MAHASIMU WA OSCAR KAMBONA WAKAMWAMBIA MWALIMU KAMBONA ANAHUSIKA NA MAASI YA TANGANYIKA RIFLES 1964

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 6

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 3 місяці тому +4

    Fitna kitu kibaya sana duniani.Oscar Kambona angekuwa na nia mbaya ya kumpindua Julius Nyerere,siku ile ile akiwa Ikulu akizumgumza na askari mbele ya vipaza sauti vya Radio Dar es Salaam angetangaza kuwa serikali imepinduliwa na iko chini yake.
    Kwa ujasiri na ushupavu wake ametangaza na kumtaka Nyerere mahali alipo arudi na nchi iko katika mikono salama

  • @RAMADHANKHAMIS
    @RAMADHANKHAMIS 3 місяці тому

    Kisa hiki ni sehemu ya mpango mkubwa ilopangwa Januari 1964, chini ya East African Rifles, baada ya Kenya, Uganda na Tanzania kupata uhuru. Sababu kubwa ilikuwa ni wanajeshi wa Kiafrika walihisi kubaguliwa, na bado wakuu wa majeshi walikuwa bado ni Waingereza. Nchini Kenya ilifanyika Kahara Garrison, kaskazini kidogo mwa Nairobi.

  • @RashidNuru-l1g
    @RashidNuru-l1g 3 місяці тому +1

    Kinachotakiwa ni abdul sykes kwenye Google pliz put the exact history tusome pliz

    • @samitungo
      @samitungo  3 місяці тому +1

      Kuna kitabu cha maisha yake kimechapwa London 1998 kwa Kiingereza na Nairobi 2002 kwa Kiswahili.