hana majabu wala msaada kwa masikin walio jaa tanzania hayo ya quraan nikawaida kabsa so hatuna haja nae yeye wala mamake wanajitajirisha wao tu hawana huruma na wana nchi ambao mali za tanzania wanazo ziuza ni zahao watanzania masikin akanye mbele huko 😏😏😏
❤❤❤ iwe kheri kwa Rais na awake pia
Together,,,,,my leader❤❤❤
Good leader,,,,,,Masha Allah
Masha Allah kila la kheir❤❤❤
Huyu ni Mh Wanu ni Mbungu wa kuteuliwa Anajitahidi kusaidia wananchi wetu bar na zanzibar Allah Atamuhifadhi In sha Allah
Dada wanu naomba uniwezexhe bati niezeke pagala langu na mungu atakubaliki💚💚🤚🙏🙏
@@remidusmwanandenje-yy5gs hahaha kirahis kabisa
Mh nakuombea kila la her ufanikishe hilo .mungu akupe moyo na ufanic wa kaz zako
SAFI SANA
Mimi nirifikiri je hii ni nchi ya arabini kumbe tanzania maajabu
Huyo mtoto wa Raisi unategemea awe kama sisi wakulima?
Anaongea kama mama yake
hana majabu wala msaada kwa masikin walio jaa tanzania hayo ya quraan nikawaida kabsa so hatuna haja nae yeye wala mamake wanajitajirisha wao tu hawana huruma na wana nchi ambao mali za tanzania wanazo ziuza ni zahao watanzania masikin akanye mbele huko 😏😏😏
Kabisa mtoto na mamake wore tuna waonea under 18 au vipy 😊😊😊😂😏😏😏😊
Huyo mtoto anacheo Gani serikalini
Kubebana tuu
Ni mbunge na wazili Zanzibar
Mbunge kama Kabebwa na wananchi maana kachaguliwa nasio waziri
huna lolote