Na nakuomba Allah aliyetuumba SISI akawazalilishe yanga kesho ili mjue kuwa siku zote mtegemeeni mungu sio kama tajiri peke yake ndio anaweza kuishi vizuri huenda masikini akaishi maisha mazuri kuliko tajiri Hilo hamlijui sasa mm namuonba Allah kwenye usiku huu kesho Simba akawe mshindi ili siku nyingine mjifunze msiangalie kitu Kwa macho tu muachieni Mungu ndiye ana uamuzi wa mechi hizo
Nikwambie kitu kimoja kaka,kweli hao nyuma mwikomnawapakulia minyama lakin ujue kuwa simba kasajili wachezaji wanaojua mpira na wako speed mda wote sio wanajitafuta ni wachezaji ambao wanajua mpira kwahyo usikalilishwe sana kesho utakoga matusi.sasa nakuhakikishia kesho simba anashinda kwa asilimia mia moja
Endeleeni kuwa chawa hivyo hivyo lakini tunatoa angalizo tu. Msimchukulie simba poa. Maana hamumpi nafasi ila atawanyamazisha wachambuzi wengi inshalla
Uko vzur bro😊
Kaka wewe nimtangazaji mzuli sana kazi njema
Ni wachambuzi wachache wanaoipa nafasi simba lakini Mnyama atawanyoosha wote hao inshaalah
Na nakuomba Allah aliyetuumba SISI akawazalilishe yanga kesho ili mjue kuwa siku zote mtegemeeni mungu sio kama tajiri peke yake ndio anaweza kuishi vizuri huenda masikini akaishi maisha mazuri kuliko tajiri Hilo hamlijui sasa mm namuonba Allah kwenye usiku huu kesho Simba akawe mshindi ili siku nyingine mjifunze msiangalie kitu Kwa macho tu muachieni Mungu ndiye ana uamuzi wa mechi hizo
Nikwambie kitu kimoja kaka,kweli hao nyuma mwikomnawapakulia minyama lakin ujue kuwa simba kasajili wachezaji wanaojua mpira na wako speed mda wote sio wanajitafuta ni wachezaji ambao wanajua mpira kwahyo usikalilishwe sana kesho utakoga matusi.sasa nakuhakikishia kesho simba anashinda kwa asilimia mia moja
Kwakweli wamekazania tu Simba na yanga hawa waandishi wanachangia kudhoofisha team ndogo
Natamani ku foward masaa ya ende chap kufikia tarh,8 ili kerere izi ziishe make i'm disarpoitend kishenz
Endeleeni kuwa chawa hivyo hivyo lakini tunatoa angalizo tu.
Msimchukulie simba poa.
Maana hamumpi nafasi ila atawanyamazisha wachambuzi wengi inshalla
Simba ni Simba tu hata akiwa ameloa hawezi kuwa paka.Tusubiri dk 90
Kwani wachezaji wa Simba ndiyo wanaanza kuingia uwanjani kesho?