Hakuna kurjuani na kama hamuamini mnaona huyu Sheikh hampendi mangoma basi ulizeni mashehe Kote Duniani aliptapi mangoma muoaga muhongo ...Wacha Dua hata dawa iitwayo kurjuani hakuna
Si Kila kitu kijibiwe vingine ni kujishusha hadhi kumbeza na kumdharau mwanadam mwenzako ni sawa katika dini? Kama si sawa why Mzee Magoma kauli yako ni dhahiri ya kumdharau
Asante shekh Kwa kutuelimisha
Kurudisha uadui
Kurujuani c dua nikitabu kilicho kusanya mambo mengii na hakuna kitu asicho kiiumba muungu mwenyewe
😅😅😅😅😅huyu Shafii huwa nampenda sana
Makoloo mtakufa Kwa ujinga jieleweni na tim yenu ya waasi wa mapinduzi ya Tanzania 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Aaa kumbe Magoma halijui alofanyaloo😂
😂😂Sheikh shafii Mie nakuhusudu Sana,sababu unamchana mtu live
Shee tulia mzee Magoma akuhusu
Huyu shehe wenu kujifanya kila kitu anajua yeye yan lzm ajibu,,mshamba huyu
Sasa wewe unashugulishwaje na mtu kama huyoo?
Hajamdharau kutolijibia ni mbaya kwani uislamu hauna longolongo usipoliweka sawa Quran itaaribiwa elewa Dini sio ya mzaha shekh yupo sahihi
Hakuna kurjuani na kama hamuamini mnaona huyu Sheikh hampendi mangoma basi ulizeni mashehe Kote Duniani aliptapi mangoma muoaga muhongo ...Wacha Dua hata dawa iitwayo kurjuani hakuna
Si Kila kitu kijibiwe vingine ni kujishusha hadhi kumbeza na kumdharau mwanadam mwenzako ni sawa katika dini? Kama si sawa why Mzee Magoma kauli yako ni dhahiri ya kumdharau
Kamdharau vip wakat kasema ukweli?? We KURUJUAN ndo nini
Au we mjukuu wa magoma??
Kwa hiyo aseme uongo na wanaojua wasikurekebishe!?
Kolo kila mahali hawataki ukweli yaani hapo walitaka shekhe amsifie magoma !😂😂😂😂😂😂
@@user-br7fz4zd5x 🤣🤣🤣🤣
Kajib swal aliloulizwa na ajadharau na kamrekebisha alipo kosea
Hakuna sheikh hapo ni shabiki wa yanga asiejielewa, tena koma kujiita sheikh nyoooko