To be honest among the best episodes hii ni the best wallah 👏👏 director u made alla of ur best tuna hope kupata wise na good ones .... Big up sana Busatitv 🫡🫡🫡🫡❣️love from......
Daaah hii yaleo mmeua wallah sijutii kufwatilia movie za busat tangu niifaham ni mwaka wa pil sas,,, aisee hamjawah kufeli mko juu mnajua mpaka mnajua tena kunakoelekea tutapata tuzo in-shaa-allah 🙏🙏🙏 BUSAT JUU JUU JUU ZAID 💪
Mimi nilichojifunza kwenye hiki move vitu vingi sana chakwanza :::: kwa wanaume usiwe na haraka kwenye upande wakuoa endapo hujaanglia tabia ya mtu na pia usiangalie sura ya ila kikubwa mtu anaheshm na upendo:::: na pia tusisoklze maneno ya wat ::::na kuachana pia na marafiki wasofaaa kwenye maisha yetu ya ndoa ::;;; nawashukuru sana tena sana vitu vingi mejifunza na Mungu awabariki kazi yenuuuu
Waooo Tasha kampata ampendaye Kai umetisha mwarabu kdg mpemba kwa wing mashallah ❤❤❤❤ wapi team kend na zaid ya mbuz weeeeee piga keleleeeee zak kwa zuuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂
Achana na mambo ya like toa maon juu ya hii movie ww unadhn wenye movie ndo wanachotaka huo upuuz wenu wa kusema Kila mtu wa kwnz anaomba like kwn like zinashibisha acha hzo mambo toa maoni pongeza juu ya ulicho kiona wabongo tupoje ss
Mnabiboa mnaoomba like mbaka basi toeni maoni na nini tunajifunza kuhusu hii episode chakushangaza watu mnaomba like tu hatutoe like hapa tupo kujifunza kitu watu tutor maoni
Kitu tunachojifunza wanawake tuwape mahitaj stahiki wanaumee zetu tuwe na lugha ya kumtia mwanaume moyo man mwanaume anahtj mambo 3 au zaid 1kumuheshimu,kumsikiliza na kujishusha ata kama kakosea kiufupi mwanaume kama mtot anahtj kuangaliwa
Jamani hii ni movie ama ni storia ya ukweli wa kai na zuu mbona imenibamba. Nakama nimove basi hongera zenu nyote mulioshiriki. Hasa baba kikosi cha harusi cha baba kai mwaaaah from saudia
🎉🎉🎉🎉shida ilipo muu wachoyo ata kukalibisha mashabiki amna jamani ata kama wengine 2po Kigoma huku siku zoote munaanda shuhuri si tungekuja ata kwa miguu🇹🇿🇧🇮Karibu burundi dk 15 nchi jilani tunaingia.😂
To be honest among the best episodes hii ni the best wallah 👏👏 director u made alla of ur best tuna hope kupata wise na good ones .... Big up sana Busatitv 🫡🫡🫡🫡❣️love from......
🙏🙏🙏🙌🙌
@@busatitv worry not Jasmine still there👏👏👏
Jameni sis wangu kongomani kusikiya kingereza ni tatizo kubwa
Team candy msije kuwa mmueba hio mbuzi mkatuletea kwa kwa sherehe😂😂😂
...
😂😂😮😮😮😅@@busatitv
Ambao tulio kuwa tuna,,,,,,,,,tunasubilia
Harusi ya khaii na zuuh..please gonga like tujuane 😂😂
Ok it v
Ok it v
Ok it v
Ok it v
Ok it v
wap like zuu jmn twasbria arusi ya zatiti na mr tasha wanp wanakubali zatit na mr tash watafunga ndoa🎉🎉🎉
Tupo hapa tunaisubiri kwa hamu🎉🎉🎉
Daaah hii yaleo mmeua wallah sijutii kufwatilia movie za busat tangu niifaham ni mwaka wa pil sas,,, aisee hamjawah kufeli mko juu mnajua mpaka mnajua tena kunakoelekea tutapata tuzo in-shaa-allah 🙏🙏🙏 BUSAT JUU JUU JUU ZAID 💪
Zuu kapendeza jameni team Zuu arusi tunayo hatuna 😊😊😊😊😊😊😊😊
Atulali team strong mko wapi gaidi inangoja hii movie iwezi lala❤❤❤❤
Tupo tunapambana
Tupo dear na mapambano
😂😂😂😂😂😂😂 harusi tunayo na tunatamba nayo wapi vigelegele aililiiii 💃💃💃💃💃💃❤❤🎉🎉
Na mbuzi wao ataliwa vile vile,na hawafanikiwi chochote
😂😂😂😂 tunayoò
Nimeisubiri sana mamake ilikuwa imefika pazuri sana nawapenda Bure km unawakubaki zuu na Kai gonga tukisonga team strong😂😂😂
Mimi nilichojifunza kwenye hiki move vitu vingi sana chakwanza :::: kwa wanaume usiwe na haraka kwenye upande wakuoa endapo hujaanglia tabia ya mtu na pia usiangalie sura ya ila kikubwa mtu anaheshm na upendo:::: na pia tusisoklze maneno ya wat ::::na kuachana pia na marafiki wasofaaa kwenye maisha yetu ya ndoa ::;;; nawashukuru sana tena sana vitu vingi mejifunza na Mungu awabariki kazi yenuuuu
Weeeh asei hii nkali zuu na kai nawapenda ak❤❤❤❤
Woyooooo harusi tunayo🎉🎉🎉🎉❤❤❤ila timu kendy kumbe sania hawajui kutigiza na kendy 😂😂😂😂alafu bibi ebu wakomeshe hawa mahasidi wasije aribu ndoa yetu
Mpka huku Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunaifatiria hii series 🎉🎉
Waooo Tasha kampata ampendaye Kai umetisha mwarabu kdg mpemba kwa wing mashallah ❤❤❤❤ wapi team kend na zaid ya mbuz weeeeee piga keleleeeee zak kwa zuuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂
Kuna watu wanalala UA-cam 😢😢😢haya na mie wa 102 npo hapa😊😊😊maua kwa zuri❤❤❤❤🎉
😂😂😂😂
Tokea nianze kufatilia hause girl sijawah pata like ata 1 mnaninyima wadau xio pow
Achana na mambo ya like toa maon juu ya hii movie ww unadhn wenye movie ndo wanachotaka huo upuuz wenu wa kusema Kila mtu wa kwnz anaomba like kwn like zinashibisha acha hzo mambo toa maoni pongeza juu ya ulicho kiona wabongo tupoje ss
Huw zinawasaidia nn like
Ila mna ujinga eti xio poa kwan mnapata faida gani 😂😂
Waambie waache upuuzi maan wamezidi@@PeterMadale-t2z
Zikusaidie nini kipenzi
Yaani naangalia movie natabasamu mwenyewe😄😄 naenjoy
Kilamba ukwaju leo umenifanya nikuone mpya masha Allah ni muvi lakini mme pendeza sana ❤❤
Mnabiboa mnaoomba like mbaka basi toeni maoni na nini tunajifunza kuhusu hii episode chakushangaza watu mnaomba like tu hatutoe like hapa tupo kujifunza kitu watu tutor maoni
hakuna hata siku moja wameleta faida ya hizo like jamani na sijui wanamuuziaga nani
Kitu tunachojifunza wanawake tuwape mahitaj stahiki wanaumee zetu tuwe na lugha ya kumtia mwanaume moyo man mwanaume anahtj mambo 3 au zaid 1kumuheshimu,kumsikiliza na kujishusha ata kama kakosea kiufupi mwanaume kama mtot anahtj kuangaliwa
Mwenyewezi Mungu ailinde ndoa ya Kai na Zuuh maana wamezungukwa na maadui wengi Sana
Nitakuwa mchoyo wa shkurani km xijwasifu busati tv kiukweli kz nzuri mlioifanya tena sana chukuweni mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mashallah iwe ya kher mwenyezi mungu awatungulie inshaallah ❤❤❤
Tulio subiri na wanaosubiri Mr Tasha na zaatiti kuitana wapenzi waukweli ukweli na si uongo uongo tena,gongeni like zenu apa tujuane
Kai na Zuu wetu wameng'ra kweli😂❤harusi njema kwenye jameni na wenye wivu wajinyonge😂😂😂😂😂😂🎉
Kila ninapo muona zatiti na Tasha wakiwa pamoja, roho yangu inafurahi tu❤❤, nawapenda timu kubwa🎉🎉
Walio frahi kumuona zatiti waka like ❤❤🎉🎉
😂😂😂😂 ila team candy nyie mnawaza kuharibu tu. Anyway big up sana
Wapi team kulala leo kuamka leo Asante Dj
WALE TULIOKUWA TUNACHUNGULIA KILA MUDA TUJUANE 😂
Mashaalaah hongeran pambe san hatimaye team zuli tunafrahi sana ❤❤
Waoooh Kaz nzr sana congratulations 👏
Jaman tunaosubili ndoa ya zatiti na tasha ikiisha ya zuu na tunao subili cendy kilambe😂😂 tujuane kwa like 🎉🎉
Jaman kiukweli wapo vizuri saana ambao tunangojea baada ya ndoa ya kai na zuu ifuate ndoa ya mr tasha na zatiti gonga like tuwaone
Jamani hii ni movie ama ni storia ya ukweli wa kai na zuu mbona imenibamba. Nakama nimove basi hongera zenu nyote mulioshiriki. Hasa baba kikosi cha harusi cha baba kai mwaaaah from saudia
Hicho kipande cha baba kai kiramba leo kimebamba
Ugonjwa wang napenda kusom koment uku naangalia yaan naipenda tabia yang❤
Haupo peke yako hahahaha
Me pia
Haupo pekeakoo
Nkajua n mm peke angu
😂😂😂😂😂pia Mimi 🎉🎉
Bas hio harusi tutaangalia kam episodi kumi iv haaishi ngo'ooooo
😂😂😂njo naona ivo
Nini mbaya na babu jameni 😂😂😂😂wacha tucheze Ngoma,harusi tunayo hatuna🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wakwanza leo mimi apa shabiki wa clam vevo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Harusi itembee pole pole mpaka episode ya 32 maana ndo kitu kikubwa tulio kisuburi kwa hamu
Mashaaallaha kai wangu kapendeza jmn ❤guyz na me nipen like ❤❤❤
Mpemba kakaa km mchawi kote kote yupo mziki yupo kupamba pia yupo 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Jamanii watu mnawahii utadhani mnalalaa hapaaaaa daaa ilaa zuu kadaimshiii ikimaliza ya zuu inayofata tasha na zatiti😂😂❤❤❤❤🎉🎉
umetokelezea km wanavyovaa waowaji wa oman ila kitambaa cha kichwa kdg kimefungwa nyuma kisogee mbele ya uso kdg but pendeza sana❤❤❤❤
Pajapo pana furahisha watu wame pendeza balaa dah❤❤❤❤
Wanaompenda mama tasha tujuane kwa Iikee wadau wangu wa humu ndani🎉🎉🎉🎉🎉
Kiukweli house girl imenibamba sana
🎉🎉🎉🎉shida ilipo muu wachoyo ata kukalibisha mashabiki amna jamani ata kama wengine 2po Kigoma huku siku zoote munaanda shuhuri si tungekuja ata kwa miguu🇹🇿🇧🇮Karibu burundi dk 15 nchi jilani tunaingia.😂
😂😂
Hiii harusi watu wamependeza km kweli jamani😊😊😊
kai kapendeza MashaAllah Tabarakah 👏👏🔥🔥
jaman naombeni namimi japo sijui tunazipeleka wapi😂😂😂😂
Congratulations for good work 👏 🙌
Jameni yaaawa yaani 7 min nikifikiri n Mimi kunao 59 comments wah 🙆🙆🙆🙆🙆nipeni likes not sikie vile mnaskia basi Niko 60 😅🤣🤣nikazikaange
Dah yaani nlivyowah kumbe nmewahiwa 😅😅😅😅😅😅
Mko vizur Sanaa ila kwann mnachelewwsha kutuma na siku nyingine hamtumi kabisaaa?
Wapi kelele ya first top 100🎉🎉🎉
Jmn nimefrah kuwaona wazee wavisara maua yao jmn🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Waauh masha Allah mmependazana Kai na Zuu
nakubal sana hii move anaependa kama mm naomba like apo
Ndoa tunayo na tunatamba nayo😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzul ndug zangu nawap pongez ❤❤🎉🎉
Wa kwanza leoooo wadauuu umesinziaaa nimewahii naombeni likeee
Haki leo mumefanya kitu kizuri sana wapendwa Mubarikiwe nyote
Mashallah tabarakawah wallah wallah Kai ndoa tunayo watake wasitake
Kenyans mpo🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Allah awangamize wa kina kendi ndowa ipite
Acha kumchezea ALLAH kwenye mambo ya kuigiza
😂😂😂😂stafura munamambo nyiye
😂😂😂
Hakika wapo vzr sana wanapita mle mle napotabir ila tu kwa ulewa wangu ndoa ya zuuh haiwez toboa
Watu wanakimbilia kuomba like kabla kumaliza kuangalia thamthilia jamani😂ila babu katisha
Wanao amini doa ya kai iko na majanga tujuwane ❤❤❤
Kazi nzuri wana Busati tv🇹🇿
Wapi wale wakuchungulia😅😅😅😅🎉🎉🎉🎉😢
Zatiti mzuri mashaAllah nampenda❤
Wake wa 2 wa bozen kaboga wamekutana Ila hawajuwane Siku watajuwana Dama sozi utakipata shako😂😂😂
😂😂😂
Harusi imepamba moto hongereni sana ❤❤❤❤🎉
Tasha Kawa Shehe leo😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nawapenda sana umependeza mashalahu ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Mpenzi wangu kandy kapendeza sana mashallah
Zatiti mmemsema sana kwa style yake ya nywele nayeye ameamua kubadilisha awaridhishe
Da zuri kapendeza kweli kweli ongeza zuri mungu you lakini huyo boss kai me rooho yangu imtaki kabisa manake ana mambo ya kuharibu arusi
Mimi ndo wakwaza leo nipeni like za kutosha
Hata like Tano Kwa ajili ya Zuu na Kai
Mashallah leo mumependeza hakika dini ya uislamu ni nzuri mpaka mavazi
Harusi tunayo tunaisubiri kwa hamu hila mumependeza cn❤
Nice kazi inawaka hatar 😂❤❤❤❤
Mashaallah Mmependeza , Amakweli Mmeamua
😂😂😂😂😂😂Vibe la kina Candy ni 🔥🔥🔥🔥🔥 yan daaah wakorofi ila Nawapenda bure 😂😂😂😂maua yenu🌷🌷🌷🌷🌷
mnanipa raha team house girl
Wakwanza Leo like ata tano
Like za nn naww at hujaangalia emu kakojoe ulale uko mxieeew
😂😂😂😂😂😂 nilifikiri Niko first eti 60😅😮@@SaadaHaroun
Umechekewa😅
Kwani notification yangu inaleta habari kuchelewa yani notification pap nagusa hivi comments 180
Mimi pia yaan inanifanyia hvyo hivyo
Toka tumeanza kuitazama hii epsode tamu sana hongera sana team nzima ya Busatii😮
Jmn ba!hatk kigoma
Jamn harus imebamba sana mmependeza👍👍👍👍🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ewaaaaaah yaani hii nimenjoy ingawa nikidogo lkn noma Sana...sasa next ni Tasha 😂😂😂😂😂
Maashallah, zuu na Kai wamependeza wallah ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hii move Bila kendi hainog jmn ilove kend mana umejua kucheza
Humu ndani like wanapeana wnyw mm tu ngoja 😬😬
Kitambo sana mzigo ushachotwa niite king dj b from ngudu kwimba
Mr kai kiukweli ukisilim itapendeza sana umependeza mashallah
Mimi ni MUSLIM🙏🏾
Wakwanza mimi nipeni like zangu please 🙏
Hongera
@@EveKaari-r7r Asante
Mambo ni moto kz nzuri tunaburudika ma house girl jmn😂
Kufikia hapo nmesoma mengi jamani 🙏 kazi nzuri sana
Vizuri Sana Kai na zuu kufunga ndoa 🤲🇧🇮🇧🇮
Jaman zatiti me nampenda jamani yuko byee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yani on time waje ata tanga kabuku