwa kulaghai ambayo inamfanya bado kuwa MUONGO.
    Yesu alisema wazi wazi katika Yohana 8:44,
    “ Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.”

  • @karisandenge7482
    @karisandenge7482 День тому

    Dhambi ni kuvunja sheria za Mungu, alisema usifanye ukifanya umevunja sheria na shetani kazi yake ni kuwashawishi wanadamu kuvunja sheria za Mungu. Mpinge shetani kwa kuzijua mbinu zake za kupotosha.

  • @kenedysebastiani7070
    @kenedysebastiani7070 5 днів тому +1

    Amina mtumishi

  • @obviousmphande8621
    @obviousmphande8621 8 днів тому +3

    Hapo mchungaji nimekuelewa kuliko siku zone yaani nakupenda ,nkweli heva hakuzini bali alipokea mafundisho yauongo .Mungu akubariki sana azidi kukutumia.
    Amen

  • @sittamanoni7521
    @sittamanoni7521 7 днів тому +2

    Nipo hapa kumuomba admin apost hyo audio ya huo mziki, naipenda adi basii

  • @UKVTV25
    @UKVTV25 День тому

    Ukimsikiliza kwa umakini unamuelewa kabisa na anafundisha vizuri

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 8 днів тому

    YOHANA 8:44- "...wala hakusimama katika kweli, kwa sababu hamna hiyo kweli ndani yake.!"

  • @wewa7329
    @wewa7329 8 днів тому +2

    Kwann mungu awanyime maarifa

    • @samsonmabula
      @samsonmabula 3 дні тому

      @@wewa7329 asee kumbe shetani siyo muongo daah nilikua sijui asee saiv nitakuwa nasikiliza

  • @AlexMkwama
    @AlexMkwama 6 днів тому +3

    Jamaa yupo kimwili na sio KIROHO.
    Mpotoshaji

  • @cacanoelstambuli9067
    @cacanoelstambuli9067 6 днів тому +1

    Shetani palepale alisema uongo,Mungu hakumwambia Adam. Asile matunda ya miti yote kama alivyosema shetani,alimwambiia asile matunda ya mti mmoja tuu.soma vizuri wewe mtumishi njaaa.

    • @cacanoelstambuli9067
      @cacanoelstambuli9067 6 днів тому +1

      Mwanzo 2:16
      Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,

    • @cacanoelstambuli9067
      @cacanoelstambuli9067 6 днів тому +1

      Mwanzo 3:1 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani?

  • @kenedysebastiani7070
    @kenedysebastiani7070 5 днів тому

    Duuu mungu akuongoze watanzania bado tunakuitaji

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 8 днів тому

    YOHANA 8:44 "Asemapo uongo,asema yaliyo yake mwenyewe;kwa sababu yeye ni mwongo na baba wa huo.!"

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 7 днів тому +2

    Huyu Mchungaji Mahubiri yake yako beyond zaidi, ni ngumu kueleweka kwa makondoo ambao wamekaririshwa vifungu vya biblia pasina kuwa na ufahamu wa ndani juu ya vifungu hivyo.. Huyu Mchungaji ana ufahamu kama wangu kabisa kweli binadamu ni wawili wawili..

    • @martinegosbert8108
      @martinegosbert8108 7 днів тому

      Rudia kusoma mwanzo 1 na 2 zote utajua uongo wa shetani. Kwanza alimsingizia Mungu sababu aliyetoa sharti ni Bwana Mungu yeye akamwambia mwanamke ati Mungu amesema..... Tafuta kwanza kujua tofauti ya Mungu na Bwana Mungu.

    • @stanleyandrea5153
      @stanleyandrea5153 7 днів тому

      Wengine ndo hatuamini katika mungu tupo tupo tu

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 7 днів тому +2

    Mchungaji uko sahihi kwa 100%

  • @GabrielParaket-r2k
    @GabrielParaket-r2k 8 днів тому

    Speech Kali Asante ipm

  • @zachbula624
    @zachbula624 7 днів тому +2

    Uongo wake ni pale aliposema mkila matunda hamtakufa.. sasa walipokula hawakuanza kufa!??? Acha kupindisha ukweli wa maandiko... Shetani ni muongo

  • @johnchalahani6924
    @johnchalahani6924 6 днів тому +3

    Wew kweli mbulula huna lolote wafundishe mbulula wenzio

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 8 днів тому +1

    MUNGU ANASEMA "HAKIKA MTAKUFA!" NA NYOKA ANASEMA "HAMTAKUFA HAKIKA!"- Uongo wa dhahiri wa shetani uko hapa

  • @MathewMdaki
    @MathewMdaki 7 днів тому

    Mungu akubariki tu maana mm sio mtoa hukum

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 5 днів тому

    Huyu siye mtumishi wa Mungu, Huyu ni shehe kutoka uislamu, ana elimu ya uislamuhuyu

  • @Asheri-k5k
    @Asheri-k5k День тому

    Mmmmmh suri kubwa

  • @nwntz
    @nwntz 8 днів тому +3

    safi sana hivi vitabu hua tunasoma spidi kali bila kutafakari na ni watumishi wachache wenye kipawa cha uchambuzi kama wewe IPM. Asante

    • @PhimoniMwakalili
      @PhimoniMwakalili 7 днів тому

      angalia sentensi ya Mungu aliyomwambia eva .afu angalia sentensi ya shetani...afu angalia sentensi ya eva akimwambi shetaniii....ndo utajua kuwa shetani anatumia hila yan uongo unaoendana na ukweli

    • @nwntz
      @nwntz 7 днів тому

      @@PhimoniMwakalili uongo upi? ule ni umbea

    • @LeoChristianWorships26
      @LeoChristianWorships26 7 днів тому

      Kumbe wewe pia umekubaliana na shetani

    • @samsonmabula
      @samsonmabula 6 днів тому

      Yohana 8:44
      Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa huo.

    • @samsonmabula
      @samsonmabula 6 днів тому

      ​@@nwntz😂😂 daaah Mungu atusaidie sana, tatizo binadamu ni wazito kusoma biblia
      Warumi 14:11
      Kwa kuwa imeandikwa, Kama niishivyo, anena Bwana, kila goti litapigwa mbele zangu; Na kila ulimi utamkiri Mungu.

  • @patrickmuli979
    @patrickmuli979 5 днів тому

    Marko 4:10_12 neno la mungu ni mafumbo wasio wa ufalme wa Mungu hawawezi kuelewa .ili wasije wakatubu wakasamehewa .nyoka ni fumbo sio nyoka wa mwituni .mchungaji kakosa hekima ya kimbingu

  • @VictoryMubelela
    @VictoryMubelela 7 днів тому +2

    ndunda gani iyo iliyo tuleteya mauti Mungu awezi kuuwa mutu ju ya chakula apana muchungaji

  • @BushurJoel
    @BushurJoel 8 днів тому +2

    Huyu jamaa niwaz kuwa yeye niwakala wa shetan namafundisho yake nikinyume namatakwa ya Mungu napiah hata iman yakikirsto hayapo kabisa isee Mungu atuhulumie sana😢😢

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 7 днів тому +1

      Bro huyu jamaa anatoa kichwani ? Au hayo maneno hayapo?? Au we ndio husomi ukaelewa Bali waishi na imani tuu

    • @wilkinssimkoko7920
      @wilkinssimkoko7920 6 днів тому

      Mungu amesema Mtakufa hakika, shetani akasema Hamtakufa hakika. Badooo sio Muongo?

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 6 днів тому

      @wilkinssimkoko7920 mzee ule mti wa uzima ambao waliambiwa hawatakufa hawakuugusa, ndio mana tunakufa,

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 6 днів тому

      @wilkinssimkoko7920 kasome tena uelewe

    • @wilkinssimkoko7920
      @wilkinssimkoko7920 6 днів тому

      @@ramamakomola2739
      Mwanzo 2
      16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula,
      17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.

  • @MartinMbwana-t9r
    @MartinMbwana-t9r 4 дні тому

    Yohana 8;44......yesu Kristo (Mungu)anasema shetani Ni mwongo

  • @hudumablack9339
    @hudumablack9339 5 днів тому

    Uko sahihi mtumishi. Sisi wanateolojia tunakuelewa vzr.

    • @samsonmabula
      @samsonmabula 3 дні тому

      @@hudumablack9339asee kumbe shetani siyo muongo nilikuwa sijui asee daah saiv nitakuwa nasikiliza

  • @immichaelwale5147
    @immichaelwale5147 7 днів тому

    1 Timotheo 2:14 Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa. Shetani ni Muongo haijaloshi mtatuambiaje

  • @wiltorderickmatata3335
    @wiltorderickmatata3335 8 днів тому +3

    Amina mungu abariki sauti Yako izidi kupaa mataifa yote wasikie sauti ikihuburi neno la MUNGU 🙏

    • @HezbornGichana
      @HezbornGichana 6 днів тому

      Elewa kinacho semwa apo eti shetani si muongo ama?

  • @remmyalfred6736
    @remmyalfred6736 7 днів тому +1

    🇹🇿MABALOZI WA SHETANI WANAMUWAKILISHA SHETANI NA KUMTETEA BADALA YA KUMTETEA YESU!WATU AMKENI MTAWEKEWA MAROHO YA KILA MAMNA! MAWAKALA WA SHETANI HAWA!!

    • @ramamakomola2739
      @ramamakomola2739 7 днів тому

      Kwa hiyo maandiko ni ya shetani au we hujui kuelewa??

  • @gabrielsasi4636
    @gabrielsasi4636 2 дні тому

    Watukama Hawa ni vibaraka wa shetan kaeni makini,,,,MUNGU AKUSAMEHE

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 7 днів тому +1

    Hivi iraq ni Africa?

  • @ShabanRashida
    @ShabanRashida 3 дні тому

    Mtumishi unakosea unasema uongo kusema kuwa shetani hakusema uongo maana ibilisi alimwambia mwanadamu pindi atakapokula tunda atakuwa kama Mungu, hivyo alimtamanisha kwa madaraka ..kama alivyofanya Kwa YESU alipokuwa hapa dunia kwa kumwambia ukinisujudia nitakupa milking yote ya dunia ..hivyo ibilisi alisema uongo kwa Eva kwa sababu kuvunja amri ya Mungu hakumfanyi mtu awe katika nafasi ya juu au kubwa zaidi ya ile Mungu aliyompatia Bali kunampeleka katika upotevu mkubwa..... na hapo kuhusu kujua mema na mabaya hakumaanisha kuyatambua tu Bali pia kuya-experience katika maisha yake hivyo alimwekea mtego huu wa madaraka ili amwasi Mungu

  • @hamisiismail2577
    @hamisiismail2577 6 днів тому

    Mungu alisema mm sifundishwi na ninyi mmmmmm😮

  • @tariqkhassim4059
    @tariqkhassim4059 8 днів тому +1

    APO KWENYE KUMTAMBULISHA YESU AAAH PATAM NYIEEE

  • @shemdoepro
    @shemdoepro 6 днів тому +1

    The concept is true. the devil spoke the truth but not for good.
    Eg He told Jesus in Matthew 4:6 that "it is written...."
    Which is true.....
    [6]And saith unto him, If thou be the Son of God, cast thyself down: for it is written, He shall give his angels charge concerning thee: and in their hands they shall bear thee up, lest at any time thou dash thy foot against a stone
    THE DEVIL IS A LIER.. HE USES THE TRUTH TO LIE
    HE USES THE TRUTH TO CAUSE PAIN AND DESTRUCTIONS AS HE DID IN EDEN.

  • @young_mmbaga
    @young_mmbaga 5 днів тому

    asaaa kumbe YESU HATUPEEEENDI KUMBE
    *Asije akaona akanyoosha mkono akachuma tunda la uzima wa milele*
    KUMBE WANAPENDA TUFE....KWANINI ASITUFANYE TUISHI MILELE

  • @juniorkaguo8616
    @juniorkaguo8616 5 днів тому +1

    Ukishindwa kumuelewa IPM unamatope kichwa

  • @IsaacTigoma
    @IsaacTigoma 2 дні тому +1

    Mzeeee shtuka baba wa uongo ni shetani (yoh 8:44) na ana watoto, angalia usiwe mmoja wao.
    nyie viewers shauri zenu, mtadanganywa kwa jina hili maana watu kama hao washanenwa, pima kwa maandiko.
    Aisee hapa tukifata mkumbo tumeumia😭😭😭😭😭😭😭🙇🙇🙇🙇🙇🙆🙆🙆🙆🙆🙆

  • @loreenchezques523
    @loreenchezques523 7 днів тому

    mtumishi hapa umenena nimekuelewa haswa

  • @BartolomeuHenriques
    @BartolomeuHenriques 8 днів тому

    Ubarikiwe

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 5 днів тому

    Wewe ndiye muongo, Bwana Yesu mwenyewe alisema, shetani ni muongo, wewe ninani

  • @MfiriNasawe
    @MfiriNasawe 8 днів тому

    Mwamba ni mungu pekeyake

  • @NicolasMussa
    @NicolasMussa 4 дні тому

    Hakika umebarikiwa broo

  • @cornelionfikiri2052
    @cornelionfikiri2052 8 днів тому +3

    THE PROPHET OF GOD 🌎
    NITAKUPENDA MI LELE BABA❤️🇨🇩💰🙏

    • @8pistons194
      @8pistons194 7 днів тому

      Which god r u saying

    • @saluuhans
      @saluuhans 3 дні тому

      😂😂 eti prophet of God Pumbavu zenu mnatapeliwa tu kama manyumbu vile huyu si mjinga mmoja tu wa kariakoo eti mtume wa Mungu wakristo mnafanywa wajinga sana ndugu zetu. Amkeni dini ya haki ni Uislam tu huku kwetu hakuna mambo yakufanyana mafala

  • @HezbornGichana
    @HezbornGichana 6 днів тому

    Mwambie huyo kipara awache kudhanganyana maana ninajua vitu viwili tu kwamba mungu awezi kuzini tokea mwanzo na shentani awezi kutenda jambo njema kabsaa

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 8 днів тому +1

    Point!!

  • @MichaelMgallaTz
    @MichaelMgallaTz 7 днів тому

    Nyoka tunao ndan mwetu kwenye ndoa kwenye biashara Maombi Yawe mengiiii jamani 😂😂😂

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 5 днів тому

    Mkewe mwenyewe akiri akimjibu Mungu,ni shetani ndiye alinidangnya

  • @nishatiog5379
    @nishatiog5379 4 дні тому

    Yesu amesema Ibilisi ni Muongo tangia mwanzo na hawez sema kweli sababu kwel haipo ndan yake...na ibilisi sehemu alipo sema uongo ni kwamba wakila hawawezi kufa

  • @goldenbluez
    @goldenbluez 6 днів тому

    Ukim skiza vizuri ndo utaelewa....kitu apo.🙏🙏🙏

  • @Charlesselelya
    @Charlesselelya 7 днів тому

    Shetani siyo muongo tu bali ni baba wa huo uongo, Yn 8:44-45

  • @AlexNyuri-jf8mr
    @AlexNyuri-jf8mr 7 днів тому

    Acha kuwapotosha Watu, Yesu Mwalim Mkuu mwenyewe Keshasema kuwa SHETANI NI MUONGO TOKA MWANZO, Sasa Wewe unatuambuaje kwamba alisema Ukweli??? Soma Yohana 8:41-44, Yesu ndo Jibu la Mwisho

  • @ALBERTNyemba-uk3fr
    @ALBERTNyemba-uk3fr 2 дні тому

    Sawa anaweza asiwe muongo lakini friji lake aligandishi.😅😅😅😅😅na hakuna kitu unatakiwa ukaenacho mbali kama kitu kisichoweza kutunza siri.

  • @betjcom
    @betjcom 6 днів тому +1

    Unafundisha ujinga mzee.. Mafundisho ya kipepo haya.... Siku yenu inakuja . Shenzi sana nyny.. All BENIN , Nigeria e.t.c products mtaangamia vibaya sana with your shrines na ushoga wenu.. Pumbavu.

    • @GakizaGerardine
      @GakizaGerardine 5 днів тому

      Unanishangaza sana mafundisho ya kipepo kivip?? Biblia ni ya mapepo mbona vyote alivisoma ndani ya biblia..... Acheni kufuru bila kujuwa

    • @GakizaGerardine
      @GakizaGerardine 5 днів тому

      Kuna watu tunafumbuliwa macho kupitiya haya mafundisho asante IPM

    • @qwertqwerty1239
      @qwertqwerty1239 3 дні тому

      Wewe ni Mungu et😅😅😅

  • @ClaudKitoki
    @ClaudKitoki 7 днів тому

    Nionavyo Mimi roho wa Mungu hayumo humo maana ndie hutuongoza kwa kutafakari neno

  • @michaeljimmy7583
    @michaeljimmy7583 5 днів тому

    I never trusted this pastor, from the beginning, now he proves my point. Mwanzo 2.17 " walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo UTAKUFA hakika.
    Shetani (ambae huyu Bwana anamtetea Mwanzo 3:4 "Nyoka akamwambia mwanamke, HAKIKA HAMTAKUFA")
    Mwanzo 3:19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, NAWE MAVUMBINI UTARUDI)
    Na Neno la BWANA Likatimia.

  • @charlesmaganga8430
    @charlesmaganga8430 День тому

    The devil is the father of deception, now i understand.... This level of deception is of another level....

  • @PatrickOropto-k6c
    @PatrickOropto-k6c 5 днів тому

    Wewe ni mwislamu wajificha kwa ukristo

  • @AlbethRugaya
    @AlbethRugaya 7 днів тому

    Hatari hii Dunia ni ngumu kuelewa mungu ni yupi kwa maana Kila mtumishi anamafundisho yake sasa mm huyu hata afanyeje siwez kumuelewa hata kidogo

  • @michaelmwalimu6057
    @michaelmwalimu6057 7 днів тому

    😂😂😂Wakati mwengine watumishi wa shetani wanachekesha, Muongo huyooo mtumishi ni washetani

  • @MwitaMarwa-s6u
    @MwitaMarwa-s6u 6 днів тому

    hii vita haituhusu sisi watu wa Proud to be😂

  • @arnothjesse2965
    @arnothjesse2965 8 днів тому

    nimejiuliza sana hili swali.. Yani kwann shetani atake kumtoa binadamu katika hali ya kutojitambua yani kutokujua mema na mabaya na kukaa uchi??? shetani ni kama alitu upgrade binadamu kutoka katika hali ya unyama zaidi. Mungu akawa anataka binadamu aendelee kutojitambua. ILE STORY LAZIMA HAIPO SAWA.
    LAZIMA NIJE KWENYE ILI KANISA

    • @wewa7329
      @wewa7329 8 днів тому +1

      Story ya kutungatu haina ata maana ina makosa mengitu

    • @paschalinahharis9604
      @paschalinahharis9604 8 днів тому

      Unajua tungekuwa tunaendelea kuishi kama wanyama ingekuwa raha sana! 😅

    • @wewa7329
      @wewa7329 8 днів тому

      @paschalinahharis9604 siamini hizo maandiko ata ni za kutungatu hazileti maana kabisa

    • @arnothjesse2965
      @arnothjesse2965 7 днів тому

      @@paschalinahharis9604 MH hapana angalia wanyama wanavyo ishi😄

    • @dnxvi
      @dnxvi 6 днів тому

      Tungekuwa kama makaika wema yaani tungejitambua ila tusingefanya uovu na kufa.
      Pia unaweza tafuta kitabu cha yashari kina deep story

  • @johnmwirigi3836
    @johnmwirigi3836 3 години тому +1

    Sasa huyu ni nani,

  • @ProsperKimaro-d9b
    @ProsperKimaro-d9b 6 днів тому

    Kueni kiroho jaman shetan ni BABA wa uongo kweli lkn ana mbinu zinazo fanana na kweli ila kuna kitu ana winda angalia kwa YESU alivyo kuja baada ya kutoka kufunga alimwambia ukwel lkn ndani yake kuna jaribu

  • @MfiriNasawe
    @MfiriNasawe 8 днів тому

    Jamaa anampenda shetanina kumwamini mpaka kumwita mwamba

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 6 днів тому

    Wait whaaaat!..... But kaka, yule nyoka arikuwa Shetani. Eti Mungu kuogopa kwahiyo Adam na Eve, walibadirika kama Mungu😂😂😂

  • @micro-sb
    @micro-sb 2 дні тому

    Secrets of should remain classified.

  • @DaudGeshom-y7i
    @DaudGeshom-y7i 7 днів тому

    Chetan siku zote anaga kweri

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 3 дні тому

    Haukuwa ukweli bali kiini macho na ndiyo mana badala ya kupata maarifa wapata mauti Mungu ndiyo alisema kweli

  • @kevyusto2954
    @kevyusto2954 6 днів тому +1

    Ombi! Tutengenezee watumishi kama ww maana mafundisho yako yanatufungua akili san

  • @PatrickNanyaro-s3c
    @PatrickNanyaro-s3c 8 днів тому +1

    Sasa akisema hapo shetani aliongea ukweli anakosa gani.Then tabia ya shetani haongeagi uongo wote,lazima achanganye na ukweli ili afanikiwe.

    • @PetroFabiankingmwamba
      @PetroFabiankingmwamba 8 днів тому

      @@PatrickNanyaro-s3c ukwel na uongo ukichanganyika wote unaitwa uongo mtupu

  • @patricknyamkora1419
    @patricknyamkora1419 6 днів тому

    Wewe ni mpinga kiristo Mungu alisema msile shetani aka sema kuleni je nani muongo hapo

  • @OnesmoShedy
    @OnesmoShedy 5 годин тому

    Injili itaubiliwa kivyovyote kiunafki kiukweli ila niseme SHETAN aja sema ukweli Mungu aliwambia vyote Adam na hawa mana waliumbwa kutawala pia waliumbwa kuto kufa pia binadam alikua na akili kuliko nyoka ipo ivi nyoka sio nyoka mana alikua nishetani anazungza mana shetani niloho ana tumia mwili waawae yyote Adam alikua amjui SHETAN mana shetani niloho Tena katoka mbingun Adam akujua maalifa yashetan ivyo maneno Yale SI yanyoka Bali yashetani kama umenielewa msoma komeni sema atukuzwe YESU mwalim wetu

  • @paulkamula9117
    @paulkamula9117 6 днів тому +1

    Illuminati huyu na freemason..

  • @T-Fellow
    @T-Fellow 6 днів тому

    Wait whaaaat!..... But kaka, yule nyoka arikuwa Shetani

  • @IDDYMAULIDY-u7z
    @IDDYMAULIDY-u7z 2 дні тому

    Ip yuko sahi ila elimyake inahitaji waelewa san mpumbavu yoyote hawez kuielewa Elimhi?

  • @AronMatolo-k1w
    @AronMatolo-k1w 4 дні тому

    mwenyewe hata sielewi sijui kuna neno la kutupeleka peponi kweli hapo

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 4 дні тому

    Kweli baba ukweli mwingine unabomoa kuharibu maono ya mtu upo sahihi na kuleta matatizo makubwa kwenye familia

  • @MichaelRubai
    @MichaelRubai 7 днів тому

    Wewe mwenyewe mtumishi wa shetani

  • @roi2554
    @roi2554 7 днів тому

    Jaman kumbe iraq iko africa na hamsemi😂😂😂😂 duh
    Huyu jamaa mbona kama simuelewi

  • @espoirshabashaba7985
    @espoirshabashaba7985 6 днів тому

    Huyu naye ni mchungaji au muigizaji wa bongo movie?

  • @GladTolage
    @GladTolage 6 днів тому

    Iv ilo kanisa lina waumini?? Maana Kama unaelewa vzr mambo ya rohoni unakaa apo unasikiliza nini sasa apo