Nidhamu binafsi ndilo jambo la muhimu sana, kujisimamia mwenyewe kufanya kazi kwa ubora, kuwahi ofisini na kufanya yote bila kulazimishwa au kusukumwa na mtu yeyote. Somo zuri sana.
Asante sana kaka kwasasa niko kwenye hatua yakutokuaminika mm nifundi nashona nguo nanifundi mzuri ulichosema ndochoninachokiana asante sana nais nahitaji uvumilivu sasa
Tunaitaji sana vitabu vyenu ila mkipigiwa cm ampokei tukiwacheck kwenye whatssp mnazipokea amjibu chochote kwaiyo me nashahuli tupe njia sahihi ya kupata vitabu vyako Kama unauza.
Asante Sana kwa somo Yan had nimeahusha pumzi na nimeshangaa,kwasab uliyosema ndiyo nayopitia inshot umenpa nguvu,ilifika wakt nkajiuliza au siwez kujiajili? Kumbe ninchangamoto tu,daah! Ahsante Sana mwalim.
Hi Joel am from Kenya I can't communicate with you via your number please send me at least email , I am interested to meet you so we can communicate in person . Thanks for the message of today.
Kitu kimoja nikwamba hujiuliza maswali mingi pale amabapo unataka kuanza biashara nawewe ni muajiriwa sasa nikianza biashara nikitoka kwa kuajiriwa je nitapata wapi hela yamatumizi ambayo nilikua napata kwa kila mwezi naistoshe nitakua mgeni kwahiyo biashara nanitachukua mda gani mpaka pale biashara yangu itapo shika kasi na je ikichukua takribani miez mnne mitatu au hata miwili sasa najiuliza si nitakua nimepoteza lakin nikibaki kwa ajira nitaendelea kupata hizo fedha za matumiz
Nidhamu binafsi ndilo jambo la muhimu sana, kujisimamia mwenyewe kufanya kazi kwa ubora, kuwahi ofisini na kufanya yote bila kulazimishwa au kusukumwa na mtu yeyote. Somo zuri sana.
Changamoto Yangu Ni Muda Wa Kupumzika...
Najikuta Nafanya Kazi Sometimes Mpaka Jumapili...
Kutoka Saa 1 Asubuhi Mpaka Saa 5 Usiku...
Ahsante kwa elimu nzuri, Changamoto yang ni kuchelewa kwenda kazin.
Nakufwatilia Sana brother
Asante sana kaka kwasasa niko kwenye hatua yakutokuaminika mm nifundi nashona nguo nanifundi mzuri ulichosema ndochoninachokiana asante sana nais nahitaji uvumilivu sasa
Umenipamoyo sana kaka mimi nimewekeza pesa nyingi lakini ninayopitia anayejuwa ni MUNGU tu🙏
P0le
Nashukuru xana bro kupitia masomo yako mwezi huu nimeanza kujiajiri yamenisaidia xana barikiwa
Nimekuelewa sana Jay thanks for your help
Tangu nimeanza mufatilia mafundisho yako@Kaka Joel. Ukweli nimepata mengi na nimebadilika sana. Bila shaka at the top nitafita tu.
Yess yess joeli wewe nitahalam
💥💥🙏🙏🙏🙏🙏AHSANTE SANA KAKA
Asantee sana ki ukweli unanibariki sana ktk mafundisho yako
Tunaitaji sana vitabu vyenu ila mkipigiwa cm ampokei tukiwacheck kwenye whatssp mnazipokea amjibu chochote kwaiyo me nashahuli tupe njia sahihi ya kupata vitabu vyako Kama unauza.
Asante Sana kwa somo Yan had nimeahusha pumzi na nimeshangaa,kwasab uliyosema ndiyo nayopitia inshot umenpa nguvu,ilifika wakt nkajiuliza au siwez kujiajili? Kumbe ninchangamoto tu,daah! Ahsante Sana mwalim.
Dah!! MY teacher leo imefundishwa topic NZURI SANA!!!🙄🛑
Changamoto namba moja
Ur the my best teacher
Kaka Joel Mimi Nina kampuni Nina shida sana na supporters ... Mtu wa kunibust mtaji Zaidi
Kitabu nakipataj sasa
Kabisa
Big up brother
Thanks blood 🙏🙏
Naomba kupata hicho kitabu
Asante sana. Uko sahii
Mim nidham ndo yaniumiz kichw San nikisem kesh naamk saa kumi naamka saa kumi na mbil na wakat nilpokuw kwa box nilkuw naamk saa tisa naend job 🙆🙆🙆
Dah unanisema
Hii background music melody sjui inaitwajeeeee naipenda 😍🥰
Thanks Brother Joel
Kitabu hicho gharama yake ikoje??
Hakuna pesa tamu kama ya kwako mwenyewe bila kupangiwa .
Kutojiamini
Kaka nnanauka barikiwa sana
Changamoto ya kutoaminika na kujifunza mambo mengi kwa wakati mmoja
Yaan bnafs likizo sinaga had unalala unashtuka ujageuka kumekucha.
God bless you brother @kenya
Bro me nimejiajili ila naona kama kunakitu nakosea mahana sioni mafanikio kabisa
Unstable income mkuu
Asante Kwa elimu.......
Live coach Joel nanaoka mm nataka kuanxa kujiajiri maana nilikuwa naajiriwa naomba ushauri wako.
Na siyo siku nyingi kuanxia kesho
Good lesson
Nimeajiriwa narafiki yangu lakini natamano kujiajili kwenye ofisi yangu
Joel nanauka your the best
🙏🙏
hiy ebook ni shingap joel
Mm nikuzingatia muda wa kuanza kaz na muda wa mahesabu
Asante sana kaka
Nakukubali Sana kaka Joel
Kaka umenijenga sna ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana
big brain...
Hi Joel am from Kenya I can't communicate with you via your number please send me at least email , I am interested to meet you so we can communicate in person . Thanks for the message of today.
welcome Brian, my email jnanauka@gmail.com
Tatizo langu ni matumiz mabaya ya fedha
Mm natak kitabu soft copy nakipataje?
Yan Leo ume tugusa
Kak nakuelewa san
Asati saana kwakudutianguvu mukwanzisha vyetu.
Hicho kitabu kina patikana kenya
Kuogopa kuanza ndio changamoto yangu
nataman sana kujiajili lakin njinsi yakutoka nilipoa inakaa ngum kwel
Asante sana kaka ❤
Naomba nisaidie jinsi ya kupata vitabu vyako nipo ifakara morogoro
Self discipline & kutokuaminika ninapoanza
Njia gan naweza kupata kitabu icho
Lack of days
Nikiitaji vitabu vyako naipataje kaka
Ahsante sana kaka Joel....... Mm npo hapo unstable income ., .........👇👇👇👇👇ua-cam.com/video/UTw4sM6zx1Y/v-deo.html
Tatizo langu ni kukosa nidhamu ya fedha...naomba msaada tafadhali.
Kitu kimoja nikwamba hujiuliza maswali mingi pale amabapo unataka kuanza biashara nawewe ni muajiriwa sasa nikianza biashara nikitoka kwa kuajiriwa je nitapata wapi hela yamatumizi ambayo nilikua napata kwa kila mwezi naistoshe nitakua mgeni kwahiyo biashara nanitachukua mda gani mpaka pale biashara yangu itapo shika kasi na je ikichukua takribani miez mnne mitatu au hata miwili sasa najiuliza si nitakua nimepoteza lakin nikibaki kwa ajira nitaendelea kupata hizo fedha za matumiz
Self disprine
Nahitaji kitabu hicho ni bei gani nipo nnje ya nchi
Nahitaji kitabu hicho Broh# 0744740850..
Kitabu Cha Namna ya kujiajiri#
Shingap kitabu