Kazi mnayo ifanya ndio kazi ya Mitume sala na salaam ziwe juu yao, Allah swt awafeshe mukiwa katika kazi hiyo ili awafufuwe pamoja na Mitume wake na awalipe malipo ya Mitume na waingize katika pepo ya FIRDAWSY pamoja Mitume Inshaa-Allah
Asanten sana mashekh wetu fanyeni kazi ila mungu atawalipa ila ndugu zetu wakristo fikirini vi zuri musije mukala hasara baada ya kufa kama hamtasilimu
MashaAllah. Mada nzuri once again. Ai, haka Ka Brian kanji fanya Mujuaji, lakini hana andiko la semao 'Ukristo' ni Dini. WaKristo sijui kwanini wako na UWONGO mwingi hivi? Wana ongeaga POROJO nyingi, BILA andiko lolote. Na huyo Raphael asha anza kazi ya Traffic yaku enua Mkono kila wakati, aki taka ku WASTE Time ya Mada! Pigeni huyu Raphael Ban! Ni Time Waster, tena kichwa Ngumu sana, kama WaKr8sto wengi hapa!. TabarakAllah Team.
@@user-hy5zd5rn6rhebu Soma Kur an vizuri upate kujuwa Islam Usi tafsiri aya moja kivyako lazima Unasikia mwenyewe makosa katika bible yetu Kama unalo swali uliza utajibiwa
Ai, na huyo Kijana wa Kofia ambaye ime pewa Slot ya Kesho na Ustsd Salim, kwa sababu leo, ame jaa 'Holy SPIRIT' inao itwa Chan'gaa! Hata KingJames na WaAndishi wake 46, wa BIBLIA, wa Ki PAGANI, pia wali kuwa INSPIRED na HOLY SPIRITS za 'Whiskey na Brandy', in 1611AD. Na hizo Holy Spirits MBILI, zili toka Home Town ya King James,ya SCOTLAND!
Utadhi Mbona unapandikiza yako tena kusema mtu mweusi ndio original wakati tyr ulikwisha Soma aya wajaalnakum Shuuba wakabaila litaarafu akramakum indallah atkakum
Anachokifanya sheikh ni kikubwa sana kuliko mapungufu yake. Usikae kukosoa tu, hakuna aliyekamilika but sheikh Salim anafanya kazi nzuri sana. Tuwe ni wepesi wa kuongeza badala ya kukosoa na kutafuta makosa kila wakati. Allah SW ni mjuzi zaidi.@@AhmedZahor
Kabla ya yesu kuzaliwa njia ilikua gani? Hujiulizi? Na huyo unaemuita yesu anasema hiv 👉 SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WANYUMBA YA EZRAEL 👈 wewe apo uko wapi?
Mashallah sheikh salim Allah awahifadhi nyote na awalipe pepo
Aamiin amiin amiin sote
Sheikh Salim unasema kweli kabisa...Allah akuongoze
Aamiin amiin amiin sote
Alhamdulillah Kwa mafunzo masheikh wetu
ماشاءالله تبارك الله
Mwenye kupoteza muda muondoe haraka mwalimu wangu anatupitezea mb zetu tunotaka kusoma tupo wengi.
Inn shaa Allah
Inn shaa Allah
Kazi mnayo ifanya ndio kazi ya Mitume sala na salaam ziwe juu yao, Allah swt awafeshe mukiwa katika kazi hiyo ili awafufuwe pamoja na Mitume wake na awalipe malipo ya Mitume na waingize katika pepo ya FIRDAWSY pamoja Mitume Inshaa-Allah
Aamiin amiin amiin sote
Aa mungu awabariki
Asanten sana mashekh wetu fanyeni kazi ila mungu atawalipa ila ndugu zetu wakristo fikirini vi zuri musije mukala hasara baada ya kufa kama hamtasilimu
SubhanaAllah.Nihatari.haya.makanisa.
Mash ALLAH alhamdulilah ❤❤❤
MashaAllah.
Mada nzuri once again.
Ai, haka Ka Brian kanji fanya Mujuaji, lakini hana andiko la semao 'Ukristo' ni Dini.
WaKristo sijui kwanini wako na UWONGO mwingi hivi?
Wana ongeaga POROJO nyingi, BILA andiko lolote.
Na huyo Raphael asha anza kazi ya Traffic yaku enua Mkono kila wakati, aki taka ku WASTE Time ya Mada!
Pigeni huyu Raphael Ban!
Ni Time Waster, tena kichwa Ngumu sana, kama WaKr8sto wengi hapa!.
TabarakAllah Team.
Inn shaa Allah wale waku waste time tunawaangalia sana
@@salimdaawah123 Masha'Allah!
Mashallah, sasa wakristo kweli wanataka kusoma sio kudanganywa na wachungaji
Tena wanahitaji vitabu sana hata sikuamini
Allahamdulillah
Murudisheni kijana huyu (mwenye kanzu nyeupe) kwa Kusoma vitabu takatifu, yuko vizuri sana
Inn shaa Allah kwa sasa yuko kwao
WAKRISTO HAWANA UWEZO WA KUFIKIRI, YAANI JINA LA MTU NDIO DINI YAO🤣🤣🤣🤣
Mlinyimwa nafasi ya kuuliza maswali.
Ushawahi jiuliza iweje Allah anaapa Kwa aliyeumba jike na dume? Qur'an 92:3
@@user-hy5zd5rn6rhebu Soma Kur an vizuri upate kujuwa Islam
Usi tafsiri aya moja kivyako lazima
Unasikia mwenyewe makosa katika bible yetu
Kama unalo swali uliza utajibiwa
Wewe ndio unajidaganya njia ya Yesu kristo haiwezi kuwa kristo.je njia za manabii wengine mbona haziwi majina yao
Swali nzuri sana
❤
Masha Allah ❤
kuna bazi ya makafiri wanaviburi sana
Tena sana Allah awaongoze waione haki na waifuate
wewe ndio unajidanganya na hujielewi na unachosema uliza ujibiwe na sio unabisha tu chenye usiojuwa
Ataelewa tu inn shaa Allah
Ai, na huyo Kijana wa Kofia ambaye ime pewa Slot ya Kesho na Ustsd Salim, kwa sababu leo, ame jaa 'Holy SPIRIT' inao itwa Chan'gaa!
Hata KingJames na WaAndishi wake 46, wa BIBLIA, wa Ki PAGANI, pia wali kuwa INSPIRED na HOLY SPIRITS za 'Whiskey na Brandy', in 1611AD.
Na hizo Holy Spirits MBILI, zili toka Home Town ya King James,ya SCOTLAND!
Kuna jamaa alitaka Sana kuuliza swali fanyeni uadilifu.
Inn shaa Allah leo walikuwa wengi sana
Jamaa GANI huyo unayom ongelea?
Mos mos dada......
Hiyo njia ya Yesu ni ipi elezea watu wajue
Njia ya yesu ni..kufuata..yale aliyeyafunza...akiwa ulimwenguni
@@zetechraj4992wewe unafuata aliyofundisha Yesu?
Utadhi Mbona unapandikiza yako tena kusema mtu mweusi ndio original wakati tyr ulikwisha Soma aya wajaalnakum Shuuba wakabaila litaarafu akramakum indallah atkakum
Anachokifanya sheikh ni kikubwa sana kuliko mapungufu yake. Usikae kukosoa tu, hakuna aliyekamilika but sheikh Salim anafanya kazi nzuri sana. Tuwe ni wepesi wa kuongeza badala ya kukosoa na kutafuta makosa kila wakati.
Allah SW ni mjuzi zaidi.@@AhmedZahor
Apana munaji danganya Sana, njia ya ukweli ni Kristen Yesu
Yesu ni Mkristo? Nimepatie evidence alikuwa Mkristo na jina lake ni jesus au Yesu😏😏😏😏😏😏
Imandikwa wapi na wapi inasema ukristu kwa bibilia ni dini ama ukiristu achana na wakristu
Hadi hajui jina ye yesu aliopewa na mamake 😂@@Zainab_salat
Kabla ya yesu kuzaliwa njia ilikua gani? Hujiulizi? Na huyo unaemuita yesu anasema hiv 👉 SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WANYUMBA YA EZRAEL 👈 wewe apo uko wapi?
Kristo ni kujipaka mafuta