Mwenyez mungu akuwek nakukukulinda uzidi kukupigania Wana Simba ujuz unao Kila mwaka wewe ni mdano wa kuigwa na jamii wewe nirafiki nikaka wakuingwa I love nakupend msemaj Bora kabisa huna baya ubay ubwera❤❤❤❤❤❤👍
acha kuongea upumbavu wewe hawa pia miongoni mwa watanzania nao wananafasi katika taifa pia niutambulisho wa kitanzania halafu wewe unavyo onekana una ubaguzi hongera Ahmed Aly kwa ubunifu
acha kuongea upumbavu wewe hawa pia miongoni mwa watanzania nao wananafasi katika taifa pia niutambulisho wa kitanzania halafu wewe unavyo onekana una ubaguzi hongera Ahmed Aly kwa ubunifu
Ubunifu wa hali ya juu sana hongera Ahmedy Ally.❤❤
Umetisha semajiiiiii chukuwaa. Maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
🎉🎉🎉Ahmed Ally
haijawah tokea nahatatokea tena one love ❤❤❤
Umetisha semajiiiiiiii....🔥🔥🔥🔥🌹🌹🌹
wanangu wa morogoro salut kwenu popote mlipo mungu awabariki sana 🎉🎉❤❤
Mwenyez mungu akuwek nakukukulinda uzidi kukupigania Wana Simba ujuz unao Kila mwaka wewe ni mdano wa kuigwa na jamii wewe nirafiki nikaka wakuingwa I love nakupend msemaj Bora kabisa huna baya ubay ubwera❤❤❤❤❤❤👍
Safi sana tupende vya kwetu big up Mzee wa Ubaya ubwela.
Umetiisha❤❤❤❤
Tanzania ni wamasai❤❤❤
I love you simba dam dam mungu ibariki chama langu 🎉🎉❤❤
Ongera umetisha kaka
Mungu akubariki san semaji mweny akili nyingi
SEMAJIIIII la DUNIA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mie huwapenda tu wamasai❤🎉
Ahmed Ally❤❤❤❤ishi sana kaka
Safi sana ndugu zangu
Ubaya ubwela semaji kutoka MTWARA Apo chezea ❤
Ubunifu wa hatari 😀 usioigwa 💪💪🏹😀
Umetisha semaji letu
Tukisema Kuna semaji na Kuna mlopoka natoa mipisho mnabisha miaka mingi sana hamed ally
Mbona sijaelewa hata😮😮
👊👊👊
Ally one love❤❤❤❤❤
UBAYA UBWELA 🤗❤️❤️❤️❤️😇😇🤍💟💟
Katisha nn wanathimbaaaa
Asanteni simba
❤❤
Simbaaaa oyeeee nguvu moja
❤❤❤❤😂
🎉🎉🎉🎉🎉
Umeupiga mwig kaka
Hii ndo simb bhn 🔥🔥🔥🔥
Ubaya ubwelaa unajua sana semaji letu
❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂
Ahmed kibokooo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
❤
Kabisa safari ubaya umerudi
Yanga mashoga tu
me yanga ila semaji lmetisha katuwakilisha maasai
Igeni na hii
❤❤❤❤❤❤
Ww unaowaponda wamasai,wamasai ni Bora kuliko ww maana ww ni mtu WA hivyo kabisa hauna thamani
Imetsha Good
Huyo ndie msemaji wengine walopokaji
Apr vs simba
Watani nimewakubali
acha kuongea upumbavu wewe hawa pia miongoni mwa watanzania nao wananafasi katika taifa pia niutambulisho wa kitanzania halafu wewe unavyo onekana una ubaguzi hongera Ahmed Aly kwa ubunifu
Unganeni muige hii ndio simba taifa kubwa
Unyama UBWELA
😂😂😂😂subilikesho wakurungwa
Hakuna kama ww semaji
Simba kweli tumejaza uwanja ila tamasha lipo Boring sana ... Yaani halina Ladha uwanjani😢😢😢
Wewe ni ynga subir vya bure
Ubaya ubwela
😂😂😂😂😂😂 yaani ovyo ovyo
Wew ndo wa hovyo kwenye tamasha
Tamasha limekuwa ovyo kabisa
Hahaah, team imekabiziwa wamasai
Kama mzee magoma anavyoisumbua timu yake ya utopolo
KWANI MSEMAJI ANATAMBURISHWA?
Semaji la caf ww ni mbunifu haijawai kutokea wengine wanaiga tu.
Huenda ao wamasai wamepewa oda ya kutengeza viatu vya wachezaj wa simba mwaka huu
Sijaon ubunif hapo ofcoz skuzot tunawatambua simba ni wamasai wa mjin wavaa tshet na sio lubega
Yaani pale kafanya kuonyesha tz kunakabila la wamasai show imeangalia duniani kote tambua mitandao sasa hivi anastahili pongezi
Hauna akili kama hayo macho yako makubwa yanaona upande marienge
Leo simba imetosha kinomanoma
Tamasha liko shaghala bagala " du ! Mmetokota kweli. kweli "
Masaai kazi yaoni kuua simba sio marafiki concept mbovu kabisaaaaa
Tamasha ni la kutambulisha wachezaji sio la fiesta Kesho inawezekana kukawa na music sana lakini Muhimu kuweka mambo mengi inaweza ikawa ni upuuzi tu
Acha roho mbaya😂😂
Kwani uliitwa?
Wamasai wa mchongo hawawezi hata kuruka jamani! Lakini nalo ni wazo.
Hawajaruka walilala eti karuke wewe
Umeiga kwa diamond hata hututishi mshamba wewe
Kama amepiga kwa Diamond ko diamond aliiga kwa Rozi muhando mana ndiye aliyeanza kucheza na Wamasai
❤❤
❤❤❤❤❤
acha kuongea upumbavu wewe hawa pia miongoni mwa watanzania nao wananafasi katika taifa pia niutambulisho wa kitanzania halafu wewe unavyo onekana una ubaguzi hongera Ahmed Aly kwa ubunifu
Umeelewa lakn alichomaanisha au unaropoka tu we mtu kasema aijawai kutokea na so kwamb kuwakashfu fikiri kabla ya kuandika
Aelewi ame kurupuka@@Ngeme-w4j
Tunatangaza utalii wa ndani pia.wamasai katika ubora wao