HOTUBA YA MHE. OTHMAN MKUTANO WA HADHARA GOMBANI PEMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 79

  • @AhmedSalim-uf5vy
    @AhmedSalim-uf5vy 9 днів тому +10

    Mungu atujaaliee atupee nusraa insha allah yakuichukuaa nchii hii kutokaa ktk ubeparii wa tanganyikaa

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 9 днів тому +9

    Wewe ndio rais unaetufaa kabisa kutuongoza kwenye mamalaka kamili ya Zanzibar❤❤❤❤ kura kwa Act wazalendo❤❤

  • @MsabahAli-d6u
    @MsabahAli-d6u 9 днів тому +11

    Hakuna aliepewa nauli apo hakuna vikosi vya smz hakuna wanafunzi ni wananchi wapiga kura wanaotaka mabadiliko

  • @KhamisMbarouk-l5c
    @KhamisMbarouk-l5c 9 днів тому +3

    🎉🎉🎉🎉❤❤🎉🎉 Amin inshaallah naiwe hivyoo

  • @ahmadjuma6083
    @ahmadjuma6083 7 днів тому

    Mungu atusimamiye inshaa allah

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 9 днів тому +3

    Wambie baba

  • @KhajiMwinyi
    @KhajiMwinyi 8 днів тому +1

    Sahau kabisa haupati hata viti 2 si Unguja wala Pemba . Katika taka zilizokuwepo kumbuka pamoja nawewe kwamana ulikuwepo

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 9 днів тому +1

    iko siku. yao. mungu halali.

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +1

      @@mozakhamis7253 mungu ni wa viumbe vyote usiongee as if hamna mabaya mnayo fanya ....
      Mungu huweka baraka zake kwenye nia njema......... wengine wameficha nia zao mbaya ila usoni utaona kama wana nia njema ......
      Ila Allah hapendi watu wanafiki
      Wanasiasa wengi ni wanafiki sana ......

  • @SalumRwambo
    @SalumRwambo 9 днів тому +1

    Wanao coment humu wengi wabaguzi unaona tu maneno yao watanganyika wanahusika nini hichi si chama Maalim kaondoka na kilakitu😊

    • @AloukAlriyaamy
      @AloukAlriyaamy 8 днів тому +2

      Ubaguzi upo wapi
      Wakati mnaoneshwa njia ya kuitafute Tanganyika yenu

  • @KhamisMbarouk-l5c
    @KhamisMbarouk-l5c 9 днів тому +2

    Yan kama kuna uwezekano wa kupana no ya makamo nigil furahi sana

  • @leonardmsafiri2199
    @leonardmsafiri2199 9 днів тому +1

    Wasiasa wetu du

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 9 днів тому +2

    Iitwe polisi ccm

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 9 днів тому +5

    ndungu zangu. maneno kwenye kutangazwa siku zote tunashinda. ila. hapo ndio tatizo. sasa lazima. tukishinda. tujitangaze wenyewe. tusingojee. tume. ni yanyani. lazima ampe ngendere.

    • @SuolFat
      @SuolFat 9 днів тому +1

      Kweli kabisa

  • @JumaMussa-s8t
    @JumaMussa-s8t 9 днів тому +1

    😂😂 Pimbi unachekesha

  • @SaidSaid-xt1qe
    @SaidSaid-xt1qe 9 днів тому +3

    Juzi wakazidi kujichanganya,eti deni la taifa kwa wao ni la ndani tu la nje bara ndio wahusika,kwa io wasiambiwe wana deni kubwa,raisi makamo wa pili na waziri wao wa fedha hawaelewani wanasema nini

  • @YunussalumAbdalla
    @YunussalumAbdalla 8 днів тому +1

    Nakukubali muhesmiwa unaongea ukweli siku zote ukweli utabakikua ukweli t

  • @omarkb6775
    @omarkb6775 9 днів тому

    Nimefurahi sana kurudishwa mwinyi kugombea mana tumapiga penalt zetu mapemaaa wana act than kma kuna mechi ndio tutaicheza ikulu na mh othman masoud

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 9 днів тому +1

    ccm ni majibwa koko. tu.

  • @SaidNassor-w6s
    @SaidNassor-w6s 9 днів тому +1

    Ccm hawajawh jushindwa wala hutowashinda unawalaghai vijan mwisho wake utaenda kujiunga na serekali ivo unayoikosowa haijafanya maendeleo lkn ww unakula mishahara wafuas wako unawacha mataa

    • @AhmedSalim-uf5vy
      @AhmedSalim-uf5vy 9 днів тому

      Sw kafirweeeeee

    • @salyali7807
      @salyali7807 9 днів тому

      Katika jambo walilofanikiwa CCM kwa watanzania ni kuwatia ujinga na wewe ndio one of their products

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 9 днів тому +1

      ​@@salyali7807😂😂😂 mbona km umekasirika

    • @AloukAlriyaamy
      @AloukAlriyaamy 8 днів тому

      Kamuulize Mh. Balozi Ali Karume kama unajitoa fahamu...

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +1

      @@AloukAlriyaamy Muulize wewe 😅😅... Kwan kupayuka kuna VAT c unajiropokea tu na wewe jiropokee tuu km yeye

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 9 днів тому +3

    Wanasiasa watu wa ajabu sana, sasa wewe mbona upo humo humo, kama kweli wewe ni msimamia wa haki usingekula kiapo ukawa Miongoni mwa hio serikali kipensi. 😂😂😂
    Hivyo visiwa unavitaja kuna gap kubwa kati ya walionacho na wasio nacho. Sasa kama wewe una policy hio ya kuijenga nchi kwa matabaka sawa.

    • @aksamhisham9862
      @aksamhisham9862 9 днів тому +2

      Kuwemo kwenye serekali kwa othman masoud kuwa makamo wa kwanza kwanza nataka ufahamu sio takwa lake ni takwa la katiba halfu pia sisi wanachama wa act wazalendo ndo tumemtaka awepo yeye kwenye hioo serekali kwahyo pilipili usoila yakuwashia nini

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 9 днів тому +1

      @aksamhisham9862 kujitoa au kukataa kwenye zulma hakumfanyi kuvunja katiba.
      Hata hivyo ni ndoto kuingia ndani ya * Bermuda Tangle "

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 9 днів тому +2

      ​@@aksamhisham9862😂😂😂 mbona utetezi wako ni wa kindeeeeezzzzzz sana .... Kwaiyo nyama ya nguruwe ni haramu ila mchuuzi anakunywa 😂😂😂 , hebu tumieni akili zenu vzr msiwe mazuzu kiasi chote icho 😂😂😂

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 9 днів тому +1

      @@aksamhisham9862 acha kujichanganya wewe .... Ni takwa la katiba au nyinyi wanachama 🤣🤣🤣.... Mwache anywe mchuuzi nyama ni haramu 🤣😂

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 9 днів тому +2

      @@mwanangusana mbona yule alieitwa na Muumba aligoma kuingia kwenye zulma ya mwaka 20015, na ni yeye nde aliyarithi makubadhi yake.

  • @SaidNassor-w6s
    @SaidNassor-w6s 9 днів тому +2

    Acha unafk ccm haikup nch at iweje

    • @JRN2612
      @JRN2612 9 днів тому

      Acha kupanic, unafki upi hapo ameongea? 😅

    • @FathiaHassan-g7t
      @FathiaHassan-g7t 8 днів тому

      Sawa hawatoi ila kumbuka mwenye uwezo ni Allwah pekoe yake wew panic 2

  • @JumaMussa-z1x
    @JumaMussa-z1x 9 днів тому +1

    Sasa ww utafanya nn?

    • @RashidAhmed-h7t
      @RashidAhmed-h7t 9 днів тому +3

      Atayatowa mijakazi ya kitanganyika ilio jaa mitaani inauza nyuchi

    • @abuuaidh6500
      @abuuaidh6500 9 днів тому +2

      Hio iitwe polccm majuha

    • @JCMaxima
      @JCMaxima 8 днів тому +1

      Mbona Wazenji wanajazana huku bara?! 😅😅😅

    • @RashidAhmed-h7t
      @RashidAhmed-h7t 8 днів тому

      Shida zenu watanganyika hamna akili mukija Zanzibar hamuhishim tamaduni munauza nyuchi na utapeli ndio maana hatuwataki

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 8 днів тому +1

      @@JCMaxima tena tupo wengi sana , wala hamtubagui .

  • @mozakhamis7253
    @mozakhamis7253 9 днів тому +1

    sasa nvombo. vahaları ni vingi. hakuna haja. yakusibiri tume. yauchanguzi hilo ni muhimu mno

  • @ramadhanihamisi3977
    @ramadhanihamisi3977 8 днів тому

    Tunaomba kiwanda Cha maziwa Pemba muheshimiwa makam omo

  • @abufeiy
    @abufeiy 9 днів тому +1

    Sasa Muheshimiwa wewe pia Makamo wa Kwanza wa Rais tumekuamini wananchi kama watu wanaiba serekalini kwanini huchukuwi hatuwa unasubiri nini????

    • @kassimmohd
      @kassimmohd 9 днів тому +1

      Anapambna ila makamo wa kwanza inakua Hana nguvu yoyote kweny serekali Bora Sheha anaskilzwa

    • @RashidAhmed-h7t
      @RashidAhmed-h7t 9 днів тому

      Wewe papai kweli wewe unafikiri chini ya Mwinyi kibaraka wa watanganyika atafanya Nini,

    • @abdallahmohd3777
      @abdallahmohd3777 9 днів тому

      Wewe wawapi hivi ccm unawajuwa,au unawasikiya.waka hawahitaji kuambiwa,hivi kweli utawambiya nn majambazi wakati wanakuwinda

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 9 днів тому +1

      Mbona km mna mtetea 😂😂😂 wakati na yeye yupo humo umo ... Na mawaziri anao kutoka chama chake ..... Nyama ya nguruwe haramu lakini mchuzi anakunywa 😅😅

    • @abdallahmohd3777
      @abdallahmohd3777 9 днів тому

      @mwanangusana inaonesha ndugu zanzibar mgeni au bado mtoto kwaiyo kuwa kwanza utakuja kujuwa au tafuta unawo waona wanajuwa wakufunze hata tanganyika wapo wanaoijuwa zanzibar