Lazima afanye hivyo maana Simba ndo imeingia mkataba na M-bet wanapata hao pesa, Ally yuko sawaa, akiacha hiyo M-bet anakuwa anawatangazia biashara yao, bila kulipwa tena, buree..
Mimi ni team kiba ndaki ndaki ila hapo kwenye soka la yanga na simba hapana sitoki yanga milele kwa kweli wewe piga mkwanja hapo unyamani utarudi home tu
Vido elewa kuna wimbo wa timu na wimbo wawachezaji, yani watangazaji wa Tanzania tatizo sana uelewa ni mdogo sana yani unawaza nyimbo tu wakati wimbo wa timu upo
Au sio kiba fire San bro ❤❤❤❤❤ gonga like Kam umekubali alichofanya uwanjan
Asante Sana mfalme 👑 wanalunyasi unatuheshimisha 🇹🇿 🇦🇪
Safi king ..simba 🎉🎉🎉
Mnyamaaaaaaaaa king
Kiba ka perfom vizuri saaaana.
King kiba❤ ✔️💯
Alikiba una bay
King on fire
The KING is there to stay ❤
King kiba❤🎉
Mwijaku anaharibu Sana King muangalie Sana
Alikiba amewapendelea sana simbwa👑👑👑🙌🙌
Wasanii wanaoiwakilisha chama la ubaya ubwela❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ubaya ubwela from mozambique ❤❤❤❤
King 🤴 kiba respects
Noma sana King 🔥🔥🔥
Love kiba ubaya ubwela
Wana simbaaaa❤❤❤❤❤❤❤
King kiba fund mmoja
Myking🎉🎉🎉🎉 MNYAMA💌
Asante sana kiba
kumbe anajua kusema simba
Mwijaku endelea kumchangamsha king
Mwijaku anapendaga kuingilia interviews za watuuu😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Jaman simba rahaaaaàaa
Kaka mungu akutuze sana
Ila King shoo ya Simba kafunika sana
Big up sana alikiba tunaendelea kukuunga mkono
We ni mwamba❤❤
My tem its Yanga.
Nampenda fei toto
Namkubali kiba ndan ya moyo
King😊
Mwiryaku sasa😂 wee ❤kiba king
#kingkiba
Mfalume king kiba unatisha
Mwijaku ndio msemaji wa Ali kiba 😂😂
Naitwa sakatay au omary ramadhani tupo pamoja wana simba aliy Kiba umetisha
Yeye mwenyew hamuamini dulla makabila 😂😂😂
Mwijaku bhana
Ila Mwijaku anawakia kwenye gia muda wote
😂😂😂 Mwijaku Shenzi sana Huyu Mtu
Watanzania nimeamini upendo wenu kwakeli Tanzania nchi ya Amani
Unyama mwingi king ubaya ubwela
Huyu SASA Kiba ndo SIMBA 🦁 mwenyewe wa ukweli yule mwingine NI CHURA aliyejivika manyoya ya Simba akajiita Simba
Kama tuna msanii Allii kiba na semaji Ahmed Allii je Mungu tumpe nini🙏🙏
Dogo huy yup vizur usimuach
Mimi hapa nimefika na sina pa kwenda
Namusubiri Zuchu aje kumukosoa kama mwaka jana😂😂😂😂
Mwijaku bhna 😂😂😂
Mwinjaku angekua demu angekua analiwa Bure 😂😂😂😂😂 ubaya ubwela tu
😂😂😂😂 mwijaku
Mi yanga,ila kiba mjanja sana katika interview,umakin wa kujibu
4:17 4:25
Mwijaku mwijaku huulizwi wew tuliaga unakela 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂 ila mwijakum duuh
Et Haina haja ya kuungana 😂😂😂😂😂😂😂saf sana kaka co km upande wa pili wapo km fiesta
Fiesta fc😂😂😂😂😂
Jeshi la mtu mmoja😅😅😅
Ww naechawa kweli mwijaku chawa
Mwajuku tulia basi ,utaonjiwa na ww
Mwijaku anaongea sana
MWIJAKU😄😄😄😄
Yaan 😂😂😂
King kiba
Mwijaku hana akili ajui kufuata protoko,anaharibu mahojiano
Mwambieni mwijaku, awe anakaa kimya apunguze mdomo, haiojiwi yeye, ataolewa. Apunguze ujinga.
Jamaa anakiherehere mpk anaboa an
Unamanisha hatawakiungana
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️♥️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Simba
Hakuna nyimbo mpya kamanda
Hajaulizwa but yuko busy kujibu loooh !!
❤❤❤❤❤
Kwa balaa lile ata ungekuwa wewe😊
Mwijaku kauwa 😂😂😂😂
Mimi sio mushabiki wa mpira ila mimi ni mushabiki wa nyimbo za mda kidogo ilopita kama sitozahau
Ety maskin maskini😂
Ubaya ubwela
Ila mwijaku😂
wahambie haooo waherewe
😂😂mwijaku
😂😂😂
Mwijaku jamaza
Mwijaku unaharibu interview za wtu,kua mtu mzima si mpaka uambiwe,maku we
Mimi yanga ila mwijaku nakupenda asee chawa pro max akiii
Mwijaku hujaulizwa ww
🇹🇿🇹🇿
Ila mwijaku 😂
NIMEPENDA SANA JEZI YAKO UMETOA TANGAZO LA MBET NA PILSNER NA KUWEKA NENO "SIMBA"...
Lazima afanye hivyo maana Simba ndo imeingia mkataba na M-bet wanapata hao pesa, Ally yuko sawaa, akiacha hiyo M-bet anakuwa anawatangazia biashara yao, bila kulipwa tena, buree..
unyama mwingi
Mimi ni team kiba ndaki ndaki ila hapo kwenye soka la yanga na simba hapana sitoki yanga milele kwa kweli wewe piga mkwanja hapo unyamani utarudi home tu
Uwanja umehaha geti limevunjwa wameingia bule
Mwijaku kiherehere
Anakera sana huyu mbaba,hana tofauti na watu wasiosoma elimu haijamsaidia
ALI wewe ndo SIMBA enyewe
Mwajaku kuwa na adabu na interview
Vido elewa kuna wimbo wa timu na wimbo wawachezaji, yani watangazaji wa Tanzania tatizo sana uelewa ni mdogo sana yani unawaza nyimbo tu wakati wimbo wa timu upo
Yani mwijaku kama msenge akijificha atakwenye chupa utamjua2 anaulizwa mwingine wemaneno kibao
😂😂
Mtu tolee majini umo kesho tuuwe
Ukwel nomekufat ww tu
Wijaku punguxza shobo, wewe mtu mzima, mpaka unaboa, huojiwi wewe, kihelehele. Interview siyo yako, yaani uchawa mpaka unaboa.
Ila mwambieni Kiba anyone Kikwapa, msanii mkubwa alafu mchafu
Umeona chafu au kamwangalie burna boy
Tulia Hali yko taabani
wazungu hawanyoi
Unateseka sana.
kamnyoe ww we mwnyw hapo inawezekana umejaa nywele chini huko😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤
❤❤