BABA YANGU KIPOFU Full episode /12/

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • #love

КОМЕНТАРІ • 1,1 тис.

  • @BabaJoani
    @BabaJoani  3 місяці тому +301

    JAMANI COMMENTS ZENU ZOTE NINAZISOMA KWAIO USIACHE KUKOMENT KWA KUHOFU KWAMBA SITOIONA COMMENT YAKO, ENDELE KUTOA COMMENT ILI NIZIFANYIE KAZI ASANTENI, NAWAPENDA MNO WATU WANGU MUNGU AWABARIKI

    • @MwahanjeNdegwaNdegwa
      @MwahanjeNdegwaNdegwa 3 місяці тому +12

      🇰🇪 Usijali tpo pamoja
      Hku kenya tunakukubali sana broo🇰🇪 We jembe brother.

    • @lucyodhiambo5554
      @lucyodhiambo5554 3 місяці тому +11

      Tunakupenda 😂😂hata kuliko mabwana zetu endelea kuleta zingine utuchangamke hapa UA-cam 😂😂😂😂bwana yangu asisome hii comment sita lala nyumbani leo jamani 😂😂😂

    • @MERCYmercy-rl3lu
      @MERCYmercy-rl3lu 3 місяці тому +5

      Tunakupenda sana baba karobo ❤

    • @amarikakozi8452
      @amarikakozi8452 3 місяці тому +4

      Nataka number yako brother

    • @ZiadaNiyinkuru
      @ZiadaNiyinkuru 3 місяці тому +3

      ❤❤❤❤ nakupend san munachez vizir

  • @chantalmariesony2996
    @chantalmariesony2996 3 місяці тому +28

    😂😂😂😂 baba kalobo ongera sana mukojo munakojowa Kwa ndoo😂😂😂 zujath muongo kwenye Glass 🍷

  • @etsareliza6687
    @etsareliza6687 3 місяці тому +21

    Yaani kila m2 niwakwaza anaomba like haya na wamwisho tutaomba nini. Baba kalobo hongera sana na ma.kalobo kacheza vzr 🎉🎉

  • @constantinndayishimiyenshu4948
    @constantinndayishimiyenshu4948 3 місяці тому +14

    Thank you baba Kalobo from Rwanda

  • @suleimankipyego5143
    @suleimankipyego5143 3 місяці тому +16

    Nipeni like jamani mimi mkenya nko Canada 🇨🇦

  • @Jacky-u5h
    @Jacky-u5h 3 місяці тому +24

    nimefurahi leo.kutoka kenya nafatilia mno.like hata mbili mtaridhika

  • @sikujuakigwada3146
    @sikujuakigwada3146 3 місяці тому +33

    Wakwanza leo, likes zangu nataka

  • @zephbaraka
    @zephbaraka 3 місяці тому +43

    Mnipee like leo...
    Kazi safi nmekuwa nkiifuatilia Sana Kwa muda.......Kenya tunaipenda hii sana

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp 3 місяці тому +4

    Aminia bb karobo ila heee mama karobo tapeli apuliza huku akitafuna 😂nakufuatilieni mwanzo mwisho from yemenia❤hizi story zenye kuelimisha

  • @mvinyo99
    @mvinyo99 3 місяці тому +30

    Hongera Kwa KAZI nzuriii baba Joan
    Waomb likes toen maonii KIPI kiongezeke au maoni mengne sio kuomba likes tu😊

  • @SmilingCaterpillar-yy3jc
    @SmilingCaterpillar-yy3jc 3 місяці тому +32

    Baba joan naomba nami nipatie scene Moja nawew from MWANZA. NAPENDA sana kazi zako

  • @alexandrodieumerci8955
    @alexandrodieumerci8955 3 місяці тому +187

    From Burundi 🇧🇮 mjue kuwa mnanibagua sana maana sijapewa hata like 10 , jameni

    • @SadaKigwangala
      @SadaKigwangala 3 місяці тому +2

      Hapana jaman❤❤ karibu sana

    • @jonnyndixh9414
      @jonnyndixh9414 3 місяці тому +2

      ​@@SadaKigwangalahyo like unataka haijafika

    • @Abomalek-o2e
      @Abomalek-o2e 3 місяці тому +1

      ❤❤

    • @mpajibinaisa7238
      @mpajibinaisa7238 3 місяці тому +1

      Oyaa ntakibhazo ilike ngizo ngaho tola

    • @HajiMwanz-to3vg
      @HajiMwanz-to3vg 3 місяці тому +1

      Sisi kama wa tanzania atunaga ubaguz ndugu kama like utapata tuuu😂

  • @Everayubu
    @Everayubu 3 місяці тому +3

    Mm jaman ujue sielew kile kipengelee cha yule mbaba na mke wake wanajikojolea cjui kinamaanaa ganii kweny hii moveee mmeniachaa

  • @J74251
    @J74251 3 місяці тому +16

    Kutoka Kenya Hapa Niko nakufatilia mwanzo mwisho Kaka kazi nzuri Sana ❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤❤🎉❤

  • @stivemgonja4657
    @stivemgonja4657 3 місяці тому +8

    Mnahangaika na like lakin kulike za wengine aaah

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 місяці тому +16

    Nyuki yaan ww utafka mbingun umechoka sana, lkn hongera

    • @abedsaidy7263
      @abedsaidy7263 3 місяці тому

      😂😂

    • @minaelpaul9219
      @minaelpaul9219 3 місяці тому +1

      @@JullianaEmmanuel-tm5xg alitakiwa awe mchungaji wa ukweli

    • @FaustinaAngelo-d4d
      @FaustinaAngelo-d4d 2 місяці тому

      ​@nyukitvonlinemwendelezo wa ndoa ya kahaba

    • @rukiahassan7001
      @rukiahassan7001 2 місяці тому +1

      Nyuki umefika fikaje uku naona kwako ni donta tv

  • @KelvinKalinga-rf4jt
    @KelvinKalinga-rf4jt 3 місяці тому +20

    😂😂😂😂
    Hilo kojo amelinywa leo dadeki

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 3 місяці тому +42

    Dakika ya kumi huyu mama karobo angemwagiwa tu kwa mdomo ili afunge hiyo mdomo ako n kiherere xx watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @amosbarasa3516
      @amosbarasa3516 3 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂 She's amazing I say, I like how she acts

    • @DamarisDammie
      @DamarisDammie 3 місяці тому +1

      @@amosbarasa3516 huyu n moto jameni 😂😂😂

    • @ashamwanganzi6400
      @ashamwanganzi6400 3 місяці тому

      😂😂😂yaan kwel aki anakera kinyama wallah😂😂😂😂

    • @amosbarasa3516
      @amosbarasa3516 3 місяці тому

      @@ashamwanganzi6400 but sio Kwa ubaya

    • @MiriamKiroko
      @MiriamKiroko 3 місяці тому

      Also in Kenya 🇰🇪

  • @Mwinyh-lp1mo
    @Mwinyh-lp1mo 3 місяці тому +20

    1:38 tembere limengia mkojo 😁😁 tutakula 😂😂😂😂

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p 3 місяці тому +65

    Leo20 kutoka 🇧🇮🇧🇮 naomba like zangu🎉❤🎉

  • @BensonJairo-o5y
    @BensonJairo-o5y 3 місяці тому +29

    Wakwanza Leo nipeni likes zangu kutoka kenya

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 3 місяці тому +30

    Jamn waooooh❤🎉 mpewe mauwa yenu

  • @perissigano
    @perissigano 3 місяці тому +47

    From Kenya 🇰🇪🇰🇪 likes zikuje❤❤❤

  • @tresorkinyeshe6965
    @tresorkinyeshe6965 3 місяці тому +13

    Kweli baba lobo nimusanii kaabisa anaombwa ku like vidéo zakwake na musahada ila number 13 siiyone sijuwe kama hipo de njo mwisho

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 3 місяці тому +34

    Sijawahi pata like me nawapa nyie tu na mm naomba 😢😢❤😂

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 місяці тому

      Baba karobo no one

  • @pkcamlesh2465
    @pkcamlesh2465 Місяць тому +2

    Bwana kikojozi na binti kujamba mumenimaliza katika maguzungumzo ya kufanyia ufumbuzi tatizo lenu😂😂😂😂🖐️✋duh nmecheka mpaka mbavu zmeuma😂

  • @jemeswambua3174
    @jemeswambua3174 3 місяці тому +24

    Dio wakwaza Leo kutoka 🇰🇪

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 місяці тому

      Baba karobo no one

  • @MudyAboud
    @MudyAboud 3 місяці тому +6

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nlikuwa nangoja mtuamwagiwe mkojo mecheka had mejizindukia😂😂😂😂😂😂

  • @EstherEsther-u2k
    @EstherEsther-u2k 3 місяці тому +10

    Part 13 I don't want to miss any part am sending love from Uganda 🇺🇬

  • @stevedavid1198
    @stevedavid1198 3 місяці тому +32

    From Nairobi Kenya 🇰🇪 hizo likes jamani

  • @JoffiAlenga
    @JoffiAlenga 3 місяці тому +7

    😢😅😂😂😊 Jr has been in a rush with my family's and cool house in the morning 😁 I think I want you guys to sell the car and the car is my favorite color I think I want to sell it for you and I want you to be a good friend of mine too lol and

  • @Junior-l4u4p
    @Junior-l4u4p 3 місяці тому +66

    Jamani leo nim wahi hata ddakika haijaisha naomba like zangu from burundi

  • @philohmutua2968
    @philohmutua2968 3 місяці тому +4

    Team hamam nini nafwatilia baba karobo nikiwa tabuk. Nawewe❤❤❤

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c 3 місяці тому +18

    Kazi safi Sana hongereni Baba karobo unatufunza Sana mambo mengi mungu ashidi kukuongezea kupita hapo ulipofika🎉🎉❤

  • @Fadhakir21
    @Fadhakir21 3 місяці тому +11

    Kazi za sisi waha sio za kitoto like moja kwanza ya baba karobo ❤Nisovyeko😂😂😂

  • @MashMashile
    @MashMashile 3 місяці тому +15

    Baba Joan love your movie mw w maisha unanifundisha sana ...unafundisha maisha

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 місяці тому

      Baba karobo no one

  • @AksantibiganikiroJoel
    @AksantibiganikiroJoel 3 місяці тому +19

    Napenda sana asante Joël form congo ❤❤❤

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 місяці тому +27

    Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Naomba likes

  • @HendriBunuas
    @HendriBunuas 3 місяці тому +15

    Baba karobo anaweza 👍mimi kutoka MZ nigongeh like 20 tu

  • @lartiste243lovangel3
    @lartiste243lovangel3 2 місяці тому +2

    Usijali baba kalobo tuna kufata sana Congo RDC naomba like zenu jamina Nami nafanya music 🎵

  • @Sakina-jl6fn
    @Sakina-jl6fn 3 місяці тому +11

    Nipitieni uku twendelee na safari

  • @KambaleMbangale
    @KambaleMbangale 3 місяці тому +14

    Leo Wakwanza mimi

  • @niyogushimadorine6086
    @niyogushimadorine6086 3 місяці тому +21

    Nimechelewa nawapenda sana team kalobo tujuane. Fromm Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤️ 💖

  • @PriskusMarunda
    @PriskusMarunda 3 місяці тому +40

    Nimekuwa wakwanza naombeni like zangu

  • @sandejacob623
    @sandejacob623 3 місяці тому +17

    naomba fashion atengeneze nyimbo ya baba yangu kipofu , itakuwa vizuri sana

  • @ishararamazani1
    @ishararamazani1 3 місяці тому +6

    Nitafurahi kwa mwisho baba karobo aone alaf aifanye siri ili aone mambo ya mama karobo nawaza ndjo itakuwa utamu wa hii kitu

  • @RosaVicenteMulota
    @RosaVicenteMulota 3 місяці тому +11

    Mama karobo utakoma tu huo mwanzo tu😂

  • @Kwaricha
    @Kwaricha Місяць тому +1

    Wewe unaweza sana umempita mpaka mbusi anae toa snake boy ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @amosbarasa3516
    @amosbarasa3516 3 місяці тому +10

    Us Kenyans 🇰🇪 we are proud following daily Bro, Kazi nzuri sana pongezi sana

  • @AsmaRamadhani-ok6iv
    @AsmaRamadhani-ok6iv 3 місяці тому +13

    Nyuki hahhahahahahahahahhaah umenifurahisha san pia umetusabraiz wana baba joani

  • @minaelpaul9219
    @minaelpaul9219 3 місяці тому +3

    Kwa maombi haya hata kama ni ya kinafiki mbn mungu atajibu

  • @user-martins
    @user-martins 3 місяці тому +24

    Siwezi kukosa kuwa pamoja nanyi kwa ali nnanikosha.
    Kutoka Moçambique.
    Naomba like zangu

  • @fredrickowino3
    @fredrickowino3 3 місяці тому +7

    Nawafuatilia sana kutoka huku kenye kazi nzuri sana ila munachelewa sana

  • @AliIbrahim-gg2sx
    @AliIbrahim-gg2sx 3 місяці тому +16

    leo kdogo nimewahi likes zangu plz.

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 3 місяці тому +10

    Ila ukiomba kwa Iman unapona, na sio kuamin mtu

  • @MICHAELOWINO-s7g
    @MICHAELOWINO-s7g 13 днів тому +1

    From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 ata like moja washikaji wangu

  • @FlayLizzy
    @FlayLizzy 3 місяці тому +7

    Baba kalobo anajuwa kuingiza kama kipofu natamani niwe kama yeye❤❤❤

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 3 місяці тому +1

    Baba karobo "ati siskii kitu" 😂😂😂....Mungu Atakuponya kwa imani yako ❤

  • @JanethKimath-d5n
    @JanethKimath-d5n 3 місяці тому +7

    Naombeni jamani muwe mnawahi kuzitoa ni nzuri sana tunazimisi sana mkichelewesha

  • @MCMussa-tl8kn
    @MCMussa-tl8kn 3 місяці тому +36

    Wakwanz jaman naomb like hata 10 maan nimejitahid kusubir sana♥️♥️

  • @JAPONAISMBUTOBINSIKU
    @JAPONAISMBUTOBINSIKU 3 місяці тому +6

    mama karobo kiboko nabado atatafuta waganga wakihenyeji ili amutafute kumuhuwa baba karobo. niko congo❤

  • @GangoJr
    @GangoJr 2 місяці тому

    Naitwa MOHAMEDI YUSUFU GANGO nasoma lgti hombolo dodoma nasema kazi nzuri sana movi zako Zina mafunzo mazuri Yani good work

    • @REHEMANCHALIKA
      @REHEMANCHALIKA 2 місяці тому

      𝐊𝐮𝐦𝐛𝐞 𝐜𝐨𝐦𝐦𝐞𝐧𝐭 𝐲𝐚𝐟𝐚𝐚 𝐤𝐮𝐣𝐢𝐭𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐬𝐡𝐚 𝐤𝐰𝐰𝐧𝐳𝐚😂

  • @SamanthaMugisha-n9x
    @SamanthaMugisha-n9x 3 місяці тому +18

    From Burundi Sas nao omba like munazipeleka wp jaman😂 bol mutoe maon ety like zangu daah! Ongelen Jaman next ep naigojea

  • @GraceMarco-s8g
    @GraceMarco-s8g 2 місяці тому

    Hongereni sana baba karobo❤❤❤❤😂😂😂😂huyu kikojozi hyu kujamba daaa maisha plus

  • @lucykellymlenga-nm1br
    @lucykellymlenga-nm1br 3 місяці тому +8

    Jamana nawaomba like hata moj TU jamn

  • @fammamourchy2164
    @fammamourchy2164 3 місяці тому +5

    Maombi weeeeeeh
    😅😅😅😅😅😅😅
    Utapeli mama Kalobo shauri yako
    Ubaya utakurudia
    Baba Kalibo tunasubiri ukweli 🎉

  • @ksaskaka
    @ksaskaka 3 місяці тому +9

    Kazi nzuri sana baba karobo ❤❤❤

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 місяці тому

      Baba karobo no one

  • @MalhasanSaid
    @MalhasanSaid 3 місяці тому +8

    Plz leteni episode ya 13 haraka plz kazi nzuri sana🎉🎉🎉

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 місяці тому

      Baba karobo no one

  • @SarahBimuloko
    @SarahBimuloko 3 місяці тому +6

    Najuliza kwa nini apo mwanzo ya iyi films peko watu wenye shepu néné nene

  • @hagayinkundimana
    @hagayinkundimana 3 місяці тому +6

    Muombaji Mukora sana
    Link kwangu from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @PurityJohn-b7w
    @PurityJohn-b7w 3 місяці тому +3

    Kuna kinyambizi na kikojozi😅😅😅😢

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 3 місяці тому

      Umesahau pastor wa mchongoooo😂😂😂😂

    • @PurityJohn-b7w
      @PurityJohn-b7w 3 місяці тому +1

      @@rosemarenga832 weeuuhh 😅🤦 hawa watanzania wataniuwa bana

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 3 місяці тому

      @@PurityJohn-b7w hahaha 😂🤣🤣 bado ujathema ad utheme

    • @PurityJohn-b7w
      @PurityJohn-b7w 3 місяці тому +1

      @@rosemarenga832 toka hapa nmesusus venye ulikuwa unataka🤣🤣🤣🤣🤣

    • @rosemarenga832
      @rosemarenga832 3 місяці тому

      @@PurityJohn-b7w Sis ndio watanzania🤗

  • @SayuniMlelwa
    @SayuniMlelwa 11 днів тому

    Kazi zako nzuri sana, sema mwalimu mgeni hujanitendea haki

  • @Jamespandei
    @Jamespandei 3 місяці тому +8

    kazi nziri form kenya

  • @نورة-ذ3غ2ث
    @نورة-ذ3غ2ث 3 місяці тому +6

    Safi sana kazi nzuri sana hongerani Kwa nyote

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 місяці тому

      Baba karobo no one

  • @glorymanga3650
    @glorymanga3650 3 місяці тому +9

    Nikimaliza kuangalia movie ndo nitakoment vzuri

  • @YafitaHasna
    @YafitaHasna 2 місяці тому

    😂😂😂😂Nacheka na mkojo😂😂😂😂baba kalobo hongera Sana na mkojo😂😂😂😂

  • @InnocentSeth-k1f
    @InnocentSeth-k1f 3 місяці тому +6

    Vizuri kwa jinsi munavyo endelea kufanya kazi Ila huwa munachelewa

  • @MwitaMatinde-sg5wi
    @MwitaMatinde-sg5wi 2 місяці тому

    From Kenya 🇰🇪 nawapata vizuri Hong era sana❤

  • @zarejapheth7247
    @zarejapheth7247 3 місяці тому +11

    Aki msisimko wa mamake Karobo linaniingia hadi kwenye nyonga, huyo hatari sana, nasahau eti ni kuigiza tu namuona kama Shetani huyu, Karobo ana akili huyo mtoto anipagawisha, Mungu awajalie makubwa mema

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 місяці тому

      Baba karobo no one

  • @Angelwithjamevicjr
    @Angelwithjamevicjr 3 місяці тому

    Good work mzeee baba na appreciate kwa hii KAZI inafundisha Ina elimisha jamii

  • @Hermesntibandetse
    @Hermesntibandetse 3 місяці тому +3

    Mama kalobo kajua kucheza Sana makofi kwake

  • @arafatmohd4609
    @arafatmohd4609 2 місяці тому

    Kazi nzuri baba karobo na team yako hongeren

  • @AnoriteMungusa
    @AnoriteMungusa 3 місяці тому +8

    🔥🔥👍👌

  • @manfromkakamega
    @manfromkakamega 2 місяці тому +1

    #BabaJoan kazi nzuri

  • @RoseOdilo
    @RoseOdilo 3 місяці тому +9

    Movie nzuri ila kuna hawa mke na mume wakujikojolea hawana maana yyte wala hakuna funzo tunalolipata kwao jmn ni kutuchukulia muda

    • @Grace-o1r5y
      @Grace-o1r5y 2 місяці тому +2

      Wapo wanaozipenda kwako hawana maan ila kwa wengine wanamaan wivu unakusumbua

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo 2 місяці тому

      @@Grace-o1r5y Sasa hapo nione wivu wa nn labda wa kukojoa kitandani au kujampa? Kila mtu ana moyo wake hayo ni maoni yangu sio lazima kila mtu apende unacho kipenda

    • @REHEMANCHALIKA
      @REHEMANCHALIKA 2 місяці тому +2

      𝐇𝐮𝐲𝐮 𝐦𝐮𝐦𝐞 𝐤𝐢𝐤𝐨𝐣𝐨𝐳 𝐧𝐚 𝐦𝐤𝐞𝐰𝐞 𝐰𝐚𝐭𝐨𝐥𝐞𝐰𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐚𝐤𝐨𝐣𝐨𝐞 𝐧𝐣𝐞 𝐧𝐚 𝐦𝐨𝐯𝐞 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐚𝐩 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐞𝐫𝐞𝐤𝐚 𝐚𝐦𝐚 𝐧𝐚𝐤𝐞𝐫𝐞𝐤𝐚 𝐩𝐞𝐤𝐞𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐣𝐚𝐦𝐚𝐧😮

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo 2 місяці тому

      @@REHEMANCHALIKA yani sioni cha kujifunza kwao yn wako nje ya mada kbs nakuunga mkono

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo 2 місяці тому

      @@Grace-o1r5y nione wivu wa kujikojolea na kujampa hovyo ama kwa kipi labda

  • @irenekimaro6523
    @irenekimaro6523 3 місяці тому

    Da zuuu akinywa maji anakuona kwenye glass baba karobo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @SilviaDirecto.
    @SilviaDirecto. 3 місяці тому +10

    like mama karobo n tabia take mbaya

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 3 місяці тому

      Tena yakunuka kama hiloo kojoo amemwagiwaa

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 3 місяці тому

    Great job guys tunawapenda sana jitaindini ❤❤❤

  • @NeymanMaganga
    @NeymanMaganga 3 місяці тому +6

    nic

  • @jengenimsuva377
    @jengenimsuva377 3 місяці тому +1

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri sijawahi kukupinga

  • @RehemaNyevu-kk1ms
    @RehemaNyevu-kk1ms 3 місяці тому +4

    From Kenya naombeni likes

  • @HassanSalehMohd
    @HassanSalehMohd 2 місяці тому

    Allah atuhifadh waliongia kwenye ndoa natuliokuwa hatujaow Allah atupe wake wema insha Allah.😭😭😭😭

  • @AsebaleylaDavid
    @AsebaleylaDavid 3 місяці тому +6

    🎉🎉🎉

  • @SylvesterPhilipo-dv8vs
    @SylvesterPhilipo-dv8vs Місяць тому

    Ila baba kalobo uyo zujat kama umtaki nipe Mimi no zake 😂😂nimepempenda sana ❤

  • @RukundoHamdan
    @RukundoHamdan 3 місяці тому +7

    Kitu kizuri sana wakwanza nipe lik

  • @justinekombo-sl6zf
    @justinekombo-sl6zf 3 місяці тому

    From Kenya watching live, I can't wait for episode 13.

  • @EdsonObadia-d9z
    @EdsonObadia-d9z 3 місяці тому +6

    Hahahaaa mama karobo

  • @ShiroAnn-c9s
    @ShiroAnn-c9s Місяць тому

    😂😂😂Kali sana mwamke kanywa mikojo😂😂

  • @kinanaissango3492
    @kinanaissango3492 3 місяці тому +4

    Kuna wahusika hatuwaoni Kwa Sasa walikua WA moto tunaomba warudishwe kazi zijazo nice job

    • @Cutenaah
      @Cutenaah 2 місяці тому

      Baba karobo no one

  • @joycebageni9040
    @joycebageni9040 3 місяці тому

    Suis en 🇨🇩🇨🇩,bon travail baba joa