Mungu aendelee kukuweka hai na akujalie afya njema brooh maana music wako mtam sanaa umeufanya mziki wa kisukima kusikilizika kila mahali na hata wasioelewa kisukuma
Dah kudadek nan kaniwah kukoment saw bwana ila tunawaimbaji weng ila msanii wa ksukuma ni m1 tu! NTEMI OMABALA pekee najivunia kuwa mwanakahama karibu KAGONGWA
So nice song my blood have a good job i like your news for everyday congratulations broo all your song is better i a m Sukuma i remember 👉 (ZUNYAGA) i pray for you you will a 🇹🇿 one for sukuma song broo God bless you ma blood
Kaka tuacheni kupogeza Tu bila ya kumpa makosa yake hii video Dr kajitahid sana lakin msaani wetu kabania madesa na mavuzi madesa kawabania audio Kali sana hivyo msanii wetu inatakiwa aache ubanizi kwa madesa 🙏
Hapa Kenya tunafuraia nyimbo zako sana😁
Ubarikiwe xana ntemi omabala ujumbe mzur🎉🎉
Wimbo wako wa acha tudange huku iringa unazid kukua kila siku, nakwambia hadi raha, much love ntemi omabala
Kaka unaendelea kutisha Mungu akupe maisha malefu endelea kuelimisha Jamii
Daaaah kaka tuifanye remix basi iwe ya kiswahili 🔥🔥🔥 inabamba saana
Pga kaz ntemi bado sjaona mwingne
Mwakamwa unapiga penyewe wataisoma
Mkuuuu ntemiiii kaliii yaaaaa mweziiiiii hiii
Kazi kaz,B.T.M AFRICA mbeleee mbeleee yao❤
Ntemi omabala wewe ni noma sana
Mungu aendelee kukuweka hai na akujalie afya njema brooh maana music wako mtam sanaa umeufanya mziki wa kisukima kusikilizika kila mahali na hata wasioelewa kisukuma
Nakukubali Sana my brother
Nyimbo nzuri sana Mr moses we are together wana usule wanakuulizia sana
Safi sana Kazi nzuri best
Kaka mbonge la nyimbo mzee mwenzang nakukubar sana ntemi wa mabala
Ujumbe mzito dogo unajua kutoa message kwa jamii big up sana
Ujumbe mzur san kazi kazi B.T.M AFRICA mbeleeeeee
Dah kudadek nan kaniwah kukoment saw bwana ila tunawaimbaji weng ila msanii wa ksukuma ni m1 tu! NTEMI OMABALA pekee najivunia kuwa mwanakahama karibu KAGONGWA
Nagubali sana ntemi Mii moi konanne nakupata vizuri sana
So nice song my blood have a good job i like your news for everyday congratulations broo all your song is better i a m Sukuma i remember 👉 (ZUNYAGA) i pray for you
you will a 🇹🇿 one for sukuma song broo God bless you ma blood
Get blessed Mr.!!
Big app Sana omabala❤
Otwalwa🔥🔥🔥
Amalwa 😂
Ngoma nzuri mpaka video hongera most one &chasama mungu awabariki sana muendelee kugundua vizuri vingine
Ahsante Sana Mipanda 🙏
Mm nakukbali sana kak unajua
BTM Mbele mbele yao
Good job
Kelly on 🔥
Uko vzur sana Mzee
Asante sana ndugu
pamoja kiongoz wangu nyimbo kaliii sanaaaa
Asante sana kaka
Ninawazo ule wimbo wa shilela ambao unamuaga mke unaenda kutafuta nao utolee video ni wimbo mzuri sana
Soon itatoka
Asante sana mungu akutangulie
Hii nyimbo kali sana ingekuwa kiswahili ningeifaidi zaidi
Kaka tuacheni kupogeza Tu bila ya kumpa makosa yake hii video Dr kajitahid sana lakin msaani wetu kabania madesa na mavuzi madesa kawabania audio Kali sana hivyo msanii wetu inatakiwa aache ubanizi kwa madesa 🙏
Hajakosea mbona,wamevaa Ivo kulingana na ujumbe wa wimbo,wimbo unaelezea maish ya shida
Tunakusubiri kwahamu lyabukande❤❤❤❤❤🎉
Hadi namisi nyumbani Moze unanikoshaga soon nafunga ndoa jiandae ukaimbe iboja ushetu
yni ww unanikubusha baba yngu sijuwi nifnyeje iliaache kulewa
Hii kesi ngoma kal
Kula chuma hicho
Wewe jamaa nahitaji no yako2
TAYARI DJ MUSA KASEKESE MPANDA KAFIKA KUCHOTA NYIMBO MPYA I 2023
Always On fire🔥🔥🔥
No one regret you broo✈️✈️✈️ u are on air
I Appreciate ✊
🔥🔥🔥
In the class i'm i nimejifunza kitu from my role modal (MY BRO)
Pamoja sana kaka
Waoooo
Video ndo balaa
Kwahio audio tuifute?
Nazunije
Wao
Omabala bhabha
❤waaooooooooooo
i love the music
Thanks 🙏
Moto
Huna bayaaaa
Kaz nzur
THE NTUZU MUSIC KAFIKA
Kamchape umeachia
😂😂😂😂
❤️❤️❤️🙏
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
🥰🥰🥰
Tayari nishaidaka
😅
🔥🔥