Hello my friend Mbona unazidi kukufulu kwahiyo unamaanisha utabili wa maandiko wa mambo yote maafa yaliyotokea yanayotokea na yatakayotokea hawajafunuliwa manabii wa Mungu ni mamatunini? au sijaelewa maelezo yako maa maandiko yanasema kwamba Mungu hataruhusu jambo lolote kabla ya kuwafunulia watu wake hujatoa maandiko yote hayo makatuni vipi
Sikiliza vizuri nilicho kifundisha uelewe nilicho dhamiria Maana Yangu nikwamba machafu yanayo endelea Duniani na utabiri unao tolewa na makatuni hawa Ni mpango washetani kukamilisha Kazi zake sijajua wewe umenielawa cz mm Niko kinyume na Kazi za ibilisi
Hello my friend Mbona unazidi kukufulu kwahiyo unamaanisha utabili wa maandiko wa mambo yote maafa yaliyotokea yanayotokea na yatakayotokea hawajafunuliwa manabii wa Mungu ni mamatunini? au sijaelewa maelezo yako maa maandiko yanasema kwamba Mungu hataruhusu jambo lolote kabla ya kuwafunulia watu wake hujatoa maandiko yote hayo makatuni vipi
Sorry ni makatuni?
Nafikiri ungesimama katika neno habari za makatuni ni unatukuza miungu au ni nini maana yake
Nita jibu kupitia video asante
Sikiliza vizuri nilicho kifundisha uelewe nilicho dhamiria Maana Yangu nikwamba machafu yanayo endelea Duniani na utabiri unao tolewa na makatuni hawa Ni mpango washetani kukamilisha Kazi zake sijajua wewe umenielawa cz mm Niko kinyume na Kazi za ibilisi