Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi huu. Kanisa limejazwa sana na mapokeo ya kipagani kuliko Neno la Mungu. Na mbaya zaidi mapokeo hayo ya kipagani yanaonekana kuwa ndio Ukristo.
Dunia ina watu wengi sana wanaotaka kujua ukweli wa Mungu maana hawaujui na waalimu wako wengi waongo.ni wachache sana wenye kuujua ukweli. Biblia umefunua kwamba Roho Mtkf ndiyo anatufundisha ukweli na kutukumbusha yote. Masanja ni mojawapo ya maelfu ya watumishi wasiojua ile kweli ya KiMungu. Yesu hakuwahi kusherekea siku ya kuzaliwa kwake hata kanisa la kwanza la mitume. Sikukuu ya chrismas ya iliwekwa na mfalme Constantine mwaka 336AD tarehe 25 dec ya kila mwaka na ikadhitishwa na kanisa la katoliki mwaka 356AD. Mungu ana siku.zake saba takatifu na hamna Christmas.
Hana uchungaji wowote mwenye akili afaham hilo...asante sana kaka
Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi huu. Kanisa limejazwa sana na mapokeo ya kipagani kuliko Neno la Mungu. Na mbaya zaidi mapokeo hayo ya kipagani yanaonekana kuwa ndio Ukristo.
Akili kubwa sana
Labda anatamani kua mwanamke
Isaya anasema piga kelele usiache ebu wambie hai maana wamekubuu ili wapate mafanikio kupitia watu Barikiwa sana kaka
Amina kaka ubarikiwe
X maxi ni upagani
Ubarikiwe
Dunia ina watu wengi sana wanaotaka kujua ukweli wa Mungu maana hawaujui na waalimu wako wengi waongo.ni wachache sana wenye kuujua ukweli. Biblia umefunua kwamba Roho Mtkf ndiyo anatufundisha ukweli na kutukumbusha yote. Masanja ni mojawapo ya maelfu ya watumishi wasiojua ile kweli ya KiMungu. Yesu hakuwahi kusherekea siku ya kuzaliwa kwake hata kanisa la kwanza la mitume. Sikukuu ya chrismas ya iliwekwa na mfalme Constantine mwaka 336AD tarehe 25 dec ya kila mwaka na ikadhitishwa na kanisa la katoliki mwaka 356AD. Mungu ana siku.zake saba takatifu na hamna Christmas.
Amina
Tunawatu wenye akili sana lakini wajinga wanalazimisha kutawala akili kubwa