SHK.OTHMAN ASIMULIA ALIVYOTUKANWA NA KIJANA BARABARANI MATUSI MAKUBWAMAKUBWA
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- #riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
UA-cam: www.youtube.co...
Courage, confidence, communication, character, commitment
Pole sana sheikh, ALLAH akuhifadhi
Shukran Sheikh Othman Mwalimu
Hekima kubwa Sana
Shukran Kiukweli
❤❤❤shekhe wangu kipenzi ❤❤mungu akujalie moyo uwo uwo unatuelimisha vijana ❤
Sana ndugu
Amin Yaa Rabbal aalamin
Inshaallah make easy for Inshaallah❤❤❤❤❤
Pole shekh wangu
Pole sana sheikh
Allah akuzidishie moyo wa subira
Dah, jaman tuwe na akhlaq had tu nafikia hatua ya kutukana mashekhe, Dunia inaelekea wap sijui, pole Sana shekhe ndo life hiyo
Pole shekhe Wang 😢
Msamehe sheikh Othman...... Na Allah amuongoze huyo kijana...
❤❤❤❤❤❤❤❤
Pole sna shekh wang nakukubal sna ila nivzr ulivyo mpa asant bara baran makosa tumeumbia sisi binaadam haswa bara baran mm dereva ila nikimkosa mtu nampa asant na kumuomba samhn hat km kanikosa yy nimemkosa
Allah azidi kupa sbra
Watu wamagar weng sijui kwann hawana mdomo mzur wanatoa tu maneno bila kufikiria
TANZANIA KIONGOZI WAO NI MWANAMKE 😀
Allah amsamehe huyo kijana na mbadilike pia sio sheikh tuu ila kutukana tukana tu hovyo.😢😢
Ulimi ni mbaya sana
Hakika. Sheikh
Sheikh me nahomba namba zako tu
Wewe ulikuwepo walipochapwa? Au ndio nyie wakosefu watabia?
Mbuyu
Othman Malim Allah amhifadhi namkubali sana hata hivi ni msufi lkini nimepita mkononi mwake
Allah akulipe Kwa kua mkweli maalim wetu
Allah akuongoze ktk sunna
Ammin ya rabball allamin
Amin Yaa Rabbal aalamin
Vijana wenzangu tubadilike
Tuwe na Subra hasa KWENYE NDIMI ZETU🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwl kabisa
shekhe mwenye hakma zake masha Allah Masha Allah mungu akuzidishie hekma na busara na subra na imani nakupenda sana kwa ajili ya Allah
Ndio changamoto za dunia polesana shekh wetu❤❤❤
Pole sana shekh Allah akuzidishie subra na uvumilivu shekh wetu😭😭😭😭😭😭
Ammina Kwa sote
Sorry sheikh the guy may be sick madness.. very sorry you deserve better your the best sheikh..may Allah protect you. ❤❤❤
Hujambo
Courage, confidence, communication, character and commitment
Masha Allah,,,, pole sn sheikh Othman Maalim
Hongera sana sheikhe wetu kipenzi Allah akuhifadhi na akuzidishie hekm nabusara Kwakilalinalokutokea
Heshima kwa muislam n kuwaheshimu watu wote wadogo kwa Wakubwa maskin kwa matajir bila kuangalia hadhi
Dah!!!kwakweli ili Jambo limeniuma sana.pole Sana ustadh wetu ni mapungu ya kibinadam yalio tokea na ishaALLAH m/mungu atuswameh makosa yetu yote ss na wazazi wetu Kwa ujumla
Ammin Allahuma ammin
Pole sana. Allah akupe subra na uvumilivu
ALLAH AMJALIE PEPO SHEKH WETU
Ammin ya rabball allamin Kwa sote
Story ya zamani lakini iko up to date sasa. Mashallah
Pole shekh wetu najua inavyouma hata mimi nilitukanwa sehemu ya kuuza viatu nilishika kiatu nikakiangalia nikajaribu hakikunipendeza nikamiacha mwenyeduka alinitukanasana mbeleza watu niliumiasana katokea shekh mmoja kasema ondoka usimrudushie mimi nikashukur nikaondoka ilaniliumia sana, kwa kweli tz maadili kwa wengine nimtihani, mimi naona hatawatu huko nje yanchi watu wakirudi tz wananunua vitu ambavyo tz vipo natena penginehukubei juu, watuwanasema bora ninunue kitu beijuu lakini cha uhakika na kauli zawauzaji nzuri,
Kuweni na heshima mnapocomment ni mtu mkubwa uyu
Watu hawana adabu na Wanazuoni saiv
Mkubwa Mungu
Huyu ni mwanazuoni naye ?@@SoudShuraim
Aliye mkubwa ni Allah pekee anafaa tu apewe heshima
@@jumakapilima7295 kwan Mungu mtu?
Pole sana mungu akuhifaz mengine
Pole sana sheikh Othman Allah akubariki
Heshima ni muhimu na Tabia haibadiliki itakuwa anafanya hivo kwa wengine mpka kaona huyu ni nani ndio kaja chini , Allah awanusuru watoto wetu na wa wenzetu na tabia kama hizo
Ammina ya rabball allamin allahuma ammin
Hii tabia vijana au watu waache kutoa kauli chafu au matus kww watu hata kama kwel umekosea ila jifunzen kuwa na subra na usikimbilie kuhukumu wenda aliekukosea hakujua au bahat mbaya,
Sasa kuna siku kijana huku alikuwa yupo na pikpik akawa anapishans gari fulan kwenye barabara ya vumbi sasa kuna mvua ikawa imenyesha kukawa na maji, kwa bahat mbaya ile gari ilikuwa speed ikarusha maji yakamrukia yule jama vibaya sana, sasa yule jama akachukia kile kitendo akaanza geuza akaanza kukimbizia ile gar had alipofika usawa wa mlango wa mbele akaanza kutoa matusi ile mbaya, kumbe mule ndan ya gar kuna mkuu wa wilaya bhn mbaya zaid ile gar ilikuwa na bendera sasa cjui yeye hakuona,
Kilichofata 😂😂 alichukuliwa had polis, kufika pale kesi kumtolea lugha ya matusi mkuu wa wilaya alikaa lockup, badae akaanza kujitetea oh sikujua kama mkuu wa wilaya wakamuuliza kwahyo angekuwa hata kama si mkuu wa wilaya je kumtukana mtu tu inafaa? Ohh nisamehen hasira tu.
Bas hiki kisa kinatufunza juu ya kujifunza kuzuia hasira zetu na kuomba sana kwa Allah hata kama utakutana na jambo la kukukera vipi bas Allah atujaalie hikima na subra sana, kwasababu hasira na ghadhabu madhara yake si mazur.
Shukran ndugu Kwa ukumbisho
Mwenyezimungu akupe umrii mrefu Bado twakupendaa
Pole sana shehe wetu allha akuhifazi
ukilelewa vizuri utajuwa utaishimu kila mtu na utakuwa na tabiya nzuri na hata elimu utachukuwa mahala pazuri wangapi twaona kwenye mtandao wanatukana mashekhe bila hata uoga.nini malezi mabovu na au kalelewa vizuri kaiga mambo ya siyo faa nimtihani sana allaah anamuongoza aliye kuwa tayari kuwa mzuri watabiya mwanzo wa kutoka kwa wazazi wake
Shekh othma tunao jua thamani yako ni sisi wabongo sijui kwanini unaishi Zanzibar hali ya kuwa wabongo tunakulilia ,,
Pole
Mashallah ustaz
🇰🇪Allah akuzidishiee Maalim wangu nakupendaa sanaa❤
Mm ndo nammpenda zaidi nahisi km nammpenda zaidi peke yngu
Pole sana shekh wetu Allah akuzidishie subra, hekima na busara na uvumilivu na sisi vijana Allah atuongoze tuweze kuwaheshimu tunaowajua na tusiowajua
Pole sheikh wetu Allah akufanyie wepes
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh. Inna lillah wa inna ilayhi rajiun. Hata kama angekuwa sio Sheikh. Ustarabu, adabu, utu na ubinadamu ni vitu muhimu sana. Nidhamu ya mtu ndio silaha yake. Hivi huyu alie tukana angependa mzazi wake atukanwe hivyo kweli jamani?
Pole shekhe...😢😢😢😢
Blind spot mbaya sana
Tunakupenda sheh wetu Mungu akubariki Kila hatua😊😊
Ata kiongox akiteleza huwezi mtus Amtake radhii maalim then alete towba kwa Allah
Mungu aendelee kukupa moyo wakusamee shekhe wetu
Ila vijana kuweni na khofu ya Allah dunia tutaiacha jamani acheni matusi
Subhaanallah
Vijana wenzangu tuweni na respect na subra wakati tunapo tunapokuwa kila mahali leo katukanwa sh othman maalim siku nyengine utakuja kumtukan mzee wak au mkwe waking
Daah jmn tuchunge limi zetu kwaio katukan haja jua km ni sheik othuman maalim kwaio wengin anatukan
Shekh dunia imeharibika ata unaye mzania anabusara kumbe amnZo
Nakupenda sana ustadh maalim mungu akupe uzima sikuzote uzid kutumbusha
Hii story ya zaman san weken story mpyaa
Hoja stori ya zamani au kujifunza
Tabia hata iwe ya zama za kale haibadiliki story hii unayosema ya zaman haishi thamani kitabia
Huyu achiwe tu sh wetu hekma na busara na flsafa ya kuongea ni jibu tosha mungu kampa neema
Subhanalllah
SUBUHANALLAH
Pole shekh wangu kiongoz wetu ndio vijna wa leo
Ple sana shekh wetu ndio mitihan ya dunia😢😢😢😢
Allah atuongeze, msamehe Shkh Maalim Othman
Ashamsameh
Sisi tunakupenda kweli shekhe Allah akupe nguvu ya kutufunza am alaam
Watu wa kutupa maneno ovyo ovy wengi ni majahil
Subhana Allah
Ndivo walivyo waja pole sheikh wangu nakupenda kwa ajili ya Allah
Subhanallah mwenyezi mungu akufanyie wepes na akutangulie kwa kila hatua uipigayo Nakupenda kwa ajili ya Allah
pole Sana sheikh wangu kipenzi cha mimi
Congratulations to Apologies to sheikh Osman
Mungu akujalie moyo wa subra inshaallah
pole sana my shekh nakukubalii sanaa❤❤❤❤
Mungu. Akupe subira. Shekhe. Wetu. Changamoto. Hizi zipo nyingi. Allah atuongoze kwakweli
الله يحفظكم يارب العالمين
Pole
POLE SANA SHEIKH WETU KWA MITIHANI HIYO
Pole ustaadh Mungu akuzidishie subr InshaAllah
Allah akuhifa dhi shehe wetu
Allha akupe moyo wa subra ivoivo shee wetu
Subhanallah Allah akujaze Subra na ikhlaswi Shekh wetu
Pole shekh mungu akuzidishie subra
Huyu sheikh wa wapi? Chali Chali tu!
heshimu tafadhali kuuliza siujinga
Hujitambui wewe,,
Muache kiongozi wetu
@@AmAl-x9j kiongozi wa nn?
pole mwalimu wangu subra naiona kwako
Pole sana shekh wetu
Pole shekh wangu nakukubali sana
Pole.sana.shekhe.
Allah Akbar ❤❤❤
Mashallah
Pole sana ndo binaadam hao
Pole sana sheikh wetu ❤❤❤❤
Shekh wetu ❤️❤️❤️❤️
Pole sana
Ah!
❤❤❤❤❤❤ KWA ajili ya Allah