BSS 2023 SN 14 EPISODE 07 TOP 42

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 14 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
    :Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
    Bongo Star Search
    Follow Our Pages
    Facebook: / bongostarsearch
    Twitter: / bongostarsearch
    Instagram: / bongostarsearch
    SnapChat: BongoStarSearch
    TikTok: bongostarsearch
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

КОМЕНТАРІ • 32

  • @lawrenceshekinyashi8243
    @lawrenceshekinyashi8243 8 місяців тому +3

    Aongezek mwanaume apo mwaka huu, mnamnyanyasa sana masterj.

  • @koirababuu7708
    @koirababuu7708 8 місяців тому +3

    Hamjafanya fair kwa dickson massawe, the man is so natural with a pure talent, very unfair kwa kweli

  • @sinomiles
    @sinomiles 8 місяців тому +2

    Mina Ally ni mtangazaji mzuri, Mmrudishe season 15 again

    • @beautyibrahim8428
      @beautyibrahim8428 8 місяців тому

      Sana amembadili vanesa zaman walikuwa vanesa mdee na sizer daniel

  • @thejulmo
    @thejulmo 8 місяців тому +7

    ​If right now they are episode 30. They have only posted till episode 7. Means we will see the final the end of year. Vry unfair indeed. Let them post the episodes as they used to do it previously for the online family

    • @fanig319
      @fanig319 8 місяців тому +1

      I support this 💯💯....they are taking too long to post man

    • @rahyanadam8328
      @rahyanadam8328 8 місяців тому

      Totally agree with you, bad enough I can only watch on UA-cam.

  • @user-lt9rg3ns7o
    @user-lt9rg3ns7o 8 місяців тому +1

    Shishi unaboa kuimba imba 😊

  • @JackineNolobeti
    @JackineNolobeti День тому

    Wamemuonea johnson

  • @bonelatiktokfun3130
    @bonelatiktokfun3130 8 місяців тому +1

    @BongoStarSearch mnachelewa sana kutoa episodes, mkoje saiv??

  • @annaemmanuel8829
    @annaemmanuel8829 8 місяців тому +1

    Ze beta Ze betazan😂😂😂😂

  • @Omariy_Mnkhonje
    @Omariy_Mnkhonje 7 місяців тому

    😮😮😮😮😮

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 8 місяців тому +1

    Shishi anajichetua me sipendi 😢 hafai kuwa jaji

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 8 місяців тому

    Dada huyo wa mbeya Yuko vizuri

  • @ntupwadevoice
    @ntupwadevoice 8 місяців тому +1

    Duuu ham laliii

  • @AsmaHindu-fv7re
    @AsmaHindu-fv7re 8 місяців тому

    Salam acha ukatili wey ujuwi kumupa mutu moyo dad kwenye maisha so poa 😔😔😔😔😔

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 8 місяців тому

    Huyu dada mm namkubali sana na asiache

  • @simbiilham8229
    @simbiilham8229 8 місяців тому

    Jamani mbona sija muona Leonard? Watching from Rwanda❤

  • @AlainShogonya
    @AlainShogonya 8 місяців тому

    The guy in yellow mpaka kesho, kinda gives Konde vibes 🔥

  • @jamessiyame7212
    @jamessiyame7212 8 місяців тому

    Majaji Waache upuuzi wa kupinga nyimbo za gospel 😢

  • @askofu_muziki5992
    @askofu_muziki5992 7 місяців тому

    Mshindi anatoka online hao ni wa moto

  • @swimmermoddy3263
    @swimmermoddy3263 8 місяців тому +1

    Tatizo mabinti wanajifanya wamombo wakati wakiambiwa wtunge zao wataimba mwanzo mwisho kiswahili

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 8 місяців тому +2

    Onesmo Reynold for the win.

  • @sinomiles
    @sinomiles 8 місяців тому

    wanao jua kuimba niwengi , itakua vigumu kuchagua hata kwa ma Judge

  • @reyside7899
    @reyside7899 8 місяців тому +1

    Kwan hawawezi kuimba kiswahili jmn wanajipotezea mapwent

  • @Semapodcst
    @Semapodcst 8 місяців тому

    Master Jay: “wa Zanzibari hawajui kuimba” ! What an ignorant statement coming from an individual who has a track record of mastering vocal compositions. This is undermined by his lack of knowledge in music from that statement. Zanzibaris were held in high regard musically for centuries. Am sure M jay knows this, so one can only assume that statement came from a prejudicial place. M jay should more be more careful as the diaspora is watching him. Where is the code of conduct amongst judges? Where is the impartiality? This is why as Tanzanians we are struggling to reach the level of standard as our European counterparts. Shame for ST allowing this to happen. SJ baited him out, MJ did not hesitate to show his true colours. If we are to live as United in Tanzania there needs to be reform in Media legislation enforce EDI policies. Maybe the you MH Mwana FA should look into this. When I come to TZ to film our Podcast we should discuss. *disgusted*

  • @cynthiaomondi6125
    @cynthiaomondi6125 8 місяців тому

    The full episodes are not coming in timely like on the previous seasons. This disappoints fans like me who only follows the program via youtube.

  • @Boaz22
    @Boaz22 8 місяців тому

    Washindi wang ni hawa.
    1.King David.
    2.Razak
    Mmoja wa hawa asiposhinda mniite mmbwa😂😂😂😂😂