Mafundisho yako bishop yananibariki sana, nimeanza kukufatilia toka mwaka 2012, kwenye kipindi cha fumbuo macho. Sahivi ninamiliki kampuni yangu ya real estate.🙏🙏🙏🇹🇿
Mafanikio ni matokeo ya kutatua matatizo ya watu..... Lazima uwe na uwezo kwanza pia jitihada katika za kutimiza jambo lako Ubarikiwe Sana. Kiukweli mimi napenda kuona matajiri sana tena wenye kumcha Bwana.
Mimi nimshirika wako tangu tukiwa furahisha,kanisa la mabanzi, Wakati mama mmoja alie kuwa Anaitwa Mama Mtui ndo alikuwa shemasi wetu kanisani, Barikiwa sana,
Nakupenda sana bishop anaekasirika kwa mafundisho unayompa basi atakuwa kazaliwa na ulemavu akilini.. Kwakweli unatupenda sana mafundisho yako yananibadilisha sana najiona wa tofauti siku hizi
Bishop mpemba nimekuwa nikitumia maarifa haya unayoyafundisha tangu miaka ile ukiwa na mtumishi Emmanueli Raymond na katika kipindi chako enzi zile kupitia kwa Neema FM siku za Jumatano jioni kilichoitwa MAWAZO YA MABILIONEA. Hakika nimepiga hatua Glory be to God
Kwa kweli huwa napata jumbe hata ninapokuwa ninaoga. Lakini siwezi kurekodi ktk hali hiyo ya bafuni. Nimeizoeza akili yangu kuwaza mambo ya kusaidia watu na hivyo message hupambana kutaka kutoka. Narekodi sebuleni, chumba cha dining, ofisini kwangu nyumbani, ninapopaki gari au ninapotembea. Nikikutana na wewe unaweza shangaa nikakuomba uniruhusu kwa dk chache nirekodi kitu kabla ya kupata chakula. Sina muda wa kupoteza!!
Asante sana nimeamka na kuona hii clip imenihamasisha sana real
Ubongo wako uko juu sana
Mafundisho yako bishop yananibariki sana, nimeanza kukufatilia toka mwaka 2012, kwenye kipindi cha fumbuo macho. Sahivi ninamiliki kampuni yangu ya real estate.🙏🙏🙏🇹🇿
Watu wenye shuhuda kama zako ni wengi sana. Endelea kunifuatilia. 🙏🙏
@@bishopaugustinempemba4561 Sawa mtumishi wa Mungu.🙏
Barikiwa
sawa kabisaaaa (ufunuo 2:9) nimekuelewa bishop
Absolutely revelatory message 🙏🏾
Mafanikio ni matokeo ya kutatua matatizo ya watu..... Lazima uwe na uwezo kwanza pia jitihada katika za kutimiza jambo lako
Ubarikiwe Sana. Kiukweli mimi napenda kuona matajiri sana tena wenye kumcha Bwana.
Mimi nimshirika wako tangu tukiwa furahisha,kanisa la mabanzi, Wakati mama mmoja alie kuwa Anaitwa Mama Mtui ndo alikuwa shemasi wetu kanisani, Barikiwa sana,
Nimekumbuka
Baba naomba msaada ,Nahitaji kufika nchi za njee ila sijui pa kuanzia
Pendeza kijana wa Yesu kabla hata sijakusikilizaaaa ha uwiiiiiiii.agayaaaa
Nakupenda sana bishop anaekasirika kwa mafundisho unayompa basi atakuwa kazaliwa na ulemavu akilini.. Kwakweli unatupenda sana mafundisho yako yananibadilisha sana najiona wa tofauti siku hizi
Bishop mpemba nimekuwa nikitumia maarifa haya unayoyafundisha tangu miaka ile ukiwa na mtumishi Emmanueli Raymond na katika kipindi chako enzi zile kupitia kwa Neema FM siku za Jumatano jioni kilichoitwa MAWAZO YA MABILIONEA.
Hakika nimepiga hatua
Glory be to God
Full of knowledge and wisdom...clip hii imebadilisha mawazo yangu.
MUNGu akubariki Sana Bishop
Nakubaliana na wewe mia KWA mia
dah, ulinijenga sana kimafundisho Bishop
Ubarikiwe Sana Mtumishi Kwa Akili Kubwa! Mungu Akulinde..
Katika shida kuna mafanikio... Very true..
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu aliye hai.
Amina baba
Moses malganya hapa Amina Baba
Kwakweli wewe ni mwalimu mzuri sana.
Umeniamsha baba...
Nabadilika
Good
unatupa principal za kweli mungu azidi kukubariki sana
principles never fails. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.
Mwake sana 👌🏾
Akili kubwa hiyo
Mpemba tunashukuru kwa kutufungua
Agayaà
Ameni
Mzee wa kazi
🔥🔥🔥🔥🔥
Lakin kwann unatoaga speech ukiwa unadrive ?????
However I do appreciate what U have dane
Kwa kweli huwa napata jumbe hata ninapokuwa ninaoga. Lakini siwezi kurekodi ktk hali hiyo ya bafuni. Nimeizoeza akili yangu kuwaza mambo ya kusaidia watu na hivyo message hupambana kutaka kutoka. Narekodi sebuleni, chumba cha dining, ofisini kwangu nyumbani, ninapopaki gari au ninapotembea. Nikikutana na wewe unaweza shangaa nikakuomba uniruhusu kwa dk chache nirekodi kitu kabla ya kupata chakula. Sina muda wa kupoteza!!
@@bishopaugustinempemba4561 nakubali Sana mpemba.
Daha we hatar sana
Nini tena?
@@bishopaugustinempemba4561 mafundisho yako nayafatilia sana sana ndio maana nikasema we hatr
@@anahanah9145 Endelea kunifuatilia. Hutajilaumu kutumia bando lako!
@@bishopaugustinempemba4561 tuko pamoja baba
Always in 🚗
Aghaya
Nimekuekewa sana leo
Endelea kunisikiliza utajengwa sana