"Tunasisitiza watu waache kuvuta sigara"
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Kila Septemba 29, dunia huadhimisha siku ya Moyo Duniani.
-
Takwimu za wizara ya afya nchini Tanzania za mwaka 2023, zinaonesha kuwa kuna ongezeko la asilimia 9.4 za magonjwa ya Moyo na Shinikizo la Juu la damu.
Mwandishi wa BBC @mubalileonard amezungumza na Daktari Peter Kisenge mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete nchini Tanzania kufahamu sababu haswa ni nini?
🎥: @frankmavura
#bbcswahili #tanzania #afya
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili