Njia Tano (5) Za Kurudisha Thamani - Joel Nanauka

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лют 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

КОМЕНТАРІ •

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork 6 років тому +55

    Kazi nzuri sana brother, kama kawaida. Hapa sasa jamii ishindwe yenyewe tu kujifunza. Mungu akujalie afya na umri mrefu hii kazi ifike mbali zaidi.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  6 років тому +2

      Success Path Ameen nashukuru sana

    • @clemenceonesmo5429
      @clemenceonesmo5429 5 років тому +2

      imenigusa sana hii vdeo..
      big up brow and may god bless you...
      SEE YOU AT THE TOP

    • @awenanassor3169
      @awenanassor3169 5 років тому

      @@clemenceonesmo5429 Yeah

    • @awenanassor3169
      @awenanassor3169 5 років тому +1

      Success path where you are

    • @awenanassor3169
      @awenanassor3169 5 років тому

      I don't listen for many time for your advice

  • @ramadhanalmashamza3458
    @ramadhanalmashamza3458 Рік тому +2

    Kukataliwa haimaanishi huna thamani ila wanao kukataa hawajajua thamani yako,,, asante sana kaka Joel ubarikiwe sana

  • @maryamkhatau9445
    @maryamkhatau9445 4 роки тому +10

    Mimi rafiki yangu wa kweli ni Allah pekee yake na sijawahi kuwa na tatizo nikatawadha na kuswali wakati naongea navuta taswira km Yuko karibu yangu wallah nikitoka hapo sina ninachibakiza wa kupoteza Allah ndo rafiki, na mshauri wa kweli na Hana mfano shukrani Kaka kwa maarifa Allah akulipe badala inshaAllah

  • @hassansaidramadhan8940
    @hassansaidramadhan8940 5 років тому +8

    mimi ni wathamani sana ,na lazima nitimize malengo yangu pasipo kujali hali gani napitia katika muda huu, ahsante sana brother

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 6 років тому +8

    Kuna wakati nilipitia ktk iko kipindi Cha kukaa mpweke lakin namshukuru Mungu sasa Niko na thaman zaidi nahitaji kuongeza thaman , ahsante bro kwa somo zuri

  • @salmamasood2524
    @salmamasood2524 Рік тому +2

    Nimefurahi kukufaham kaka joel kwa kweli ushauri wako ni muhim kabisa niko naanza kufaidika mungu akulipe kwakweli na nitaendelela kufatilia kipindi chako

  • @anethlule4732
    @anethlule4732 6 років тому +6

    Mimi nimke bora
    Mimi ni mama bora
    Mimi nimshindi
    Mimi ni mfanyabiashara mkubwa
    Nimeumbwa kuwa Mshindi
    💪💪

  • @slyviamariammariam-7262
    @slyviamariammariam-7262 22 дні тому

    Ahsante sana joel kwa mafunzo yako mazuri nmejifunza mengi kwako ambayo peke yangu singeweza manake nlikuwa nmeshakata tamaa kabisa naona labda Mungu hanioni lakini kupitia hizi video zako nlijua Mungu bado yuko nami kinachotakiwa ni kwamba nikutokata tamaa..Nasema Mungu akupe maisha marefu ❤

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 4 роки тому +10

    Da!,Mda mwingine natamani hata ni "LIKE" mala nyingi nyingi....lakini haiwezekani...Asante sana kaka J

    • @dorotheankungu8386
      @dorotheankungu8386 3 роки тому

      Kukataliwa ni kwa muda tuu (1)kaka Joel Mungu akupe maisha marefu uendelee kutusaidia.hakika umeletwa dunian kwa makusudi

  • @AshaBakari-lm9zx
    @AshaBakari-lm9zx 6 місяців тому

    Mashaallah mungu akulinde na akupe umri mrefu ili uzidi kutuelimisha nakupenda bure akh kwa mafunzo yko juu nakuelewa kiundani kibisa🫡🫡🫡🫡

  • @hasijoh4805
    @hasijoh4805 3 роки тому +1

    Yani kwangu mimi binafsi sijawai kuskiliza maneno mazuri ambayo yanamyomtia moyo mtu kama haya mungu akubariki aendelee kukupa maono zaidi ili uzidi kutusaidia sisi ambao tilikua tumekata tamaa asante sana brother

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 13 днів тому

    Asante xana naendelea kujifunza bro Joel 🙏

  • @LucyPeter-c6p
    @LucyPeter-c6p 5 місяців тому

    Ubalikiwe Sana Joel kwa kazi yako maana una tusaidiasana

  • @graceaswile5619
    @graceaswile5619 6 років тому +1

    Umenibadilisha mno , Mara nyingi unakua kama unaniona. Kazi nzuri unatuokoa na kutuponya wengi Nanauka. Barikiwa kaka

  • @tungaraza7794
    @tungaraza7794 6 років тому

    Nimeipenda hiyo five second rule nina imani itanisaidia coz kuna wakati huwa nawaza mawazo ambayo hayafai hata kidogo be blessed brother joel kwa kazi unayoifanya
    Naomba nikuambie hiki kitu leo
    Katika kumtumikia mungu kuna njia nyingi nyingi ikiwemo uchungaji,unabii na kadhalika hakika hata wewe unachokifanya leo hii huna tofauti na hao watumishi wengine ambao ndio wameonekana wanamtumikia mungu

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 8 місяців тому

    Nimejifunza kitu kutokeya mafunzo yako,kwanzai kesho natoka ndani asante kaka ALLAH akupe umri

  • @rashidkihombo6782
    @rashidkihombo6782 4 роки тому

    Nimepita maisha ya kuanguka kibiashar baad ya hapo nikaw naakaa tu peke yangu niliwaza meng
    Kwa sas najichangany na watu aisee somo zur san ahsante

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 років тому +1

    NANAUKA nahisi ni mtumishI wa MUNGU pia mana hii si kawaida , he lift me up, asante MUNGU BABA

  • @saidmkashari8301
    @saidmkashari8301 2 роки тому

    Asante sana, wewe jiniasi sana wa masiala ya elimu hii nimependa sana kufatilia masomo bado nashidwa sana kuzibiti Hali ya kukaa na wezangu wakati wa shida hata nikikaa Sina ujasiri Je nifanye Nini walimu Joel nanauk.

  • @robertgeorge3563
    @robertgeorge3563 6 років тому +1

    Asante Sana nimeanza kuinuka japo bado changamoto ni tunawezaje tukaziba myanya ya hela kutoka sababu tunapata pesa lakini ndugu na jamaa wote wanategemea hpo hapo je nifanyaje

  • @dmgtv3984
    @dmgtv3984 5 років тому

    Asante bro joel umeanza kuniamsha upenz wangu wa yanga nauhamishia kwako kwanzia ss mm ni shabiki wako kwa kuwa unaijenga san

  • @aash4145
    @aash4145 2 роки тому

    Shukran kaka,,, nitafanyia kaz kipaj,,, na ubunifu niliojaaliwa na muumba,,,, na nitafanya kitu kimoja kwa muda mrefu nione faida yake,, na kufany kingine tena kwa, ufanisi wa hal ya juu il niwe juu kimaisha

  • @shemsamussa608
    @shemsamussa608 4 роки тому

    Asantee kaka joel kwa elimu yko, ww ni jasiri muongoza njia hakika sasa napata mwanga kwenye maisha yangu , kweli kuna watu hawajui thanani za watu hapa dunia but mimi naamini ni mtu wa thamani japo watu walio nizunguka hawaiyoni thamani yangu ila mimi ni wathamani .

  • @sultanikawambwa4118
    @sultanikawambwa4118 6 років тому +1

    Asante kwa kupata madini mengine ila nashukuru sijawahi kufikia hatua ya kupoteza thamani coz kwenye maisha yangu nina misimamo yangu ambayo sitaki niyumbishwe na mtu hata awaje kwangu.

  • @mariammasatu4785
    @mariammasatu4785 6 років тому

    Asante sna kk Joel,mm htu ambayo nataka kuchukua kwa ss ni kuzingatia nn ninachotaka kukifanya

  • @matabikasuccessline2068
    @matabikasuccessline2068 5 років тому

    asante kaka nanauka kwa elimu ombi langu natamani kupata vitabu unavyo andika kikiwemo cha timiza malengo nifanyeje

  • @mengicacoconut8144
    @mengicacoconut8144 6 років тому +2

    Nimepitia ktk hli moja wapo kat ya hayo, thanks am being proud of u my brother! Be safe and long life

  • @RoseNgweta-oy1fr
    @RoseNgweta-oy1fr Рік тому +1

    Totally my blood u hav changed my life may God bless you mor

  • @hamisa3447
    @hamisa3447 3 роки тому

    Kwa kifupi tu ndugu tunakuombea dua njemaa uendelee kutuamsha zaidii na zaidiii

  • @rashidhamdu7939
    @rashidhamdu7939 2 роки тому

    Kaka hongera sana. Mungu akubariki uwe na maisha marefu. Unatusaidia kwa kweli. Siku zote umekuwa ni role model kwangu kila ninaposimama mbele za watu....

  • @تةامممن
    @تةامممن 2 роки тому

    Kwer kabisa asant san unanifunza san kwakwer 💯💯💯💯💯💯🙏🤝🤲💣

  • @nathankibizo8158
    @nathankibizo8158 Рік тому +2

    1. Every rejection is temporary. Kukataliwa sio mwisho wa ndoto zako.
    2. Kukataliwa hakuondoi thamani yako. Usische kujithamini.
    3. Usikae peke yako. Jichanganye na watu wazuri.
    4. Tafuta ushauri kwa watu waaminifu.
    5. Chunga fikra zako. Waza mema . Waza kuongeza thamani yako positively.

  • @mwinjilistineemalwali
    @mwinjilistineemalwali Рік тому

    Ndio hii Ni njema Sana kurudisha uthamani wangu kwa kufuata namba 5

  • @phideaurassa9246
    @phideaurassa9246 6 років тому

    Asante Sana ubarikiwe kila unachokifanya kinagusa ufahamu wangu Na nazidi kukua kifikra napenda Sana masomo yako yanazidi kunifanya niwe imara zaidi

  • @witnesschao4106
    @witnesschao4106 2 роки тому +2

    Kaka Joel, thank you very much and be Blessed you and your family.

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 6 років тому +1

    Nice my brother nakuelewa sanaaa........ 😍😍

  • @mwanaharusialifakifaki8716
    @mwanaharusialifakifaki8716 4 роки тому

    Ahsante sana rafiki yangu,kwasiku lazima nkuskilize rafiki wenye muangaza kunimulikia mbele nnakoenda kila siku .ahsante rafiki ndoto yangu lazima itatimia ntaongeza thamani yangu🤝

  • @vicentndiholeye1067
    @vicentndiholeye1067 2 роки тому

    kaka minandela sana kuku fatia naona kabisa mungu anazidi kunigngua kili ila pia nilikiu nahitaji;:;vitabu

  • @exzaverymichale7673
    @exzaverymichale7673 6 років тому +5

    Habari yako ndugu!God bless you!

  • @mwajumayunus2041
    @mwajumayunus2041 6 років тому +6

    what a good message stay blessed my brother

  • @neemabisungwa2608
    @neemabisungwa2608 8 місяців тому

    Asanté kwa ushauri wenu, unanifariji sana niko kwenye shida iyo iyo

  • @NeemaAmos-e9l
    @NeemaAmos-e9l 11 місяців тому

    Asante sana umenisaidia kwenye kupangua mawazo mabaya

  • @nicholouskibona3940
    @nicholouskibona3940 2 роки тому

    Múngu akuingozee broo Wang nmeeeza kufunguka na kitu nlichojua cwez acha muñgu p1 ñawe

  • @annachales9623
    @annachales9623 5 років тому

    Yaani wewe kaka unakipajiii cha juu sana.

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 роки тому +1

    Sikubali THAMANI yangu ipotee kwa JINA LA YEU KRISTO.

  • @najmachami547
    @najmachami547 6 років тому +1

    kweli kaka mimi nimepoteza hamasa ya maisha kabisa kutokana na watu wangu wakaribu niliyokuwanao ila leo nimejifunza sana

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 5 років тому +2

    My all time Mentor you're doing a very good works to help others God will never leave you alone ,For me all of them I'm going to work on it #SeeYouatThetop🙏🙏

  • @JanethDotto-y1p
    @JanethDotto-y1p 4 місяці тому

    Ulindwe na mungu

  • @kelvinnacozz6280
    @kelvinnacozz6280 5 років тому

    Nakuelewa sana broo Jumbe zako zinanijenga kila iitwapo leo Barikiwa sana.

  • @babalois7240
    @babalois7240 6 років тому +1

    True Sir #Nanauka #LetsBringBackOurValue
    Kuna wakati lazima ukataliwe ili uwe bora zaidi.. Goodmorning

  • @ibrahimkalimili6540
    @ibrahimkalimili6540 2 роки тому +1

    Mungu akubaliki sana kaka Joel

  • @kabirigi255
    @kabirigi255 6 років тому

    mambo niaje kiongozi wangu napenda sana unachokifanya maana nina imani niwengi wanapata faida nacho kiukweli ongera sana ivyo naitaji kuwasiliana na wewe ila sijui nakupataje

  • @faidakanijo3574
    @faidakanijo3574 2 роки тому

    Ubalikiwe sana mkuu umenisaidia sana

  • @mwanamkasihabibu9915
    @mwanamkasihabibu9915 6 років тому +1

    Shukran Kaka kwa somo zur nmejifunza mungu akubark

  • @maggiepeter8936
    @maggiepeter8936 6 років тому

    asante mwalimu...kwakweli unatujenga...mimì ni wa thamani

  • @jacobmayaka3993
    @jacobmayaka3993 9 місяців тому

    Mungu akubarik sn kwa mafundisho

  • @KhamisNassor-q1h
    @KhamisNassor-q1h День тому

    Daah mm kaka napitia wakati mgumu sana 😢😢

  • @faidakanijo3574
    @faidakanijo3574 2 роки тому

    Yaaan umenifungua kiakil kaka nashukulu sana

  • @lovenesspeter4993
    @lovenesspeter4993 5 років тому

    Asante saana umeiponya nafsi yangu ubalikie

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 3 роки тому

    Kaka Joel napitia hili, Asante kwa somo 🙏

  • @marthazakayo9787
    @marthazakayo9787 5 років тому

    Nafarijika sana namafundisho yako hakika ww unanipa mwanga sana

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 3 роки тому

    kaka Nanauka hio ya kutafuta watu me sijaikubali kbs! utamwambia mtu jambo lako basi atakutangaza weee

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 2 роки тому

    Mimi Ni Mshindi
    Ahsante brother

  • @mariamkitina196
    @mariamkitina196 Рік тому

    Kwanzia leo sinto kaa tena ndani kujifungia peke yangu na kuwaza mawazo chanya

  • @eugenfredrick2328
    @eugenfredrick2328 6 років тому

    Aksante sana bro Joel kwa semina zako MUNGU akubariki kaka!!!

  • @LukiaSalingo
    @LukiaSalingo 28 днів тому

    Always unatupatia mawazo mazuri

  • @christopozzy6405
    @christopozzy6405 4 роки тому +1

    Nmesikiliza almost video zako kama hamsini brother najiona tayari Mimi ni mtu mkubwa sana popote ntakapokutana na wewe lazima nikushukuru kwa vitendo

  • @divaikilingi7507
    @divaikilingi7507 Рік тому

    ahsante ubarikiwe mtumishi

  • @eliazalyemmanuel9478
    @eliazalyemmanuel9478 6 років тому +1

    sana kaka mi niko na ww kama maji na samaki aman sana

  • @edithamushi2707
    @edithamushi2707 6 років тому +1

    Asante kaka nashukuru kwa ushauri wako nimezid kuwaza na mawazo negative

  • @papakefa2201
    @papakefa2201 4 роки тому

    Somo ilo ni kweli Dr ubalikiwe sana

  • @omarikhatib1717
    @omarikhatib1717 3 роки тому

    Mungu akuongoze uzidi kutusaidia

  • @hellenakusekwa2989
    @hellenakusekwa2989 5 років тому

    Asante sana kaka nimwjifunza kuondoa mawaza mabaya kwa kuwaza mazuri.

  • @pendokalalay9037
    @pendokalalay9037 2 роки тому

    Mungu akubaliki sana brother

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera2784 5 років тому +1

    Genius man in Tanzania from United Kingdom

  • @josephmsangawale9925
    @josephmsangawale9925 5 років тому

    Ahsante saaana
    Brother Nanauka
    May Almighty father help you
    To go ahead

  • @shanielmasoud4130
    @shanielmasoud4130 3 роки тому

    Ahsant sana brother Kwa somo zuri sana napita ktk wakat ngumu sana kikazi ila ahsant umenitia moyo

  • @deenassormoretv4885
    @deenassormoretv4885 5 років тому +3

    Asante it‘s open mind now

  • @yusuphpaschal169
    @yusuphpaschal169 6 років тому +1

    Asante Sana Joel wewe Ni mwalimu mzuri Sana💪

    • @edadeojr8212
      @edadeojr8212 6 років тому

      Hakika brother nimejifunza kitu kipya hakika mungu akuwezeshe usipungukiwe

  • @fatumaally3266
    @fatumaally3266 6 років тому

    Asante sana kaka unatusaidia maana wengine aki tumeshakata tamaa

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah9111 4 роки тому

    Asante kaka wish ningekujua mapema

  • @holySpiritchoir24
    @holySpiritchoir24 6 років тому +1

    Nimeipenda hiyo....
    5 4 3 2 1.....👌👍💞🙏🙏🙌🙌👯🤗

  • @abdulrahmanally6525
    @abdulrahmanally6525 5 років тому +1

    daaaah thank brother mungu akubarik

  • @englengaipaul6000
    @englengaipaul6000 5 років тому

    Ahsante sana kiongoz somo nzuri sana

  • @assamwakasanga3570
    @assamwakasanga3570 6 років тому

    Asante San ... mungu akubaliki San

  • @joramuzacharia4641
    @joramuzacharia4641 4 роки тому

    Hongera kaka Kwa elimu yako mungu akubariki natamani course zako siku moja

  • @preciousdallei2001
    @preciousdallei2001 3 роки тому

    No 4. I really need this

  • @noellanoella5901
    @noellanoella5901 6 років тому

    asante ndugu ninajifunza kitu kweli

  • @rahmamunisi3426
    @rahmamunisi3426 6 років тому

    Daaa kaka yan mamazo. Yananisumbua sana

  • @thegirl1405
    @thegirl1405 6 років тому

    Kweli brother yaani somo lipo makini sana ubarikiwe🙏🙏

    • @thegirl1405
      @thegirl1405 6 років тому

      Tunavunja mawazo mabaya na kutengeneza mawazo ya kujiamini asante sana brother

  • @nemencembale5641
    @nemencembale5641 6 років тому +4

    Be blessed bro....

  • @joyceisack5930
    @joyceisack5930 5 років тому

    Umenigusa sana kwa kujifungia ndani

  • @moteshaenterpred3995
    @moteshaenterpred3995 6 років тому

    Uko vizuri ndg somo ni nzuri sana

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 років тому

    Amen mimi Judy ni wa thamani mno,hasa nina MUNGU ndani yangu

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 років тому

    eeee kupitia wewe JOEL Nimevuka ,big up

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 6 років тому

    Namba NNE ww ndiye unatusaisia wanajamii;JOEL NANAUKA

  • @mwambumediaprostudio2492
    @mwambumediaprostudio2492 6 років тому +1

    Asante kwa somo zuri @Joel Nanauka

  • @celynehilary2581
    @celynehilary2581 5 років тому

    Njia ambayo itanisaidia Niko kutokaa pekee yangu na kutafuta ushauri

  • @omarikhatib1717
    @omarikhatib1717 3 роки тому

    Naipenda sana broo nasaha zako

  • @paulamani3936
    @paulamani3936 4 роки тому

    Unafanya kazi nzuri sana kaka Mungu akubariki